< Hesabu 7 >
1 Siku ambayo Musa alikamilsha masikani, alitia mafuta na kuiweka wakfu kwa BWANA, pamoja na mapambo yake. Aliifanyia hivyo madhabahu na vyombo vyake. Aliitia mafuta na kuiweka wakfu kwa BWANA.
És lőn, hogy a mely napon elvégezé Mózes a sátor felállítását, és felkené azt, és megszentelé azt, minden edényével egybe, és az oltárt és annak minden edényét; és felkené és megszentelé azokat:
2 Siku hiyo, viongozi wa Israeli na wale vichwa vya familia za mababu walitoa sadaka. Hawa wanaume walikuwa viongozi wa makabila. Walisaidia kuhesabu watu kwenye ile sensa.
Akkor előjövének az Izráel fejedelmei, az ő atyjok házának fejei; ezek a törzsek fejedelmei, és ezek a megszámláltattak felügyelői:
3 Walileta sadaka zao kwa BWANA. Walileta magari sita yaliyofunikwa na mafahari kumi na mbili. Walileta gari moja kwa kila viongozi wawili, kila kiongozi alileta fahari moja. Walileta vitu hivi mbele ya masikani.
És vivék az ő áldozatukat az Úr elé: hat borított szekeret, és tizenkét ökröt; egy-egy szekeret két-két fejedelemért, és mindenikért egy-egy ökröt; és odavivék azokat a sátor elébe.
4 Kisha BWANA akanena na Musa, akamwambia,
És szóla az Úr Mózesnek, mondván:
5 “Uzipokee hizo sadaka kutoka kwao na uzitumie kwa matumizi ya kazi ya hema ya kukutania. Uwape hizo sadaka Walawi, kwa kila mmoja kadri ya uhitaji wa kazi yake.”
Vedd el ő tőlök, és legyenek azok felhasználva a gyülekezet sátorának szolgálatában; és add azokat a lévitáknak, mindeniknek az ő szolgálata szerint.
6 Musa akayatwaa yale magari na mafahari. na kuwapatia Walawi.
Elvevé azért Mózes a szekereket és ökröket, és adá azokat a lévitáknak.
7 Aliwapa magari mawili na mafahari wanne wale wa uzao wa Gerishoni, kwa sababu ndivyo kazi yao ilivyohitaji.
Két szekeret és négy ökröt ada a Gerson fiainak, az ő szolgálatuk szerint.
8 Aliwapatia uzao wa Merari magari manne na mafahari nane, chini ya uangalizi wa Ithamari mwana wa Haruni kuhani. Alifanya hivi kwa sababu ya uhitaji wa kazi yao.
Négy szekeret pedig és nyolcz ökröt ada a Mérári fiainak, az ő szolgálatuk szerint, Ithamárnak, Áron pap fiának keze alá.
9 Lakini wale wa uzao wa Kohathi hakuwapa chochote kwa sababu wao waliangalia vitu vtakatifu amabvyo vilipaswa vibebwe mabagani mwao, siyo kwa magari.
A Kéhát fiainak pedig semmit nem ada; mert a szentség szolgálata illette vala őket, a melyet vállon hordoznak vala.
10 Viongozi walitoa bidhaa zo zingine kwa ajili ya kuwekwa wakfu kwa madhabahu katika siku ile ambayo Musa aliitia mafuta madhabahu. Viongozi walitoa sadaka zao mbele ya madhabahu hiyo.
Vivének pedig a fejedelmek az oltár felszentelésére valókat azon napon, a melyen az felkenetett, és vivék a fejedelmek az ő áldozatukat az oltár elébe.
11 BWANA akasema na Musa, “kila kiongozi atatoa sadaka kwa siku yake kwa ajili ya kuiweka wakfu madhabahu.”
És monda az Úr Mózesnek: Egyik napon egyik fejedelem, másik napon másik fejedelem vigye az ő áldozatát az oltár felszentelésére.
