< Mithali 13 >

1 Mwana mwenye hekima husikia mafundisho ya baba yake, bali mwenye dhihaka hatasikiliza karipio.
Un hijo sabio es un amante de la enseñanza de su padre, pero los oídos de los que odian la autoridad están cerrados a las palabras de corrección.
2 Mtu hufurahia vitu vizuri kutokana na matunda ya kinywa chake, bali hamu ya wadanganyifu ni jeuri.
El hombre obtendrá bien del fruto de sus labios, pero el deseo de lo falso es para actos violentos.
3 Yeye anayelinda kinywa chake huyalinda maisha, bali anayefumbua sana midomo yake atajiangamiza mwenyewe.
El que vela sobre su boca guarda su vida; pero aquel cuyos labios están abiertos de par en par tendrá destrucción.
4 Hamu ya watu wavivu ni uchu lakini hawapati kitu, bali hamu ya watu wenye bidii hutoshelezwa sana.
El que odia el trabajo no obtiene sus deseos, pero el alma de los trabajadores duros prosperará.
5 Atendaye haki huchukia uongo, bali mtu mwovu hukinzana mwenyewe, na kufanya ya kuaibisha.
El hombre recto es un enemigo de las palabras falsas: el malvado tiene mala fama y es avergonzado.
6 Wenye haki huwalinda wale ambao ni wakamilifu katika mapito yao, bali uovu huwaangusha wale watendao dhambi.
La justicia protege a aquel cuyo camino no tiene error, pero los malvados son derrotados por el pecado.
7 Kuna mtu ambaye hujitajirisha mwenyewe, lakini hana chochote na kuna mtu ambaye hutoa kila kitu, bado ni tajiri kweli.
Un hombre puede estar actuando como si tuviera riqueza, pero no tiene nada; otro puede parecer pobre, pero tiene una gran riqueza.
8 Mtu tajiri anaweza kufidia maisha yake kwa mali zake, bali mtu masikini hatapokea kitisho cha aina hiyo.
Un hombre dará su riqueza a cambio de su vida; pero el pobre no escuchará amenazas.
9 Mwanga wa mtu atendaye haki hufurahia, bali taa ya waovu itazimika.
Hay un amanecer feliz para el hombre recto, pero la luz del pecador será apagada.
10 Kiburi huzaa mafarakano, bali kwa wale wasikiao shauri jema kuna hekima.
El único efecto del orgullo es luchar; pero la sabiduría es con los humildes en espíritu.
11 Penye majivuno mengi utajiri hufifia, bali yeye apataye pesa kwa kufanya kazi kwa mkono wake pesa zake zitaongezeka.
La riqueza rápidamente se reducirá; pero el que obtiene una tienda por el trabajo de sus manos lo hará aumentar.
12 Tumaini linapoachwa, huvunja moyo, bali kukamilishwa kwa shauku ni mti wa uzima.
La postergación de la esperanza es un cansancio para el corazón; pero cuando llega lo deseado, es un árbol de la vida.
13 Yule ambaye anadharau fundisho bado atakuwa chini ya utawala wake, bali yeye ambaye anaheshimu amri atapewa thawabu.
El que menosprecia la palabra vendrá a la destrucción, pero el que hace la ley será recompensado.
14 Mafundisho ya mtu mwenye hekima ni chemchemi ya uzima, yanakuondoa kutoka kwenye mitego ya mauti.
La enseñanza del sabio es una fuente de vida que aleja a los hombres de las redes de la muerte.
15 Busara njema huleta fadhila, bali njia ya wadanganyifu haina mwisho.
El comportamiento prudente obtiene aprobación, pero el camino de los falsos es su destrucción.
16 Watu wenye busara hutenda kwa maarifa kwa kila uamuzi, bali mpumbavu huonyesha upuuzi wake.
Un hombre prudente lo hace todo con conocimiento, pero el necio deja en claro sus pensamientos tontos.
17 Mjumbe mbaya huangukia kwenye shida, bali balozi mwaminifu huleta upatanisho.
Un hombre que acarrea noticias falsas es causa de problemas, pero el que da noticias verídicas trae alivio.
18 Yeye ambaye hupuuza kurudiwa atapata umasikini na aibu, bali heshima itamjia yeye ambaye hujifunza kutokana na masahihisho.
La necesidad y la vergüenza serán el destino de aquel que no está controlado por el entrenamiento; pero el que toma nota de la enseñanza será honrado.
19 Shauku iliyotambuliwa ni tamu kwa hamu, bali wapumbavu huchukia kuacha uovu.
Obtener el deseo propio es dulce para el alma, pero renunciar al mal es repugnante para el necio.
20 Tembea pamoja na watu wenye hekima nawe utakuwa na hekima, bali rafiki wa wapumbavu atateseka.
Ve con los sabios y sé sabio; pero el que se hace compañía del insensato será quebrantado.
21 Maafa huwakimbilia wenye dhambi, bali wale watendao haki hupewa thawabu kwa mema.
El mal alcanzará a los pecadores, pero los rectos serán recompensados ​​con el bien.
22 Mtu mwema huacha urithi kwa wajukuu wake, bali mali ya mwenye dhambi huwekwa akiba kwa yule atendaye haki.
La herencia del hombre bueno se transmite a los hijos de sus hijos; y la riqueza del pecador se almacena para el hombre recto.
23 Shamba la masikini lisilolimwa linaweza huzalisha chakula kingi, bali huchukuliwa kwa udhalimu.
Hay mucha comida en la tierra arada de los pobres; pero es quitada donde no hay justicia.
24 Yeye ambaye hamrudi mwanawe humchukia, bali yule anayempenda mwanawe humjali kwa kumwadibisha.
El que retiene su vara de castigo, aborrece a su hijo: el padre amoroso castiga con cuidado.
25 Yeye atendaye haki hula hadi kutosheleza hamu yake bali tumbo la mwovu linanjaa daima.
El hombre recto tiene comida hasta donde alcanza su deseo, pero no habrá alimento para el estómago de los malhechores.

< Mithali 13 >