< Hesabu 7 >
1 Siku ambayo Musa alikamilsha masikani, alitia mafuta na kuiweka wakfu kwa BWANA, pamoja na mapambo yake. Aliifanyia hivyo madhabahu na vyombo vyake. Aliitia mafuta na kuiweka wakfu kwa BWANA.
and to be in/on/with day to end: finish Moses to/for to arise: raise [obj] [the] tabernacle and to anoint [obj] him and to consecrate: consecate [obj] him and [obj] all article/utensil his and [obj] [the] altar and [obj] all article/utensil his and to anoint them and to consecrate: consecate [obj] them
2 Siku hiyo, viongozi wa Israeli na wale vichwa vya familia za mababu walitoa sadaka. Hawa wanaume walikuwa viongozi wa makabila. Walisaidia kuhesabu watu kwenye ile sensa.
and to present: come leader Israel head: leader house: household father their they(masc.) leader [the] tribe they(masc.) [the] to stand: appoint upon [the] to reckon: list
3 Walileta sadaka zao kwa BWANA. Walileta magari sita yaliyofunikwa na mafahari kumi na mbili. Walileta gari moja kwa kila viongozi wawili, kila kiongozi alileta fahari moja. Walileta vitu hivi mbele ya masikani.
and to come (in): bring [obj] offering their to/for face: before LORD six cart litter and two ten cattle cart upon two [the] leader and cattle to/for one and to present: bring [obj] them to/for face: before [the] tabernacle
4 Kisha BWANA akanena na Musa, akamwambia,
and to say LORD to(wards) Moses to/for to say
5 “Uzipokee hizo sadaka kutoka kwao na uzitumie kwa matumizi ya kazi ya hema ya kukutania. Uwape hizo sadaka Walawi, kwa kila mmoja kadri ya uhitaji wa kazi yake.”
to take: recieve from with them and to be to/for to serve: minister [obj] service: ministry tent meeting and to give: give [obj] them to(wards) [the] Levi man: anyone like/as lip: according service: ministry his
6 Musa akayatwaa yale magari na mafahari. na kuwapatia Walawi.
and to take: take Moses [obj] [the] cart and [obj] [the] cattle and to give: give [obj] them to(wards) [the] Levi
7 Aliwapa magari mawili na mafahari wanne wale wa uzao wa Gerishoni, kwa sababu ndivyo kazi yao ilivyohitaji.
[obj] two [the] cart and [obj] four [the] cattle to give: give to/for son: child Gershon like/as lip: according service: ministry their
8 Aliwapatia uzao wa Merari magari manne na mafahari nane, chini ya uangalizi wa Ithamari mwana wa Haruni kuhani. Alifanya hivi kwa sababu ya uhitaji wa kazi yao.
and [obj] four [the] cart and [obj] eight [the] cattle to give: give to/for son: child Merari like/as lip: according service: ministry their in/on/with hand: power Ithamar son: child Aaron [the] priest
9 Lakini wale wa uzao wa Kohathi hakuwapa chochote kwa sababu wao waliangalia vitu vtakatifu amabvyo vilipaswa vibebwe mabagani mwao, siyo kwa magari.
and to/for son: child Kohath not to give: give for service: ministry [the] holiness upon them in/on/with shoulder to lift: bear
10 Viongozi walitoa bidhaa zo zingine kwa ajili ya kuwekwa wakfu kwa madhabahu katika siku ile ambayo Musa aliitia mafuta madhabahu. Viongozi walitoa sadaka zao mbele ya madhabahu hiyo.
and to present: bring [the] leader [obj] dedication [the] altar in/on/with day to anoint [obj] him and to present: bring [the] leader [obj] offering their to/for face: before [the] altar
11 BWANA akasema na Musa, “kila kiongozi atatoa sadaka kwa siku yake kwa ajili ya kuiweka wakfu madhabahu.”
and to say LORD to(wards) Moses leader one to/for day: daily leader one to/for day: daily to present: bring [obj] offering their to/for dedication [the] altar
12 Katika siku ya kwanza, Nashoni mwana wa Aminadabu, wa kabila ya Yuda, alitoa sadaka yake.
and to be [the] to present: bring in/on/with day [the] first [obj] offering his Nahshon son: child Amminadab to/for tribe Judah
13 Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130 na bakuli moja ya fedha ambayo uzito wake ni shekeli sabini, kwa kipimo cha mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
and offering his dish silver: money one thirty and hundred weight her bowl one silver: money seventy shekel in/on/with shekel [the] holiness two their full fine flour to mix in/on/with oil to/for offering
14 Pia alimpa unga wa dhahabu kiasi cha bakuli moja chenye uzani wa shekeli kumi kilichojaa ubani
palm: dish one ten gold full incense
15 Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mchanga, kondoo dume mmoja na mwanakondoo dume mmoja wa mwaka mmoja.
