< Obadia 1 >

1 Maono ya Obadia. Bwana MUNGU asema hivi juu ya Edomu Tumesikia habari kutoka kwa Bwana, na mjumbe ametumwa kati ya mataifa, akisema, Inukeni! Tuinuke dhidi yake kwa vita!”
Detta är Obadia syn. Så säger Herren Herren om Edom: Vi hafve hört af Herranom, att ett bådskap är sändt ibland Hedningarna: Upp, och låter oss örliga emot dem.
2 Tazama, nitawafanya wadogo kati ya mataifa, mutadharauliwa sana.
Si, jag hafver gjort dig ringa ibland Hedningarna, och mycket föraktad.
3 Kiburi cha moyo wako kimekudanganya wewe, wewe ambaye unishi katika makaburi ya miamba, katika nyumba yako ya juu; asemaye moyoni mwako, 'Ni nani atakayenishusha mimi chini?'
Dins hjertas högmod hafver bedragit dig, efter du bor uti stenklyftor, på din höga slott, och säger i dino hjerta: Ho vill drifva mig här neder?
4 Ingawa unasimama juu kama tai na ingawa kiota chako huwekwa kati ya nyota, nitakushusha chini kutoka huko, asema Yahweh.
Om du än fore uppe i höjdene, lika som en örn, och gjorde ditt näste ibland stjernorna, så vill jag likväl draga dig der neder, säger Herren.
5 Kama wezi walikuja kwako, ikiwa wanyang'anyi wangekujilia usiku (jinsi ungekatilwa mbali!), Wasingeweza kuiba vya kuwatosha? Ikiwa wakusanya zabibu wangekujilia, wasingeacha mavuno?
Om tjufvar eller förhärjare komma om nattena öfver dig, o! huru tyst skall du då varda; ja, de skola nog stjäla; och om vinhemtare öfver dig komma, så skola de icke lefva dig någon efterhemtning.
6 Jinsi Esau amekwisha kupigwa, na hazina zake zilizofichwa zimewekwa nje!
O! huru skola de utransaka Esau, och uppsöka hans håfvor.
7 Watu wote wa ushirikiano wako watakupeleka katika njiani ya hadi mpakani. Watu waliokuwa na amani pamoja nawe wamekudanganya, na kukushinda. Wale wanaokula mkate wako wameweka mtego chini yako. Hakuna uelewa ndani yake.
Alle de, som i förbund med dig äro, de skola drifva dig bort utu landet; de män der du sätter din tröst till, de skola bedraga dig, och öfverfalla dig; de som äta ditt bröd, de skola förråda dig, förr än du vetst der något af.
8 Je! Sikuweza siku hiyo, asema Bwana, kuwaangamiza watu wenye hekima kutoka Edomu na kuelewa kutoka mlima wa Esau?
Hvad gäller, säger Herren, jag skall på den tiden nederlägga de visa i Edom, och den klokhet på Esau berg.
9 Mashujaa wako watafadhaika, Temani, ili kila mtu akatiliwe mbali kutoka mlima wa Esau kwa kuuawa.
Ty dine starke i Theman skola förtvifla, på det de alle skola förgås genom mord, på Esau berg.
10 Kwa sababu ya ukatili uliofanywa kwa ndugu yako Yakobo, utafunikwa na aibu, nawe utakatiliwa mbali milele.
För den orätts skull, som emot din broder Jacob bedrifven vardt, skall du på all skam komma, och till evig tid förlagd varda.
11 Siku ile ulikuwa umesimama, siku wageni walichukua mali zake, na waliokuwa wageni katika malango yake, na kupiga kura kwa Yerusalemu, wewe ulikuwa kama mmoja wao.
Den tid, då du emot honom stod, då främmande bortförde hans här fångnan, och utländningar drogo in igenom hans portar, och kastade lott öfver Jerusalem, då vast du lika som en af dem.
