< Wafilipi 4 >
1 Kwa hiyo wapendwa wangu, ambao nawatamani, ambao ni furaha na taji yangu. Simameni imara katika Bwana, enyi rafiki wapendwa.
Portanto, meus irmãos, amados e desejados, minha alegria e coroa, permanecem firmes no Senhor desta forma, meus amados.
2 Ninakusihi wewe Eudia, pia ninakusihi wewe Sintike, mrejeshe mahusiano ya amani kati yenu, kwa sababu ninyi, nyote wawili mliungana na Bwana.
Eu exorto Euodia, e exorto Syntyche, a pensar da mesma forma no Senhor.
3 Kwa kweli, niwasihi pia ninyi watenda kazi wenzangu, muwasaidie hawa wanawake kwa kuwa walitumika pamoja na mimi katika kueneza injili ya Bwana tukiwa na Kelementi pamoja na watumishi wengine wa Bwana, ambao majina yao yameandikwa katika kitabu cha uzima.
Sim, peço-lhe também, verdadeiro parceiro, que ajude estas mulheres, pois elas trabalharam comigo na Boa Nova com Clemente também, e o resto de meus companheiros de trabalho, cujos nomes estão no livro da vida.
4 katika Bwana siku zote. tena nitasema, furahini.
Alegrai-vos sempre no Senhor! Mais uma vez direi: “Alegrai-vos!”
5 Upole wenu na ujulikane kwa watu wote. Bwana yuko karibu.
Que sua gentileza seja conhecida de todos os homens. O Senhor está ao alcance da mão.
6 Msijisumbue kwa jambo lolote. Badala yake, fanyeni mambo yenu yote kwa njia ya kusali, kuomba na kushukuru. Na mahitaji yenu yajulikane kwa Mungu.
Em nada esteja ansioso, mas em tudo, pela oração e petição com ação de graças, que seus pedidos sejam dados a conhecer a Deus.
7 Basi amani ya Bwana iliyo kuu kuliko ufahamu wote, italinda mioyo na mawazo yenu kwa msaad Kristo Yesu.
E a paz de Deus, que ultrapassa toda compreensão, guardará seus corações e seus pensamentos em Cristo Jesus.
8 Hatimaye, ndugu zangu; yatakafarini sana mambo yote yenye ukweli, heshima, haki, usafi, upendo, na yale yenye taarifa njema, yenye busara, pamoja na yale yanayohitaji kusifiwa.
Finalmente, irmãos, o que quer que seja verdade, o que quer que seja honroso, o que quer que seja justo, o que quer que seja puro, o que quer que seja adorável, o que quer que seja de bom relatório: se há alguma virtude e se há alguma coisa digna de louvor, pensem nessas coisas.
9 Yatekelezeni mambo yale mliojifunza, mliyopokea mliyoyasikia na yale mliyoyaona kwangu naye Baba yetu wa amani atakuwa nanyi.
Faça as coisas que você aprendeu, recebeu, ouviu e viu em mim, e o Deus da paz estará com você.
10 Ninayo furaha kubwa sana juu yenu katika Bwana kwa kuwa ninyi mmeonyesha tena nia ya kujihusisha kwenu juu ya mahitaji yangu. Kwa kweli, hapo awali mlitamani kunijali kwa mahitaji yangu japo hamkupata fursa ya kunisaidia.
Mas eu me regozijo muito no Senhor pelo fato de que agora você reavivou longamente seu pensamento para mim; no qual você realmente pensou, mas lhe faltou oportunidade.
11 Sisemi hivyo ili kujipatia kitu kwa ajili ya mahitaji yangu. Kwani nimejifunza kuridhika katika hali zote.
Não que eu fale por causa da falta, pois aprendi em qualquer estado em que me encontrei, a me contentar com ela.
12 Nafahamu kuishi katika hali ya kupungukiwa na pia katika hali ya kuwa na vingi. Katika mazingira yote haya mimi nimejifunza siri ya namna ya kula wakati wa shibe na jinsi ya kula wakati wa njaa, yaani vingi na kuwa mhihtaji.
Eu sei ser humilde e também sei ser abundante. Em toda e qualquer circunstância aprendi o segredo tanto para ser preenchido como para ter fome, tanto para ser abundante como para estar em necessidade.
13 Ninaweza kufanya haya kwa kuwezeshwa na Yeye anitiaye nguvu.
Eu posso fazer todas as coisas através de Cristo que me fortalece.
14 Hata hivyo, mlifanya vyema kushiriki nami katika dhiki zangu.
No entanto, você fez bem em compartilhar da minha aflição.
15 Ninyi wafilipi mnafahamu kwamba mwanzo wa injili nilipoondoka Makedonia, hakuna Kanisa lililoniwezesha katika mambo yanayohusu utoaji na kupokea isipokuwa ninyi pekee yenu.
Vocês mesmos também sabem, filipenses, que no início da Boa Nova, quando parti da Macedônia, nenhuma assembléia compartilhou comigo na questão de dar e receber, mas somente vocês.
16 Hata nilipokuwa Thesaslonika, ninyi mlinitumia msaada zaidi ya mara moja kwa ajili ya mahitaji yangu.
Pois até mesmo em Tessalônica vocês enviaram uma e outra vez à minha necessidade.
17 Simaanishi kwamba natafuta msaada. Bali nasema ili mpate matunda yaletayo faida kwenu.
Não que eu busque o presente, mas busco a fruta que aumenta para a sua conta.
18 Nimepokea vitu vyote, na sasa nimejazwa na vitu vingi. Nimepokea vitu vyenu kutoka kwa Epafradito. Ni vitu vizuri vyenye kunukia mithiri ya manukato, vyenye kukubalika ambavyo vyote ni sadaka inayompendeza Mungu.
Mas eu tenho todas as coisas e abundam. Estou cheio, tendo recebido de Epaphroditus as coisas que vieram de você, uma fragrância de cheiro doce, um sacrifício aceitável e agradável a Deus.
19 Kwa ajili hiyo, Mungu wangu atawajazeni mahitaji yenu kwa utajiri wa utukufu wake katikaYesu Kristo.
Meu Deus suprirá todas as suas necessidades de acordo com suas riquezas em glória em Cristo Jesus.
20 Sasa kwa Mungu na Baba yetu uwe utukufu milele na milele. Amina. (aiōn )
Agora ao nosso Deus e Pai seja a glória para todo o sempre! Amém. (aiōn )
21 Salamu zangu zimfikie kila muumini katika Kristo Yesu. Wapendwa nilio nao hapa wanawasalimieni.
Saudar cada santo em Cristo Jesus. Os irmãos que estão comigo o saúdam.
22 Pia waumini wote hapa wanawasalimieni, hususani wale wa familia ya Kaisari.
Todos os santos vos saúdam, especialmente aqueles que são da família de César.
23 Na sasa neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe na roho zenu.
A graça do Senhor Jesus Cristo esteja com todos vocês. Amém.