< Mithali 10 >
1 Mithali za Sulemani. Mwana mwenye hekima humfurahisha baba yake lakini mwana mpumbavu huleta majonzi kwa mama yake.
Solomon e cingthuilawk: Capa a lungkaang e ni teh, a na pa a lunghawi sak. Hatei, capa ka pathu e teh, a manu lung ka mathout sakkung doeh.
2 Hazina zilizolimbikizwa kwa uovu hakosa thamani, bali kwa kutenda haki hujilinda mbali na kifo.
Thoenae lahoi pâkhueng e hnopai teh, hawinae awmhoeh. Hatei, lannae ni teh duenae koehoi a rungngang.
3 Yehova hawaachi wale watendao haki wapate njaa, bali hamu ya waovu huizuia.
BAWIPA ni tamikalannaw a pasai teh, tamikathoutnaw ngainae hah a tâkhawng pouh.
4 Mkono mlegevu humfanya mtu awe masikini, bali mkono wa mtu mwenye bidii hupata utajiri.
Pangaknae ni mathoenae a tâco sak teh, hratbatnae ni tawntanae a tâcokhai.
5 Mwana mwenye busara hukusanya mazao wakati wa kiangazi, bali ni aibu kwake alalaye wakati wa mavuno.
Kawmpoi tueng navah rawca ka pâkhueng e teh, a lungkaang e capa doeh. Canga lahun nah ka ip e capa teh yeirai ka po sakkung doeh.
6 Zawadi kutoka kwa Mungu zipo juu ya kichwa cha wale watendao haki; bali kinywa cha uovu hufunikwa kwa jeuri.
Tamikalan lû dawk yawhawinae ao teh, tamikathoutnaw e pahni teh rektapnae hoi akawi.
7 Mtu atendaye haki anatufurahisha tunapomkumbuka, bali jina la mwovu litaoza.
Tamikalannaw pahnimhoehnae heh yawhawinae lah ao han. Hatei, tamikathoutnaw e min teh a pawk han.
8 Wale wenye akili hukubali maagiza, bali mpumbavu mwenye maneno mengi ataangamia.
Tami lungkaang ni teh kâpoelawknaw a lungthin hoi a dâw, hatei, a lawk kapap e tamipathu teh a rawp han.
9 Yeye anayetembea katika uadilifu hutembea katika usalama, bali yule anayepotosha njia zake, ataonekana.
Lannae lahoi ka cet e tami teh karoumcalah a cei, hatei lam longkawi ka dawn e teh panue lah ao han.
10 Yeye ambaye hukonyeza kwa jicho lake huleta majonzi, bali mpumbavu mwenye maneno mengi atatupwa chini.
Mit cumasipnae ni lungmathoenae a tâco sak, lawk kapap e tamipathu teh a rawk han.
11 Kinywa cha mwenye kutenda haki ni kama chemchemi ya maji ya uzima, bali kinywa cha uovu hufunikwa kwa jeuri.
Tamikalan e pahni teh hringnae tuiphuek doeh. Hatei, tami kahawihoehnaw e pahni teh moikainae ni a ramuk.
12 Chuki huchochea mafarakano, bali upendo hufunika juu ya makwazo yote.
Hmuhmanae ni kâpohoehnae a tâco sak. Hatei, lungpatawnae niteh, yonnae pueng a ramuk pouh.
13 Hekima inapatikana kwenye kinywa cha mtu mwenye ufahamu, bali fimbo ni kwa ajili ya mgongo wa yule asiye na akili.
Thaipanueknae ka tawn e pahni dawk lungangnae hah hmu e lah a o, hatei, hemnae bongpai teh thaipanueknae ka tawn hoeh e a hnukthun vah a bo.
14 Watu wenye hekima hutunza maarifa, bali kinywa cha mpumbavu huleta uharibifu karibu.
Tami a lungkaangnaw niteh, thoumthainae heh a pâkhueng awh, hatei, tamipathu e pahni niteh, rawknae hah a hnai.
15 Mali ya mtu tajiri ni mji wake mwenye ngome; ufukara wa masikini ni uharibifu wao.
Tami katawntanaw hanelah teh, a tawntanae hah ka cak e khopui lah ao teh, tamimathoenaw rawknae teh, a mathoenae doeh.
