< Mithali 14 >

1 Mwanamke mwenye busara huijenga nyumba yake, bali mwanamke mpumbavu huibomoa kwa mikono yake mwenyewe.
زن دانا خانه خود را بنا می‌کند، اما زن نادان با دست خود خانه‌اش را خراب می‌کند.
2 Yeye aendaye kwa uaminifu humcha Yehova, bali mkaidi humdharau katika njia zake.
کسانی که به راستی عمل می‌کنند به خداوند احترام می‌گذارند، ولی اشخاص بدکار او را تحقیر می‌کنند.
3 Katika kinywa cha mpumbavu hutoka chipukizi la kiburi chake, bali midomo ya wenye busara itawalinda.
نادان چوب سخنانِ متکبرانهٔ خود را می‌خورد، ولی سخنان مرد دانا او را محافظت می‌کند.
4 Pale pasipo na mifugo hori la kulishia ni safi, bali mazao mengi huweza kupatikana kwa nguvu za maksai.
اگر در طویله گاو نباشد، طویله تمیز می‌ماند، اما بدون گاو نمی‌توان محصول زیادی به دست آورد.
5 Shahidi mwaminifu hasemi uongo, bali shahidi wa uongo hupumua uongo.
شاهد امین دروغ نمی‌گوید، ولی از دهان شاهد ناراست دروغ می‌بارد.
6 Mwenye dharau hutafuta hekima na hakuna hata, bali maarifa huja kwa urahisi kwa mwenye ufahamu.
کسی که همه چیز را به باد مسخره می‌گیرد هرگز نمی‌تواند حکمت پیدا کند، اما شخص فهیم به آسانی آن را به دست می‌آورد.
7 Nenda mbali kutoka kwa mtu mpumbavu, maana hutapata maarifa kwenye midomo yake.
از احمقان دوری کن زیرا چیزی ندارند به تو یاد دهند.
8 Hekima ya mtu mwenye busara ni kuifahamu njia yake mwenyewe, bali upuuzi wa wapumbavu ni udanganyifu.
حکمت شخص عاقل راهنمای اوست، اما حماقت احمقان باعث گمراهی آنان می‌شود.
9 Wapumbavu hudharau wakati sadaka ya hatia inapotolewa, bali miongoni mwao waaminifu hushiriki fadhila.
نادانان با گناه بازی می‌کنند، اما درستکاران رضایت خدا را می‌طلبند.
10 Moyo unayajua machungu yake mwenyewe na hakuna mgeni anayeshiriki furaha yake.
تنها دل شخص است که تلخی جان او را احساس می‌کند و در شادی او نیز کسی جز خودش نمی‌تواند سهیم باشد.
11 Nyumba ya waovu itaangamizwa, bali hema ya watu waaminifu itasitawi.
خانهٔ بدکاران خراب می‌شود، اما خیمهٔ درستکاران وسعت می‌یابد.
12 Kuna njia ambayo huonekana sawa kwa mtu, lakini mwisho wake huelekea mauti tu.
راههایی هستند که به نظر انسان راست می‌آیند اما عاقبت به مرگ منتهی می‌شوند.
13 Moyo unaweza kucheka lakini bado ukawa katika maumivu na furaha inaweza kukoma ikawa huzuni.
خنده نمی‌تواند اندوه دل را پنهان سازد؛ هنگامی که خنده پایان می‌یابد، درد و اندوه برجای خود باقی می‌ماند.
14 Yule asiyemwaminifu atapata anachostahili kwa njia zake, bali mtu mwema atapata kilicho chake.
آدم خدانشناس نتیجهٔ کارهای خود را خواهد دید و شخص نیک از ثمرهٔ اعمال خویش بهره خواهد برد.
15 Yeye ambaye hakufundishwa huamini kila kitu, bali mtu mwenye hekima huzifikiria hatua zake.
آدم ساده لوح هر حرفی را باور می‌کند، اما شخص زیرک سنجیده رفتار می‌نماید.
16 Mtu mwenye hekima huogopa na kutoka kwenye ubaya, bali mpumbavu huliacha onyo kwa ujasiri.
شخص دانا محتاط است و از خطر دوری می‌کند، ولی آدم نادان از روی غرور، خود را به خطر می‌اندازد.
17 Yeye ambaye anakuwa na hasira kwa haraka hufanya mambo ya kipumbavu, na mtu anayefanya hila mbaya huchukiwa.
آدم تندخو کارهای احمقانه می‌کند و شخص حیله‌گر مورد نفرت قرار می‌گیرد.
18 Wajinga hurithi upumbavu, lakini watu wenye hekima wamezingirwa kwa maarifa.
حماقت نصیب جاهلان می‌شود و دانایی نصیب زیرکان.
