< Filemoni 1 >
1 Paulo, mfungwa wa Kristo Yesu, na ndugu Timotheo kwa Filemoni, mpendwa rafiki yetu na mtenda kazi pamoja nasi,
Od Pavla, sužnja Isusa Hrista, i Timotija brata, Filimonu ljubaznome i pomagaèu našemu,
2 na kwa Afia dada yetu, na kwa Arkipas askari mwenzetu, na kwa kanisa lile linalokutana nyumbani kwako.
I Apfiji, sestri ljubaznoj, i Arhipu, našemu drugaru u vojevanju, i domašnjoj tvojoj crkvi:
3 Neema iwe kwenu na amani itokayo kwa Mungu Baba yetu na kwa Bwana Yesu Kristo.
Blagodat vam i mir od Boga oca našega, i Gospoda Isusa Hrista.
4 Wakati wote namshukuru Mungu. Ninakutaja katika maombi yangu.
Zahvaljujem Bogu svojemu spominjuæi te svagda u molitvama svojima,
5 Nimesikia upendo na imani uliyonayo katika Bwana Yesu na kwa ajili ya waumini wote.
Èuvši ljubav tvoju i vjeru koju imaš ka Gospodu Isusu i k svima svetima:
6 Ninaomba kwamba ushirika wa imani yenu iwe na ufanisi katika ujuzi wa kila jambo jema lililoko kati yetu katika Kristo.
Da tvoja vjera, koju imamo zajedno, bude silna u poznanju svakoga dobra, koje imate u Hristu Isusu.
7 Kwa kuwa nimekuwa na furaha na faraja kwa sababu ya upendo wako, kwa sababu mioyo ya waumini imekuwa ikitulizwa nawe, ndugu.
Jer imam veliku radost i utjehu radi ljubavi tvoje, što srca svetijeh poèinuše kroza te, brate!
8 Kwa hiyo, ingawa nina ujasiri wote katika Kristo kukuamuru wewe kufanya kile unachoweza kufanya,
Toga radi ako i imam veliku slobodu u Hristu da ti zapovijedam što je potrebno,
9 lakini kwa sababu ya upendo, badala yake nakusihi - mimi, Paulo niliye mzee, na sasa ni mfungwa kwa ajili ya Kristo Yesu.
Ali opet molim ljubavi radi, ja koji sam takovi kao starac Pavle, a sad sužanj Isusa Hrista;
10 Ninakusihi kuhusu mwanangu Onesmo, niliyemzaa katika vifungo vyangu.
Molimo te za svojega sina Onisima, kojega rodih u okovima svojima;
11 Kwa kuwa mwanzoni hakukufaa, lakini sasa anakufaa wewe na mimi.
Koji je tebi negda bio nepotreban, a sad je i tebi i meni vrlo potreban, kojega poslah tebi natrag;
12 Nimemtuma- yeye ambaye ni wa moyo wangu hasa - kurudi kwako.
A ti ga, to jest, moje srce primi.
13 Nataraji angeendelea kubaki pamoja nami, ili anitumikie badala yako, wakati niwako kifungoni kwa ajili ya injili.
Ja ga šæadijah da zadržim kod sebe, da mi mjesto tebe posluži u okovima jevanðelja;
14 Lakini sikutaka kufanya jambo lolote bila ruhusa yako. Nilifanya hivi ili kwamba jambo lolote zuri lisifanyike kwa sababu nilikulazimisha, bali kwa sababu ulipenda mwenyewe kulitenda.
Ali bez tvoje volje ne htjedoh ništa èiniti, da ne bi tvoje dobro bilo kao za nevolju, nego od dobre volje.
15 Labda ni sababu alitengwa nawe kwa muda, ilikuwa hivyo ili uwe pamoja naye milele. (aiōnios )
Jer može biti da se za to rastade s tobom na neko vrijeme da ga dobiješ vjeèno, (aiōnios )
16 Ili kwamba asiwe tena mtumwa, bali bora zaidi ya mtumwa, kama ndugu mpendwa, hasa kwangu, na zaidi sana kwako, katika mwili na katika Bwana.
Ne više kao roba, nego više od roba, brata ljubaznoga, a osobito meni, akamoli tebi, i po tijelu i u Gospodu.
17 Na hivyo kama wanichukulia mimi mshirika, mpokee kama ambavyo ungenipokea mimi.
Ako dakle držiš mene za svojega drugara, primi njega kao mene.
18 Lakini kama amekukosea jambo lolote, au unamdai kitu chochote, kidai hicho kutoka kwangu.
Ako li ti u èemu skrivi, ili je dužan, to na mene zapiši.
19 Mimi Paulo, ninaandika kwa mkono wangu mwenyewe: mimi nitakulipa. Sisemi kwako kwamba nakudai maisha yako hasa.
Ja Pavle napisah rukom svojom, ja æu platiti: da ti ne reèem da si i sam sebe meni dužan.
20 Naam ndugu, acha nipate furaha ya Bwana toka kwako: uburudishe moyo wangu katika Kristo.
Da brate! da imam korist od tebe u Gospodu, razveseli srce moje u Gospodu.
21 Nikiwa na imani kuhusu utii wako, nakuandikia nikijua kwamba utafanya hata zaidi ya vile ninavyokuomba.
Uzdajuæi se u tvoju poslušnost napisah ti znajuæi da æeš još više uèiniti nego što govorim.
22 Wakati huo huo andaa chumba cha wageni kwa ajili yangu, kwa kuwa ninatumaini kupitia maombi yako nitakutembelea hivi karibuni.
A uz to ugotovi mi i konak; jer se nadam da æu za vaše molitve biti darovan vama.
23 Epafra, mfungwa mwenzangu katika Kristo Yesu anakusalimu,
Pozdravlja te Epafras koji je sa mnom sužanj u Hristu Isusu,
24 na kama afanyavyo Marko, Aristarko, Dema, Luka, watendakazi pamoja nami.
Marko, Aristarh, Dimas, Luka, pomagaèi moji.
25 Neema ya Bwana Yesu Kristo iwe pamoja na roho yako. Amina.
Blagodat Gospoda našega Isusa Hrista sa duhom vašijem. Amin.