< Mithali 11 >

1 Yehova huchukia vipimo ambavyo havipo sahihi, bali hufurahia uzani dhahiri.
Kânging hoeh e yawcu teh BAWIPA hanelah panuet a tho teh, kânging e bangnuenae teh a ngai e lah ao.
2 Kinapokuja kiburi, ndipo aibu huja, bali unyenyekevu huleta hekima.
Kâoup navah yeiraiponae ao teh, kârahnoum navah lungangnae ao.
3 Uadilifu wa wenye haki huwaongoza, bali udanganyifu wa njia za wajanja utawaangamiza.
Tamikalan teh yuemkamcunae ni a hrawi han, hatei, yuemkamcu hoeh e khopouknae niteh amamouh a raphoe han.
4 Utajiri hauna thamani siku ya ghadhabu, bali kwa kutenda haki hujilinda na mauti.
Lungkhueknae tueng navah hnopai teh cungkeihoeh, hatei lannae ni teh duenae koehoi a rungngang han.
5 Mwenendo wa mtu mwema huinyosha njia yake, bali waovu wataanguka kwa sababu ya uovu wao.
Lannae ni teh toun kaawm hoeh e naw hah lam kalan a pâtue han, hatei, tamikathoutnaw teh thoenae dawk letlang a rawp awh han.
6 Mwenendo mwema wa wale wampendezao Mungu utawalinda salama, bali wadanganyifu hunaswa katika shauku zao.
Tamikalannaw teh lannae ni a rungngang awh han, hatei, yuemkamcu hoeh e naw teh amamae ngainae dawk a kâman awh han.
7 Mtu mwovu anapokufa, tumaini lake hupotea na tumaini lililokuwa katika nguvu zake linakuwa si kitu.
Tamikathoutnaw a due awh toteh a ngaihawi awh e puenghai a kahma vaiteh, tamikalanhoehnaw e ngaihawinae puenghai a kahma han.
8 Yule atendaye haki hulindwa katika taabu na badala yake taabu humjia mwovu.
Tamikalan teh runae thung hoi a hlout vaiteh, hote runae teh tamikathoutnaw ni a pang awh han.
9 Kwa kinywa chake asiyeamini Mungu humwangamiza jirani yake, bali kwa maarifa wale watendao haki hulindwa salama.
Cathut ka taket hoeh e niteh, a pahni hoi a imri ouk a raphoe, hatei, tamikalan teh thoumthainae lahoi rungngang lah ao han.
10 Wanapofanikiwa watendao haki, mji hufurahi, waovu wanapoangamia, kunakuwa na kelele za furaha.
Tamikalan ni hawinae a coe navah khobuem a konawm awh, hatei, tamikathout a due toteh a lunghawi awh.
11 Kwa zawadi nzuri za wale wanaompendeza Mungu, mji unakuwa mkubwa; kwa kinywa cha waovu mji huvurugwa.
Tamikalan ni yawhawi a coe navah khopui hai tawmrasang lah a o, hatei, tamikathoutnaw e pahni ni teh ouk a raphoe.
12 Mtu mwenye dharau kwa rafiki yake hana akili, bali mtu mwenye ufahamu hunyamaza.
Lungangnae ka vout e tami ni teh a imri hah ouk a dudam, hatei, thaipanueknae ka tawn e teh duem ao.
13 Anayekwenda akizunguka kwa kukashifu hufunua siri, bali mtu mwaminifu hustiri jambo.
Yuengyoe ka pai ni teh lawk kapap e tami ni hrolawk hah ouk a pâpho, hatei, yuemkamcu e ni teh ouk a hro.
14 Pasipokuwa na uongozi wenye busara, taifa huanguka, bali ushindi huja kwa kushauriana washauri wengi.
Pouknae kahawi poenae a ohoehnae koe khocanaw ouk a kahma teh, pouknae kahawi poenae apapnae koe teh khocanaw roumnae a coe awh.
15 Anayemdhamini mkopo wa mgeni ataumia kwa usumbufu, bali anayechukia kutoa rehani kwa namna ya ahadi yupo salama.
Panue hoeh e tami panuesaknae teh a khang han, hatei, lawkpanuesaknae dawk kut tambeinae ka ngai hoeh e teh a hlout han.