bullock one son: young animal cattle ram one lamb one son: aged year his to/for burnt offering
16 Alitoa beberu kama kama sadaka ya hatia.
he-goat goat one to/for sin: sin offering
17 Alitoa makisai mbili, kondoo waume watano, beberu watano na wanakondoo dume watano wenye umri wa mwaka mmoja mmoja, kama sadaka ya amani. Hii ilikuwa sadaka ya Nashoni mwana wa Aminadabu.
and to/for sacrifice [the] peace offering cattle two ram five goat five lamb son: young animal year five this offering Nahshon son: child Amminadab
18 Siku ya pili, Nethanel mwana wa Zuari, kiongozi wa Isakari, alitoa sadaka yake.
in/on/with day [the] second to present: bring Nethanel son: child Zuar leader Issachar
19 Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha ya uzito wa shekeli130 na bakuli moja la fedha lenye uzani wa sheli sabini, kwa kipimo cha mahali patakatifu. Viyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kwa sadaka ya unga.
to present: bring [obj] offering his dish silver: money one thirty and hundred weight her bowl one silver: money seventy shekel in/on/with shekel [the] holiness two their full fine flour to mix in/on/with oil to/for offering
20 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzito wa shekeli kumi, iliyojaa ubani.
palm: dish one ten gold full incense
21 Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mchanga, kondoo dume mmoja, na mwanakondoo mmoja dume.
bullock one son: young animal cattle ram one lamb one son: aged year his to/for burnt offering
22 Alitoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi.
he-goat goat one to/for sin: sin offering
23 Alitoa makisai wawili, Kondoo dume watano, beberu watano, na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja mmoja kuwa sadaka ya amani. Hiii likuwa sadaka ya Nethaneli mwana wa Zuari.
and to/for sacrifice [the] peace offering cattle two ram five goat five lamb son: young animal year five this offering Nethanel son: child Zuar
24 Siku ya tatu, Eliabu mwana wa Heloni, kiongozi wa uzao wa Zabuloni alitoa sadaka yake.
in/on/with day [the] third leader to/for son: child Zebulun Eliab son: descendant/people Helon
25 Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha lenye uzito wa shekeli sabini kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. vyombo vyote hivi vilikuwa vimeja unga mwembemba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
offering his dish silver: money one thirty and hundred weight her bowl one silver: money seventy shekel in/on/with shekel [the] holiness two their full fine flour to mix in/on/with oil to/for offering
26 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
palm: dish one ten gold full incense
27 Alitoa sadaka ya fahari mchanga, kondoo dume mmoja, na mwanakondoo dume mmoja.
bullock one son: young animal cattle ram one lamb one son: young animal year his to/for burnt offering
28 Alitoa beberu mmoja kama sadaka ya dhambi.
he-goat goat one to/for sin: sin offering
29 Alitoa makisai wawili, kondoo dume watano, beberu watano, na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja mmoja. kuwa sadaka ya amani. Hii ilikuwa sadaka ya Eliabu mwana Heloni.
and to/for sacrifice [the] peace offering cattle two ram five goat five lamb son: young animal year five this offering Eliab son: child Helon
30 Siku ya nne, Elizuri mwana wa shedeuri, kiongozi wa uzao wa Reubeni, alitoa sadaka yake.
in/on/with day [the] fourth leader to/for son: child Reuben Elizur son: descendant/people Shedeur
31 Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130 na bakuli moja la fedha lenye uzani wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo hivi vyote vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
offering his dish silver: money one thirty and hundred weight her bowl one silver: money seventy shekel in/on/with shekel [the] holiness two their full fine flour to mix in/on/with oil to/for offering
32 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichoo jaa ubani.
palm: dish one ten gold full incense
33 Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mmoja mchanga, mwanakondoo dume mmoja mchanga wa mwaka mmoja.
