< Hesabu 7 >
1 Siku ambayo Musa alikamilsha masikani, alitia mafuta na kuiweka wakfu kwa BWANA, pamoja na mapambo yake. Aliifanyia hivyo madhabahu na vyombo vyake. Aliitia mafuta na kuiweka wakfu kwa BWANA.
I stało się w dzień, którego dokończył Mojżesz, a wystawił przybytek, a pomazał go, i poświęcił go ze wszystkim sprzętem jego, i ołtarz ze wszystkiem naczyniem jego, pomazał je, i poświęcił je,
2 Siku hiyo, viongozi wa Israeli na wale vichwa vya familia za mababu walitoa sadaka. Hawa wanaume walikuwa viongozi wa makabila. Walisaidia kuhesabu watu kwenye ile sensa.
Że ofiarowały książęta Izraelskie, przedniejsze z domów ojców swych, (co byli hetmany z każdego pokolenia, i przełożonymi nad policzonymi.)
3 Walileta sadaka zao kwa BWANA. Walileta magari sita yaliyofunikwa na mafahari kumi na mbili. Walileta gari moja kwa kila viongozi wawili, kila kiongozi alileta fahari moja. Walileta vitu hivi mbele ya masikani.
A przynieśli ofiary swe przed Pana: sześć wozów przykrytych, i dwanaście wołów, jeden wóz od dwojga książąt, a od każdego wół jeden, i postawili to przed przybytkiem.
4 Kisha BWANA akanena na Musa, akamwambia,
Tedy rzekł Pan do Mojżesza, mówiąc:
5 “Uzipokee hizo sadaka kutoka kwao na uzitumie kwa matumizi ya kazi ya hema ya kukutania. Uwape hizo sadaka Walawi, kwa kila mmoja kadri ya uhitaji wa kazi yake.”
Weźmij od nich, aby to było na potrzebę przy służbie w namiocie zgromadzenia, i oddaj to Lewitom, każdemu według potrzeby urzędu jego.
6 Musa akayatwaa yale magari na mafahari. na kuwapatia Walawi.
Wziął tedy Mojżesz one wozy i woły i oddał je Lewitom.
7 Aliwapa magari mawili na mafahari wanne wale wa uzao wa Gerishoni, kwa sababu ndivyo kazi yao ilivyohitaji.
Dwa wozy, i cztery woły dał synom Gersonowym według potrzeby urzędów ich.
8 Aliwapatia uzao wa Merari magari manne na mafahari nane, chini ya uangalizi wa Ithamari mwana wa Haruni kuhani. Alifanya hivi kwa sababu ya uhitaji wa kazi yao.
Cztery zaś wozy i osiem wołów dał synom Merarego według potrzeby urzędów ich, pod władzę Itamara, syna Aarona kapłana.
9 Lakini wale wa uzao wa Kohathi hakuwapa chochote kwa sababu wao waliangalia vitu vtakatifu amabvyo vilipaswa vibebwe mabagani mwao, siyo kwa magari.
Ale synom Kaatowym nic nie dał: bo usługa świątnicy była przy nich, na ramieniu ją nosić musieli.
10 Viongozi walitoa bidhaa zo zingine kwa ajili ya kuwekwa wakfu kwa madhabahu katika siku ile ambayo Musa aliitia mafuta madhabahu. Viongozi walitoa sadaka zao mbele ya madhabahu hiyo.
Ofiarowały tedy książęta ku poświęceniu ołtarza onegoż dnia, gdy był pomazany; i ofiarowały książęta dary swe przed ołtarzem.
11 BWANA akasema na Musa, “kila kiongozi atatoa sadaka kwa siku yake kwa ajili ya kuiweka wakfu madhabahu.”
I rzekł Pan do Mojżesza: Jeden książę jednego dnia, drugi książę drugiego dnia oddawać będzie dary swoje ku poświęceniu ołtarza.
