< Wafilipi 3 >

1 Hatimaye, ndugu zangu furahini katika Bwana. Sioni usumbufu kuwaandikia tena maneno yaleyale. Haya mambo yatawapa usalama.
Chongkhârnân, ka lâibungngei le sarnungei, Pumapa leh nin inzomna han nin râiminsân roi. Motona ke lei mizieksai avêla miziek hih kei rangin ningchiel om nimaka, ma anga ko tho hah nangni rangin ânlâp uol ani.
2 Jihadharini na mbwa. Jihadharini na watenda kazi wabaya. Jihadharini na wale wajikatao miili yao.
Neinun saloi tho ngei, uingei, taksa mortan lunghâng tho mingei renga han indîn roi.
3 Kwa kuwa sisi nndiyo tohara. Sisi ndiyo huwa tumwabudu Mungu kwa msaada wa Roho. Tujivuniao katika Kristo Yesu, na ambao hatuna ujasiri katika mwili.
Anni ngei niloiin, eini ngei hih ama Ratha jâra Pathien chubaimûk ngei le Khrista Jisua leh inzoma ringna râisânna man ngei hih kêng sertan diktak eini. Eini chu pêntieng neinuna ei taksônna minngam mak me.
4 Hata hivyo, kama kungekuwa na mtu wa kuutumainia mwili huu, mimi ningeweza kufanya hivyo zaidi.
Nuom ronga chu kei khom ma anga neinunngei chunga taksônna minngam thei kêng ki ni. Mi dang ngeiin pêntienga neinuna an taksônna minngam theiin an mindonin chu, keima vâng chu ma lampui han ma nêkin abi ko dôn uol ani.
5 Kwani nilitahiriwa siku ya nane, nilizaliwa katika kabila la Waisraeli. Ni wa kabila la Benjamini. Ni Mwebrania wa waebrani. Katika kuitimiza haki ya sheria ya Musa, nilikuwa, Farisayo.
Haptakhat ki ni han sertan ki ni. Israelmia inzir ki nia, Benjamin jât mi, Hebrew thisen inthienghiei ki ni. Juda Balam jûina tieng chu Pharisee ki nia,
6 Kwa juhudi zangu nililitesa Kanisa. Kwa tuitii haki ya sheria, sikuwa na lawama kisheria.
male koiindang nuomlona tieng asân ningsiet ngâi ke lei ni. Miriemin Balam chongpêkngei jôma adik chang theina tieng chu demnaboi ki ni.
7 Lakini katika mambo yote niliyoyaona kuwa ya faida kwangu mimi, niliyahesabu kama takataka kwa sababu ya kumfahamu Kristo.
Aniatachu inlâpna ranga ke tel thei neinunngei murdi hah atûn hin Khrista jârin machânin ke be zoi ani.
8 Kwa kweli, nayahesabu mambo yote kuwa hasara kutokana ubora wa kumjua wa Kristo Yesu Bwana wangu. Kwa ajili yake nimeaacha mambo yote, nayahesabu kama takataka ili nimpate Kristo
Ma neinunngei vai hah niloiin; ku Pumapa Khrista Jisua rietna luttak jârin neinun murdi khom machân rieiin ke be zoia; ama jârin neinun murdi ko vôrpai leta, Khrista ka man theina rangin mangei nâm hah ânnim, ânnok anghan ke be zoia,
9 na nionekane ndani yake. Sina haki yangu binafisi kutoka katika sheria, bali ninayo haki ile ipatikanayo kwa imani katika Kristo, itokayo kwa Mungu, yenye msingi katika imani.
male ama leh inpumkhat tatakna rangin. Balam jôm sika man thei ngâi jât dikna hah keima hin dôn khâi mu-ung. Atûn chu taksônna chunga ânngam, Pathien renga hongsuok ngâi dikna, Khrista taksôn sika pêka om ngâi hah ko dôn zoi ani.
10 Sasa nataka kumfahamu yeye na nguvu ya ufufuo wake na ushirika wa mateso yake. Nataka kubadilishwa na Kristo katika mfano wa kifo chake,
Anrênga ku nuom tak chu Khrista rieta, ânthoinôkna sinthotheina riet mindika, a tuongnangei tuongpuia, a thina angin thi rang hih ani.