bullock one son: young animal cattle ram one lamb one son: young animal year his to/for burnt offering
34 Alitoa beberu moja kuwa sadaka ya dhambi.
he-goat goat one to/for sin: sin offering
35 Alitoa maksai wawili, kondoo dume watano wa mwaka mmoja kuwa sadaka ya amani. Hii ilikuwa sadaka ya Elizuri mwana wa Shedeuri.
and to/for sacrifice [the] peace offering cattle two ram five goat five lamb son: young animal year five this offering Elizur son: child Shedeur
36 Siku ya tano, Shelumieli mwana wa Zurishadai, kiongozi wa uzao wa Simeoni, alitoa sadaka yake.
in/on/with day [the] fifth leader to/for son: child Simeon Shelumiel son: descendant/people Zurishaddai
37 Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shaekali 130 na bakuli mojala fedha lenye uzani wa shekeli sabini kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
offering his dish silver: money one thirty and hundred weight her bowl one silver: money seventy shekel in/on/with shekel [the] holiness two their full fine flour to mix in/on/with oil to/for offering
38 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, uliojaa ubani.
palm: dish one ten gold full incense
39 Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mchanga, dume la kondoo, na dume la mwanakondoo la mwaka mmoja.
bullock one son: young animal cattle ram one lamb one son: aged year his to/for burnt offering
40 Alitoa beberu moja kuwa sadaka ya dhambi.
he-goat goat one to/for sin: sin offering
41 Alitao maksai wawili, dume wawili wa kondoo, beberu watano, na dume watano wa wanakondoo wa mwaka mmoja mmoja kuwa sadaka y amani. Hiindiyo iliyokuwa sadka ya Shelumei mwana wa Zurishadai.
and to/for sacrifice [the] peace offering cattle two ram five goat five lamb son: young animal year five this offering Shelumiel son: child Zurishaddai
42 Siku ya sita, Eliasafu mwana wa Deuli, kiongozi wa uzao wa Gadi, alitoa sadaka yake.
in/on/with day [the] sixth leader to/for son: child Gad Eliasaph son: descendant/people Deuel
43 Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130 na bakuli la shaba lenye uzani wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo hivi vyote vilikuwa vimejaa unga mwembemba uliochanganywa na mafuta kwa ajili ya sadaka ya unga.
offering his dish silver: money one thirty and hundred weight her bowl one silver: money seventy shekel in/on/with shekel [the] holiness two their full fine flour to mix in/on/with oil to/for offering
44 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
palm: dish one ten gold full incense
45 Alitoa sadaka ya kuteketezwa ya fahari changa, kondoo dume mmoja, na dume la mwanakondoo mmoja wa mwaka mmoja.
bullock one son: young animal cattle ram one lamb one son: aged year his to/for burnt offering
46 Alitoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi.
he-goat goat one to/for sin: sin offering
47 Alitoa maksai wawili, dume watano wa kondoo, beberu watano, na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Eliasafu mwana wa Deuli.
and to/for sacrifice [the] peace offering cattle two ram five goat five lamb son: young animal year five this offering Eliasaph son: child Deuel
48 Siku ya saba, Elishama mwana wa Amihudi, kiongozi wa uzao wa Efraimu, alitoa sadaka yake.
in/on/with day [the] seventh leader to/for son: child Ephraim Elishama son: descendant/people Ammihud
49 Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130 na bakuli la fedha lenye uzani wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo hivi vyote ilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
offering his dish silver: money one thirty and hundred weight her bowl one silver: money seventy shekel in/on/with shekel [the] holiness two their full fine flour to mix in/on/with oil to/for offering
50 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu, kilichojaa ubani
palm: dish one ten gold full incense
51 Alitoa sadaka ya kuteketezwa, fahari mmoja, kondoo dume mmoja, na mwanakondoo dume mmoja wa mwaka mmoja.
bullock one son: young animal cattle ram one lamb one son: aged year his to/for burnt offering
52 Alitoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi.
he-goat goat one to/for sin: sin offering
53 Alitoa maksai wawili, kondo dume watano, beberu watano, na na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja mmoja kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sdaka ya Elishama mwana wa Amidu.