12 Katika siku ya kwanza, Nashoni mwana wa Aminadabu, wa kabila ya Yuda, alitoa sadaka yake.
I ofiarował pierwszego dnia dar swój Naason, syn Aminadabów z pokolenia Judy.
13 Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130 na bakuli moja ya fedha ambayo uzito wake ni shekeli sabini, kwa kipimo cha mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
A dar jego był: misa srebrna jedna, sto i trzydzieści syklów wagi jej, czasza srebrna jedna, siedemdziesiąt syklów wagi jej według sykla świątnicy, obie pełne pszennej mąki zagniecionej z oliwą na ofiarę śniedną;
14 Pia alimpa unga wa dhahabu kiasi cha bakuli moja chenye uzani wa shekeli kumi kilichojaa ubani
Kadzielnica jedna z dziesięciu syklów złota, pełna kadzidła dla kadzenia;
15 Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mchanga, kondoo dume mmoja na mwanakondoo dume mmoja wa mwaka mmoja.
Cielec jeden młody, baran jeden, i baranek jeden roczny na ofiarę paloną;
16 Alitoa beberu kama kama sadaka ya hatia.
Kozieł jeden z kóz za grzech;
17 Alitoa makisai mbili, kondoo waume watano, beberu watano na wanakondoo dume watano wenye umri wa mwaka mmoja mmoja, kama sadaka ya amani. Hii ilikuwa sadaka ya Nashoni mwana wa Aminadabu.
A na ofiarę spokojną dwa woły, baranów pięć, kozłów pięć, i baranków rocznych pięć. Tać była ofiara Naasona, syna Aminadabowego.
18 Siku ya pili, Nethanel mwana wa Zuari, kiongozi wa Isakari, alitoa sadaka yake.
Wtórego dnia ofiarował Natanael, syn Suharów, książę z pokolenia Isascharowego.
19 Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha ya uzito wa shekeli130 na bakuli moja la fedha lenye uzani wa sheli sabini, kwa kipimo cha mahali patakatifu. Viyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kwa sadaka ya unga.
I ofiarował dar swój, misę srebrną jednę, sto i trzydzieści syklów wagi jej, czaszę srebrną jednę, siedemdziesiąt syklów wagi jej według sykla świątnicy, obie pełne pszennej mąki zagniecionej z oliwą na ofiarę śniedną;
20 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzito wa shekeli kumi, iliyojaa ubani.
Kadzielnicę jednę z dziesięciu syklów złota, pełną kadzidła;
21 Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mchanga, kondoo dume mmoja, na mwanakondoo mmoja dume.
Cielca jednego młodego, barana jednego, i baranka jednego rocznego na paloną ofiarę;
22 Alitoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi.
Kozła też jednego z kóz za grzech;
23 Alitoa makisai wawili, Kondoo dume watano, beberu watano, na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja mmoja kuwa sadaka ya amani. Hiii likuwa sadaka ya Nethaneli mwana wa Zuari.
A na ofiarę spokojną dwa woły, baranów pięć, kozłów pięć, i baranków rocznych pięć. Tać była ofiara Natanaela, syna Suharowego.
24 Siku ya tatu, Eliabu mwana wa Heloni, kiongozi wa uzao wa Zabuloni alitoa sadaka yake.
Trzeciego dnia książę synów Zabulon Eliab, syn Helonów.
25 Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha lenye uzito wa shekeli sabini kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. vyombo vyote hivi vilikuwa vimeja unga mwembemba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
Ofiara jego była misa srebrna jedna, sto i trzydzieści syklów wagi jej, czasza srebrna jedna, siedemdziesiąt syklów wagi jej według sykla świątnicy, obie pełne mąki pszennej z oliwą zagniecionej na ofiarę śniedną;
26 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
Kadzielnica jedna z dziesięciu syklów złota, pełna kadzidła;
27 Alitoa sadaka ya fahari mchanga, kondoo dume mmoja, na mwanakondoo dume mmoja.
Cielec jeden młody, baran jeden, i baranek roczny jeden na całopalenie.
28 Alitoa beberu mmoja kama sadaka ya dhambi.
Kozieł jeden z kóz, za grzech.
