< Wafilipi 3 >

1 Hatimaye, ndugu zangu furahini katika Bwana. Sioni usumbufu kuwaandikia tena maneno yaleyale. Haya mambo yatawapa usalama.
Sungwaji hwa Gosi. Sinzilola intamyo hubhasimbile habhili amazwi gegala amazwi iga gabhabhapele.
2 Jihadharini na mbwa. Jihadharini na watenda kazi wabaya. Jihadharini na wale wajikatao miili yao.
Muyogopaje ni mbwa. Muyogopaje na bhabhomba imbombo abhabhibhi. Muyogopaje na bhebhahuyitema amabhihi gabho.
3 Kwa kuwa sisi nndiyo tohara. Sisi ndiyo huwa tumwabudu Mungu kwa msaada wa Roho. Tujivuniao katika Kristo Yesu, na ambao hatuna ujasiri katika mwili.
Atwa tili tohara. atu tihumputa Ungulubhi hulwabhushilo lwa Yesu Kilisti. Yesetuli nu dandamazu mumbili.
4 Hata hivyo, kama kungekuwa na mtu wa kuutumainia mwili huu, mimi ningeweza kufanya hivyo zaidi.
Nkushele hwali nu muntu uwahunsubhile umbili uguani handi imbombile isho haani.
5 Kwani nilitahiriwa siku ya nane, nilizaliwa katika kabila la Waisraeli. Ni wa kabila la Benjamini. Ni Mwebrania wa waebrani. Katika kuitimiza haki ya sheria ya Musa, nilikuwa, Farisayo.
Lelo natahililwe isihu ilya nane napapilwe mshirokho. ishabhaizilaeli newishirokholo ishaBenjamini ne mweBulania uwa Bhaebrania. katika huzimalizye indajazyo izyaMusa nali Falisayo.
6 Kwa juhudi zangu nililitesa Kanisa. Kwa tuitii haki ya sheria, sikuwa na lawama kisheria.
Hu nguvu zyani nalyimvizye Ikanisa. Ishibhanza aje tulitishe ilyoliyi sheria senahali ni lawama husheria.
7 Lakini katika mambo yote niliyoyaona kuwa ya faida kwangu mimi, niliyahesabu kama takataka kwa sababu ya kumfahamu Kristo.
Lelo katika amambo ganti gingalolile aje minza huline ni nahagabhazya aje takataka pipo nahamminye U Kristi.
8 Kwa kweli, nayahesabu mambo yote kuwa hasara kutokana ubora wa kumjua wa Kristo Yesu Bwana wangu. Kwa ajili yake nimeaacha mambo yote, nayahesabu kama takataka ili nimpate Kristo
Hu lyoli ihungabhazya amambo gonti aje hasara afumilane nu winza uwalumanye u Yesu Kristi Ugosi wani. Kwaajili yakwe indeshile amambo gonti ingabhazya ndeshe itakataka ili imwaje U Kristi
9 na nionekane ndani yake. Sina haki yangu binafisi kutoka katika sheria, bali ninayo haki ile ipatikanayo kwa imani katika Kristo, itokayo kwa Mungu, yenye msingi katika imani.
iloleshe muhati yakwe sindini lyoli iyani ninini. Afume musheria ila indinayo ilyoli yifumilana nulwitiho lwa Kristi lwelufuma hwa Ngulubhi, umwene msingi ugwa mlwitaho.
10 Sasa nataka kumfahamu yeye na nguvu ya ufufuo wake na ushirika wa mateso yake. Nataka kubadilishwa na Kristo katika mfano wa kifo chake,
Ishi ihwanza humanye umwimi ni nguvu iyizyusye wakwe nu ushirika wi mayimba gakwe. Ihanza agalulanywe nu Kilisti hu shifwani shimfwa yakwe,
11 angalau niweze kuwa na matumaini katika ufufuo wa wafu.
hwashi imbe nusubhilizyo muzyusyo wa bhafwe.
12 Siyo kweli kwamba tayari nimeishayapata mambo hayo, au kwamba nimekuwa mkamilifu katika hayo. Bali najitahidi ili niweze kupata kile kupata kile nilichopatikana na Kristo Yesu.
Selyoli aje ingapiite amambo iga au huje indi nugolosu hwigo, ila injitahidi apate shila sheshipatihana hwa Yesu Kristi.
13 Ndugu zangu, sidhani kwamba nimekwisha kupata mambo haya. Bali nafanya jambo moja: nasahau ya nyuma nayatazamia ya mbele.
Bhaholo bhani simanya aje impite tiyali amabo iga. Ila ibhomba ijambo lyeka ihwiwa mwisinda ihwenyezya mwilongolela.
14 Najitahidi kufikia lengo kusudi ili nipate tuzo ya juu ya wito wa Mungu katika Kristo Yesu.
Injitahidi afishile amalengo na makusudi ili impate ingiga ulukwizyo lwa Ngulubhi mwa Yesu Kristi.
15 Sote tulio ukulia wokovu, tunapaswa kuwaza namna hii. Na ikiwa mwingine atafikiri kwa namna iliyotofauti kuhusu jambo lo lote, Mungu pia atalifunuao hiilo kwenu.
Twenti twetikuliye ulokole tihwanziwa ahwanze ishi nkeshele umo abhasibhe hunamna tofauti ahusu ijambo lyolyonti ilya Ngulubhi nantele abhalyigule hulimwe.
16 Hata hivyo, hatua ifikia na tuenende katika mtindo huo.
Hata huyo umuda nkewafiha tibhale shinisho.
17 Ndugu zangu, niigeni mimi. Waangalieni kwa makini wale wanaoenenda kwa mfano ulio wa jinsi yetu.
Bhaholo bhwa mumfwate ani mubhenye sana bhala bhebhajenda hudadavu webhuli ndeshe ati.
18 Wengi wanaoishi niwale ambao mara nyingi nimewaambieni, na sasa nawaambia kwa machozi -wengi wanaishi kama maadui wa msalaba wa Kristo.
Bhinji bhebhakhala bhebhala mala nyinji imbabhuzya na ishi imbabhuzya humansozi - bhinji bhakhala ndeshe abhalugu abhikhobhehanyo isha Yesu Kilisti.
19 Mwisho wao ni uharibifu. Kwa kuwa Mungu wao ni tumbo, na kiburi chao kiko katika aibu yao. Wanafikiria mambo ya kidunia.
Humpelela hwabho nanjisu. Pipo Ungulubhi wabho vyanda, ni shiburi shabho nsoni zyabho. Bhasibhilila amambo agamusi.
20 Bali uraia wetu uko mbinguni, ambako tunamtarajia mwokozi wetu Yesu Kristo.
Pe ukhalo witu bhuli humwanya hwe tuhunsubhila ummulokozi witu uYesu Kilisti.
21 Atabadilisha miili yetu dhaifu kuwa kama mwili wake wa utukufu; kwa uweza ule ule unaomwezesha kuvidhibiti vitu vyote.
Abhagalulanye amabili gitu amabhinu ndeshe amabili gakwe utuntumu; hwunguvu zizila huvizibiti ivintu vyonti.

< Wafilipi 3 >