< Hesabu 9 >

1 BWANA akanena na Musa katika katika jangwa la Sinai, mwezi wa kwanza wa mwaka wa pili baada ya kutoka katika nci ya Misri. Akasema,
Og Herren talede til Mose i Sinai Ørk, i det andet Aar, efter at de vare udgangne af Ægyptens Land, i den første Maaned, og sagde,
2 “Wana wa Israeli wataikumbuka Pasaka katika wakati wake kila mwaka.
at Israels Børn skulle holde Paaske paa dens bestemte Tid.
3 Siku ya kumi na nne ya mwezi huu, muda wa jioni, utaikumbuka Pasaka kila mwaka kwa muda uliopanggwa. Lazima uikumbuke, fuata taratibu zake zote na utii sheria zake zote zinazohusiana na tukio hilo.
Paa den fjortende Dag i denne Maaned, imellem de tvende Aftener skulle I holde den paa dens bestemte Tid; efter alle dens Skikke og efter alle dens Bestemmelser skulle I holde den.
4 Kwa hiyo, Musa akawaambia wana wa Isareli kuwa wataishika sikukuu ya Pasaka.
Og Mose sagde til Israels Børn, at de skulde holde Paaske.
5 Kwa hiyo wakaishika sikuu ya Pasaka katika mwezi wa kwanza, wakati wa jioni wa siku ya kumi na nne ya mwezi katika jangwa la Sinai. Wana wa Israeli walitii kila kitu ambacho BWANA alimwamuru Musa kukifanya.
Og de holdt Paaske i den første Maaned, paa den fjortende Dag i Maaneden, imellem de tvende Aftener, i Sinai Ørk; efter alt det, som Herren havde befalet Mose, saaledes gjorde Israels Børn.
6 Kulikuwa na watu fulani walionajisika kwa sababu ya maiti ya mtu. Hawakuweza kuishika Pasaka siku hiyo. Kwa hiyo walikwenda kwa Musa na Haruni siku hiyohiyo.
Og det skete, at der var nogle Mænd, som vare blevne urene ved et Menneskes Lig, og de kunde ikke holde Paasken paa den samme Dag; og de gik frem for Mose Ansigt og for Arons Ansigt den samme Dag.
7 Wakamwambia Musa, “Sisi tumenajisika kwa sababu ya maiti ya mtu. Kwa nini basi unatutaka tuendelee kutoa sadaka kwa BWANA kwa wakati wa mwaka uliopangwa kwa wana wa Israeli?”
Og disse Mænd sagde til ham: Vi ere blevne urene ved et Menneskes Lig; hvi skulle vi derfor udelukkes, at vi ej maa ofre Herren Offer paa dets bestemte Tid, midt iblandt Israels Børn?
8 Naye Musa akawaambia, “Subirini nimsikilize BWANA ataniambia nini juu Yenu.”
Og Mose sagde til dem: Venter lidt, og jeg vil høre, hvad Herren vil nyde om eder.
9 BWANA akanena na Musa, akamwambia,
Og Herren talede til Mose og sagde:
10 “Nena na wana wa Israeli, uwaambie, 'kama mmoja wenu au mwana wa uzao wenu amenajisika kwa sababu ya maiti, au ana safari ndefu, bado anaweza kuishika Pasaka ya BWANA.
Tal til Israels Børn og sig: Naar nogen hos eder eller hos eders Efterkommere er bleven uren ved et Lig, eller er paa en lang Rejse, han skal alligevel holde Herren Paaske.
11 Wataishika Pasaka siku ya kumi na nne ya mwezi wa pili wakati wa jioni. Wataila kwa mikate isyotiwa chahcu na mboga chungu.
I den anden Maaned paa den fjortende Dag, imellem de tvende Aftener, skulle de holde den; de skulle æde det med usyrede Brød og beske Urter.
12 Wasiiache mpaka jioni, au kuvunja mifupa yake. Watafuata taratibu zote za Pasaka.
De skulle ikke lade blive tilovers deraf til om Morgenen og ikke bryde noget Ben paa det, efter al Paaskelammets Skik skulle de gøre med det.
13 Lakini mtu yeyote asiye najisi na hayuko safarini, na akashindwa kuishika Pasaka, huyo mtu lazima aondolewe kati ya watu wake kwa sababu hakutoa sadaka ambayo BWANA huitaka kwa wakati wa mwaka uliopangwa. Huyo mtu lazima aibebe dhambi yake.