29 Alitoa makisai wawili, kondoo dume watano, beberu watano, na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja mmoja. kuwa sadaka ya amani. Hii ilikuwa sadaka ya Eliabu mwana Heloni.
A na ofiarę spokojną dwa woły, baranów pięć, kozłów pięć, baranków rocznych pięć. Ta była ofiara Eliaba, syna Helonowego.
30 Siku ya nne, Elizuri mwana wa shedeuri, kiongozi wa uzao wa Reubeni, alitoa sadaka yake.
Dnia czwartego książę z synów Rubenowych Elisur, syn Sedeurów.
31 Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130 na bakuli moja la fedha lenye uzani wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo hivi vyote vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
Ofiara jego była misa srebrna jedna, sto i trzydzieści syklów wagi jej, czasza srebrna jedna siedemdziesiąt syklów wagi jej według syklów świątnicy, obie pełne mąki pszennej z oliwą zagniecionej na ofiarę śniedną;
32 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichoo jaa ubani.
Kadzielnica jedna z dziesięciu syklów złota, pełna kadzidła;
33 Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mmoja mchanga, mwanakondoo dume mmoja mchanga wa mwaka mmoja.
Cielec jeden młody, baran jeden, baranek jeden roczny na paloną ofiarę;
34 Alitoa beberu moja kuwa sadaka ya dhambi.
Kozieł jeden z kóz, za grzech
35 Alitoa maksai wawili, kondoo dume watano wa mwaka mmoja kuwa sadaka ya amani. Hii ilikuwa sadaka ya Elizuri mwana wa Shedeuri.
A na ofiarę spokojną dwa woły, baranów pięć, kozłów pięć, baranków rocznych pięć. Ta była ofiara Elisura, syna Sedeurowego.
36 Siku ya tano, Shelumieli mwana wa Zurishadai, kiongozi wa uzao wa Simeoni, alitoa sadaka yake.
Dnia piątego książę synów Symeonowych Selumijel, syn Surysaddajów.
37 Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shaekali 130 na bakuli mojala fedha lenye uzani wa shekeli sabini kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
Ofiara jego była misa srebrna jedna, sto i trzydzieści syklów wagi jej, czasza srebrna jedna, siedemdziesiąt syklów wagi jej według sykla świątnicy, obie pełne mąki pszennej z oliwą zagniecionej na ofiarę śniedną;
38 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, uliojaa ubani.
Kadzielnica jedna z dziesięciu syklów złota, pełna kadzidła.
39 Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mchanga, dume la kondoo, na dume la mwanakondoo la mwaka mmoja.
Cielec jeden młody, baran jeden, baranek jeden roczny na paloną ofiarę;
40 Alitoa beberu moja kuwa sadaka ya dhambi.
Kozieł jeden z kóz, za grzech.
41 Alitao maksai wawili, dume wawili wa kondoo, beberu watano, na dume watano wa wanakondoo wa mwaka mmoja mmoja kuwa sadaka y amani. Hiindiyo iliyokuwa sadka ya Shelumei mwana wa Zurishadai.
A na ofiarę spokojną dwa woły, baranów pięć, kozłów pięć, baranków rocznych pięć. Ta była ofiara Selumijela, syna Surysaddajowego.
42 Siku ya sita, Eliasafu mwana wa Deuli, kiongozi wa uzao wa Gadi, alitoa sadaka yake.
Dnia szóstego książę synów Gadowych Elijazaf, syn Duelów.
43 Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130 na bakuli la shaba lenye uzani wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo hivi vyote vilikuwa vimejaa unga mwembemba uliochanganywa na mafuta kwa ajili ya sadaka ya unga.
