< Mithali 13 >

1 Mwana mwenye hekima husikia mafundisho ya baba yake, bali mwenye dhihaka hatasikiliza karipio.
Syn moudrý přijímá cvičení otcovo, ale posměvač neposlouchá domlouvání.
2 Mtu hufurahia vitu vizuri kutokana na matunda ya kinywa chake, bali hamu ya wadanganyifu ni jeuri.
Z ovoce úst každý jísti bude dobré, ale duše převrácených nátisky.
3 Yeye anayelinda kinywa chake huyalinda maisha, bali anayefumbua sana midomo yake atajiangamiza mwenyewe.
Kdo ostříhá úst svých, ostříhá duše své; kdo rozdírá rty své, setření na něj přijde.
4 Hamu ya watu wavivu ni uchu lakini hawapati kitu, bali hamu ya watu wenye bidii hutoshelezwa sana.
Žádá, a nic nemá duše lenivého, duše pak pracovitých zbohatne.
5 Atendaye haki huchukia uongo, bali mtu mwovu hukinzana mwenyewe, na kufanya ya kuaibisha.
Slova lživého nenávidí spravedlivý, bezbožníka pak v ošklivost uvodí a zahanbuje.
6 Wenye haki huwalinda wale ambao ni wakamilifu katika mapito yao, bali uovu huwaangusha wale watendao dhambi.
Spravedlnost ostříhá přímě chodícího po cestě, bezbožnost pak vyvrací hříšníka.
7 Kuna mtu ambaye hujitajirisha mwenyewe, lakini hana chochote na kuna mtu ambaye hutoa kila kitu, bado ni tajiri kweli.
Někdo bohatým se dělaje, nemá nic: zase někdo dělaje se chudým, má však statku mnoho.
8 Mtu tajiri anaweza kufidia maisha yake kwa mali zake, bali mtu masikini hatapokea kitisho cha aina hiyo.
Výplata života člověku jest bohatství jeho, ale chudý neslyší domlouvání.
9 Mwanga wa mtu atendaye haki hufurahia, bali taa ya waovu itazimika.
Světlo spravedlivých rozsvětluje se, svíce pak bezbožných zhasne.
10 Kiburi huzaa mafarakano, bali kwa wale wasikiao shauri jema kuna hekima.
Samou toliko pýchou působí člověk svár, ale při těch, jenž užívají rady, jest moudrost.
11 Penye majivuno mengi utajiri hufifia, bali yeye apataye pesa kwa kufanya kazi kwa mkono wake pesa zake zitaongezeka.
Statek zle dobytý umenšovati se bude, kdož pak shromažďuje rukou, přivětší ho.
12 Tumaini linapoachwa, huvunja moyo, bali kukamilishwa kwa shauku ni mti wa uzima.
Očekávání dlouhé zemdlívá srdce, ale žádost splněná jest strom života.
13 Yule ambaye anadharau fundisho bado atakuwa chini ya utawala wake, bali yeye ambaye anaheshimu amri atapewa thawabu.
Kdož pohrdá slovem Božím, sám sobě škodí; ale kdož se bojí přikázaní, odplaceno mu bude.
14 Mafundisho ya mtu mwenye hekima ni chemchemi ya uzima, yanakuondoa kutoka kwenye mitego ya mauti.
Naučení moudrého jest pramen života, k vyhýbání se osídlům smrti.
15 Busara njema huleta fadhila, bali njia ya wadanganyifu haina mwisho.
Rozum dobrý dává milost, cesta pak převrácených jest tvrdá.
16 Watu wenye busara hutenda kwa maarifa kwa kila uamuzi, bali mpumbavu huonyesha upuuzi wake.
Každý důmyslný dělá uměle, ale blázen rozprostírá bláznovství.
17 Mjumbe mbaya huangukia kwenye shida, bali balozi mwaminifu huleta upatanisho.
Posel bezbožný upadá v neštěstí, jednatel pak věrný jest lékařství.
18 Yeye ambaye hupuuza kurudiwa atapata umasikini na aibu, bali heshima itamjia yeye ambaye hujifunza kutokana na masahihisho.
Chudoba a lehkost potká toho, jenž se vytahuje z kázně; ale kdož ostříhá naučení, zveleben bude.
19 Shauku iliyotambuliwa ni tamu kwa hamu, bali wapumbavu huchukia kuacha uovu.
Žádost naplněná sladká jest duši, ale ohavnost jest bláznům odstoupiti od zlého.
20 Tembea pamoja na watu wenye hekima nawe utakuwa na hekima, bali rafiki wa wapumbavu atateseka.
Kdo chodí s moudrými, bude moudrý; ale kdo tovaryší s blázny, setřín bude.
21 Maafa huwakimbilia wenye dhambi, bali wale watendao haki hupewa thawabu kwa mema.
Hříšníky stihá neštěstí, ale spravedlivým odplatí Bůh dobrým.
22 Mtu mwema huacha urithi kwa wajukuu wake, bali mali ya mwenye dhambi huwekwa akiba kwa yule atendaye haki.
Dobrý zanechává dědictví vnukům, ale zboží hříšného zachováno bývá spravedlivému.
23 Shamba la masikini lisilolimwa linaweza huzalisha chakula kingi, bali huchukuliwa kwa udhalimu.
Hojnost jest pokrmů na rolí chudých, někdo pak hyne skrze nerozšafnost.
24 Yeye ambaye hamrudi mwanawe humchukia, bali yule anayempenda mwanawe humjali kwa kumwadibisha.
Kdo zdržuje metlu svou, nenávidí syna svého; ale kdož ho miluje, za času jej tresce.
25 Yeye atendaye haki hula hadi kutosheleza hamu yake bali tumbo la mwovu linanjaa daima.
Spravedlivý jí až do nasycení duše své, břicho pak bezbožných nedostatek trpí.

< Mithali 13 >