11 angalau niweze kuwa na matumaini katika ufufuo wa wafu.
Keimananâk khom thina renga inthoia, ring rangin insabei ki ni.
12 Siyo kweli kwamba tayari nimeishayapata mambo hayo, au kwamba nimekuwa mkamilifu katika hayo. Bali najitahidi ili niweze kupata kile kupata kile nilichopatikana na Kristo Yesu.
Keima chu ko zoisai ke ani zoi, aninônchu achukphar ko hongni zoi ki tina khom nimak. Khrista Jisua'n ama nanâkin mi lei mansaina râisânman hah ka man thei duoi mo tiin ku rujûl ani.
13 Ndugu zangu, sidhani kwamba nimekwisha kupata mambo haya. Bali nafanya jambo moja: nasahau ya nyuma nayatazamia ya mbele.
Ani, ka lâibungngei le sarnungei, adiktakin ka man saiin la mindon mu-ung nikhomrese, neinun khat ko tho ngâi chu, ku nûktienga om neinunngei mingilin motontienga om neinunngei phâk rangin ka pharidôr ko tho ani.
14 Najitahidi kufikia lengo kusudi ili nipate tuzo ya juu ya wito wa Mungu katika Kristo Yesu.
Masikin râisânman man rangin tenkung tieng ânjîkzatin ka tâna, hima hih Khrista Jisua sika chungtienga ringna Pathien koina ani.
15 Sote tulio ukulia wokovu, tunapaswa kuwaza namna hii. Na ikiwa mwingine atafikiri kwa namna iliyotofauti kuhusu jambo lo lote, Mungu pia atalifunuao hiilo kwenu.
Eini ratha taka mitungsuo ngeiin ei rêngin hima anga mulungrîl munkhat hih ei dôn rang ani. Aniatachu mi senkhatin mulungrîl dang nin dôn duoiin chu Pathien'n nin kôm la minthâr atih.
16 Hata hivyo, hatua ifikia na tuenende katika mtindo huo.
Maha kho angin khom nirse, atûn tena ei lei jûisai balamngei dungjûiin motontieng panin se ei ti u.
17 Ndugu zangu, niigeni mimi. Waangalieni kwa makini wale wanaoenenda kwa mfano ulio wa jinsi yetu.
Ka champuingei, ku nunchan inchupungei ni roi. Nangni ranga minenna dik kin dar ajûipungei hah lunghâng tho ngei roi.
18 Wengi wanaoishi niwale ambao mara nyingi nimewaambieni, na sasa nawaambia kwa machozi -wengi wanaishi kama maadui wa msalaba wa Kristo.
Mi tamtak ringnun hah Khrista khros chunga a thina râlin a sin ngeia, tiin motona vêltamtak nangni ke lei ril angin, atûn khom avêlin mitrithi tâkpumin: nangni ki ril ani.
19 Mwisho wao ni uharibifu. Kwa kuwa Mungu wao ni tumbo, na kiburi chao kiko katika aibu yao. Wanafikiria mambo ya kidunia.
Anningei sêna hah amongna chu meidil ania, an pathien hah an taksa ôinangei ani sikin. An inzakna rang hah an inpâkpuia, male hi rammuol neinunngei vai hih an mindon ngâi ani.
20 Bali uraia wetu uko mbinguni, ambako tunamtarajia mwokozi wetu Yesu Kristo.
Nikhomrese, eini chu invân mingei einia, ei Sanminringpu Pumapa Jisua Khrista invân renga a juong rang ôtlaltakin ei ngâk ani.
21 Atabadilisha miili yetu dhaifu kuwa kama mwili wake wa utukufu; kwa uweza ule ule unaomwezesha kuvidhibiti vitu vyote.
A sinthotheina mangin neinun murdi ama racham nuoia hongchôi thei han, ei takpum thithei adokngei hih thûlin ama takpum roiinpuitak angin minchang ngei atih.

< Wafilipi 3 >