< Mithali 10 >
1 Mithali za Sulemani. Mwana mwenye hekima humfurahisha baba yake lakini mwana mpumbavu huleta majonzi kwa mama yake.
Salamana sakāmie vārdi. Gudrs dēls ir tēva prieks, bet ģeķīgs mātes sirdēsti.
2 Hazina zilizolimbikizwa kwa uovu hakosa thamani, bali kwa kutenda haki hujilinda mbali na kifo.
Netaisnas mantas nelīdz nenieka, bet taisnība izpestī no nāves.
3 Yehova hawaachi wale watendao haki wapate njaa, bali hamu ya waovu huizuia.
Tas Kungs taisnai dvēselei neliek bada ciest; bet bezdievīga negausību viņš izšķiež.
4 Mkono mlegevu humfanya mtu awe masikini, bali mkono wa mtu mwenye bidii hupata utajiri.
Kas slinku roku strādā, top nabags; bet čakla roka dara bagātu.
5 Mwana mwenye busara hukusanya mazao wakati wa kiangazi, bali ni aibu kwake alalaye wakati wa mavuno.
Kas vasarā sakrāj, ir prātīgs; bet kas pļaujamā laikā guļ, paliek kaunā.
6 Zawadi kutoka kwa Mungu zipo juu ya kichwa cha wale watendao haki; bali kinywa cha uovu hufunikwa kwa jeuri.
Svētība pār taisna galvu, bet bēdas aizbāzīs bezdievīgiem muti.
7 Mtu atendaye haki anatufurahisha tunapomkumbuka, bali jina la mwovu litaoza.
Taisnam piemiņa paliek svētīta, bet bezdievīgiem slava iznīks.
8 Wale wenye akili hukubali maagiza, bali mpumbavu mwenye maneno mengi ataangamia.
Kam gudra sirds, tas pieņem mācību, bet kas muti palaiž, ies bojā.
9 Yeye anayetembea katika uadilifu hutembea katika usalama, bali yule anayepotosha njia zake, ataonekana.
Kas skaidrībā staigā, tas staigā ar mieru; bet kas savus ceļus groza, to pienāks.
10 Yeye ambaye hukonyeza kwa jicho lake huleta majonzi, bali mpumbavu mwenye maneno mengi atatupwa chini.
Kas ar acīm met, tas pieved bēdas; un kas muti palaiž, ies bojā.
11 Kinywa cha mwenye kutenda haki ni kama chemchemi ya maji ya uzima, bali kinywa cha uovu hufunikwa kwa jeuri.
Taisnam mute ir dzīvības avots; bet bēdas aizbāzīs bezdievīgiem muti.
12 Chuki huchochea mafarakano, bali upendo hufunika juu ya makwazo yote.
Ienaids ceļ bāršanos; bet mīlestība apklāj visus pārkāpumus.
13 Hekima inapatikana kwenye kinywa cha mtu mwenye ufahamu, bali fimbo ni kwa ajili ya mgongo wa yule asiye na akili.
Uz prātīga lūpām rodas gudrība, bet pār ģeķa muguru nāk rīkste.
14 Watu wenye hekima hutunza maarifa, bali kinywa cha mpumbavu huleta uharibifu karibu.
Prātīgie pietur savu padomu, bet ģeķu mute ir briesmas tuvumā.
15 Mali ya mtu tajiri ni mji wake mwenye ngome; ufukara wa masikini ni uharibifu wao.
Bagātam manta ir viņa stiprā pils, bet tukšinieku briesmas ir viņu nabadzība.
16 Mshahara wa watenda haki huelekea kwenye uzima; manufaa ya waovu huelekea dhambini.
Taisna krājumiņš ir uz dzīvību, bet bezdievīga ienākums uz grēku.
17 Kuna njia kwenda kwenye uzima kwa yule anayefuata maongozo, bali anayekataa maonyo hupotea.
Pārmācīšanu pieņemt ir ceļš uz dzīvību, bet kas par mācību nebēdā, tas maldās.
18 Yeye afichaye chuki anamidomo ya uongo, na yeye anayesambaza kashfa ni mpumbavu.
Viltīgas lūpas slēpj ienaidu, un kas niknu slavu ceļ, ir nelga.
19 Katika maneno mengi, hapakosi uhalifu, bali aliyemwangalifu katika usemi wake ni mwenye busara.
Vārdu pulkā netrūkst grēku, bet kas savas lūpas valda, ir gudrs.
20 Ulimi wa yule atendaye haki ni fedha safi; kuna thamani ndogo katika moyo wa mbaya.
Taisnam mēle ir tīrs sudrabs, bezdievīgā sirds neder nekam.
21 Midomo ya yule atendaye haki huwastawisha wengi, bali wapumbavu hufa kwa sababu ya kukosa akili.
Taisna lūpas daudziem ganība, bet ģeķi nomirs savā sirds ģeķībā.
22 Zawadi njema za Yehova huleta utajiri na haweki maumivu ndani yake.
Tā Kunga svētība dara bagātu, un rūpes tur nekā nepieliek.
23 Uovu ni mchezo achezao mpumbavu, bali hekima ni furaha kwa mtu mwenye ufahamu.
Ģeķim prieks, blēņas darīt, bet prātīgam vīram gudrība.
24 Hofu ya mwenye uovu humkumba ghafla, bali shauku ya mwenye haki itatimizwa.
No kā bezdievīgais bīstas, tas viņam uziet, un ko taisnie vēlās, to Viņš tiem dod.
25 Waovu ni kama dhoruba inayopita, na hawapo tena, bali mwenye haki ni msingi unaodumu milele.
Tā kā vētra pārskrien, tāpat bezdievīgā vairs nebūs, bet taisnais pastāv mūžīgi.
26 Kama siki kwenye meno na moshi kwenye macho, ndivyo alivyo mvivu kwa wale waliomtuma.
Kā skābums zobiem un dūmi acīm, tā sliņķis tiem, kas to sūta.
27 Hofu ya Yehova huongeza maisha, bali miaka ya waovu itakuwa mifupi.
Tā Kunga bijāšana vairo dienas, bet bezdievīgo gadi top paīsināti.
28 Matumaini ya wale watendao haki ndiyo furaha yao, bali miaka ya waovu itakuwa mifupi.
Ko taisnie gaida, būs līksmība, bet bezdievīgo cerība zudīs.
29 Njia ya Yehova huwalinda wale wenye uadilifu, bali kwa waovu ni uhalibifu.
Tā Kunga ceļš sirdsskaidriem ir par stiprumu, bet ļauna darītājiem par izbailēm.
30 Wale watendao haki hawataondolewa, bali waovu hawatabaki katika nchi.
Taisnais nešaubīsies ne mūžam, bet bezdievīgie nepaliks zemes virsū.
31 Katika kinywa cha wale watendao haki hutoka tunda la hekima, bali ulimi wa kupotosha utakatwa.
No taisnā mutes zaļo gudrība, bet netikla mēle taps izdeldēta.
32 Midomo ya wale watendao mema huyajua yanayokubalika, bali kinywa cha waovu, huyajua yanayopotosha.
Taisnā lūpas zin, kas pieklājās, bet bezdievīgo mute ir netikla.