< Filemoni 1 >

1 Paulo, mfungwa wa Kristo Yesu, na ndugu Timotheo kwa Filemoni, mpendwa rafiki yetu na mtenda kazi pamoja nasi,
Nne Pauli nankutabhwa kwa ligongo lya a Yeshu Kilishitu, na alongo ajetu a Timoteo, tunakunjandishila mmwe a Pilimoni nkupingwa na uwe na mmakamula liengo ajetu,
2 na kwa Afia dada yetu, na kwa Arkipas askari mwenzetu, na kwa kanisa lile linalokutana nyumbani kwako.
na alumbu bhetu a Apiya, na a Alikipo linjola nnjetu nngulupai na likanisha liimananga nnyumba jabho.
3 Neema iwe kwenu na amani itokayo kwa Mungu Baba yetu na kwa Bwana Yesu Kristo.
Nema na ulele kopoka kwa Atati a Nnungu na Bhakulungwa a Yeshu Kilishitu, ibhe na mmanganyanji.
4 Wakati wote namshukuru Mungu. Ninakutaja katika maombi yangu.
Ngunakwaatendela eja a Nnungu bhangu mobha gowe, pungunkumbushila mwe a Pilimoni nkujuga kwangu,
5 Nimesikia upendo na imani uliyonayo katika Bwana Yesu na kwa ajili ya waumini wote.
pabha ngulipilikana shinkuti kwaakulupalila a Yeshu Bhakulungwa bhetu na shinkuti kwaapinganga bha ukonjelo bhowe bha a Nnungu.
6 Ninaomba kwamba ushirika wa imani yenu iwe na ufanisi katika ujuzi wa kila jambo jema lililoko kati yetu katika Kristo.
Ngunakwaajuga a Nnungu kuti, ngulupai jimuilundile na uwe jinkomboye kubha na lumanyio lwa kushimanya kila shindu sha mmbone shitukwete, nkulundana kwetu na a Kilishitu.
7 Kwa kuwa nimekuwa na furaha na faraja kwa sababu ya upendo wako, kwa sababu mioyo ya waumini imekuwa ikitulizwa nawe, ndugu.
Pabha kwa kwaapinganga kwenu bhandu, kushing'angalaya kaje na njitagwa ntima kwa ligongo lyenu mwe mmakilishitu ajangu, numbe nshikujiangalaya mitima ja bhandunji bha ukonjelo.
8 Kwa hiyo, ingawa nina ujasiri wote katika Kristo kukuamuru wewe kufanya kile unachoweza kufanya,
Kwa nneyo, ikabhe ngwete makangala ga kunnajila mmwe ntende indu inkupinjikwa tenda pabha nkulundana kwangu na a Kilishitu,
9 lakini kwa sababu ya upendo, badala yake nakusihi - mimi, Paulo niliye mzee, na sasa ni mfungwa kwa ajili ya Kristo Yesu.
ikabheje kwa ligongo lya nonyelana ngunakunjuga, malinga nne Pauli shingongopele shino, na numbe nnaino nankutabhwa kwa ligongo lya a Yeshu Kilishitu.
10 Ninakusihi kuhusu mwanangu Onesmo, niliyemzaa katika vifungo vyangu.
Bhai ngunakunnjuga kwa ligongo lika mwanangu Oneshimushi, junimpatile nngulupai nili nkutabhwa.
11 Kwa kuwa mwanzoni hakukufaa, lakini sasa anakufaa wewe na mimi.
Bhukala jwenejo akampwaaga, ikabheje nnaino shampwae mmwe na nkali nne.
12 Nimemtuma- yeye ambaye ni wa moyo wangu hasa - kurudi kwako.
Lelo ngunakummuja najo kwenu mmwe, jwenejo ni malinga ntima gwangu namwene.
13 Nataraji angeendelea kubaki pamoja nami, ili anitumikie badala yako, wakati niwako kifungoni kwa ajili ya injili.
Napinjile atame na nne nkupinga anyangutile maengo penu mmwe, pepano pundabhilwe kwa ligongo lya Ngani ja Mmbone pano.
