< Wafilipi 4 >

1 Kwa hiyo wapendwa wangu, ambao nawatamani, ambao ni furaha na taji yangu. Simameni imara katika Bwana, enyi rafiki wapendwa.
Kwa hiyo bhapendwa bhangu, ambabho nikabhatamani, ambabho ndo furaha nilitaji liyangu. Muy'hemai ngangali kwa Bwana, namu bhabieni bhapendwa.
2 Ninakusihi wewe Eudia, pia ninakusihi wewe Sintike, mrejeshe mahusiano ya amani kati yenu, kwa sababu ninyi, nyote wawili mliungana na Bwana.
Nikusihi bhebhe Eudia, pia nikusihi ni bhebhe Sintike, mkelebhusyai mapatanu Kati ya y'homo, kwa ndabha muenga, mwabhoa muabhabhele mwilengana ni Bwana.
3 Kwa kweli, niwasihi pia ninyi watenda kazi wenzangu, muwasaidie hawa wanawake kwa kuwa walitumika pamoja na mimi katika kueneza injili ya Bwana tukiwa na Kelementi pamoja na watumishi wengine wa Bwana, ambao majina yao yameandikwa katika kitabu cha uzima.
Kwa kueli, ni kabhasihi muenga bhatendakazi bhayangu, mubhasaidilai bhadala abha kwa kuwa tatumiki tabhoa kueneza injili ya Bwana pamonga ni Kelementi ni bhatumishi bhamana bha Bwana, ambabho mahina gha bhene ghayandikibhu mukitabu kya usima.
4 katika Bwana siku zote. tena nitasema, furahini.
Kup'etela Bwana Mag'ono ghoa. kabhele nilajobha, muhobholelai.
5 Upole wenu na ujulikane kwa watu wote. Bwana yuko karibu.
Upole wa y'homo na umanyikanai kwa bhanu bhoa. Bwana ayele jilani.
6 Msijisumbue kwa jambo lolote. Badala yake, fanyeni mambo yenu yote kwa njia ya kusali, kuomba na kushukuru. Na mahitaji yenu yajulikane kwa Mungu.
msijisumbuli kwa lijambo lihoa lela. Badala yake, mfwanyai mambo gha y'homo ghoa kwa nj'ela ya kusali, kus'oma nani kumshukuru. Ni mahitaji gha y'homo ghamanyikai Kwa K'yara.
7 Basi amani ya Bwana iliyo kuu kuliko ufahamu wote, italinda mioyo na mawazo yenu kwa msaad Kristo Yesu.
Basi ni amani ya Bwana ya iyele ibhaa kuliko ufahamu bhuoabhola, yilenda min'teema ni mabhuwasu ghinu kwa msaada wa Yesu Kristu.
8 Hatimaye, ndugu zangu; yatakafarini sana mambo yote yenye ukweli, heshima, haki, usafi, upendo, na yale yenye taarifa njema, yenye busara, pamoja na yale yanayohitaji kusifiwa.
Hatimaye, bhalongo bhangu; mughatafakaliai sana mambo ghoa ghagha yele ni ukweli, heshima, haki, Upendo ni unofu ni ghagha yele ni habari sinofhu, ghagha yele ni busara pamonga ni ghala ghaghilondeka kusifiwa.
9 Yatekelezeni mambo yale mliojifunza, mliyopokea mliyoyasikia na yale mliyoyaona kwangu naye Baba yetu wa amani atakuwa nanyi.
Mughatekelesyai mambo ghala ghanyifunzili, ghamghapokili, gham ghap'eliki nighamghabhuene kwa nene, ni dadi wa y'hoto wa imani iya ni y'homo.
10 Ninayo furaha kubwa sana juu yenu katika Bwana kwa kuwa ninyi mmeonyesha tena nia ya kujihusisha kwenu juu ya mahitaji yangu. Kwa kweli, hapo awali mlitamani kunijali kwa mahitaji yangu japo hamkupata fursa ya kunisaidia.
Na niyele nifuraha ibhaa sana ni muenga kup'etela Bwana kwa ndabha muenga mulasili nia ya kujihusisha mway'homo juu ya mahaitaji gha nene. Kwa kueli muandilola mwatamhene kunijali kwa mahitaji ghayoni mwakabhili lepi fursa ya kunisaidila.
