< Mithali 16 >

1 Mipango ya moyo ni ya mtu, bali Yehova hutoa jawabu kutoka kwenye ulimi wake.
Ihminen aikoo sydämessänsä; vaan Herralta tulee kielen vastaus.
2 Njia zote za mtu ni safi kwenye macho yake mwenyewe, bali Yehova huipima mioyo.
Jokaisen mielestä on hänen tiensä puhdas; mutta Herra tutkistelee sydämet.
3 Kabidhi kwa Yehova kazi zako zote na mipango yako itafanikiwa.
Anna Herran haltuun sinun työs, niin sinun aivoitukses menestyy.
4 Yehova alifanya kila kitu kwa kusudi lake, hata waovu kwa ajili ya siku ya taabu.
Herra tekee kaikki itse tähtensä, niin myös jumalattoman pahaksi päiväksi.
5 Yehova anamchukia kila mtu mwenye moyo wa majivuno, ingawa wanasimama imara, hawakosi kupata adhabu.
Jokainen ylpiä on Herralle kauhistus, ja ei pääse rankaisematta, ehkä he kaikki yhtä pitäisivät.
6 Kwa agano la uaminifu na udhamini uovu husafishwa na kwa kumcha Yehova watu hujitenga na ubaya.
Laupiuden ja totuuden kautta pahateko sovitetaan, ja Herran pelvolla paha vältetään.
7 Njia za mtu zinapompendeza Yehova, huwafanya hata adui zake huyo mtu wawe na amani naye.
Jos jonkun tiet ovat Herralle kelvolliset, niin hän myös kääntää hänen vihamiehensä rauhaan.
8 Bora kitu kidogo pamoja na haki, kuliko mapato makubwa pamoja na udhalimu.
Parempi on vähä vanhurskaudessa, kuin suuri saalis vääryydessä.
9 Katika moyo wake mtu hunuia njia yake, bali Yehova huziongoza hatua zake.
Ihmisen sydän aikoo tiensä; vaan Herra johdattaa hänen käymisensä.
10 Mshauri yupo katika midimo ya mfalme, katika hukumu kinywa chake hakisemi kwa udanganyifu.
Ennustus on kuninkaan huulissa: ei hänen suunsa puhu tuomiossa väärin.
11 Vipimo vya kweli hutoka kwa Yehova; uzito wote kwenye gunia ni kazi yake.
Oikia puntari ja vaaka on Herralta, ja kaikki painokivet kukkarossa ovat hänen tekoansa.
12 Wafalme wanapofanya mambo maovu, hicho ni kitu cha kudharauliwa, kwa maana utawala huimarishwa kwa kutenda haki.
Kuninkaan edessä on kauhistus väärin tehdä; sillä vanhurskaudella istuin vahvistetaan.
13 Mfalme hufurahia midomo ambayo husema haki na anampenda mwenye kusema waziwazi.
Oikia neuvo on kuninkaalle otollinen; ja joka oikein puhuu, häntä rakastetaan.
14 Hasira ya mfalme ni mjumbe wa mauti lakini mtu mwenye busara atajaribu kutuliza hasira yake.
Kuninkaan viha on kuoleman sanansaattaja; ja viisas mies lepyttää hänen.
15 Katika nuru ya uso wa mfalme ni uzima na fadhila yake ni kama wingu linaloleta mvua ya masika.
Kuin kuninkaan kasvo on leppyinen, siinä on elämä, ja hänen armonsa on niinkuin hiljainen sade.
16 Ni bora kiasi gani kupata hekima kuliko dhahabu. Kuchagua kupata ufahamu ni zaidi kuliko fedha.
Ota viisautta tykös, sillä se on parempi kultaa: ja saada ymmärrystä on kalliimpi hopiaa.
17 Njia kuu ya watu waadilifu hujitenga na ubaya; mwenye kuyahifadhi maisha yake huilinda njia yake.
Siviän tiet välttävät pahaa, ja joka sielunsa varjelee, se tiestänsä ottaa vaarin.
18 Kiburi hutangulia kabla ya uharibifu na moyo wa kujivuna kabla ya maangamizi.
Joka alennetaan, se ensisti tulee ylpiäksi; ja ylpeys on aina lankeemuksen edellä.
19 Ni bora kunyenyekea miongoni mwa watu masikini kuliko kugawana ngawira pamoja watu wenye kiburi.
Parempi on nöyränä olla siveiden kanssa, kuin jakaa suurta saalista ylpeiden kanssa.
20 Mwenye kutafakari yaliyofundishwa hupata kilicho chema na wenye kumtumaini Yehova watafurahi.
Joka jonkun asian viisaasti alkaa, hän löytää onnen; ja se on autuas, joka luottaa Herraan.
21 Mwenye hekima moyoni anaitwa ufuhamu na utamu wa hotuba huongeza uwezo wa kufundisha.
Toimellinen mies ylistetään viisautensa tähden; ja suloinen puhe lisää oppia.
22 Ufahamu ni chemchemi ya uzima kwake ambaye nayo, bali adhabu ya wapumbavu ni upumbavu wao.
Viisaus on elämän lähde hänelle, joka sen saanut on, vaan tyhmäin oppi on hulluus.
23 Moyo wa mtu mwenye hekima hutoa busara katika kinywa chake na huongeza ushawishi katika midomo yake.
Viisas sydän puhuu toimellisesti, ja hänen huulensa opettavat hyvin.
24 Maneno yenye kufaa ni sega la asali -matamu kwenye nafsi na huponya mifupa.
Suloiset sanat ovat mesileipää; ne lohduttavat sielua, ja virvoittavat luut.
25 Kuna njia ambayo huonekana sawa kwa mtu, bali mwisho wake ni njia ya mauti.
Monella on tie mielestänsä oikia, vaan se johdattaa viimein kuolemaan.
26 Hamu ya kibarua humfanyia kazi; njaa yake humsihi kuendelea.
Moni tulee suureen vahinkoon oman suunsa kautta.
27 Mtu duni huchimba madhara na usemi wake ni kama moto unaounguza.
Jumalatoin ihminen kaivaa onnettomuutta, ja hänen suussansa palaa niinkuin tuli.
28 Mtu mkaidi huchochea mafarakano na umbeya huwafarakanisha marafiki.
Väärä ihminen saattaa riidan, ja panettelia tekee ruhtinaat eripuraisiksi.
29 Mtu wa vurugu humdanganya jirani yake na kumwongoza kwenye mapito ambayo si mema.
Viekas ihminen houkuttelee lähimmäistänsä, ja johdattaa hänen pahalle tielle.
30 Yule anayekonyeza kwa jicho anapanga njama za mambo ya ukaidi; wenye kuandama midomo yao watapitisha mabaya.
Joka silmää iskee, ei se hyvää ajattele, ja joka huuliansa pureskelee, se pahaa matkaan saattaa.
31 Mvi ni taji ya utukufu; hupatikana kwa kuishi katika njia ya haki.
Harmaat hiukset ovat kunnian kruunu, joka löydetään vanhurskauden tiellä.
32 Ni bora kukawia kuwa na hasira kuliko kuwa shujaa na mwenye kutawala roho yake ni imara zaidi kuliko yule anayeuteka mji.
Kärsivällinen on parempi kuin väkevä; ja joka hillitsee mielensä, on parempi, kuin se joka kaupungin voittaa.
33 Kura hurushwa kwenye mkunjo, bali maamuzi hutoka kwa Yehova.
Arpa heitetään syliin, vaan Herralta tulee kaikki sen meno.

< Mithali 16 >