Ofiara jego była misa srebrna jedna, sto i trzydzieści syklów wagi jej, czasza srebrna jedna, siedemdziesiąt syklów wagi jej według sykla świątnicy, obie pełne mąki pszennej z oliwą zagniecionej na ofiarę śniedną;
44 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
Kadzielnica jedna z dziesięciu syklów złota, pełna kadzidła;
45 Alitoa sadaka ya kuteketezwa ya fahari changa, kondoo dume mmoja, na dume la mwanakondoo mmoja wa mwaka mmoja.
Cielec jeden młody, baran jeden, baranek roczny jeden na paloną ofiarę.
46 Alitoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi.
Kozieł jeden z kóz, za grzech.
47 Alitoa maksai wawili, dume watano wa kondoo, beberu watano, na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Eliasafu mwana wa Deuli.
A na ofiarę spokojną dwa woły, baranów pięć, kozłów pięć, baranków rocznych pięć. Ta była ofiara Elijazafa, syna Duelowego.
48 Siku ya saba, Elishama mwana wa Amihudi, kiongozi wa uzao wa Efraimu, alitoa sadaka yake.
Dnia siódmego książę synów Efraimowych, Elisama, syn Ammiudów.
49 Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130 na bakuli la fedha lenye uzani wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo hivi vyote ilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
Ofiara jego była misa srebrna jedna, sto i trzydzieści syklów wagi jej, czasza srebrna jedna, siedemdziesiąt syklów wagi jej według sykla świątnicy, obie pełne mąki pszennej z oliwą zagniecionej, na ofiarę śniedną;
50 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu, kilichojaa ubani
Kadzielnica jedna z dziesięciu syklów złota, pełna kadzidła;
51 Alitoa sadaka ya kuteketezwa, fahari mmoja, kondoo dume mmoja, na mwanakondoo dume mmoja wa mwaka mmoja.
Cielec jeden młody, baran jeden, baranek jeden roczny na paloną ofiarę;
52 Alitoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi.
Kozieł jeden z kóz, za grzech.
53 Alitoa maksai wawili, kondo dume watano, beberu watano, na na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja mmoja kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sdaka ya Elishama mwana wa Amidu.
A na ofiarę spokojną dwa woły, baranów pięć, kozłów pięć, baranków rocznych pięć. Tać była ofiara Elisamy, syna Ammiudowego.
54 Siku y a nane, Gamaliel mwana wa Pedazuri, kiongozi wa uzao wa Manase, alitoa sadaka yake.
Dnia ósmego książę synów Manasesowych Gamalijel, syn Pedasurów.
55 Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli130 na bakuli moja la fedha lenye uzani wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
Ofiara jego była misa srebrna jedna, sto i trzydzieści syklów wagi jej, czasza srebrna jedna, siedemdziesiąt syklów wagi jej według sykla świątnicy, obie pełne mąki pszennej, z oliwą zagniecionej, na ofiarę śniedną;
56 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
Kadzielnica jedna z dziesięciu syklów złota, pełna kadzidła;
57 Alitoa sadaka ya kuteketezwa ya fahari mmoja, kondoo dume mmoja, na mwanakondoo dume mmoja wa mwaka mmoja.
Cielec jeden młody, baran jeden, baranek jeden roczny na paloną ofiarę;
58 Alitoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi.
Kozieł jeden z kóz, za grzech;
59 Alitoa maksai wawili, kondoo dume watano, beberu watano, na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja mmoja kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Gamaliel mwana wa Pedazuri.
A na ofiarę spokojną dwa woły, baranów pięć, kozłów pięć, baranków rocznych pięć. Ta była ofiara Gamalijela, syna Pedasurowego.
60 Siku ya tisa, Abidani mwana wa Gidioni, kiongozi wa uzao wa Benjamini, alitoa sadaka yake.
Dnia dziewiątego książę synów Benjaminowych Abidan, syn Gedeonów.
61 Sadaka yake ilikuwa sahani moja yafedha yenye uzani wa sheli 130 na bakuli moja la fedha lenye uzito wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
Ofiara jego była misa srebrna jedna, sto i trzydzieści syklów wagi jej, czasza srebrna jedna, siedemdziesiąt syklów wagi jej według sykla świątnicy, obie pełne mąki pszennej, zagniecionej z oliwą na ofiarę śniedną;
62 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
Kadzielnica jedna z dziesięciu syklów złota pełna kadzidła;
63 Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mmoja mchanga, kondoo dume mmoja, na mwanakondoo dume mmoja wa mwaka mmoja.
