< Mithali 15 >

1 Jawabu la upole huondoa ghadhabu, bali neno la ukatili huchochea hasira.
Une réponse douce détourne la fureur, mais la parole blessante excite la colère.
2 Ulimi wa watu mwenye hekima husifu maarifa, bali kinywa cha wapumbavu humwaga upuuzi.
La langue des sages fait valoir la connaissance, mais la bouche des sots fait jaillir la folie.
3 Macho ya Yehova yapo kila mahali, yakiwatazama juu ya waovu na wema.
Les yeux de l’Éternel sont en tout lieu, regardant les méchants et les bons.
4 Ulimi unaoponya ni mti wa uzima, bali ulimi wa udanganyifu huvunja moyo.
La bénignité de la langue est un arbre de vie, mais la perversité en elle est un brisement d’esprit.
5 Mpumbavu hudharau marudi ya baba yake, bali yeye anayejifunza kutokana na masahihisho ni mwenye hekima.
Le fou méprise l’instruction de son père, mais celui qui a égard à la répréhension devient avisé.
6 Katika nyumba ya wale watendao haki kuna hazina kubwa, bali mapato ya watu waovu huwapa taabu.
Dans la maison du juste il y a un grand trésor, mais dans le revenu du méchant il y a du trouble.
7 Midomo ya wenye hekima husambaza maarifa, bali mioyo ya wapumbavu haifanyi hivyo.
Les lèvres des sages répandent la connaissance, mais le cœur des sots ne fait pas ainsi.
8 Yehova anachukia sadaka za watu waovu, bali maombi ya watu waadilifu ndiyo furaha yake.
Le sacrifice des méchants est en abomination à l’Éternel, mais la prière des hommes droits lui est agréable.
9 Yehova anachukia njia ya watu waovu, bali anampenda yule ambaye huandama haki.
La voie du méchant est en abomination à l’Éternel, mais il aime celui qui poursuit la justice.
10 Marudi ya ukatili hungojea kwa yeyote ambaye huiacha njia na yule ambaye huchukia masahihisho atakufa.
Une discipline fâcheuse attend celui qui abandonne le [droit] sentier; celui qui hait la correction mourra.
11 Kuzimu na uharibifu vipo wazi mbele za Yehova; je si zaidi sana mioyo ya wana wa wanadamu? (Sheol h7585)
Le shéol et l’abîme sont devant l’Éternel, combien plus les cœurs des fils des hommes! (Sheol h7585)
12 Mwenye mzaha huchukia masahihisho; hatakwenda kwa wenye hekima.
Le moqueur n’aime pas celui qui le reprend; il ne va pas vers les sages.
13 Moyo wenye furaha husababisha uchangamfu wa uso, bali huzuni huvunja moyo.
Le cœur joyeux égaie le visage, mais par le chagrin du cœur l’esprit est abattu.
14 Moyo wa mwenye ufahamu hutafuta maarifa, bali kinywa cha wapumbavu hujilisha kwenye upuuzi.
Le cœur de l’homme intelligent cherche la connaissance, mais la bouche des sots se repaît de folie.
15 Siku zote za watu waliokandamizwa ni taabu, bali moyo wenye furaha unakaramu daima.
Tous les jours du malheureux sont mauvais, mais le cœur heureux est un festin continuel.
16 Bora kitu kidogo pamoja na kumcha Mungu kuliko hazina kubwa pamoja na ghasia.
Mieux vaut peu, avec la crainte de l’Éternel, qu’un grand trésor avec du trouble.
17 Bora mlo wenye mboga kukiwa na upendo kuliko kuandaliwa ndama aliyenona kwa chuki.
Mieux vaut un repas d’herbes, et de l’amour, qu’un bœuf engraissé, et de la haine.
18 Mtu mwenye hasira huchochea mabishano, bali mtu ambaye hukawia kukasirika hutuliza ugomvi.
L’homme violent excite la querelle, mais celui qui est lent à la colère apaise la dispute.
19 Mapito ya mtu goigoi ni kama sehemu yenye uwa wa miiba, bali mapito ya mtu mwadilifu ni njia kuu iliyojengwa imara.
La voie du paresseux est comme une haie d’épines, mais le sentier des hommes droits est aplani.
20 Mwana mwenye busara huleta furaha kwa baba yake, bali mtu mpumbavu humdharau mama yake.
Un fils sage réjouit son père, mais l’homme insensé méprise sa mère.
21 Upuuzi humfurahia mtu ambaye amepungukiwa akili, bali mwenye ufahamu hutembea katika njia nyofu.
La folie est la joie de celui qui est dépourvu de sens, mais l’homme intelligent règle ses pas.
22 Mipango huharibika ambapo hakuna ushauri, bali washauri wengi wanafanikiwa.
Les projets échouent là où il n’y a point de conseil, mais, par la multitude des conseillers, ils réussissent.
23 Mtu anapata furaha wakati anapotoa jibu la kufaa; je ni zuri kiasi gani neno kwa wakati muafaka!
Il y a de la joie pour un homme dans la réponse de sa bouche; et une parole [dite] en son temps, combien elle est bonne!
24 Njia ya uzima huwapeleka juu watu wenye hekima, ili waondoke kutoka chini kuzimu. (Sheol h7585)
Le sentier de la vie est en haut pour les intelligents, afin qu’ils se détournent du shéol, en bas. (Sheol h7585)
25 Yehova hurarua urithi wa mwenye kiburi, bali huzilinda mali za mjane.
L’Éternel démolit la maison des orgueilleux, mais il rend ferme la borne de la veuve.
26 Yehova huyachukia mawazo ya watu waovu, bali maneno ya upole ni safi.
Les machinations de l’inique sont en abomination à l’Éternel, mais les paroles pures [lui] sont agréables.
27 Mporaji huleta shida kwenye familia yake, bali yeye ambaye huchukia rushwa ataishi.
Celui qui cherche le gain déshonnête trouble sa maison, mais celui qui hait les dons vivra.
28 Moyo wa yule atendaye haki hutafakari kabla ya kujibu, bali kinywa cha watu waovu humwanga ubaya wake wote.
Le cœur du juste réfléchit pour répondre, mais la bouche des méchants fait jaillir les choses mauvaises.
29 Yehova yupo mbali na watu waovu, bali husikia maombi ya wale watendao haki.
L’Éternel est loin des méchants, mais il écoute la prière des justes.
30 Nuru ya macho huleta furaha moyoni na habari njema ni afya kwenye mwili.
Ce qui éclaire les yeux réjouit le cœur; une bonne nouvelle engraisse les os.
31 Kama utazingatia wakati mtu anapokurekebisha jinsi ya kuishi, utabaki miongoni mwa watu wenye busara.
L’oreille qui écoute la répréhension de vie logera au milieu des sages.
32 Yeye anayekataa karipio hujidharau mwenyewe, bali yule asikilizaye masahihisho hujipatia ufahamu.
Celui qui rejette l’instruction méprise sa vie; mais celui qui écoute la répréhension acquiert du sens.
33 Kumcha Yehova hufundisha hekima na unyenyekevu huja kabla ya heshima.
La crainte de l’Éternel est la discipline de la sagesse, et l’abaissement va devant la gloire.

< Mithali 15 >