12 Katika siku ya kwanza, Nashoni mwana wa Aminadabu, wa kabila ya Yuda, alitoa sadaka yake.
És vivé első napon az ő áldozatát Naasson, az Amminádáb fia, Júda nemzetségéből.
13 Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130 na bakuli moja ya fedha ambayo uzito wake ni shekeli sabini, kwa kipimo cha mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
Vala pedig az ő áldozata, egy ezüst tál, száz és harmincz siklus súlyú, egy ezüst medencze hetven siklus súlyú, a szent siklus szerint, és mind a kettő telve vala olajjal elegyített lisztlánggal, ételáldozatul.
14 Pia alimpa unga wa dhahabu kiasi cha bakuli moja chenye uzani wa shekeli kumi kilichojaa ubani
Egy arany csésze, tíz siklus súlyú, füstölő szerekkel telve.
15 Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mchanga, kondoo dume mmoja na mwanakondoo dume mmoja wa mwaka mmoja.
Egy fiatal tulok, egy kos, egy esztendős bárány egészen égőáldozatul.
16 Alitoa beberu kama kama sadaka ya hatia.
Egy kecskebak bűnért való áldozatul.
17 Alitoa makisai mbili, kondoo waume watano, beberu watano na wanakondoo dume watano wenye umri wa mwaka mmoja mmoja, kama sadaka ya amani. Hii ilikuwa sadaka ya Nashoni mwana wa Aminadabu.
Hálaadó áldozatul pedig két ökör, öt kos, öt kecskebak, öt bárány, esztendősök. Ez Naassonnak, Amminádáb fiának áldozata.
18 Siku ya pili, Nethanel mwana wa Zuari, kiongozi wa Isakari, alitoa sadaka yake.
Másodnapon vivé Néthanéel, Suárnak fia, Izsakhár nemzetségének fejedelme.
19 Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha ya uzito wa shekeli130 na bakuli moja la fedha lenye uzani wa sheli sabini, kwa kipimo cha mahali patakatifu. Viyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kwa sadaka ya unga.
Vive az ő áldozatául egy ezüst tálat, száz és harmincz siklus súlyút, egy ezüst medenczét, hetven siklus súlyút, a szent siklus szerint, mind a kettő telve vala olajjal elegyített lisztlánggal, ételáldozatul.
20 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzito wa shekeli kumi, iliyojaa ubani.
Egy arany csészét, tíz siklus súlyút, füstölő szerekkel telve.
21 Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mchanga, kondoo dume mmoja, na mwanakondoo mmoja dume.
Egy fiatal tulkot, egy kost, egy esztendős bárányt egészen égőáldozatul.
22 Alitoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi.
Egy kecskebakot bűnért való áldozatul.
23 Alitoa makisai wawili, Kondoo dume watano, beberu watano, na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja mmoja kuwa sadaka ya amani. Hiii likuwa sadaka ya Nethaneli mwana wa Zuari.
Hálaadó áldozatul pedig két ökröt, öt kost, öt bakot, öt bárányt, esztendősöket. Ez Néthanéelnek a Suár fiának áldozata.
24 Siku ya tatu, Eliabu mwana wa Heloni, kiongozi wa uzao wa Zabuloni alitoa sadaka yake.
Harmadik napon a Zebulon fiainak fejedelme: Eliáb, Hélon fia.
25 Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha lenye uzito wa shekeli sabini kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. vyombo vyote hivi vilikuwa vimeja unga mwembemba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
Az ő áldozata volt egy ezüst tál, száz harmincz siklus súlyú, egy ezüst medencze, hetven siklus súlyú, a szent siklus szerint, mind a kettő telve vala olajjal elegyített lisztlánggal, ételáldozatul.
26 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
Egy arany csésze, tíz siklus súlyú füstölő szerekkel telve.
27 Alitoa sadaka ya fahari mchanga, kondoo dume mmoja, na mwanakondoo dume mmoja.
Egy fiatal tulok, egy kos, egy esztendős bárány, egészen égőáldozatul.