and to/for sacrifice [the] peace offering cattle two ram five goat five lamb son: young animal year five this offering Elishama son: child Ammihud
54 Siku y a nane, Gamaliel mwana wa Pedazuri, kiongozi wa uzao wa Manase, alitoa sadaka yake.
in/on/with day [the] eighth leader to/for son: child Manasseh Gamaliel son: descendant/people Pedahzur Pedahzur
55 Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli130 na bakuli moja la fedha lenye uzani wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
offering his dish silver: money one thirty and hundred weight her bowl one silver: money seventy shekel in/on/with shekel [the] holiness two their full fine flour to mix in/on/with oil to/for offering
56 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
palm: dish one ten gold full incense
57 Alitoa sadaka ya kuteketezwa ya fahari mmoja, kondoo dume mmoja, na mwanakondoo dume mmoja wa mwaka mmoja.
bullock one son: young animal cattle ram one lamb one son: aged year his to/for burnt offering
58 Alitoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi.
he-goat goat one to/for sin: sin offering
59 Alitoa maksai wawili, kondoo dume watano, beberu watano, na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja mmoja kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Gamaliel mwana wa Pedazuri.
and to/for sacrifice [the] peace offering cattle two ram five goat five lamb son: young animal year five this offering Gamaliel son: child (Pedahzur Pedahzur *L(AH+B)*)
60 Siku ya tisa, Abidani mwana wa Gidioni, kiongozi wa uzao wa Benjamini, alitoa sadaka yake.
in/on/with day [the] ninth leader to/for son: child Benjamin Abidan son: descendant/people Gideoni
61 Sadaka yake ilikuwa sahani moja yafedha yenye uzani wa sheli 130 na bakuli moja la fedha lenye uzito wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
offering his dish silver: money one thirty and hundred weight her bowl one silver: money seventy shekel in/on/with shekel [the] holiness two their full fine flour to mix in/on/with oil to/for offering
62 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
palm: dish one ten gold full incense
63 Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mmoja mchanga, kondoo dume mmoja, na mwanakondoo dume mmoja wa mwaka mmoja.
bullock one son: young animal cattle ram one lamb one son: aged year his to/for burnt offering
64 Alitoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi.
he-goat goat one to/for sin: sin offering
65 Alitoa makisai wawili, kondoo dume watano, beberu watano, na wanakondoo dume watano kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Abidani mwana wa Gidioni.
and to/for sacrifice [the] peace offering cattle two ram five goat five lamb son: young animal year five this offering Abidan son: child Gideoni
66 Siku ya kumi, Ahizeri mwana wa Amishadai kiongozi wa Dani alitoa sadaka yake.
in/on/with day [the] tenth leader to/for son: child Dan Ahiezer son: descendant/people Ammishaddai
67 Alitoa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shaekeli 130 na bakuli moja lenye uzani wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
offering his dish silver: money one thirty and hundred weight her bowl one silver: money seventy shekel in/on/with shekel [the] holiness two their full fine flour to mix in/on/with oil to/for offering
68 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzito wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
palm: dish one ten gold full incense
69 Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mmoja mchanga, dume moja la kondoo, na dume moja la mwanakondoo wa mwaka mmoja.
bullock one son: young animal cattle ram one lamb one son: aged year his to/for burnt offering
70 Alitoa beberu moja kuwa sadaka ya dhambi.
he-goat goat one to/for sin: sin offering
71 Alitoa maksai wawili, kondoo dume watano, beberu watano, na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja mmoja, kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Ahizeri mwana wa Amishadai.
and to/for sacrifice [the] peace offering cattle two ram five goat five lamb son: young animal year five this offering Ahiezer son: child Ammishaddai
72 Siku ya kumi na moja. Pagieli mwana wa Okrani kiongozi wa uzao wa Asheri alaitoa sadaka yake.
in/on/with day eleven ten day leader to/for son: child Asher Pagiel son: descendant/people Ochran
73 Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130 na bakuli moja la fedha lenye uzani wa shekeli sabani, kwa kipimo cha shekeli ya mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi ilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
offering his dish silver: money one thirty and hundred weight her bowl one silver: money seventy shekel in/on/with shekel [the] holiness two their full fine flour to mix in/on/with oil to/for offering
74 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
palm: dish one ten gold full incense
75 Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mmoja mchanga. dume la kondoo moja, dume moja la mwanakondoo wa mwaka mmoja.
