< Hesabu 1 >
1 Mungu alimwambia Musa katika hema ya kukutania walipokuwa katika jangwa la Sinai. Hii ilitokea katika siku ya kwanza ya mwezi wa pili miaka miwili baadaya Waisraeli kutoka nchi ya Misri. Mungu alisema,
L’Éternel parla à Moïse dans le désert de Sinaï, dans la tente d’assignation, le premier jour du second mois, la seconde année après leur sortie du pays d’Égypte.
2 'fanya sensa ya wanaume wote wa Israel kutoka kila ukoo, katika familia za baba zao. Wahesabu kwa majina, wahesabu kila mume, kila mwanamume
Il dit: Faites le dénombrement de toute l’assemblée des enfants d’Israël, selon leurs familles, selon les maisons de leurs pères, en comptant par tête les noms de tous les mâles,
3 kuanzia umri a miaka ishirini na zaidi. Uwahesabu wote wanaoweza kupigana kama askari wa Israel. Wewe na Haruni mtaandika idadi ya wanaume katika makundi ya majeshi yao.
depuis l’âge de vingt ans et au-dessus, tous ceux d’Israël en état de porter les armes; vous en ferez le dénombrement selon leurs divisions, toi et Aaron.
4 Kila mwanamume kwa kila kabila, kichwa cha ukoo, lazima atumike na wewe kama kiongozi wa kabila.
Il y aura avec vous un homme par tribu, chef de la maison de ses pères.
5 Haya ndiyo majina ya viongozi ambao watapigana pamoja na wewe: Kutoka kabila la Reubeni, Elizuri mwana wa Shedeuri;
Voici les noms des hommes qui se tiendront avec vous. Pour Ruben: Élitsur, fils de Schedéur;
6 kutoka kabila la Simeoni, Shelumiel mwana wa Zurishadai
pour Siméon: Schelumiel, fils de Tsurischaddaï;
7 Kutoka kabila la Yuda, Nashoni mwana wa Aminadabu;
pour Juda: Nachschon, fils d’Amminadab;
8 Ktoka kabila la Isakari, Nethaneli mwana wa Zuari;
pour Issacar: Nethaneel, fils de Tsuar;
9 kutoka kabila Zebuluni, Eliabu mwana wa Heloni
pour Zabulon: Éliab, fils de Hélon;
10 kutoka kabila la Efraimu mwana wa Yusufu, Elishama mwana wa Ammihudi; kutoka kabila la Manase, Gamaliel mwan wa Pedazuri;
pour les fils de Joseph, pour Éphraïm: Élischama, fils d’Ammihud; pour Manassé: Gamliel, fils de Pedahtsur;
11 kutoka kabila la Benjamini mwana wa Ysufu, Abidani mwan wa Gidion;
pour Benjamin: Abidan, fils de Guideoni;
12 Kutoka kabila la Dan, Ahizeri mwana wa Amishadai;
pour Dan: Ahiézer, fils d’Ammischaddaï;
13 kutoka kabila Asheri, Pagieli mwana wa Okirani;
pour Aser: Paguiel, fils d’Ocran;
14 kutoka kabila la Gadi, Eliasafu mwana wa Deuli;
pour Gad: Éliasaph, fils de Déuel;
15 na kutoka kabila la Naftali, Ahira mwana wa Enani.”
pour Nephthali: Ahira, fils d’Énan.
16 Hawa ndio wanaume waliochaguliwa kutoka kwa watu. Waliongoza kabila za mababu zao. Walikuwa viongozi wa koo katika Israel.
Tels sont ceux qui furent convoqués à l’assemblée, princes des tribus de leurs pères, chefs des milliers d’Israël.
17 Musa na Haruni wakawachukua wale wanaume, waliokuwa wameandikwa kwa majina,
Moïse et Aaron prirent ces hommes, qui avaient été désignés par leurs noms,
18 na pamoja na wanaume hao waliwakusanya wanume wote katika siku ya kwanza ya mwezi wa pili. Kisha kila mwanume wa miaka ishirini na zaidi alitambua babu zake. Alitakiwa kutaja koo na famila kutoka katika ukoo.
et ils convoquèrent toute l’assemblée, le premier jour du second mois. On les enregistra selon leurs familles, selon les maisons de leurs pères, en comptant par tête les noms depuis l’âge de vingt ans et au-dessus.
19 Kisha Musa akaandika hesabu yao huko katika nyika ya Sinai, Kama Mungu alivyokuwa amemwamuru kufanya.
Moïse en fit le dénombrement dans le désert de Sinaï, comme l’Éternel le lui avait ordonné.
20 Kutoka uzao wa Reubeni, mtoto wa kwanza wa Israel, yalihesabiwa majina yote ya kila mwanamume mwenye umri wa miaka ishirini na zaidi wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka hesabu ya ukoo na familia.