28 Alitoa beberu mmoja kama sadaka ya dhambi.
Egy kecskebak, bűnért való áldozatul.
29 Alitoa makisai wawili, kondoo dume watano, beberu watano, na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja mmoja. kuwa sadaka ya amani. Hii ilikuwa sadaka ya Eliabu mwana Heloni.
Hálaadó áldozatul pedig két ökör, öt kos, öt bak, öt bárány, esztendősök. Ez Eliábnak, Hélon fiának áldozata.
30 Siku ya nne, Elizuri mwana wa shedeuri, kiongozi wa uzao wa Reubeni, alitoa sadaka yake.
Negyedik napon a Rúben fiainak fejedelme: Elisúr, Sedeúrnak fia.
31 Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130 na bakuli moja la fedha lenye uzani wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo hivi vyote vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
Az ő áldozata volt egy ezüst tál, száz harmincz siklus súlyú, egy ezüst medencze, hetven siklus súlyú, a szent siklus szerint, mind a kettő telve vala olajjal elegyített lisztlánggal, ételáldozatul.
32 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichoo jaa ubani.
Egy arany csésze, tíz siklus súlyú, füstölő szerekkel telve.
33 Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mmoja mchanga, mwanakondoo dume mmoja mchanga wa mwaka mmoja.
Egy fiatal tulok, egy kos, egy esztendős bárány, egészen égőáldozatul.
34 Alitoa beberu moja kuwa sadaka ya dhambi.
Egy kecskebak bűnért való áldozatul.
35 Alitoa maksai wawili, kondoo dume watano wa mwaka mmoja kuwa sadaka ya amani. Hii ilikuwa sadaka ya Elizuri mwana wa Shedeuri.
Hálaadó áldozatul pedig két ökör, öt kos, öt bak, öt bárány, esztendősök. Ez Elisúrnak, Sedeúr fiának áldozata.
36 Siku ya tano, Shelumieli mwana wa Zurishadai, kiongozi wa uzao wa Simeoni, alitoa sadaka yake.
Ötödnapon a Simeon fiainak fejedelme: Selúmiel, Surisaddai fia.
37 Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shaekali 130 na bakuli mojala fedha lenye uzani wa shekeli sabini kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
Az ő áldozata volt egy ezüst tál, száz harmincz siklus súlyú, egy ezüst medencze, hetven siklus súlyú, a szent siklus szerint, mind a kettő telve vala olajjal elegyített lisztlánggal, ételáldozatul.
38 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, uliojaa ubani.
Egy arany csésze, tíz siklus súlyú, füstölő szerekkel telve.
39 Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mchanga, dume la kondoo, na dume la mwanakondoo la mwaka mmoja.
Egy fiatal tulok, egy kos, egy esztendős bárány, egészen égőáldozatul.
40 Alitoa beberu moja kuwa sadaka ya dhambi.
Egy kecskebak, bűnért való áldozatul.
41 Alitao maksai wawili, dume wawili wa kondoo, beberu watano, na dume watano wa wanakondoo wa mwaka mmoja mmoja kuwa sadaka y amani. Hiindiyo iliyokuwa sadka ya Shelumei mwana wa Zurishadai.
Hálaadó áldozatul pedig két ökör, öt kos, öt bak, öt bárány, esztendősök. Ez Selúmielnek, Surisaddai fiának áldozata.
42 Siku ya sita, Eliasafu mwana wa Deuli, kiongozi wa uzao wa Gadi, alitoa sadaka yake.
Hatodnapon a Gád fiainak fejedelme: Éliásáf, a Dehuél fia.
43 Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130 na bakuli la shaba lenye uzani wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo hivi vyote vilikuwa vimejaa unga mwembemba uliochanganywa na mafuta kwa ajili ya sadaka ya unga.
Az ő áldozata volt egy ezüst tál, száz harmincz siklus súlyú, egy ezüst medencze, hetven siklus súlyú, a szent siklus szerint, mind a kettő telve vala olajjal elegyített lisztlánggal, ételáldozatul.