19 Hao ambao ni waovu watainama mbele yao walio wema na wale wenye uovu watasujudu kwenye malango ya wenye haki.
بدکاران عاقبت در برابر نیکان سر تعظیم فرود خواهند آورد و محتاج آنان خواهند شد.
20 Mtu masikini huchukiwa hata na marafiki zake, bali watu matajiri wanamarafiki wengi.
ثروتمندان دوستان بسیار دارند، اما شخص فقیر را حتی همسایه‌هایش تحقیر می‌کند.
21 Yeye ambaye huonyesha dharau kwa jirani yake anafanya dhambi, bali yule ambaye huonyesha fadhila kwa masikini anafuraha.
خوار شمردن فقرا گناه است. خوشا به حال کسی که بر آنها ترحم کند.
22 Je wale wanaofanya njama mbaya hawapotei? Bali wale wenye mpango wa kutenda mema watapokea agano la uaminifu na udhamini
کسانی که نقشه‌های پلید در سر می‌پرورانند گمراه خواهند شد، ولی آنانی که نیت خوب دارند مورد محبت و اعتماد قرار خواهند گرفت.
23 Katika kazi zote ngumu huja faida, bali palipo na maongezi tu, huelekea kwenye umasikini.
کسی که زحمت می‌کشد منفعت عایدش می‌شود، ولی آنکه فقط حرف می‌زند فقیر خواهد شد.
24 Taji ya watu wenye busara ni utajiri wao, bali upuuzi wa wapumbavu huwaletea upuu zaidi.
ثروت نصیب دانایان خواهد شد، اما پاداش احمقان حماقت ایشان است.
25 Shahidi mkweli huokoa maisha, bali shahidi wa uongo hupumua uongo.
شاهد راستگو جان مردم را نجات می‌دهد، اما شاهد دروغگو به مردم خیانت می‌کند.
26 Mtu anapokuwa na hofu ya Yehova, pia anakuwa na matumaini zaidi ndani yake; vitu hivi vitakuwa kama sehemu imara ya ulinzi kwa watoto wa mtu huyu.
کسی که از خداوند می‌ترسد تکیه‌گاه محکمی دارد و فرزندانش در امان خواهند بود.
27 Kumcha Yehova ni chemchemi ya uzima, ili kwamba mtu aweze kujiepusha kutoka katika mitego ya mauti.
خداترسی چشمهٔ حیات است و انسان را از دامهای مرگ دور نگه می‌دارد.
28 Utukufu wa mfalme upo katika idadi kubwa ya watu wake, bali pasipo watu mfalme huangamia.
عظمت یک پادشاه بستگی به تعداد مردمی دارد که بر آنها فرمان می‌راند. پادشاه بدون قوم نابود می‌شود.
29 Mtu mvumilivu anaufahamu mkubwa, bali mtu mwepesi wa kuhamaki hukuza upuuzi.
کسی که صبر و تحمل دارد شخص بسیار عاقلی است، اما از آدم تندخو حماقت سر می‌زند.
30 Moyo wenye raha ni uzima wa mwili, bali husuda huozesha mifupa.
آرامش فکر به بدن سلامتی می‌بخشد، اما حسادت مانند خوره جان را می‌خورد.
31 Anayemkandamiza masikini humlaani Muumba wake, bali anayeonyesha fadhila kwa wahitaji humtukuza yeye.
هر که به فقرا ظلم کند به آفرینندهٔ آنها اهانت کرده است و هر که به فقرا ترحم نماید، به خدا احترام گذاشته است.
32 Mtu mwovu huangushwa chini kwa matendo yake mabaya, bali mtu mwenye haki anakimbilio hata katika kifo.
خداشناسان وقتی بمیرند پناهگاهی دارند، اما گناهکاران به‌وسیلۀ گناهان خودشان تباه می‌شوند.
33 Hekima hukaa katika moyo wa ufahamu, bali hata miongoni mwa wapumbavu hujiachilia mwenyewe kwa kujulikana
حکمت در دل دانایان ساکن است، اما در میان نادانان جای ندارد.
34 Kutenda haki huliinua taifa, bali dhambi ni chukizo kwa watu wowote.
درستکاری مایه سرافرازی یک قوم است و گناه مایه رسوایی آن.
35 Fadhila ya mfalme ni kwa mtumishi mwenye kutenda kwa hekima, bali hasira yake ni kwa yule atendaye kwa kuaibisha.
پادشاه از خدمتگزاران کاردان خشنود می‌گردد، ولی کسانی که دردسر ایجاد می‌کنند مورد غضب او واقع می‌شوند.

< Mithali 14 >