Men den, som er ren og ikke er paa Rejse og efterlader at holde Paaske, den Sjæl skal udryddes fra sit Folk, fordi han ikke har ofret Herrens Offer paa dets bestemte Tid; denne Mand skal bære sin Synd.
14 Kama mtu mgeni anayeishi kati yenu na akaishika, Pasaka kwa heshima ya BWANA, ataishika na kufanya amri zote, na kutii taratibu zake. Utakuwa na sheria hizohizo kwa wageni na kwa wote waliaozaliwa katika nchi.
Og naar en fremmed opholder sig hos eder og holder Herren Paaske, da skal han holde den saa, som Paaskens Skik og som dens Vis er; der skal være een Skik for eder, baade for den fremmede og for den indfødte i Landet.
15 Na siku hiyo ambayo masikani iliposimamishwa, wingu lilifunika masikani, ile hema ya amari ya agano. Ilipokuwa jioni wingu lilkuwa juu ya masikani. Lilionekana kama moto mpaka asubuhi.
Og paa den Dag, da Tabernaklet blev oprejst, skjulte Skyen Vidnesbyrdets Pauluns Tabernakel; og om Aftenen var over Tabernaklet som en Ild at se til, indtil om Morgenen.
16 Liliendelea hivyohivyo. Lile wingu lilifunika masikani na kuonekana kama moto wakati wa usiku.
Saaledes skete det stedse, at Skyen skjulte det; og om Natten var det som en Ild at se til.
17 Na kila wingu lilipochukuliwa kutoka kwenye hema, wana wa Isareli waliendelea na safari yao. Na kila wingu liliposimama, watu waliweka kambi.
Og eftersom Skyen hævede sig op fra Paulunet, rejste Israels Børn derefter; og paa det Sted, hvor Skyen blev, der lejrede Israels Børn sig.
18 Wana wa Israrli walisafiri kwa amri ya BWANA, na kwa amri yake waliweka kambi. Wakati wingu liliposimama juu ya masikani, nao walikaa kwenye kambi zao.
Efter Herrens Mund rejste Israels Børn, og efter Herrens Mund lejrede de sig; alle de Dage, som Skyen boede over Tabernaklet, bleve de liggende.
19 Na wingu lilipobaki kwenye masikani kwa siku nyingi, wana wa Israeli walitakiwa kutii maelekezo ya BWANA na kusitisha safari yao.
Og naar Skyen blev over Tabernaklet mange Dage, da toge Israels Børn Vare paa, hvad Herren vilde have varetaget, og rejste ikke.
20 Wakati mwingine wingu lilibaki kwa siku chache tu kwenye masikani. Kwa mazingira kama hayo walilazimika kutii amri ya BWANA - waliweka kambi na kisha kuendelea na safari tena kwa amri yake.
Og det var ligesaa, naar Skyen var faa Dage over Tabernaklet; efter Herrens Mund lejrede de sig, og efter Herrens Mund rejste de.
21 Wakati mwingine wingu lilikuwepo kambini kuanzia jioni mpaka asubuhi. Na wingu liliponyanyuliwa asubuhi, walisafiri. Kama liliendelea kwa mchana wote na kwa usiku wote, ni pale tu wingu liliponyanyuliwa ndipo walipoendelea na safari.
Og det var ligesaa, naar Skyen var der fra Aftenen indtil Morgenen, og Skyen hævede sig om Morgenen, da rejste de; eller naar Skyen hævede sig om Dagen eller om Natten, da rejste de.
22 Hata kama wingu lilibaki kwenye masikini kwa siku mbili, kwa mwezi mmoja, au kwa mwaka mmoja, ili mradi tu limebaki pale, wana wa Israeli walibaki kwenye kambi zao na kusitisha safari. Lakini pale wingu liliponyanyuliwa, walianza safari yao.
Eller naar Skyen blev to Dage eller een Maaned eller eet Aar over Tabernaklet, saa den boede over det, da bleve Israels Børn liggende og rejste ikke; men naar den hævede sig, rejste de.
23 Walifanya kambi kwa amri ya BWANA, na walisafiri kwa amri yake. Walitii amri ya BWANA iliyotolewa kupitia kwa Musa
Efter Herrens Mund lejrede de sig, og efter Herrens Mund rejste de; de toge Vare paa, hvad Herren vilde have varetaget, efter Herrens Mund ved Mose.

< Hesabu 9 >