44 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
Egy arany csésze, tíz siklus súlyú, füstölő szerekkel telve.
45 Alitoa sadaka ya kuteketezwa ya fahari changa, kondoo dume mmoja, na dume la mwanakondoo mmoja wa mwaka mmoja.
Egy fiatal tulok, egy kos, egy esztendős bárány, egészen égőáldozatul.
46 Alitoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi.
Egy kecskebak bűnért való áldozatul.
47 Alitoa maksai wawili, dume watano wa kondoo, beberu watano, na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Eliasafu mwana wa Deuli.
Hálaadó áldozatul pedig két ökör, öt kos, öt bak, öt bárány, esztendősök. Ez Eliásáfnak, Dehuél fiának áldozata.
48 Siku ya saba, Elishama mwana wa Amihudi, kiongozi wa uzao wa Efraimu, alitoa sadaka yake.
Hetednapon az Efraim fiainak fejedelme: Elisáma, az Ammihúd fia.
49 Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130 na bakuli la fedha lenye uzani wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo hivi vyote ilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
Az ő áldozata volt egy ezüst tál, száz harmincz siklus súlyú, egy ezüst medencze, hetven siklus súlyú, a szent siklus szerint, mind a kettő telve vala olajjal elegyített lisztlánggal, ételáldozatul.
50 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu, kilichojaa ubani
Egy arany csésze, tíz siklus súlyú, füstölő szerekkel telve.
51 Alitoa sadaka ya kuteketezwa, fahari mmoja, kondoo dume mmoja, na mwanakondoo dume mmoja wa mwaka mmoja.
Egy fiatal tulok, egy kos, egy esztendős bárány, egészen égőáldozatul.
52 Alitoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi.
Egy kecskebak bűnért való áldozatul.
53 Alitoa maksai wawili, kondo dume watano, beberu watano, na na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja mmoja kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sdaka ya Elishama mwana wa Amidu.
Hálaadó áldozatul pedig két ökör, öt kos, öt bak, öt bárány, esztendősök. Ez Elisámának, Ammihúd fiának áldozata.
54 Siku y a nane, Gamaliel mwana wa Pedazuri, kiongozi wa uzao wa Manase, alitoa sadaka yake.
Nyolczadnapon a Manasse fiainak fejedelme: Gamliél, Pédasúr fia.
55 Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli130 na bakuli moja la fedha lenye uzani wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
Az ő áldozata volt egy ezüst tál, száz harmincz siklus súlyú, egy ezüst medencze, hetven siklus súlyú, a szent siklus szerint, mind a kettő telve vala olajjal elegyített lisztlánggal, ételáldozatul.
56 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
Egy arany csésze, tíz siklus súlyú, füstölő szerekkel telve.
57 Alitoa sadaka ya kuteketezwa ya fahari mmoja, kondoo dume mmoja, na mwanakondoo dume mmoja wa mwaka mmoja.
Egy fiatal tulok, egy kos, egy esztendős bárány egészen égőáldozatul.
58 Alitoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi.
Egy kecskebak bűnért való áldozatul.
59 Alitoa maksai wawili, kondoo dume watano, beberu watano, na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja mmoja kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Gamaliel mwana wa Pedazuri.
Hálaadó áldozatul pedig két ökör, öt kos, öt bak, öt bárány, esztendősök. Ez Gámliélnek, a Pédasúr fiának áldozata.
60 Siku ya tisa, Abidani mwana wa Gidioni, kiongozi wa uzao wa Benjamini, alitoa sadaka yake.
Kilenczednapon a Benjámin fiainak fejedelme: Abidán, a Gideóni fia.
61 Sadaka yake ilikuwa sahani moja yafedha yenye uzani wa sheli 130 na bakuli moja la fedha lenye uzito wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
Az ő áldozata volt egy ezüst tál, száz harmincz siklus súlyú, egy ezüst medencze hetven siklus súlyú, a szent siklus szerint, mind a kettő telve vala olajjal elegyített lisztlánggal, ételáldozatul.
