< Wafilipi 1 >

1 Paulo na Timotheo, watumishi wa Kristo Yesu, Kwa wale walitengwa katika Kristo wanaoishi Filipi, pamoja na waangalizi na mashemasi.
UPavuli nu Timoti, avavombi va Yeisu Keileisite, khuvala avahalwa mwa Keileisite, khuvala avahalwa mwa Keileisite vavo vitaama khuvunchenge uwa khu Filipi, paninie nava loleli navavo vkhunghuvombela upelela.
2 Neema na iwe kwenu na amani itokayo kwa Mungu Baba yetu na Bwana wetu Yesu Kristo.
Uluhungu luve khulyume nulunonchechencho ulwihuma khwa Nguluve uDaada yeitu nakhwa Nkuludeva veito uYeisu Keilesite.
3 Namshukuru Mungu wangu kila ninapowakumbuka ninyi nyote.
Nikhundeimya Unguluve vango eimiseikhi nghyoni pala upunikhuva nkumbukha umwe mweivooni.
4 Mara zote katika kila ombi langu kwa ajili yenu ninyi nyote, huwa na furahi ninapowaombea.
Eimiseikhi nghyooni munyisayo nchango savuli yeinyo mweivooni, nianihovokha vunikhuvadovela.
5 Nina shukrani nyingi kwa sababu ya ushirika wenu katika injili tangu siku ya kwanza mpaka leo.
Neileinulumwaleisyo lwingi ukhukongana nukhulya paninie khwienyo mundivangeili ukhuhuma eikhigono khyavulenguleilo ukhufikha eilelo eiyei.
6 Nina hakika kuwa yeye aliyeanzisha kazi njema ndani yenu ataendelea kuikamilisha mpaka siku ya Bwana Yesu Kristo.
Neilei nulweideikho ukhula umwene uveiatenghulinche eimbombo einonu munghati ndyumwe vei uyu ukhuyeivombelelangha nukhuyeimala ukhufikha pakhinghono eikhya Nkuludeva uYeisu Keileisite.
7 Ni sawa kwangu kujisikia hivi juu yenu ninyi nyote kwa sababu nimewaweka moyoni wangu. Maana ninyi mmekuwa washirika wenza katika neema katika kifungo changu na katika utetezi na uthibitishaji wangu wa injili.
Lunonu khulyune ukhwipuleikha ewo palyumwe mweivoni ulwakhuva neivaveikhile munumbula yango. Ulwakhuva umwe muvile vayango munduhungu na mbunkungwa vwa minyololo mumbutangeili vwa leimenyu nukhunchova khwango eilivangeili.
8 Mungu ni shahidi wangu, jinsi nilivyo na shauku juu ya yenu nyote katika undani wa pendo la Kristo Yesu.
Unguluve itangeili vango, ukhunkongana numunivelile nuvunonghwe palyumwe umwe mweimuvile nune munduhunghu ulwa livangeili.
9 Na ninaomba kwamba: upendo wenu uongezeke zaidi na zaidi katika maarifa na ufahamu wote.
Pu ulu lwulweisayo lwango ukhuta: ulunghano lweinyo luvenchanghe lwingi fincho ukhuluteileila luvenchanghe ukhuluteila uvumanyi nuluhala lwooni.
10 Ninaomba kwa ajili ya hili ili muwe na uwezo wa kupima na kuchagua mambo yaliyo bora sana. Pia ninawaombea ili muwe safi pasipokuwa na hatia yoyote katika siku ya Kristo.
Pu muve vanu vakhweideikha amanonu ukhuta pumuve ni numbula inonu, muve vanu avasavatulile nongwa vangholofa pakhingho eikhya Keielisite.
11 Na pia ili mjazwe na tunda la haki lipatikanalo katika Yesu Kristo, kwa utukufu na sifa ya Mungu.
Pu mudeinchiwe isekhe incha yeilweli, mwa Yeisu Keileisite, mumbudwadwa nulunghinio lwa Nguluve.
12 Sasa ndugu zangu, nataka mjue kuwa, mambo yaliyotokea kwangu yameifanya injili iendelee sana.
Pu lieno valukolo lwango ninonghwa mulumanye ukhuta nghooni anghahumile khulyune nghapelile ukhuta eilimenyu puleinchovivwaghwe fincho.
13 Ndiyo maana vifungo vyangu katika Kristo, vimejulikana kwa walinzi wa ikulu yote na kwa kila mtu pia.
Punavuvunkungwa vwango uvwa minyololo puvumanyeikhikhe mwa Keileisite khuvasikhali avaloleli navange vooni.
14 Na ndugu wengi katika Bwana, kwa sababu ya vifungo vyangu, wameshawishika na kuthubutu kulihubiri Neno pasipo hofu.
Navalukolo lwango vango vingi mwa Keileisite savuli yavunkungwa vwa minyololo wango, vanonghilwe nukhuva vanu vakhuleilumbeileila Eilimenyu khivula vudwanchi.
15 Baadhi kweli hata humtangaza Kristo kwa fitina na ugomvi, na pia wengine kwa nia njema.
Avange vikhuleilumbeileila eilimenyo ni ngofyo neikhivinipu avange khuvufumbwe uvunonu.
16 Wale wanaomtangaza Kristo kwa upendo wanajua kuwa nimewekwa hapa kwa ajili ya utetezi wa injili.
Vala avavikhundumbeileila uYeisu nulunghano valumanyile ukhuta neiveikhiwe ukhuta neitangeile eilimenyu nukhuleitengelela.
