< Mithali 13 >
1 Mwana mwenye hekima husikia mafundisho ya baba yake, bali mwenye dhihaka hatasikiliza karipio.
Syn mądry przyjmuje ćwiczenie ojcowskie, ale naśmiewca nie słucha strofowania.
2 Mtu hufurahia vitu vizuri kutokana na matunda ya kinywa chake, bali hamu ya wadanganyifu ni jeuri.
Każdy będzie pożywał dobrego z owocu ust swoich; ale dusza przewrotnych krzywdy pożywać będzie.
3 Yeye anayelinda kinywa chake huyalinda maisha, bali anayefumbua sana midomo yake atajiangamiza mwenyewe.
Kto strzeże ust swych, strzeże duszy swojej; kto lekkomyślnie otwiera wargi swe, będzie starty.
4 Hamu ya watu wavivu ni uchu lakini hawapati kitu, bali hamu ya watu wenye bidii hutoshelezwa sana.
Dusza leniwego żąda, a nic nie ma; ale dusza pracowitych zbogaci się.
5 Atendaye haki huchukia uongo, bali mtu mwovu hukinzana mwenyewe, na kufanya ya kuaibisha.
Słowa kłamliwego nienawidzi sprawiedliwy; ale niezbożny staje się obrzydliwym i shańbionym.
6 Wenye haki huwalinda wale ambao ni wakamilifu katika mapito yao, bali uovu huwaangusha wale watendao dhambi.
Sprawiedliwość strzeże tego, który żyje bez zmazy; ale niezbożność podwraca grzesznika.
7 Kuna mtu ambaye hujitajirisha mwenyewe, lakini hana chochote na kuna mtu ambaye hutoa kila kitu, bado ni tajiri kweli.
Znajduje się taki co się czyni bogatym, a nie ma nic; i taki, co się czyni ubogim, choć ma wiele bogactw.
8 Mtu tajiri anaweza kufidia maisha yake kwa mali zake, bali mtu masikini hatapokea kitisho cha aina hiyo.
Okup żywota człowieczego jest bogactwo jego; ale ubogi nie słucha łajania.
9 Mwanga wa mtu atendaye haki hufurahia, bali taa ya waovu itazimika.
Światłość sprawiedliwych jasna: ale pochodnia bezbożnych zgaśnie.
10 Kiburi huzaa mafarakano, bali kwa wale wasikiao shauri jema kuna hekima.
Samą tylko pychą człowiek zwady wszczyna, ale przy tych, co radę przyjmują, jest mądrość.
11 Penye majivuno mengi utajiri hufifia, bali yeye apataye pesa kwa kufanya kazi kwa mkono wake pesa zake zitaongezeka.
Bogactwa źle nabyte umniejszą się; ale kto je zgromadza ręką swą, przyczynia ich.
12 Tumaini linapoachwa, huvunja moyo, bali kukamilishwa kwa shauku ni mti wa uzima.
Nadzieja długa wątli serce; ale żądość wypełniona jest drzewem żywota.
13 Yule ambaye anadharau fundisho bado atakuwa chini ya utawala wake, bali yeye ambaye anaheshimu amri atapewa thawabu.
Kto gardzi słowem Bożem, sam sobie szkodzi; ale kto się boi przykazania jego, odniesie nagrodę.
14 Mafundisho ya mtu mwenye hekima ni chemchemi ya uzima, yanakuondoa kutoka kwenye mitego ya mauti.
Nauka mądrego jest źródłem żywota ku ochronieniu się sideł śmierci.
15 Busara njema huleta fadhila, bali njia ya wadanganyifu haina mwisho.
Rozum dobry daje łaskę; ale droga przewrotnych jest przykra.
16 Watu wenye busara hutenda kwa maarifa kwa kila uamuzi, bali mpumbavu huonyesha upuuzi wake.
Każdy ostrożny umiejętnie sobie poczyna; ale głupi rozpościera głupstwo.
17 Mjumbe mbaya huangukia kwenye shida, bali balozi mwaminifu huleta upatanisho.
Poseł niezbożny upada we złe; ale poseł wierny jest lekarstwem.
18 Yeye ambaye hupuuza kurudiwa atapata umasikini na aibu, bali heshima itamjia yeye ambaye hujifunza kutokana na masahihisho.
Ubóstwo i zelżywość przyjdzie na tego, który się wyłamuje z karności; ale kto przestrzega upominania, wysławiony będzie.
19 Shauku iliyotambuliwa ni tamu kwa hamu, bali wapumbavu huchukia kuacha uovu.
Żądność wypełniona słodka jest duszy; ale odstąpić od złego, głupim jest obrzydliwością.
20 Tembea pamoja na watu wenye hekima nawe utakuwa na hekima, bali rafiki wa wapumbavu atateseka.
Kto chodzi z mądrymi, mądrym będzie; ale kto towarzyszy z głupimi, startym będzie.
21 Maafa huwakimbilia wenye dhambi, bali wale watendao haki hupewa thawabu kwa mema.
Nieszczęście grzeszników ściga; ale sprawiedliwym Bóg dobrem nagrodzi.
22 Mtu mwema huacha urithi kwa wajukuu wake, bali mali ya mwenye dhambi huwekwa akiba kwa yule atendaye haki.
Dobry człowiek zostawia dziedzictwo synom synów swoich; ale majętność grzesznika sprawiedliwemu zachowana bywa.
23 Shamba la masikini lisilolimwa linaweza huzalisha chakula kingi, bali huchukuliwa kwa udhalimu.
Obfita żywność na roli ubogich, a drugi ginie przez nieroztropność.
24 Yeye ambaye hamrudi mwanawe humchukia, bali yule anayempenda mwanawe humjali kwa kumwadibisha.
Kto zawściąga rózgi swej, ma w nienawiści syna swego; ale kto go miłuje, wczas go karze.
25 Yeye atendaye haki hula hadi kutosheleza hamu yake bali tumbo la mwovu linanjaa daima.
Sprawiedliwy je, i nasyca duszę swoję; ale żołądek niezbożnych niedostatek cierpi.