< Mithali 16 >

1 Mipango ya moyo ni ya mtu, bali Yehova hutoa jawabu kutoka kwenye ulimi wake.
Les projets que forme le cœur dépendent de l’homme, Mais la réponse que donne la bouche vient de l’Éternel.
2 Njia zote za mtu ni safi kwenye macho yake mwenyewe, bali Yehova huipima mioyo.
Toutes les voies de l’homme sont pures à ses yeux; Mais celui qui pèse les esprits, c’est l’Éternel.
3 Kabidhi kwa Yehova kazi zako zote na mipango yako itafanikiwa.
Recommande à l’Éternel tes œuvres, Et tes projets réussiront.
4 Yehova alifanya kila kitu kwa kusudi lake, hata waovu kwa ajili ya siku ya taabu.
L’Éternel a tout fait pour un but, Même le méchant pour le jour du malheur.
5 Yehova anamchukia kila mtu mwenye moyo wa majivuno, ingawa wanasimama imara, hawakosi kupata adhabu.
Tout cœur hautain est en abomination à l’Éternel; Certes, il ne restera pas impuni.
6 Kwa agano la uaminifu na udhamini uovu husafishwa na kwa kumcha Yehova watu hujitenga na ubaya.
Par la bonté et la fidélité on expie l’iniquité, Et par la crainte de l’Éternel on se détourne du mal.
7 Njia za mtu zinapompendeza Yehova, huwafanya hata adui zake huyo mtu wawe na amani naye.
Quand l’Éternel approuve les voies d’un homme, Il dispose favorablement à son égard même ses ennemis.
8 Bora kitu kidogo pamoja na haki, kuliko mapato makubwa pamoja na udhalimu.
Mieux vaut peu, avec la justice, Que de grands revenus, avec l’injustice.
9 Katika moyo wake mtu hunuia njia yake, bali Yehova huziongoza hatua zake.
Le cœur de l’homme médite sa voie, Mais c’est l’Éternel qui dirige ses pas.
10 Mshauri yupo katika midimo ya mfalme, katika hukumu kinywa chake hakisemi kwa udanganyifu.
Des oracles sont sur les lèvres du roi: Sa bouche ne doit pas être infidèle quand il juge.
11 Vipimo vya kweli hutoka kwa Yehova; uzito wote kwenye gunia ni kazi yake.
Le poids et la balance justes sont à l’Éternel; Tous les poids du sac sont son ouvrage.
12 Wafalme wanapofanya mambo maovu, hicho ni kitu cha kudharauliwa, kwa maana utawala huimarishwa kwa kutenda haki.
Les rois ont horreur de faire le mal, Car c’est par la justice que le trône s’affermit.
13 Mfalme hufurahia midomo ambayo husema haki na anampenda mwenye kusema waziwazi.
Les lèvres justes gagnent la faveur des rois, Et ils aiment celui qui parle avec droiture.
14 Hasira ya mfalme ni mjumbe wa mauti lakini mtu mwenye busara atajaribu kutuliza hasira yake.
La fureur du roi est un messager de mort, Et un homme sage doit l’apaiser.
15 Katika nuru ya uso wa mfalme ni uzima na fadhila yake ni kama wingu linaloleta mvua ya masika.
La sérénité du visage du roi donne la vie, Et sa faveur est comme une pluie du printemps.
16 Ni bora kiasi gani kupata hekima kuliko dhahabu. Kuchagua kupata ufahamu ni zaidi kuliko fedha.
Combien acquérir la sagesse vaut mieux que l’or! Combien acquérir l’intelligence est préférable à l’argent!
17 Njia kuu ya watu waadilifu hujitenga na ubaya; mwenye kuyahifadhi maisha yake huilinda njia yake.
Le chemin des hommes droits, c’est d’éviter le mal; Celui qui garde son âme veille sur sa voie.
18 Kiburi hutangulia kabla ya uharibifu na moyo wa kujivuna kabla ya maangamizi.
L’arrogance précède la ruine, Et l’orgueil précède la chute.
19 Ni bora kunyenyekea miongoni mwa watu masikini kuliko kugawana ngawira pamoja watu wenye kiburi.
Mieux vaut être humble avec les humbles Que de partager le butin avec les orgueilleux.
20 Mwenye kutafakari yaliyofundishwa hupata kilicho chema na wenye kumtumaini Yehova watafurahi.
Celui qui réfléchit sur les choses trouve le bonheur, Et celui qui se confie en l’Éternel est heureux.
21 Mwenye hekima moyoni anaitwa ufuhamu na utamu wa hotuba huongeza uwezo wa kufundisha.
Celui qui est sage de cœur est appelé intelligent, Et la douceur des lèvres augmente le savoir.
22 Ufahamu ni chemchemi ya uzima kwake ambaye nayo, bali adhabu ya wapumbavu ni upumbavu wao.
La sagesse est une source de vie pour celui qui la possède; Et le châtiment des insensés, c’est leur folie.
23 Moyo wa mtu mwenye hekima hutoa busara katika kinywa chake na huongeza ushawishi katika midomo yake.
Celui qui est sage de cœur manifeste la sagesse par sa bouche, Et l’accroissement de son savoir paraît sur ses lèvres.
24 Maneno yenye kufaa ni sega la asali -matamu kwenye nafsi na huponya mifupa.
Les paroles agréables sont un rayon de miel, Douces pour l’âme et salutaires pour le corps.
25 Kuna njia ambayo huonekana sawa kwa mtu, bali mwisho wake ni njia ya mauti.
Telle voie paraît droite à un homme, Mais son issue, c’est la voie de la mort.
26 Hamu ya kibarua humfanyia kazi; njaa yake humsihi kuendelea.
Celui qui travaille, travaille pour lui, Car sa bouche l’y excite.
27 Mtu duni huchimba madhara na usemi wake ni kama moto unaounguza.
L’homme pervers prépare le malheur, Et il y a sur ses lèvres comme un feu ardent.
28 Mtu mkaidi huchochea mafarakano na umbeya huwafarakanisha marafiki.
L’homme pervers excite des querelles, Et le rapporteur divise les amis.
29 Mtu wa vurugu humdanganya jirani yake na kumwongoza kwenye mapito ambayo si mema.
L’homme violent séduit son prochain, Et le fait marcher dans une voie qui n’est pas bonne.
30 Yule anayekonyeza kwa jicho anapanga njama za mambo ya ukaidi; wenye kuandama midomo yao watapitisha mabaya.
Celui qui ferme les yeux pour se livrer à des pensées perverses, Celui qui se mord les lèvres, a déjà consommé le mal.
31 Mvi ni taji ya utukufu; hupatikana kwa kuishi katika njia ya haki.
Les cheveux blancs sont une couronne d’honneur; C’est dans le chemin de la justice qu’on la trouve.
32 Ni bora kukawia kuwa na hasira kuliko kuwa shujaa na mwenye kutawala roho yake ni imara zaidi kuliko yule anayeuteka mji.
Celui qui est lent à la colère vaut mieux qu’un héros, Et celui qui est maître de lui-même, que celui qui prend des villes.
33 Kura hurushwa kwenye mkunjo, bali maamuzi hutoka kwa Yehova.
On jette le sort dans le pan de la robe, Mais toute décision vient de l’Éternel.

< Mithali 16 >