Cielec jeden młody, baran jeden, baranek roczny jeden na paloną ofiarę;
64 Alitoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi.
Kozieł jeden z kóz za grzech;
65 Alitoa makisai wawili, kondoo dume watano, beberu watano, na wanakondoo dume watano kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Abidani mwana wa Gidioni.
A na ofiarę spokojną dwa woły, baranów pięć, kozłów pięć, baranków rocznych pięć. Ta była ofiara Abidana, syna Gedeonowego.
66 Siku ya kumi, Ahizeri mwana wa Amishadai kiongozi wa Dani alitoa sadaka yake.
Dnia dziesiątego książę synów Danowych Achyjezer, syn Ammisadajów.
67 Alitoa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shaekeli 130 na bakuli moja lenye uzani wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
Ofiara jego była misa srebrna jedna, sto i trzydzieści syklów wagi jej, czasza jedna srebrna, siedemdziesiąt syklów wagi jej według sykla świątnicy obie pełne mąki pszennej, zagniecionej z oliwą, na ofiarę śniedną;
68 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzito wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
Kadzielnica jedna z dziesięciu syklów złota, pełna kadzidła;
69 Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mmoja mchanga, dume moja la kondoo, na dume moja la mwanakondoo wa mwaka mmoja.
Cielec jeden młody, baran jeden, baranek roczny jeden na paloną ofiarę;
70 Alitoa beberu moja kuwa sadaka ya dhambi.
Kozieł jeden z kóz, za grzech;
71 Alitoa maksai wawili, kondoo dume watano, beberu watano, na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja mmoja, kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Ahizeri mwana wa Amishadai.
A na spokojną ofiarę dwa woły, baranów pięć, kozłów pięć, baranków rocznych pięć. Ta była ofiara Achyjezera, syna Ammisadajowego.
72 Siku ya kumi na moja. Pagieli mwana wa Okrani kiongozi wa uzao wa Asheri alaitoa sadaka yake.
Dnia jedenastego książę synów Aserowych Pagijel, syn Ochranów.
73 Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130 na bakuli moja la fedha lenye uzani wa shekeli sabani, kwa kipimo cha shekeli ya mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi ilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
Ofiara jego była misa srebrna jedna, sto i trzydzieści syklów wagi jej, i czasza jedna srebrna, siedemdziesiąt syklów wagi jej według sykla świątnicy, obie pełne pszennej mąki, zagniecionej z oliwą na ofiarę śniedną;
74 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
Kadzielnica jedna, z dziesięciu syklów złota, pełna kadzidła;
75 Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mmoja mchanga. dume la kondoo moja, dume moja la mwanakondoo wa mwaka mmoja.
Cielec jeden młody, baran jeden, baranek jeden roczny na paloną ofiarę;
76 Alitoa beberu moja kuwa sadaka ya dhambi.
Kozieł jeden z kóz, za grzech.
77 Alitoa maksai wawili, dume watano wa kondoo, na wanakondoo dume watano kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Pagieli mwana wa Okrani.
A na ofiarę spokojną dwa woły, baranów pięć, kozłów pięć, baranków rocznych pięć. Ta była ofiara Pagijela, syna Ochranowego.
78 Siku ya kumi na mbili., Ahira mwana wa Enani, kiongozi wa uzao wa Naftali, alitoa sadaka yake.
Dnia dwunastego książę synów Neftalimowych Ahira, syn Enanów.
79 Sadaka yake ailikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shaekeli 130 na bakuli moja la fedha lenye uzani wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba ulichanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
Ofiara jego była misa srebrna jedna, sto i trzydzieści syklów wagi jej, czasza srebrna jedna, siedemdziesiąt syklów wagi jej według sykla świątnicy, obie pełne pszennej mąki, zagniecionej z oliwą na ofiarę śniedną;
80 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
Kadzielnica jedna z dziesięciu syklów złota, pełna kadzidła;
81 Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mmoja mchanga, dume moja la kondoo, na mwanakondoo dume moja wa mwaka mmoja.