12 Lakini usifurahi siku ya ndugu yako, siku ya msiba wake, wala usifurahi juu ya watu wa Yuda siku ya uharibifu wao; msijisifu siku ya dhiki yao.
Du skall intet mer se dina lust på dinom broder, i hans eländes tid, och skall icke mer glädja dig öfver Juda barn, i deras jämmers tid; och skall icke tala så stolt ord med din mun, i deras ångests tid.
13 Usiingie mlango wa watu wangu siku ya msiba wao; usifurahi juu ya taabu yao siku ya msiba wao, wala msipotee utajiri wao siku ya uharibifu wao.
Du skall icke indraga genom mins folks portar, i deras jämmers tid; du skall icke se dina lust på deras olycko, uti deras jämmers tid; du skall icke sända emot deras här, uti deras jämmers tid.
14 Usisimama kwenye njia panda, ili kuwakatilia mbali wakimbizi wake na usiwatoe waathirika wake katika siku ya dhiki.
Du skall icke stå i vägaskäl, till att mörda deras flyktiga; du skall icke förråda deras qvarblefna, i deras ångests tid.
15 Kwa maana siku ya Bwana iko karibu na mataifa yote. Kama ulivyofanya, itafanyika kwako; matendo yako yatarudi juu ya kichwa chako mwenyewe.
Ty Herrans dag är hardt när öfver alla Hedningar. Lika som du gjort hafver, så skall dig ske igen; och såsom du förtjent hafver, så skall det komma dig uppå ditt hufvud igen.
16 Kwa vile mlivyokunywa katika mlima wangu mtakatifu, ndivyo mataifa yote yatakavyo kunywa daima. Watakunywa na kumeza na itakuwa kana kwamba hawakuwepo kabisa.
Ty lika som I på mitt helga berg druckit hafven, så skola alle Hedningar dricka allt framgent; ja, de skola utsupat och uppsvälgat, att det skall vara lika som der aldrig något varit hade.
17 Lakini katika Mlima Sayuni kutakuwa na wale waliookoka na watakuwa watakatifu; na nyumba ya Yakobo watamiliki miliki zao.
Men på Zions berg skola ännu somlige hulpne varda; de skola vara en helgedom, och Jacobs hus skall besitta sina besittare.
18 Nyumba ya Yakobo itakuwa moto, na nyumba ya Yusufu ni mwali wa moto, na nyumba ya Esau itakuwa mabua makavu, nao watawaunguza, na kuwateketeza. Hakutakuwa na waathirika kwa nyumba ya Esau, kwa kuwa Bwana amesema.
Och Jacobs hus skall en eld varda, och Josephs hus en låge, men Esau hus strå; de skola upptända och förtära det, så att Esau huse intet skall qvart blifva; ty Herren hafver det talat.
19 Wote kutoka Negebu watamiliki mlima wa Esau na wale wa Shepela watamiliki nchi ya Wafilisti. Wao wataimiliki nchi ya Efraimu na nchi ya Samaria; na Benyamini atamiliki Gileadi.
Och de söderut skola, besitta Esau berg, och de i dalomen skola besitta de Philisteer; ja, de skola besitta Ephraims mark, och Samarie mark; och BenJamin Gileads berg.
20 Wahamiaji wa jeshi hili la watu wa Israeli watamiliki ardhi ya Kanaani mpaka Sarepta. Wahamiaji wa Yerusalemu, waliopo Sefaradi, wataimiliki miji ya Negebu.
Och de fördrefne af denna Israels barnas här, hvilke ibland de Cananeer allt intill Zarpath äro, och de fördrefne af Jerusalems stad, hvilke i Sepharad äro, skola besitta de städer söderut.
21 Waokoaji watakwenda hadi juu ya Mlima Sayuni kutawala nchi ya vilima ya Esau, na ufalme utakuwa wa Bwana.
Och frälsare skola uppkomma på Zions berg, till att döma Esau berg. Alltså skall då riket vara Herrans.

< Obadia 1 >