< Mithali 16 >

1 Mipango ya moyo ni ya mtu, bali Yehova hutoa jawabu kutoka kwenye ulimi wake.
2 Njia zote za mtu ni safi kwenye macho yake mwenyewe, bali Yehova huipima mioyo.
Toutes les œuvres de l'homme humble sont rendues manifestes auprès de Dieu, mais pour les impies, ils périssent en un jour fatal.
3 Kabidhi kwa Yehova kazi zako zote na mipango yako itafanikiwa.
4 Yehova alifanya kila kitu kwa kusudi lake, hata waovu kwa ajili ya siku ya taabu.
5 Yehova anamchukia kila mtu mwenye moyo wa majivuno, ingawa wanasimama imara, hawakosi kupata adhabu.
Tout homme au cœur hautain est impur devant Dieu; celui qui, ayant une pensée injuste, met sa main dans la main d'autrui, ne sera pas innocent pour cela.
6 Kwa agano la uaminifu na udhamini uovu husafishwa na kwa kumcha Yehova watu hujitenga na ubaya.
7 Njia za mtu zinapompendeza Yehova, huwafanya hata adui zake huyo mtu wawe na amani naye.
Pratiquer la justice, c'est le commencement de la bonne voie, plus agréable à Dieu que le sacrifice des victimes.
8 Bora kitu kidogo pamoja na haki, kuliko mapato makubwa pamoja na udhalimu.
Celui qui cherche le Seigneur trouvera la science et la justice; ceux qui Le cherchent avec droiture trouveront la paix.
9 Katika moyo wake mtu hunuia njia yake, bali Yehova huziongoza hatua zake.
Toutes les œuvres du Seigneur sont selon la justice. L'impie est réservé pour un jour fatal.
10 Mshauri yupo katika midimo ya mfalme, katika hukumu kinywa chake hakisemi kwa udanganyifu.
L'oracle est sur les lèvres du roi; sa bouche ne s'égarera pas dans le jugement.
11 Vipimo vya kweli hutoka kwa Yehova; uzito wote kwenye gunia ni kazi yake.
La justice du Seigneur tient la balance en équilibre; les œuvres de Dieu ont des poids justes.
12 Wafalme wanapofanya mambo maovu, hicho ni kitu cha kudharauliwa, kwa maana utawala huimarishwa kwa kutenda haki.
Celui qui fait le mal est en abomination au roi; car son trône repose sur la justice.
13 Mfalme hufurahia midomo ambayo husema haki na anampenda mwenye kusema waziwazi.
Les lèvres justes sont agréables au roi; il aime les paroles droites.
14 Hasira ya mfalme ni mjumbe wa mauti lakini mtu mwenye busara atajaribu kutuliza hasira yake.
La colère du roi est messagère de mort; un homme sage l'apaisera.
15 Katika nuru ya uso wa mfalme ni uzima na fadhila yake ni kama wingu linaloleta mvua ya masika.
Le fils du roi est dans la lumière de la vie; ses favoris sont comme un nuage d'arrière-saison.
16 Ni bora kiasi gani kupata hekima kuliko dhahabu. Kuchagua kupata ufahamu ni zaidi kuliko fedha.
Les enfants de la sagesse sont préférables à l'or; les enfants de la prudence sont préférables à l'argent.
17 Njia kuu ya watu waadilifu hujitenga na ubaya; mwenye kuyahifadhi maisha yake huilinda njia yake.
Les sentiers de la vie détournent du mal; les voies de la justice mènent à une longue vie. Celui qui accepte les corrections prospérera; celui qui se rend aux réprimandes deviendra sage. Celui qui est ferme dans ses voies garde son ami, et celui qui aime la vie sera sobre de paroles.
18 Kiburi hutangulia kabla ya uharibifu na moyo wa kujivuna kabla ya maangamizi.
Le regret vient après l'orgueil; la ruine, après la méchanceté.
19 Ni bora kunyenyekea miongoni mwa watu masikini kuliko kugawana ngawira pamoja watu wenye kiburi.
Mieux vaut avoir la douceur avec l'humilité, que partager les dépouilles avec les orgueilleux.
20 Mwenye kutafakari yaliyofundishwa hupata kilicho chema na wenye kumtumaini Yehova watafurahi.
Être intelligent en affaires, c'est trouver des biens; mettre sa confiance dans le Seigneur, c'est être bien heureux.
21 Mwenye hekima moyoni anaitwa ufuhamu na utamu wa hotuba huongeza uwezo wa kufundisha.
On dit des intelligents et des sages, ce sont gens de peu; on parlera mieux des hommes aux paroles mielleuses.
22 Ufahamu ni chemchemi ya uzima kwake ambaye nayo, bali adhabu ya wapumbavu ni upumbavu wao.
L'intelligence est pour ceux qui la possèdent une source de vie; les insensés n'ont que la science du mal.
23 Moyo wa mtu mwenye hekima hutoa busara katika kinywa chake na huongeza ushawishi katika midomo yake.
Le cœur du sage méditera tout ce que dira sa bouche, et sur ses lèvres il portera sa science.
24 Maneno yenye kufaa ni sega la asali -matamu kwenye nafsi na huponya mifupa.
Les bonnes paroles sont des rayons de miel; leur douceur est la guérison de l'âme.
25 Kuna njia ambayo huonekana sawa kwa mtu, bali mwisho wake ni njia ya mauti.
Il est des voies qui semblent droites à l'homme; mais leur extrémité lui fait voir dans le fond de l'enfer. (questioned)
26 Hamu ya kibarua humfanyia kazi; njaa yake humsihi kuendelea.
L'homme, en ses labeurs, travaille pour lui-même, et, de vive force, il éloigne sa ruine. Le fourbe porte sa perte sur sa langue.
27 Mtu duni huchimba madhara na usemi wake ni kama moto unaounguza.
L'imprudent creuse pour son malheur, et sur ses lèvres il amasse du feu.
28 Mtu mkaidi huchochea mafarakano na umbeya huwafarakanisha marafiki.
Le pervers répand le mal autour de lui, et le fourbe allume des tisons de malheur, et il sépare les amis.
29 Mtu wa vurugu humdanganya jirani yake na kumwongoza kwenye mapito ambayo si mema.
L'injuste caresse ses amis, et les mène en des voies qui ne sont pas bonnes.
30 Yule anayekonyeza kwa jicho anapanga njama za mambo ya ukaidi; wenye kuandama midomo yao watapitisha mabaya.
Celui qui, les yeux fixes, trame de mauvais desseins, recèle tout mal entre ses lèvres. C'est une fournaise de méchanceté.
31 Mvi ni taji ya utukufu; hupatikana kwa kuishi katika njia ya haki.
La vieillesse est une couronne de gloire; on la trouve dans les voies de la justice.
32 Ni bora kukawia kuwa na hasira kuliko kuwa shujaa na mwenye kutawala roho yake ni imara zaidi kuliko yule anayeuteka mji.
Mieux vaut l'homme patient que le fort, et celui qui maîtrise sa colère que celui qui prend une ville.
33 Kura hurushwa kwenye mkunjo, bali maamuzi hutoka kwa Yehova.
Tout mal vient du sein des injustes; et toute justice, du Seigneur.

< Mithali 16 >