17 Bali wengine wanamtangaza Kristo kwa ubinafsi na nia mbaya. Hudhani kuwa wanasababisha matatizo kwangu katika minyororo yangu.
Pu avange veikhundumbeilila uKeileisite nu vwimi hange nu vufumbwe uvuvivi. Puvisangha ukhuta vipela uvunkuvilwa khulyune mumbunkungw vwa minyololo vwango.
18 Kwa hiyo? Sijali, aidha njia ikiwa ni kwa hila au kwa kweli, Kristo anatangazwa, na katika hili ninafurahia! Ndiyo, nitafurahia.
Pu leino? Sani, sangha khinu pu eingave savuli ya ngofyo nda puyeingave mumbwa yeilweli, uKeileisite ilumbeileiliwa pu lieno nihovokha lweli une punihovokha.
19 kwa kuwa ninajua ya kuwa hili litaleta kufunguliwa kwangu. Jambo hili litatokea kwa sababu ya maombi yenu na kwa msaada wa Roho wa Yesu Kristo.
Ulwakhuva neilumanyile ukhuta angha yanghivenchangha vupokhi vwango. Puyayiva ewo savuli ya nyeisayo ncheinyo nuvulangeili vw Mepo Umbalanche.
20 Kulingana na matarajio yangu ya uhakika na kweli ni kwamba, sitaona aibu. Badala yake, kwa ujasiri wote, kama ambavyo siku zote na sasa, natarajia kuwa Kristo atainuliwa katika mwili wangu, ikiwa katika uzima au katika kifo.
Ukhukongana nuluhuvilo lwango ulwa yeilweli, khukuta sangavone soni. Pu lieno khu vukifa vwoni, nduvu isikhu nchooni na leileino nihuveil ukhuta uKeileisite ikhweimeikhivwagwa mumbeile nghwango ndupuyeingave mbwumi yeive mbufwe ikweimeikhivwanghwa.
21 Kwa maana kwangu mimi, kuishi ni Kristo na kufa ni faida.
Ulwakhuva khulyune une, uvutamo vei Keileisite ukhufwa vukavi.
22 Lakini, kama kuishi katika mwili huzaa tunda katika kazi yangu, kwa hiyo sijui ni lipi la kuchagua.
Pu lieno eingave ukhulama kheimbeilei khwihola isekhe mumbombo yango, pu lieno saneilumanyile uvunonghwe vwango vyuvuleikhu.
23 Maana ninasukumwa sana na mawazo haya mawili. Nina hamu ya kuuacha mwili na kuwa pamoja na Kristo, kitu ambacho ni cha thamani sana sana.
Pakhuva nikwenghiwa fincho na masanghe angha ngaveilei neileinuvunonghwe vwa khunghuleikha umbeile puneive paninie nu Keileisite, ikhinu khikhyo khyuma fincho.
24 Ingawa, kubaki katika mwili huu ni jambo la muhimu sana kwa ajili yenu.
Nu puyeingave ukhusinghala mumbeilei unghu khinu khinonu fiincho palyumwe.
25 Kwa kuwa nina uhakika juu ya hili, ninajua nitabaki na kuendelea kuwa pamoja nanyi nyote, kwa ajili ya maendeleo na furaha ya imani yenu.
. Ulwakhuva neilumanyile pa eilei yani singhala nukhuva paninie numwe mweivoni, pavutamo uvwa luhekhelo nu lweideikho lweinyo.
26 Na hii italeta furaha yenu kubwa katika Kristo Yesu, kwasababu yangu itaongezeka, kwa sababu ya uwepo wangu tena pamoja nanyi.
Pu eiyei yeinghegangha uluhekhelo lweinyo uluvaha mwa Yeisu uKeileisite, savuli yakhuvepo khwango paninie numwe.
27 Mnatakiwa kuishi maisha yenu katika mwenendo mzuri uipasayo injili ya Kristo. fanyeni hivyo ili nikija kuwaona au nisipokuja, nisikie kuwa mmesimama imara katika roho moja. natamani kusikia kuwa mna roho moja, mkiishindania imani ya injili kwa pamoja.
Mnonghiwa ukhutama emita meile nghyinyo ulunonu ulunonghelanile nei limenyu lya Keileisite. Muvombanghe evwo ukhuta neinginche nukhuvavona umwe ndapuniengasita ukhwincha, neipuleikhanghe eiyakhuta mweimile khikangafu munumbula yeimo, nuvufumbwe vumo, pakhuyeivo mbelela imbombo ya lweideikho lwa limenyu.
28 na msitishwe na kitu chochote kinachofanywa na maadui zenu. Hii kwao ni ishara ya uharibifu. Bali kwenu ni ishara ya wokovu kutoka kwa Mungu.
hange mulekhe ukhuvadwada avalunghu veinyo. Pu eiyei khuvene khihwani khya vunangi. Pu leino khulyumwe khihwani khya vupokhi ukhuhuma khwa Nguluve.
29 kwa maana ninyi mmepewa kwa ajili ya Kristo, si kumwamini tu, bali na kuteswa pia katika Yeye.
ulwakhuva mupevilwe savuli ya Keileisite sayeileipakhumweideikha vuvule pu yeilei nakhukhunkuveilwa savuli ya Mwene.
30 kwa maana mna mgogoro uleule kama mliouona kwangu na mnasikia kwamba ninao hata sasa.
pu mungave mukilana ulukila no lulalula nduvumwaluvwene kulyune nukhupuleikha ukhuta naleileino nipikilana.

< Wafilipi 1 >