62 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
Egy arany csésze, tíz siklus súlyú, füstölő szerekkel telve.
63 Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mmoja mchanga, kondoo dume mmoja, na mwanakondoo dume mmoja wa mwaka mmoja.
Egy fiatal tulok, egy kos, egy esztendős bárány egészen égőáldozatul.
64 Alitoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi.
Egy kecskebak bűnért való áldozatul.
65 Alitoa makisai wawili, kondoo dume watano, beberu watano, na wanakondoo dume watano kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Abidani mwana wa Gidioni.
Hálaadó áldozatul pedig két ökör, öt kos, öt bak, öt bárány, esztendősök. Ez Abidánnak, Gideóni fiának áldozata.
66 Siku ya kumi, Ahizeri mwana wa Amishadai kiongozi wa Dani alitoa sadaka yake.
Tizedik napon a Dán fiainak fejedelme: Ahiézer, az Ammisaddai fia.
67 Alitoa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shaekeli 130 na bakuli moja lenye uzani wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
Az ő áldozata volt egy ezüst tál, száz harmincz siklus súlyú, egy ezüst medencze hetven siklus súlyú, a szent siklus szerint, mind a kettő telve vala olajjal elegyített lisztlánggal, ételáldozatul.
68 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzito wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
Egy arany csésze, tíz siklus súlyú, füstölő szerekkel telve.
69 Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mmoja mchanga, dume moja la kondoo, na dume moja la mwanakondoo wa mwaka mmoja.
Egy fiatal tulok, egy kos, egy esztendős bárány egészen égőáldozatul.
70 Alitoa beberu moja kuwa sadaka ya dhambi.
Egy kecskebak bűnért való áldozatul.
71 Alitoa maksai wawili, kondoo dume watano, beberu watano, na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja mmoja, kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Ahizeri mwana wa Amishadai.
Hálaadó áldozatul pedig két ökör, öt kos, öt bak, öt bárány, esztendősök. Ez Ahiézernek, az Ammisaddai fiának áldozata.
72 Siku ya kumi na moja. Pagieli mwana wa Okrani kiongozi wa uzao wa Asheri alaitoa sadaka yake.
Tizenegyedik napon az Áser fiainak fejedelme: Págiel, Okrán fia.
73 Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130 na bakuli moja la fedha lenye uzani wa shekeli sabani, kwa kipimo cha shekeli ya mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi ilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
Az ő áldozata volt egy ezüst tál, száz harmincz siklus súlyú, egy ezüst medencze, hetven siklus súlyú, a szent siklus szerint, mind a kettő telve vala olajjal elegyített lisztlánggal, ételáldozatul.
74 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
Egy arany csésze, tíz siklus súlyú, füstölő szerekkel telve.
75 Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mmoja mchanga. dume la kondoo moja, dume moja la mwanakondoo wa mwaka mmoja.
Egy fiatal tulok, egy kos, egy esztendős bárány egészen égőáldozatul.
76 Alitoa beberu moja kuwa sadaka ya dhambi.
Egy kecskebak bűnért való áldozatul.
77 Alitoa maksai wawili, dume watano wa kondoo, na wanakondoo dume watano kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Pagieli mwana wa Okrani.
Hálaadó áldozatul pedig két ökör, öt kos, öt bak, öt bárány, esztendősök. Ez Págielnek, Okrán fiának áldozata.
78 Siku ya kumi na mbili., Ahira mwana wa Enani, kiongozi wa uzao wa Naftali, alitoa sadaka yake.
Tizenkettedik napon a Nafthali fiainak fejedelme: Ahira, Enán fia.
79 Sadaka yake ailikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shaekeli 130 na bakuli moja la fedha lenye uzani wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba ulichanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
Az ő áldozata volt egy ezüst tál, száz harmincz siklus súlyú, egy ezüst medencze, hetven siklus súlyú, a szent siklus szerint, mind a kettő telve vala olajjal elegyített lisztlánggal, ételáldozatul.