14 Lakini sikutaka kufanya jambo lolote bila ruhusa yako. Nilifanya hivi ili kwamba jambo lolote zuri lisifanyike kwa sababu nilikulazimisha, bali kwa sababu ulipenda mwenyewe kulitenda.
Ikabheje ngapinga kutenda shoshowe gwangali kumpilikana mmwe, nkupinga uguja gwenu unabhe gwa shishilishiywa, ikabhe ubhe gwa pinga mmayene.
15 Labda ni sababu alitengwa nawe kwa muda, ilikuwa hivyo ili uwe pamoja naye milele. (aiōnios g166)
Pana mwashinkulekana naka Oneshimo mobha gashoko, nkupinga abhujaga, atame na mmwe mobha gowe. (aiōnios g166)
16 Ili kwamba asiwe tena mtumwa, bali bora zaidi ya mtumwa, kama ndugu mpendwa, hasa kwangu, na zaidi sana kwako, katika mwili na katika Bwana.
Bhai nnaino jwenejo nngabha ntumwape, ikabhe jwa mmbone kupunda ntumwa, ni nnongo nnjetu, nne ananonyela kaje, numbe mmwe shapunde kunnonyela, jweneju nnjetu na nnongo nnjetu nkulundana na Bhakulungwa.
17 Na hivyo kama wanichukulia mimi mshirika, mpokee kama ambavyo ungenipokea mimi.
Kwa nneyo malinga shinkumona nne kuti nannjenu, bhai mumposhele jwenejo mbuti nkumboshela nne.
18 Lakini kama amekukosea jambo lolote, au unamdai kitu chochote, kidai hicho kutoka kwangu.
Monaga annebhele shoshowe eu nnakunnonga shoshowe, bhai shenesho nnonje nne.
19 Mimi Paulo, ninaandika kwa mkono wangu mwenyewe: mimi nitakulipa. Sisemi kwako kwamba nakudai maisha yako hasa.
Nne Pauli ngujandika jene bhaluwa jino kwa nkono gwangu namwene, nguti shinipe. Ngakunkumbushiya kuti ngunalongwa ga maisha genu.
20 Naam ndugu, acha nipate furaha ya Bwana toka kwako: uburudishe moyo wangu katika Kristo.
Elo apwanga, ngunapinga mbwaishe kwenu mmwe kupitila Bhakulungwa, nng'angalaye ntima gwangu nkulundana na a Kilishitu.
21 Nikiwa na imani kuhusu utii wako, nakuandikia nikijua kwamba utafanya hata zaidi ya vile ninavyokuomba.
Ngunakunnjandishila pabha nikumanyi kukunda kwenu, nimumanyi kuti shintende nkali kupunda guninnjandishilego.
22 Wakati huo huo andaa chumba cha wageni kwa ajili yangu, kwa kuwa ninatumaini kupitia maombi yako nitakutembelea hivi karibuni.
Punda genego, mmishile ukoto pa ishila, pabha ngunakulupalila kuti, kwa nyujilanga kwenunji, a Nnungu shibhambe shikono sha bhuja kweneko.
23 Epafra, mfungwa mwenzangu katika Kristo Yesu anakusalimu,
A Epapula, bhaatabhwa pamo na nne kwa ligongo lya kwaatumishila a Yeshu Kilishitu, bhanakunnamushilanga.
24 na kama afanyavyo Marko, Aristarko, Dema, Luka, watendakazi pamoja nami.
Na a Maliko, na a Alishitako, na a Dema, na a Luka bhaakamula maengo ajangunji bhanakunnamushilanga.
25 Neema ya Bwana Yesu Kristo iwe pamoja na roho yako. Amina.
Nema ja Bhakulungwa a Yeshu Kilishitu jitame mmitima jenunji.

< Filemoni 1 >