< Mithali 10 >
1 Mithali za Sulemani. Mwana mwenye hekima humfurahisha baba yake lakini mwana mpumbavu huleta majonzi kwa mama yake.
Mudar sin veseli oca, a lud je sin žalost majci svojoj.
2 Hazina zilizolimbikizwa kwa uovu hakosa thamani, bali kwa kutenda haki hujilinda mbali na kifo.
Ne koristi krivo stečeno blago, dok pravednost izbavlja od smrti.
3 Yehova hawaachi wale watendao haki wapate njaa, bali hamu ya waovu huizuia.
Ne dopušta Jahve da gladuje duša pravednika, ali odbija pohlepu opakih.
4 Mkono mlegevu humfanya mtu awe masikini, bali mkono wa mtu mwenye bidii hupata utajiri.
Lijena ruka osiromašuje čovjeka, a marljiva ga obogaćuje.
5 Mwana mwenye busara hukusanya mazao wakati wa kiangazi, bali ni aibu kwake alalaye wakati wa mavuno.
Tko sabira ljeti, razuman je sin, a tko hrče o žetvi, navlači sramotu.
6 Zawadi kutoka kwa Mungu zipo juu ya kichwa cha wale watendao haki; bali kinywa cha uovu hufunikwa kwa jeuri.
Blagoslovi su nad glavom pravedniku, a usta opakih kriju nasilje.
7 Mtu atendaye haki anatufurahisha tunapomkumbuka, bali jina la mwovu litaoza.
Pravednikov je spomen blagoslovljen, a opakom se ime proklinje.
8 Wale wenye akili hukubali maagiza, bali mpumbavu mwenye maneno mengi ataangamia.
Tko je mudra srca, prima zapovijedi, dok brbljava luda propada.
9 Yeye anayetembea katika uadilifu hutembea katika usalama, bali yule anayepotosha njia zake, ataonekana.
Tko nedužno živi, hodi bez straha, a tko ide krivim putovima, poznat će se.
10 Yeye ambaye hukonyeza kwa jicho lake huleta majonzi, bali mpumbavu mwenye maneno mengi atatupwa chini.
Tko žmirka okom, zadaje tugu, a tko ludo zbori, propada.
11 Kinywa cha mwenye kutenda haki ni kama chemchemi ya maji ya uzima, bali kinywa cha uovu hufunikwa kwa jeuri.
Pravednikova su usta izvor života, a opakomu usta kriju nasilje.
12 Chuki huchochea mafarakano, bali upendo hufunika juu ya makwazo yote.
Mržnja izaziva svađu, a ljubav pokriva sve pogreške.
13 Hekima inapatikana kwenye kinywa cha mtu mwenye ufahamu, bali fimbo ni kwa ajili ya mgongo wa yule asiye na akili.
Na usnama razumnoga nalazi se mudrost, a batina je za leđa nerazumna čovjeka.
14 Watu wenye hekima hutunza maarifa, bali kinywa cha mpumbavu huleta uharibifu karibu.
Mudri kriju znanje, a luđakova su usta blizu propasti.
15 Mali ya mtu tajiri ni mji wake mwenye ngome; ufukara wa masikini ni uharibifu wao.
Blago je bogatomu tvrdi grad, a ubogima je propast njihovo siromaštvo.
16 Mshahara wa watenda haki huelekea kwenye uzima; manufaa ya waovu huelekea dhambini.
Pravednik prirađuje za život, a opaki prirađuje za grijeh.
17 Kuna njia kwenda kwenye uzima kwa yule anayefuata maongozo, bali anayekataa maonyo hupotea.
Tko se naputka drži, na putu je života, a zabluđuje tko se na ukor ne osvrće.
18 Yeye afichaye chuki anamidomo ya uongo, na yeye anayesambaza kashfa ni mpumbavu.
Lažljive usne kriju mržnju, a tko klevetu širi, bezuman je!
19 Katika maneno mengi, hapakosi uhalifu, bali aliyemwangalifu katika usemi wake ni mwenye busara.
Obilje riječi ne biva bez grijeha, a tko zauzdava svoj jezik, razuman je.
20 Ulimi wa yule atendaye haki ni fedha safi; kuna thamani ndogo katika moyo wa mbaya.
Pravednikov je jezik odabrano srebro, a razum opakoga malo vrijedi.
21 Midomo ya yule atendaye haki huwastawisha wengi, bali wapumbavu hufa kwa sababu ya kukosa akili.
Pravednikove su usne hrana mnogima, a luđaci umiru s ludosti svoje.
22 Zawadi njema za Yehova huleta utajiri na haweki maumivu ndani yake.
Gospodnji blagoslov obogaćuje i ne prati ga nikakva muka.
23 Uovu ni mchezo achezao mpumbavu, bali hekima ni furaha kwa mtu mwenye ufahamu.
Bezumniku je radost učiniti sramotno djelo, a razumnu čovjeku biti mudar.
24 Hofu ya mwenye uovu humkumba ghafla, bali shauku ya mwenye haki itatimizwa.
Čega se opaki boji, ono će ga stići, a pravednička se želja ispunjava.
25 Waovu ni kama dhoruba inayopita, na hawapo tena, bali mwenye haki ni msingi unaodumu milele.
Kad oluja prohuja, opakoga nestane, a pravednik ima temelj vječni.
26 Kama siki kwenye meno na moshi kwenye macho, ndivyo alivyo mvivu kwa wale waliomtuma.
Kakav je ocat zubima i dim očima, takav je ljenivac onima koji ga šalju.
27 Hofu ya Yehova huongeza maisha, bali miaka ya waovu itakuwa mifupi.
Strah Gospodnji umnaža dane, a opakima se prekraćuju godine.
28 Matumaini ya wale watendao haki ndiyo furaha yao, bali miaka ya waovu itakuwa mifupi.
Pravedničko je ufanje puno radosti, a opakima je nada uprazno.
29 Njia ya Yehova huwalinda wale wenye uadilifu, bali kwa waovu ni uhalibifu.
Gospodnji je put okrilje bezazlenu, a propast onima koji čine zlo.
30 Wale watendao haki hawataondolewa, bali waovu hawatabaki katika nchi.
Pravednik se neće nikad pokolebati, a opakih će nestati s lica zemlje.
31 Katika kinywa cha wale watendao haki hutoka tunda la hekima, bali ulimi wa kupotosha utakatwa.
Pravednikova usta rađaju mudrošću, a opak jezik čupa se s korijenom.
32 Midomo ya wale watendao mema huyajua yanayokubalika, bali kinywa cha waovu, huyajua yanayopotosha.
Pravednikove usne znaju što je milo, dok usta opakih poznaju zloću.