80 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
Egy arany csésze, tíz siklus súlyú, füstölő szerekkel telve.
81 Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mmoja mchanga, dume moja la kondoo, na mwanakondoo dume moja wa mwaka mmoja.
Egy fiatal tulok, egy kos, egy esztendős bárány egészen égőáldozatul.
82 Alitoa beberu moja kuwa sadaka ya dhambi.
Egy kecskebak bűnért való áldozatul.
83 Alitoa maksai wawili, kondoo dume watano, beberu watano, na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja mmoja kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Ahra mwana wa Enani.
Hálaadó áldozatul pedig két ökör, öt kos, öt bak, öt bárány, esztendősök. Ez Ahirának, az Enán fiának áldozata.
84 Viongozi wa Israeli waliviweka wakfu hivi vitu vyote siku ambayo Musa alimimina mafuta kwenye madhabahu. Waliziweka wakfu zile sahani kumi na mbili za fedha, Bakuli kumi na mbili za fedha, na vijiko kumi na vili vya dhahabu.
Ez volt az áldozat az oltár felszentelésére, a napon, a melyen felkenetett, az Izráelnek fejedelmeitől. Tizenkét ezüst tál, tizenkét ezüst medencze, tizenkét arany csésze.
85 Zile sahani za fedha kila moja ilikuwa na uzani wa shaekeli 130 na kila bakuli ye fedha ilikuwa na uzani wa shekeli sabini. Vyombo vyote vya fedh vilikuwa na ujumla ya uzani wa shekeli 2, 400, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu.
Száz és harmincz siklus súlyú vala egy ezüst tál, egy ezüst medencze pedig hetven siklus súlyú; az edények minden ezüstje: kétezer négyszáz siklus, a szent siklus szerint;
86 Vile vijiko vya dhahabu vilivyokuwa vimejaa ubani, vilikuwa na uzani wa shekeli kumi kila kimoja. Vijiko vyote vya dhahabu vilikuwa na uzani wa shekeli 120.
Tizenkét arany csésze, füstölő szerekkel, tíz-tíz siklus súlyú vala egy-egy csésze, a szent siklus szerint: A csészéknek minden aranya: száz húsz siklus.
87 Waliwatenga wanyama wote kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa, fahari kumi na wawili, kondoo dume kumi na wawili, na wanakondoo dume kumi na wawili wa mwaka mmoja mmoja. Walitoa sadaka yao ya unga. Walitoa beberu kumi na wawili kuwa sadaka ya dhambi.
Az egészen égőáldozatra való minden barom: tizenkét tulok, tizenkét kos, esztendős bárány tizenkettő, a hozzájok való ételáldozatokkal, és tizenkét kecskebak bűnért való áldozatul.
88 Kutokana na ng'ombe zao, walitoa fahari ishirini na nne, kondoo dume sitini beberu sitini, na wanakondoo dume sitini wa mwaka mmoja mmoja kuwa sadaka ya amani. Hii ilikuwa kwa ajiliya kuiweka wafu ile madhabahu baada ya kumiminiwa mafuta.
A hálaadó áldozatra való minden barom pedig: huszonnégy tulok, hatvan kos, hatvan bak, esztendős bárány hatvan. Ez volt az oltár felszentelésére való áldozat, minekutána felkenetett volt.
89 Musa alipoingia kwenye hema ya kukutania kusema na BWANA, ndipo alipoisikia sauti yake ikisema naye. BWANA alinena naye kutoka juu ya kiti cha rehema kilichokuwa juu ya sanduku la ushahidi, kutoka katikati ya makerubi. Alinena naye.
Mikor pedig bemegy vala Mózes a gyülekezet sátorába, hogy szóljon ő vele, hallja vala annak szavát, a ki szól vala vele a fedél felől, amely van a bizonyság ládáján, a két Kérub közűl; és szól vala vele.