On enregistra les fils de Ruben, premier-né d’Israël, selon leurs familles, selon les maisons de leurs pères, en comptant par tête les noms de tous les mâles, depuis l’âge de vingt ans et au-dessus, tous ceux en état de porter les armes:
21 Waliwahesabu wanaume 46, 000 kutoka ukoo wa Reubeni.
les hommes de la tribu de Ruben dont on fit le dénombrement furent quarante-six mille cinq cents.
22 Kutoka uzao wa Simeoni yalihesabiwa majina yote ya kila mwanamume mwenye umri wa miaka ishirini na zaidi au wenye uwezo wa kwenda vitani, kutokana na hesabu ya ukoo na familia.
On enregistra les fils de Siméon, selon leurs familles, selon les maisons de leurs pères; on en fit le dénombrement, en comptant par tête les noms de tous les mâles depuis l’âge de vingt ans et au-dessus, tous ceux en état de porter les armes:
23 Walihesabu wanaume 59, 300 kutoka kabila la Simeoni.
les hommes de la tribu de Siméon dont on fit le dénombrement furent cinquante-neuf mille trois cents.
24 Kutoka uzao wa Gadi yalihesabiwa majina yote ya kila mwanamume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
On enregistra les fils de Gad, selon leurs familles, selon les maisons de leurs pères, en comptant les noms depuis l’âge de vingt ans et au-dessus, tous ceux en état de porter les armes:
25 Walihesabu wanaume 45, 650 kutoka kabila la Gadi.
les hommes de la tribu de Gad dont on fit le dénombrement furent quarante-cinq mille six cent cinquante.
26 Kutoka uzao wa Yuda yalihesabiwa majina yote ya wanaume wenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
On enregistra les fils de Juda, selon leurs familles, selon les maisons de leurs pères, en comptant les noms depuis l’âge de vingt ans et au-dessus, tous ceux en état de porter les armes:
27 walihesabiwa wanume 74, 000 kutoka kabila la Yuda.
les hommes de la tribu de Juda dont on fit le dénombrement furent soixante-quatorze mille six cents.
28 Kutoka uzao wa Isakari yalihesabiwa majina yote ya kila mwanamume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
On enregistra les fils d’Issacar, selon leurs familles, selon les maisons de leurs pères, en comptant les noms depuis l’âge de vingt ans et au-dessus, tous ceux en état de porter les armes:
29 Walihesabiwa wanaume 54, 000 kutoka kabila la Isakari.
les hommes de la tribu d’Issacar dont on fit le dénombrement furent cinquante-quatre mille quatre cents.
30 Kutoka uzao wa Zabuloni yalihesabiwa majina yote ya kila mwanamume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
On enregistra les fils de Zabulon, selon leurs familles, selon les maisons de leurs pères, en comptant les noms depuis l’âge de vingt ans et au-dessus, tous ceux en état de porter les armes:
31 Walihesabiwa wanume 57, 400 kutoka kabila la Zabuloni.
les hommes de la tribu de Zabulon dont on fit le dénombrement furent cinquante-sept mille quatre cents.
32 Kutoka uzao wa Efraimu mwana wa Yusufu yalihesabiwa majina yote ya kila mwanaume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
On enregistra, d’entre les fils de Joseph, les fils d’Éphraïm, selon leurs familles, selon les maisons de leurs pères, en comptant les noms depuis l’âge de vingt ans et au-dessus, tous ceux en état de porter les armes:
33 Walihesabiwa wanaume 40, 500 kutoka kabila la Efraimu.
les hommes de la tribu d’Éphraïm dont on fit le dénombrement furent quarante mille cinq cents.
34 Kutoka uzao wa Manase mwana wa Yusufu yaliheabiwa majina yote ya kila mwanaume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu y a ukoo na familia.
On enregistra les fils de Manassé, selon leurs familles, selon les maisons de leurs pères, en comptant les noms depuis l’âge de vingt ans et au-dessus, tous ceux en état de porter les armes:
35 Walihesabiwa wanaume 32, 000 kutoka kabila la Manase.
les hommes de la tribu de Manassé dont on fit le dénombrement furent trente-deux mille deux cents.
36 Kutoka uzao wa Benjamini yalihesabiwa majina yote ya kila mwanaume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
On enregistra les fils de Benjamin, selon leurs familles, selon les maisons de leurs pères, en comptant les noms depuis l’âge de vingt ans et au-dessus, tous ceux en état de porter les armes:
37 Walihesabiwa wanaume 35, 000 kutoka kabila la Benjamini.
les hommes de la tribu de Benjamin dont on fit le dénombrement furent trente-cinq mille quatre cents.
