< Mithali 12 >
1 Anayependa mafundisho hupenda maarifa, bali yule anayechukia maonyo ni mpumbavu.
Cangkhainae ka ngai e teh panuenae hah a ngai toe, hatei yuenae ka hmuhma e teh tamipathu doeh.
2 Yehova humpa fadhila mtu mwema, bali mtu ambaye hufanya mipango ya ufisada atahukumiwa.
Tami kahawi ni teh BAWIPA ni ngaikhai e hah ouk a hmu, hatei hawihoehnae sak hanelah kakâcainaw teh yonpen lah ao awh han.
3 Mtu hawezi kuimarishwa kwa uovu, bali wale watendao haki hawawezi kung'olewa.
Hawihoehnae ni tami caksak boi hoeh, hatei tamikalan e adu teh tahruet thai lah awm hoeh.
4 Mke mwema ni taji ya mume wake, bali yule aletaye aibu ni kama ugonjwa unaoozesha mifupa yake.
Napui kahawi teh a vâ hanelah bawilukhung lah ao, hatei yeirai ka po sak e napui teh a vâ e hru ka hmawnsakkung doeh.
5 Mipango ya wale watendao haki ni adili, bali shauri la mwovu ni udanganyifu.
Tamikalan pouknae teh a lan, hatei tamikathoutnaw e pouknae teh dumyennae doeh.
6 Maneno ya watu waovu ni uviziaji unaosubiri nafasi ya kuua, bali maneno ya mwenye haki yatawatunza salama.
Tamikathoutnaw e lawk teh, thei hanelah pawm awh sei, tie hah doeh. Hatei tamikalan e pahni ni teh a rungngang han.
7 Watu waovu wametupwa na kuondolewa, bali nyumba ya wale watendao haki itasimama.
Tamikathout teh tâkhawng lah ao teh awm hoeh toe, hatei tamikalan e imthung teh a cak han.
8 Mtu husifiwa kwa kadri ya hekima yake, bali yule anayechagua ukaidi hudharauliwa.
Tami a lung a ang awh e patetlah rip oup lah ao, hatei a lungthin ka longkawi e teh dudam lah ao han.
9 Bora kuwa na cheo duni- kuwa mtumishi tu- kuliko kujisifu kuhusu ukuu wako bila kuwa na chakula.
Amahoima a kâoup teh ca hane kaawm hoeh e tami hlak teh, apinihai oup laipalah mae thaw duem ka tawk e bet ahawihnawn.
10 Yule atendaye haki anajali mahitaji ya mnyama wake, bali huruma ya mwovu ni ukatili.
Tamikalan ni teh amae saringnaw hah a pasai, hatei tamikathout teh a pahrennae dawk patenghai a moikai.
11 Yule atendaye kazi katika shamba lake atapata chakula tele, bali anayesaka miradi duni hana akili.
Amae laikawk ka thawn e ni kaboumlah a ca han, hatei ayawmyin lah kho ka sak e tami teh thaipanueknae ka tawn hoeh e tami doeh.
12 Watu waovu hutamani wanavyoiba watu wabaya kutoka kwa wengine, bali tunda la wale watendao haki hutoka kwao mwenyewe.
Tamikathout ni tamikathoutnaw e tangkhek hah a doun awh, hatei tamikalannaw e kung ni teh apaw a paw sak.
13 Mtu mbaya hunaswa kwa maongezi yake mabaya, bali wale watendao haki hujinasua katika taabu.
Tamikathout teh amae eknae dawk ouk a kâman, hatei tamikalan teh runae thung hoi ouk a hlout.
14 Mtu hushiba vitu vyema kutokana na tunda la maneno yake, kama vile kazi ya mikono yake inavyompa thawabu.
Tami ni amae pahnipaw hah kaboumlah a ca han, amae a kut hoi a tawk e a paw hai poe lah ao han.
15 Njia ya mpumbavu ni sawa machoni pake mwenyewe, bali mtu wa hekima husikiliza ushauri.
Tamipathu ni amae lamthung hah kalan poung e lah a pouk, hatei pouknae poe e ka ngâi e tami teh a lungkaang e doeh.
16 Mpumbavu huonyesha hasira yake papo hapo, bali asiyejali tusi ni mwenye busara.
Tamipathu e lungkhueknae teh tang a kamnue, hatei kahawicalah kho ka pouk e ni teh kayanae hah ouk a ramuk.
17 Asemaye ukweli huongea ilivyo haki, bali shahidi wa uongo huongea uongo.
Lawkkatang ka dei e ni lannae a kamnue sak, hatei kapanuekkhaikung kaphawk niteh kadumyennaw hah a kamnue sak.
18 Maneno yake asemaye kwa pupa ni kama kurusha upanga, bali ulimi wa mwenye hekima huleta uponyaji.
Tahloi hoi thut e patetlah lawk ka dei e ao awh, hatei tami lungkaangnaw e lawk ni teh a dam sak.
19 Midomo yenye kweli itadumu milele, bali ulimi wa uongo ni kwa kitambo kidogo tu.
Lawkkatang pahni teh a yungyoe caksak lah ao han, hatei laithoe deinae lai teh dongdengca hanelah doeh.
20 Kuna udanganyifu katika mioyo ya wale wanaopanga kutenda uovu, bali furaha hutoka kwa washauri wa amani.
Hawihoehnae pouknae lungthin dawk dumyennae ao, hatei roumnae kadeikungnaw ni konawmnae a tawn awh.
21 Hakuna ugonjwa utakaowajia wale watendao haki, bali watu waovu watajazwa matatizo.
Tamikalan koe thoenae phat mahoeh, hatei tamikathout teh thoenae hoi a kawi han.
22 Yehova anachukia midomo ya uongo, bali wale ambao huishi kwa uaminifu ndiyo furaha yake.
Laithoe pahni teh BAWIPA ni a hmuhma e doeh, hatei kalan lah ka tawk e teh lunghawikhai e lah ao.
23 Mtu mwenye busara anasitiri maarifa yake, bali moyo wa wapumbavu hupiga yowe za kipumbavu.
Kho ka pouk thai e tami ni teh a panue e patenghai a hro rah, hatei tamipathu e lungthin ni teh pathunae dueng doeh a pâpho.
24 Mkono wa mwenye bidii utatawala, bali watu wavivu watawekwa katika kazi za kulazimishwa.
Tami ka hratbat e kut ni a uk han, hatei ka pangak e teh lawkceng vaiteh thama lahoi tawk sak lah ao han.
25 Mashaka katika moyo wa mtu humwelemea, bali neno zuri humfurahisha.
Khopouk papnae ni lungmathoenae a tâco sak, hatei lawkkahawi ni tami konawm sak.
26 Mwenye haki ni kiongozi kwa rafiki yake, bali njia ya waovu huwaongoza katika kupotea.
Tamikalan ni teh a imri hah lamthung a patue, tamikathout ni teh lam a phen sak.
27 Watu wavivu hawawezi kubanika mawindo yao wenyewe, bali mtu wenye bidii atapata mali zenye thamani.
Tami ka pangak niteh, kahrawng a cei ei, moi thokhai e boehai cat mahoeh.
28 Wale ambao wanatembea katika njia ya haki wanapata uzima na katika mapito hayo hakuna kifo.
Lannae lamthung dawk hringnae ao teh, hote lamthung dawk teh duenae awm hoe.