< Mithali 16 >
1 Mipango ya moyo ni ya mtu, bali Yehova hutoa jawabu kutoka kwenye ulimi wake.
Do homem são os planejamentos do coração, mas a reposta da boca [vem] do SENHOR.
2 Njia zote za mtu ni safi kwenye macho yake mwenyewe, bali Yehova huipima mioyo.
Todos os caminhos do homem são puros aos seus [próprios] olhos; mas o SENHOR pesa os espíritos.
3 Kabidhi kwa Yehova kazi zako zote na mipango yako itafanikiwa.
Confia tuas obras ao SENHOR, e teus pensamentos serão firmados.
4 Yehova alifanya kila kitu kwa kusudi lake, hata waovu kwa ajili ya siku ya taabu.
O SENHOR fez tudo para seu propósito; e até ao perverso para o dia do mal.
5 Yehova anamchukia kila mtu mwenye moyo wa majivuno, ingawa wanasimama imara, hawakosi kupata adhabu.
O SENHOR abomina todo orgulhoso de coração; certamente não ficará impune.
6 Kwa agano la uaminifu na udhamini uovu husafishwa na kwa kumcha Yehova watu hujitenga na ubaya.
Com misericórdia e fidelidade a perversidade é reconciliada; e com o temor ao SENHOR se desvia do mal.
7 Njia za mtu zinapompendeza Yehova, huwafanya hata adui zake huyo mtu wawe na amani naye.
Quando os caminhos do homem são agradáveis ao SENHOR, ele faz até seus inimigos terem paz com ele.
8 Bora kitu kidogo pamoja na haki, kuliko mapato makubwa pamoja na udhalimu.
Melhor é o pouco com justiça, do que a abundância de rendas com injustiça.
9 Katika moyo wake mtu hunuia njia yake, bali Yehova huziongoza hatua zake.
O coração do homem planeja seu caminho, mas é o SENHOR que dirige seus passos.
10 Mshauri yupo katika midimo ya mfalme, katika hukumu kinywa chake hakisemi kwa udanganyifu.
Nos lábios do rei estão palavras sublimes; sua boca não transgride quando julga.
11 Vipimo vya kweli hutoka kwa Yehova; uzito wote kwenye gunia ni kazi yake.
O peso e a balança justos pertencem ao SENHOR; a ele pertencem todos os pesos da bolsa.
12 Wafalme wanapofanya mambo maovu, hicho ni kitu cha kudharauliwa, kwa maana utawala huimarishwa kwa kutenda haki.
Os reis abominam fazer perversidade, porque com justiça é que se confirma o trono.
13 Mfalme hufurahia midomo ambayo husema haki na anampenda mwenye kusema waziwazi.
Os lábios justos são do agrado dos reis, e eles amam ao que fala palavras direitas.
14 Hasira ya mfalme ni mjumbe wa mauti lakini mtu mwenye busara atajaribu kutuliza hasira yake.
A ira do rei é como mensageiros de morte; mas o homem sábio a apaziguará.
15 Katika nuru ya uso wa mfalme ni uzima na fadhila yake ni kama wingu linaloleta mvua ya masika.
No brilho do rosto do rei há vida; e seu favor é como uma nuvem de chuva tardia.
16 Ni bora kiasi gani kupata hekima kuliko dhahabu. Kuchagua kupata ufahamu ni zaidi kuliko fedha.
Obter sabedoria é tão melhor do que o ouro! E obter sabedoria é mais excelente do que a prata.
17 Njia kuu ya watu waadilifu hujitenga na ubaya; mwenye kuyahifadhi maisha yake huilinda njia yake.
A estrada dos corretos se afasta do mal; e guarda sua alma quem vigia seu caminho.
18 Kiburi hutangulia kabla ya uharibifu na moyo wa kujivuna kabla ya maangamizi.
Antes da destruição vem a arrogância, e antes da queda vem a soberba de espírito.
19 Ni bora kunyenyekea miongoni mwa watu masikini kuliko kugawana ngawira pamoja watu wenye kiburi.
É melhor ser humilde de espírito com os mansos, do que repartir despojos com os arrogantes.
20 Mwenye kutafakari yaliyofundishwa hupata kilicho chema na wenye kumtumaini Yehova watafurahi.
Aquele que pensa prudentemente na palavra encontrará o bem; e quem confia no SENHOR é bem-aventurado.
21 Mwenye hekima moyoni anaitwa ufuhamu na utamu wa hotuba huongeza uwezo wa kufundisha.
O sábio de coração será chamado de prudente; e a doçura dos lábios aumentará a instrução.
22 Ufahamu ni chemchemi ya uzima kwake ambaye nayo, bali adhabu ya wapumbavu ni upumbavu wao.
Manancial de vida é o entendimento, para queles que o possuem; mas a instrução dos tolos é loucura.
23 Moyo wa mtu mwenye hekima hutoa busara katika kinywa chake na huongeza ushawishi katika midomo yake.
O coração do sábio dá prudência à sua boca; e sobre seus lábios aumentará a instrução.
24 Maneno yenye kufaa ni sega la asali -matamu kwenye nafsi na huponya mifupa.
Favo de mel são as palavras suaves: doces para a alma, e remédio para os ossos.
25 Kuna njia ambayo huonekana sawa kwa mtu, bali mwisho wake ni njia ya mauti.
Há um caminho que parece direito ao homem, porém seu fim são caminhos de morte.
26 Hamu ya kibarua humfanyia kazi; njaa yake humsihi kuendelea.
A alma do trabalhador faz ele trabalhar para si, porque sua boca o obriga.
27 Mtu duni huchimba madhara na usemi wake ni kama moto unaounguza.
O homem maligno cava o mal, e em seus lábios [há] como que um fogo ardente.
28 Mtu mkaidi huchochea mafarakano na umbeya huwafarakanisha marafiki.
O homem perverso levanta contenda, e o difamador faz [até] grandes amigos se separarem.
29 Mtu wa vurugu humdanganya jirani yake na kumwongoza kwenye mapito ambayo si mema.
O homem violento ilude a seu próximo, e o guia por um caminho que não é bom.
30 Yule anayekonyeza kwa jicho anapanga njama za mambo ya ukaidi; wenye kuandama midomo yao watapitisha mabaya.
Ele fecha seus olhos para imaginar perversidades; ele aperta os lábios para praticar o mal.
31 Mvi ni taji ya utukufu; hupatikana kwa kuishi katika njia ya haki.
Cabelos grisalhos são uma coroa de honra, [caso] se encontrem no caminho de justiça.
32 Ni bora kukawia kuwa na hasira kuliko kuwa shujaa na mwenye kutawala roho yake ni imara zaidi kuliko yule anayeuteka mji.
Melhor é o que demora para se irritar do que o valente; e [melhor é] aquele que domina seu espírito do que aquele que toma uma cidade.
33 Kura hurushwa kwenye mkunjo, bali maamuzi hutoka kwa Yehova.
A sorte é lançada no colo, mas toda decisão pertence ao SENHOR.