38 Kutoka uzao wa Dani yalihesabiwa majina yote ya kila mwanaume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na mwenye uwezo wa kwenda vitani, Kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
On enregistra les fils de Dan, selon leurs familles, selon les maisons de leurs pères, en comptant les noms depuis l’âge de vingt ans et au-dessus, tous ceux en état de porter les armes:
39 Walihesabiwa wanaume 62, 000 kutoka kabila la Dani.
les hommes de la tribu de Dan dont on fit le dénombrement furent soixante-deux mille sept cents.
40 Kutoka uzao wa Asheri yalihesabiwa majina yote ya kila mwanume mwenye umri wa miaka ishirini au zadi na mwenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu y a ukoo na familia.
On enregistra les fils d’Aser, selon leurs familles, selon les maisons de leurs pères, en comptant les noms depuis l’âge de vingt ans et au-dessus, tous ceux en état de porter les armes:
41 Walihesabiwa wanaume 41, 500 kutoka ukoo wa Asheri.
les hommes de la tribu d’Aser dont on fit le dénombrement furent quarante et un mille cinq cents.
42 Kutoka ukoo wa Naftali yalihesabiwa majina yote ya kila mwanaume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na mwenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
On enregistra les fils de Nephthali, selon leurs familles, selon les maisons de leurs pères, en comptant les noms depuis l’âge de vingt ans et au-dessus, tous ceux en état de porter les armes:
43 Walihesabiwa wanaume 53, 400 kutoka kabila la Naftari
les hommes de la tribu de Nephthali dont on fit le dénombrement furent cinquante-trois mille quatre cents.
44 Musa na Haruni waliwahesabu wanaume wote hawa, pamoja na wale wanaume kumi na wawili waliokuwa wakiongoza yale makabila kumi na mawili ya Israeli.
Tels sont ceux dont le dénombrement fut fait par Moïse et Aaron, et par les douze hommes, princes d’Israël; il y avait un homme pour chacune des maisons de leurs pères.
45 Kwa hiyo wanaume wote wa Israeli wenye umri wa miak ishirini au zaidi, wote wenye uwezo wa kwenda vitani, walihesabiwa kutoka kwenye familia zao.
Tous ceux des enfants d’Israël dont on fit le dénombrement, selon les maisons de leurs pères, depuis l’âge de vingt ans et au-dessus, tous ceux d’Israël en état de porter les armes,
46 Walihesabu wanaume 603, 550.
tous ceux dont on fit le dénombrement furent six cent trois mille cinq cent cinquante.
47 Lakini wanaume toka uzao wa Lawi hawakuhesabiwa,
Les Lévites, selon la tribu de leurs pères, ne firent point partie de ce dénombrement.
48 Kwa sababu BWANA alimwambia Musa,
L’Éternel parla à Moïse, et dit:
49 “usiwahesabu wale wa kabila la Lawi wala kuwajumuisha kwenye jumla ya watu wa Israeli.
Tu ne feras point le dénombrement de la tribu de Lévi, et tu n’en compteras point les têtes au milieu des enfants d’Israël.
50 Badala yake, waagize Walawi kuliangalia hema la amri za agano, na kuangalia mapambo ya hema na vyote vilivyomo. Walawi watalazimika kulibeba hema na lazima wayabebe mapambo ya hema. Lazima waliangalie hema na kuyatengeneza mazingira yake. Wataiangalia masikani na kuzitengeneza kambi zinazolizunguka.
Remets aux soins des Lévites le tabernacle du témoignage, tous ses ustensiles et tout ce qui lui appartient. Ils porteront le tabernacle et tous ses ustensiles, ils en feront le service, et ils camperont autour du tabernacle.
51 Kila hema litakapotakiwa kuhamishiwa eneo jingine, Walawi ndio watakaolipeleka pale. Na kila hema litakapotakiwa kusimamishwa, Walawi ndio watakao lisimamisha. Na mgeni yeyote atakayelisogelea hema lazima auawe.
Quand le tabernacle partira, les Lévites le démonteront; quand le tabernacle campera, les Lévites le dresseront; et l’étranger qui en approchera sera puni de mort.
52 Wakati watu wa Israeli watakaposimamisha hema zao, kila mwanaume lazima awe karibu na bango la jeshi lake.
Les enfants d’Israël camperont chacun dans son camp, chacun près de sa bannière, selon leurs divisions.
53 Hata hivyo Walawi lazima waweke hema zao kuizunguka hiyo masikani ya amri za agano ili kwamba hasira yangu isije ikawaka juu ya wana wa Israeli. Walawi lazima wailinde hiyo masikani ya amri za agano.”
Mais les Lévites camperont autour du tabernacle du témoignage, afin que ma colère n’éclate point sur l’assemblée des enfants d’Israël; et les Lévites auront la garde du tabernacle du témoignage.
54 Wana wa Israeli walifanya yote haya. Walifanya yote ambayo BWANA aliagiza kupitia Musa.
Les enfants d’Israël se conformèrent à tous les ordres que l’Éternel avait donnés à Moïse; ils firent ainsi.