< Mithali 10 >

1 Mithali za Sulemani. Mwana mwenye hekima humfurahisha baba yake lakini mwana mpumbavu huleta majonzi kwa mama yake.
Syn moudrý obveseluje otce, ale syn bláznivý zámutkem jest matce své.
2 Hazina zilizolimbikizwa kwa uovu hakosa thamani, bali kwa kutenda haki hujilinda mbali na kifo.
Neprospívají pokladové bezbožně nabytí, ale spravedlnost vytrhuje od smrti.
3 Yehova hawaachi wale watendao haki wapate njaa, bali hamu ya waovu huizuia.
Nedopustí lačněti Hospodin duši spravedlivého, statek pak bezbožných rozptýlí.
4 Mkono mlegevu humfanya mtu awe masikini, bali mkono wa mtu mwenye bidii hupata utajiri.
K nouzi přivodí ruka lstivá, ruka pak pracovitých zbohacuje.
5 Mwana mwenye busara hukusanya mazao wakati wa kiangazi, bali ni aibu kwake alalaye wakati wa mavuno.
Kdo shromažďuje v létě, jest syn rozumný; kdož vyspává ve žni, jest syn, kterýž hanbu činí.
6 Zawadi kutoka kwa Mungu zipo juu ya kichwa cha wale watendao haki; bali kinywa cha uovu hufunikwa kwa jeuri.
Požehnání jest nad hlavou spravedlivého, ale ústa bezbožných přikrývají ukrutnost.
7 Mtu atendaye haki anatufurahisha tunapomkumbuka, bali jina la mwovu litaoza.
Památka spravedlivého požehnaná, ale jméno bezbožných smrdí.
8 Wale wenye akili hukubali maagiza, bali mpumbavu mwenye maneno mengi ataangamia.
Moudré srdce přijímá přikázaní, ale blázen od rtů svých padne.
9 Yeye anayetembea katika uadilifu hutembea katika usalama, bali yule anayepotosha njia zake, ataonekana.
Kdo chodí upřímě, chodí doufanlivě; kdož pak převrací cesty své, vyjeven bude.
10 Yeye ambaye hukonyeza kwa jicho lake huleta majonzi, bali mpumbavu mwenye maneno mengi atatupwa chini.
Kdo mhourá okem, uvodí nesnáz; a kdož jest bláznivých rtů, padne.
11 Kinywa cha mwenye kutenda haki ni kama chemchemi ya maji ya uzima, bali kinywa cha uovu hufunikwa kwa jeuri.
Pramen života jsou ústa spravedlivého, ale ústa bezbožných přikrývají ukrutnost.
12 Chuki huchochea mafarakano, bali upendo hufunika juu ya makwazo yote.
Nenávist vzbuzuje sváry, ale láska přikrývá všecka přestoupení.
13 Hekima inapatikana kwenye kinywa cha mtu mwenye ufahamu, bali fimbo ni kwa ajili ya mgongo wa yule asiye na akili.
Ve rtech rozumného nalézá se moudrost, ale kyj na hřbetě blázna.
14 Watu wenye hekima hutunza maarifa, bali kinywa cha mpumbavu huleta uharibifu karibu.
Moudří skrývají umění, úst pak blázna blízké jest setření.
15 Mali ya mtu tajiri ni mji wake mwenye ngome; ufukara wa masikini ni uharibifu wao.
Zboží bohatého jest město pevné jeho, ale nouze jest chudých setření.
16 Mshahara wa watenda haki huelekea kwenye uzima; manufaa ya waovu huelekea dhambini.
Práce spravedlivého jest k životu, nábytek pak bezbožných jest k hříchu.
17 Kuna njia kwenda kwenye uzima kwa yule anayefuata maongozo, bali anayekataa maonyo hupotea.
Stezkou života jde, kdož přijímá trestání; ale kdož pohrdá domlouváním, bloudí.
18 Yeye afichaye chuki anamidomo ya uongo, na yeye anayesambaza kashfa ni mpumbavu.
Kdož přikrývá nenávist rty lživými, i kdož uvodí v lehkost, ten blázen jest.
19 Katika maneno mengi, hapakosi uhalifu, bali aliyemwangalifu katika usemi wake ni mwenye busara.
Mnohé mluvení nebývá bez hříchu, kdož pak zdržuje rty své, opatrný jest.
20 Ulimi wa yule atendaye haki ni fedha safi; kuna thamani ndogo katika moyo wa mbaya.
Stříbro výborné jest jazyk spravedlivého, ale srdce bezbožných za nic nestojí.
21 Midomo ya yule atendaye haki huwastawisha wengi, bali wapumbavu hufa kwa sababu ya kukosa akili.
Rtové spravedlivého pasou mnohé, blázni pak pro bláznovství umírají.
22 Zawadi njema za Yehova huleta utajiri na haweki maumivu ndani yake.
Požehnání Hospodinovo zbohacuje, a to beze všeho trápení.
23 Uovu ni mchezo achezao mpumbavu, bali hekima ni furaha kwa mtu mwenye ufahamu.
Za žert jest bláznu činiti nešlechetnost, ale muž rozumný moudrosti se drží.
24 Hofu ya mwenye uovu humkumba ghafla, bali shauku ya mwenye haki itatimizwa.
Èeho se bojí bezbožný, to přichází na něj; ale čehož žádají spravedliví, dává Bůh.
25 Waovu ni kama dhoruba inayopita, na hawapo tena, bali mwenye haki ni msingi unaodumu milele.
Jakož pomíjí vichřice, tak nestane bezbožníka, spravedlivý pak jest základ stálý.
26 Kama siki kwenye meno na moshi kwenye macho, ndivyo alivyo mvivu kwa wale waliomtuma.
Jako ocet zubům, a jako dým očima, tak jest lenivý těm, kteříž jej posílají.
27 Hofu ya Yehova huongeza maisha, bali miaka ya waovu itakuwa mifupi.
Bázeň Hospodinova přidává dnů, léta pak bezbožných ukrácena bývají.
28 Matumaini ya wale watendao haki ndiyo furaha yao, bali miaka ya waovu itakuwa mifupi.
Očekávání spravedlivých jest potěšení, naděje pak bezbožných zahyne.
29 Njia ya Yehova huwalinda wale wenye uadilifu, bali kwa waovu ni uhalibifu.
Silou jest upřímému cesta Hospodinova, a strachem těm, kteříž činí nepravost.
30 Wale watendao haki hawataondolewa, bali waovu hawatabaki katika nchi.
Spravedlivý na věky se nepohne, bezbožní pak nebudou bydliti v zemi.
31 Katika kinywa cha wale watendao haki hutoka tunda la hekima, bali ulimi wa kupotosha utakatwa.
Ústa spravedlivého vynášejí moudrost, ale jazyk převrácený vyťat bude.
32 Midomo ya wale watendao mema huyajua yanayokubalika, bali kinywa cha waovu, huyajua yanayopotosha.
Rtové spravedlivého znají, což jest Bohu libého, ústa pak bezbožných převrácené věci.

< Mithali 10 >