11 Sisemi hivyo ili kujipatia kitu kwa ajili ya mahitaji yangu. Kwani nimejifunza kuridhika katika hali zote.
Nijobhelepi naa kwa kukabha khenu kwajia mahitaji ghay'honi. nijifunzile kulizika-kwa hali syoa.
12 Nafahamu kuishi katika hali ya kupungukiwa na pia katika hali ya kuwa na vingi. Katika mazingira yote haya mimi nimejifunza siri ya namna ya kula wakati wa shibe na jinsi ya kula wakati wa njaa, yaani vingi na kuwa mhihtaji.
Nimanyili kuishi kupe'etela hali ya kupohongkibhwa ni kup'etela ni hali ya kuya nifingi. Kwa mazingira ghoa agha nene nijifunzile sili jinsi ya kulya wakati wa kushiba ni jinsi ya kulya wakati wa njala, yunifingi ndomana niya mhitaji.
13 Ninaweza kufanya haya kwa kuwezeshwa na Yeye anitiaye nguvu.
Ni bhuesya kuketa agha kwa kubhuesya kwa muene akanipela ng'hofho.
14 Hata hivyo, mlifanya vyema kushiriki nami katika dhiki zangu.
Ndo mana, mwaketili lamana kushiriki ni nene niudhiki syangu.
15 Ninyi wafilipi mnafahamu kwamba mwanzo wa injili nilipoondoka Makedonia, hakuna Kanisa lililoniwezesha katika mambo yanayohusu utoaji na kupokea isipokuwa ninyi pekee yenu.
Namhu bhafilipi mumanyili kwamba mwanzo injili Panama bhokili Makedonia, liyelepi likanisa lalabhwesili kunibhwesesha kup'etela mambo ghaghihusu kupisya ni kupokela isipokuwa muenga mway'homo.
16 Hata nilipokuwa Thesaslonika, ninyi mlinitumia msaada zaidi ya mara moja kwa ajili ya mahitaji yangu.
Hata panayele Thesaslonika, muenga mwanitumili msaada zaidi ya ligono limonga kwajia mahitaji gha y'honi.
17 Simaanishi kwamba natafuta msaada. Bali nasema ili mpate matunda yaletayo faida kwenu.
Ni maanisya lepi nilonda msaada. nijobha naa ili mukabhai matunda gha ghileta faida ya y'homho.
18 Nimepokea vitu vyote, na sasa nimejazwa na vitu vingi. Nimepokea vitu vyenu kutoka kwa Epafradito. Ni vitu vizuri vyenye kunukia mithiri ya manukato, vyenye kukubalika ambavyo vyote ni sadaka inayompendeza Mungu.
Nipokili fhenu fyoa, nihenu nipokili fhenu fyamuenga kuhomela kwa Epafradito. fhenu finofu fya finung'ulila muthiri ya manukato, na fafi kubalika fyoa na ndo sadaka ya kumbaghanila K'yara.
19 Kwa ajili hiyo, Mungu wangu atawajazeni mahitaji yenu kwa utajiri wa utukufu wake katikaYesu Kristo.
kwajia ya ele, K'yara bhuangu abhwanili kubhajazila mahitaji gha y'homo kwa utajili ni kwa utukufu bhuake kwa Yesu Kristu.
20 Sasa kwa Mungu na Baba yetu uwe utukufu milele na milele. Amina. (aiōn g165)
Henhu kwa K'yara na ndo Dadi wa y'hotho uyelayi utukufu wa milele na milele amina. (aiōn g165)
21 Salamu zangu zimfikie kila muumini katika Kristo Yesu. Wapendwa nilio nao hapa wanawasalimieni.
salamu sanene sifikai kwakila muumini kup'etela Yesu Kristo. Bhapendwa bhaniyele nabhu apa bhaka bhasalimila.
22 Pia waumini wote hapa wanawasalimieni, hususani wale wa familia ya Kaisari.
Nibhaumini bhoa apa bhaka bhasalimila, hasahasa bhala bhafamiliya ya Kaisali.
23 Na sasa neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe na roho zenu.
Nahenu neema ya Bwana way'hoto iyelayi ni roho sinu.

< Wafilipi 4 >