< Filemoni 1 >

1 Paulo, mfungwa wa Kristo Yesu, na ndugu Timotheo kwa Filemoni, mpendwa rafiki yetu na mtenda kazi pamoja nasi,
Nene Pauli, mkungiwa ndava ya kumuhengela Yesu Kilisitu, pamonga na Timoti mlongo witu, tikuyandikila veve Filimoni, muhenga lihengu muyitu na nkozi muyitu mwatikuganili,
2 na kwa Afia dada yetu, na kwa Arkipas askari mwenzetu, na kwa kanisa lile linalokutana nyumbani kwako.
na msambi wa vandu vevakumsadika Kilisitu vevikonganeka munyumba yaku, pamonga na mlumbu witu Afia, na manjolinjoli muyitu Alikipo.
3 Neema iwe kwenu na amani itokayo kwa Mungu Baba yetu na kwa Bwana Yesu Kristo.
Tikuvaganila uteke na ubwina kuhuma kwa Chapanga Dadi witu na Bambu witu Yesu Kilisitu.
4 Wakati wote namshukuru Mungu. Ninakutaja katika maombi yangu.
Lukumbi lwoha penimyupa Chapanga, nikukumbuka veve Filimoni na kumsengusa Chapanga,
5 Nimesikia upendo na imani uliyonayo katika Bwana Yesu na kwa ajili ya waumini wote.
muni niyuwana chauyimili musadika kwa Bambu witu Yesu na uganu kwa vandu voha va Chapanga.
6 Ninaomba kwamba ushirika wa imani yenu iwe na ufanisi katika ujuzi wa kila jambo jema lililoko kati yetu katika Kristo.
Niyupa, kuvya kwinu musadika pamonga na veve, ukukita umanya kila chindu chabwina chetivili nachu mukuwungana na Bambu witu Kilisitu.
7 Kwa kuwa nimekuwa na furaha na faraja kwa sababu ya upendo wako, kwa sababu mioyo ya waumini imekuwa ikitulizwa nawe, ndugu.
Mlongo, uganu waku uletili luheku luvaha na kukangamalisa mtima neju! Na veve usangalwisi mitima ya vandu va Chapanga.
8 Kwa hiyo, ingawa nina ujasiri wote katika Kristo kukuamuru wewe kufanya kile unachoweza kufanya,
Nene namlongo waku mukuwunga na Kilisitu nganihotwili kukulagiza changali wogohi ukita chauganikiwa kukita.
9 lakini kwa sababu ya upendo, badala yake nakusihi - mimi, Paulo niliye mzee, na sasa ni mfungwa kwa ajili ya Kristo Yesu.
Nambu ndava ya uganu, mbanga nikuyupe. Nikita chenichi pamonga nene Pauli mwanivii nagogo, na hinu mkungiwa ndava ya kumhengela Kilisitu Yesu.
10 Ninakusihi kuhusu mwanangu Onesmo, niliyemzaa katika vifungo vyangu.
Hinu, nina luyupu kwaku kumvala Onesimo mweavili mwana vangu kwa kuwungana na Kilisitu. Muni navili dadi waki wa chimpungu petavili mchifungu.
11 Kwa kuwa mwanzoni hakukufaa, lakini sasa anakufaa wewe na mimi.
Pakutumbula apo avili lepi na lihengu kwaku nambu hinu ana lihengu kwa veve na nene mewa.
12 Nimemtuma- yeye ambaye ni wa moyo wangu hasa - kurudi kwako.
Hinu nikumuwuyisa kwaku, pamonga nene nikumgana neju.
13 Nataraji angeendelea kubaki pamoja nami, ili anitumikie badala yako, wakati niwako kifungoni kwa ajili ya injili.
Nigana atama na nene apa anitangatila pahala paku veve, lukumbi penivili mchifungu ndava ya kukokosa Lilovi la Bwina.
14 Lakini sikutaka kufanya jambo lolote bila ruhusa yako. Nilifanya hivi ili kwamba jambo lolote zuri lisifanyike kwa sababu nilikulazimisha, bali kwa sababu ulipenda mwenyewe kulitenda.
Nikita lepi chindu chochoha changali kuyidakila veve. Naganili veve ubwela kwa kugana kwaku na lepi kwa kung'ang'aniswa.
15 Labda ni sababu alitengwa nawe kwa muda, ilikuwa hivyo ili uwe pamoja naye milele. (aiōnios g166)
Pangi Onesimo awukili kwaku lukumbi lutali, muni uhotola kavili kuvya na veve magono goha. (aiōnios g166)
16 Ili kwamba asiwe tena mtumwa, bali bora zaidi ya mtumwa, kama ndugu mpendwa, hasa kwangu, na zaidi sana kwako, katika mwili na katika Bwana.
Hinu mwene mvanda lepi kavili nambu mbwina kuliku mvanda. Mwene hinu ndi mlongo witu mganu. Ndi mbwina kwa nene na kwaku yati ivya mbwina neju, muni mwene ndi mundu ngati tete na mlongo witu mukuwungana na Bambu.
17 Na hivyo kama wanichukulia mimi mshirika, mpokee kama ambavyo ungenipokea mimi.
Nambu, ukuniwona nene namuhenga lihengu muyaku hinu ndi mpokela Onesimo ngati ukunipokela nene.
18 Lakini kama amekukosea jambo lolote, au unamdai kitu chochote, kidai hicho kutoka kwangu.
Ngati akubudili chindu, amala atolili chindu chaku, nene yati nikuwuyisila.
19 Mimi Paulo, ninaandika kwa mkono wangu mwenyewe: mimi nitakulipa. Sisemi kwako kwamba nakudai maisha yako hasa.
Nene Pauli nikuyandikila kwa chiwoko changu namwene yati nikulipa. Kangi nigana lepi nikukumbusa kuvya veve una chindu cheuganikiwa kuniwuyisila ndi wumi waku.
20 Naam ndugu, acha nipate furaha ya Bwana toka kwako: uburudishe moyo wangu katika Kristo.
Hinu mlongo wangu, nikitila lijambu lenilo ndava ya Bambu, lisangalusa mtima wangu, ngati mlongo mukuwungana na Kilisitu.
21 Nikiwa na imani kuhusu utii wako, nakuandikia nikijua kwamba utafanya hata zaidi ya vile ninavyokuomba.
Niyandika kuni nihuvalila kuvya yati wiyidakila luyupu lwangu, kavili nimanyili kuvya yati ukita hati neju ya ago genikuyupa.
22 Wakati huo huo andaa chumba cha wageni kwa ajili yangu, kwa kuwa ninatumaini kupitia maombi yako nitakutembelea hivi karibuni.
Pamonga na aga, nitendelekela chumba cha kugona, muni mukuyupa kwinu Chapanga, yati akuniwuyisa kavili kwinu.
23 Epafra, mfungwa mwenzangu katika Kristo Yesu anakusalimu,
Epafla, mweakungiwi pamonga na nene ndava ya kumhengela Kilisitu Yesu, akukujambusa.
24 na kama afanyavyo Marko, Aristarko, Dema, Luka, watendakazi pamoja nami.
Mewawa Maluko na Alistako na Dema na Luka, vahenga lihengu vayangu, vakuvajambusa.
25 Neema ya Bwana Yesu Kristo iwe pamoja na roho yako. Amina.
Nikuvaganila mwavoha nyenye ubwina wa Bambu witu Yesu Kilisitu.

< Filemoni 1 >