Cielec jeden młody, baran jeden, baranek jeden roczny na ofiarę paloną;
82 Alitoa beberu moja kuwa sadaka ya dhambi.
Kozieł jeden z kóz, za grzech;
83 Alitoa maksai wawili, kondoo dume watano, beberu watano, na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja mmoja kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Ahra mwana wa Enani.
A na spokojną ofiarę dwa woły, baranów pięć, kozłów pięć, baranków rocznych pięć. Tać była ofiara Ahira, syna Enanowego.
84 Viongozi wa Israeli waliviweka wakfu hivi vitu vyote siku ambayo Musa alimimina mafuta kwenye madhabahu. Waliziweka wakfu zile sahani kumi na mbili za fedha, Bakuli kumi na mbili za fedha, na vijiko kumi na vili vya dhahabu.
Toć było poświęcenie ołtarza, onegoż dnia, gdy pomazan jest od książąt Izraelskich: Mis srebrnych dwanaście, czasz srebrnych dwanaście, kadzielnic złotych dwanaście;
85 Zile sahani za fedha kila moja ilikuwa na uzani wa shaekeli 130 na kila bakuli ye fedha ilikuwa na uzani wa shekeli sabini. Vyombo vyote vya fedh vilikuwa na ujumla ya uzani wa shekeli 2, 400, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu.
Sto i trzydzieści syklów jedna misa srebrna ważyła, siedemdziesiąt syklów czasza jedna; wszystkiego srebra w onem naczyniu było dwa tysiące i cztery sta syklów według sykla świątnicy;
86 Vile vijiko vya dhahabu vilivyokuwa vimejaa ubani, vilikuwa na uzani wa shekeli kumi kila kimoja. Vijiko vyote vya dhahabu vilikuwa na uzani wa shekeli 120.
Kadzielnic złotych dwanaście pełnych kadzidła; dziesięć syklów ważyła każda według sykla świątnicy; wszystkiego złota w onych kadzielnicach było sto i dwadzieścia syklów.
87 Waliwatenga wanyama wote kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa, fahari kumi na wawili, kondoo dume kumi na wawili, na wanakondoo dume kumi na wawili wa mwaka mmoja mmoja. Walitoa sadaka yao ya unga. Walitoa beberu kumi na wawili kuwa sadaka ya dhambi.
A wszystkiego bydła ku ofierze palonej dwanaście cielców, baranów dwanaście, z baranków rocznych dwanaście, z ofiarą ich śniedną, i kozłów z kóz za grzech dwanaście.
88 Kutokana na ng'ombe zao, walitoa fahari ishirini na nne, kondoo dume sitini beberu sitini, na wanakondoo dume sitini wa mwaka mmoja mmoja kuwa sadaka ya amani. Hii ilikuwa kwa ajiliya kuiweka wafu ile madhabahu baada ya kumiminiwa mafuta.
Wszystkiego zasię bydła na ofiarę spokojną było wołów dwadzieścia i cztery, baranów sześćdziesiąt, kozłów sześćdziesiąt; baranków rocznych sześćdziesiąt. Toć było poświęcenie ołtarza po pomazaniu jego.
89 Musa alipoingia kwenye hema ya kukutania kusema na BWANA, ndipo alipoisikia sauti yake ikisema naye. BWANA alinena naye kutoka juu ya kiti cha rehema kilichokuwa juu ya sanduku la ushahidi, kutoka katikati ya makerubi. Alinena naye.
A gdy Mojżesz wchodził do namiotu zgromadzenia, by się rozmawiał z Bogiem, tedy słyszał głos mówiącego do siebie z ubłagalni, która była nad skrzynią świadectwa, między dwiema Cheruby, a stamtąd mawiał do niego.