16 Mwanamke mwenye rehema hupata heshima, bali watu wakorofi hufumbata utajiri.
Pahrennae ka tawn e napui ni barinae a coe, hatei, a thakasai e tongpa ni teh tawntanae a coe.
17 Mtu mkarimu hufaidika mwenyewe, bali mkatili hujiumiza mwenyewe.
Pahrennae ka tawn e tami ni a hringnae han lah hnokahawi a sak, hatei, tamikathout teh a takthai hanelah runae kapoekung doeh.
18 Mtu mwovu husema uongo kupata mishahara yake, bali yeye apandaye haki anavuna mishahara ya kweli.
Tamikathout ni dumnae phu ouk a hmu awh, hatei, lannae cati katukkungnaw ni tawkphu katang teh a coe awh han.
19 Mtu mwaminifu atendaye haki ataishi, bali yeye atendaye uovu atakufa.
Lannae ni hringnae lamthung dawk tami a hrawi e patetlah, thoenae ka sak e ni ouk a duekhai.
20 Yehova anawachukia wenye ukaidi mioyoni, bali anawapenda wale ambao njia zao hazina makosa.
Lungthin ka longkawi e teh BAWIPA hanelah panuet a tho, hatei, tamikalan kakuepcingnaw e hringnae teh amamouh letlang lunghawinae doeh.
21 Uwe na uhakika juu ya hili- watu waovu hawatakosa adhabu, bali uzao wa wale watendao haki watawekwa salama.
Lungkânging lah ao awh nakunghai, tamikathout teh rek laipalah awm mahoeh. Hatei, tamikalannaw e canaw teh hloutsak lah ao han.
22 Kama pete ya dhahabu kwenye pua ya nguruwe ndiyo alivyo mwanamke mzuri asiye na busara.
A meihawi eiteh pouknae ka tawn hoeh e napui teh, vok hnawng dawk suikuthrawt bang pouh e patetlah doeh ao.
23 Shauku ya wale watendao haki ni matokeo mema, bali watu waovu wanaweza kutumainia ghadhabu tu.
Tamikalan ni ngainae teh hawinae dueng doeh, hatei, tamikathout ni a ring e teh lungkhueknae dueng doeh.
24 Kuna yule ambaye hupanda mbegu- atakusanya zaidi; mwingine hapandi- huyo anakuwa masikini.
Thouk ka poe e teh, thouk a tawnta, hatei moikapap a pâkhueng eiteh, ka mathoe e tami hai ao.
25 Mtu mkarimu atafanikiwa na yule awapaye maji wengine atapata maji yake mwenyewe.
Hring ka pasoung e teh tawnta sak lah ao han. Ayâ tui ka awi e teh ama hai tui awi lah ao han.
26 Watu wanamlaani mtu ambaye hukataa kuuza nafaka, bali zawadi njema hufunika kichwa chake ambaye huuza nafaka.
Cakang ka haw e tami teh ayâ ni thoe a bo han. hatei, kayawtkung koe teh yawhawinae ao han.
27 Yule ambaye hutafuta mema kwa bidii pia anatafuta kibali, bali yule atafutaye ubaya atapata ubaya.
Hawinae ka tawng katang e ni barinae a coe han. hatei, thoenae ka tawng koe teh runae a pha han.
28 Wale wanaotumaini utajiri wataanguka, bali kama jani, wale watendao haki watasitawi.
Hnopai kâuep e teh a rawp han, hatei tamikalan teh phokung patetlah dikhring han.
29 Yule ambaye analeta taabu kwenye kaya yake ataurithi upepo na mpumbavu atakuwa mtumishi wa wenye moyo wa hekima.
Ma e imthung runae ka poe e ni a coe e râw teh kahlî lah ao vaiteh, tamipathu teh a lungkaangnaw koe san lah ao han.
30 Wale watendao haki watakuwa kama mti wa uzima, lakini vurugu huondoa uzima.
Tamikalannaw e a paw teh hringnae thing paw lah ao teh, muitha ka man e teh tami a lungkaang e doeh.
31 Tazama! Ikiwa wale watendao haki hupokea wanachositahili, je si zaidi kwa waovu na wenye dhambi!
Tamikalan patenghai talai van reknae khang pawiteh, cathutlaipa e hoi tamikayon teh banghloimaw hoe a khang han vai.

< Mithali 11 >