16 Mshahara wa watenda haki huelekea kwenye uzima; manufaa ya waovu huelekea dhambini.
Tamikalan thaw tawknae ni hringnae a tâcokhai teh, tamikathoutnaw e tawkphu teh, thoe khangnae hah doeh.
17 Kuna njia kwenda kwenye uzima kwa yule anayefuata maongozo, bali anayekataa maonyo hupotea.
Cangkhainae ka tarawi e teh, hringnae lamthung dawk ao. Hatei, yuenae ka ek e teh, lamthung ka phen e doeh.
18 Yeye afichaye chuki anamidomo ya uongo, na yeye anayesambaza kashfa ni mpumbavu.
Hmuhmanae hah laithoe deinae pahni hoi ka ramuk e tami, ayâ min mathoe nahanelah ka dei e tami teh tamipathu doeh.
19 Katika maneno mengi, hapakosi uhalifu, bali aliyemwangalifu katika usemi wake ni mwenye busara.
Lawk pap pawiteh, payon e hai a pap. Hatei, a pahni ka cakuep e tami teh tami a lungkaang e doeh.
20 Ulimi wa yule atendaye haki ni fedha safi; kuna thamani ndogo katika moyo wa mbaya.
Tamikalan e lai teh, kahawi e ngun patetlah ao teh, tamikathout e lungthin teh aphu awm hoeh.
21 Midomo ya yule atendaye haki huwastawisha wengi, bali wapumbavu hufa kwa sababu ya kukosa akili.
Tamikalan e pahni ni tami moikapap a kawk. Hatei, tamipathu teh lungangnae a vout dawkvah a due.
22 Zawadi njema za Yehova huleta utajiri na haweki maumivu ndani yake.
BAWIPA yawhawinae ni tami a tawnta sak teh, lungmathoenae thokhai boihoeh.
23 Uovu ni mchezo achezao mpumbavu, bali hekima ni furaha kwa mtu mwenye ufahamu.
Tamipathu hanelah teh, yonnae sak e heh a nawmnae lah a coung. Hatei, thaipanueknae ka tawn e niteh, lungangnae a tawn.
24 Hofu ya mwenye uovu humkumba ghafla, bali shauku ya mwenye haki itatimizwa.
Tamikathout teh a taki e patetlah a lathueng a pha vaiteh, tamikalan teh a ngai e hah poe lah ao han.
25 Waovu ni kama dhoruba inayopita, na hawapo tena, bali mwenye haki ni msingi unaodumu milele.
Bongparui a kâkaven toteh, tamikathoutnaw teh a kahma han. Hatei, tamikalan ni teh a yungyoe adu hungnae a tawn.
26 Kama siki kwenye meno na moshi kwenye macho, ndivyo alivyo mvivu kwa wale waliomtuma.
Tami pangak patoun e teh, misurtui kathut e ni hah a kip sak e hoi, hmaikhu ni mit a ut e patetlah doeh ao.
27 Hofu ya Yehova huongeza maisha, bali miaka ya waovu itakuwa mifupi.
BAWIPA takinae ni hringyung a saw sak, hatei, tamikathout e hringyung teh duem sak lah ao han.
28 Matumaini ya wale watendao haki ndiyo furaha yao, bali miaka ya waovu itakuwa mifupi.
Tamikalan ni ngaihawi e teh lunghawinae lah ao, hatei, tamikathout e ngaihawinae teh a kahma han.
29 Njia ya Yehova huwalinda wale wenye uadilifu, bali kwa waovu ni uhalibifu.
Tamikalan hanelah BAWIPA e lamthung teh thaonae doeh. Hatei, thoenae ka sak e teh, rawkkahmanae koe a pha han.
30 Wale watendao haki hawataondolewa, bali waovu hawatabaki katika nchi.
Tamikalan teh hmuen dawk hoi nâtuek hai puen lah awm mahoeh. Hatei, tamikathoutnaw ni talai heh onae lah hno awh mahoeh
31 Katika kinywa cha wale watendao haki hutoka tunda la hekima, bali ulimi wa kupotosha utakatwa.
Tamikalan e pahni ni lungangnae a tâcokhai, hatei ka longkawi e lai teh, tâtueng pouh lah ao han.
32 Midomo ya wale watendao mema huyajua yanayokubalika, bali kinywa cha waovu, huyajua yanayopotosha.
Tamikalan e pahni ni ngai kawi e hno hah a panue, hatei tamikathout e pahni niteh, kâtarannae lawk doeh ouk a dei.