bullock one son: young animal cattle ram one lamb one son: aged year his to/for burnt offering
76 Alitoa beberu moja kuwa sadaka ya dhambi.
he-goat goat one to/for sin: sin offering
77 Alitoa maksai wawili, dume watano wa kondoo, na wanakondoo dume watano kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Pagieli mwana wa Okrani.
and to/for sacrifice [the] peace offering cattle two ram five goat five lamb son: young animal year five this offering Pagiel son: child Ochran
78 Siku ya kumi na mbili., Ahira mwana wa Enani, kiongozi wa uzao wa Naftali, alitoa sadaka yake.
in/on/with day two ten day leader to/for son: child Naphtali Ahira son: descendant/people Enan
79 Sadaka yake ailikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shaekeli 130 na bakuli moja la fedha lenye uzani wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba ulichanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
offering his dish silver: money one thirty and hundred weight her bowl one silver: money seventy shekel in/on/with shekel [the] holiness two their full fine flour to mix in/on/with oil to/for offering
80 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
palm: dish one ten gold full incense
81 Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mmoja mchanga, dume moja la kondoo, na mwanakondoo dume moja wa mwaka mmoja.
bullock one son: young animal cattle ram one lamb one son: aged year his to/for burnt offering
82 Alitoa beberu moja kuwa sadaka ya dhambi.
he-goat goat one to/for sin: sin offering
83 Alitoa maksai wawili, kondoo dume watano, beberu watano, na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja mmoja kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Ahra mwana wa Enani.
and to/for sacrifice [the] peace offering cattle two ram five goat five lamb son: young animal year five this offering Ahira son: child Enan
84 Viongozi wa Israeli waliviweka wakfu hivi vitu vyote siku ambayo Musa alimimina mafuta kwenye madhabahu. Waliziweka wakfu zile sahani kumi na mbili za fedha, Bakuli kumi na mbili za fedha, na vijiko kumi na vili vya dhahabu.
this dedication [the] altar in/on/with day to anoint [obj] him from with leader Israel dish silver: money two ten bowl silver: money two ten palm: dish gold two ten
85 Zile sahani za fedha kila moja ilikuwa na uzani wa shaekeli 130 na kila bakuli ye fedha ilikuwa na uzani wa shekeli sabini. Vyombo vyote vya fedh vilikuwa na ujumla ya uzani wa shekeli 2, 400, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu.
thirty and hundred [the] dish [the] one silver: money and seventy [the] bowl [the] one all silver: money [the] article/utensil thousand and four hundred in/on/with shekel [the] holiness
86 Vile vijiko vya dhahabu vilivyokuwa vimejaa ubani, vilikuwa na uzani wa shekeli kumi kila kimoja. Vijiko vyote vya dhahabu vilikuwa na uzani wa shekeli 120.
palm: dish gold two ten full incense ten ten [the] palm: dish in/on/with shekel [the] holiness all gold [the] palm: dish twenty and hundred
87 Waliwatenga wanyama wote kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa, fahari kumi na wawili, kondoo dume kumi na wawili, na wanakondoo dume kumi na wawili wa mwaka mmoja mmoja. Walitoa sadaka yao ya unga. Walitoa beberu kumi na wawili kuwa sadaka ya dhambi.
all [the] cattle to/for burnt offering two ten bullock ram two ten lamb son: young animal year two ten and offering their and he-goat goat two ten to/for sin: sin offering
88 Kutokana na ng'ombe zao, walitoa fahari ishirini na nne, kondoo dume sitini beberu sitini, na wanakondoo dume sitini wa mwaka mmoja mmoja kuwa sadaka ya amani. Hii ilikuwa kwa ajiliya kuiweka wafu ile madhabahu baada ya kumiminiwa mafuta.
and all cattle sacrifice [the] peace offering twenty and four bullock ram sixty goat sixty lamb son: young animal year sixty this dedication [the] altar after to anoint [obj] him
89 Musa alipoingia kwenye hema ya kukutania kusema na BWANA, ndipo alipoisikia sauti yake ikisema naye. BWANA alinena naye kutoka juu ya kiti cha rehema kilichokuwa juu ya sanduku la ushahidi, kutoka katikati ya makerubi. Alinena naye.
and in/on/with to come (in): come Moses to(wards) tent meeting to/for to speak: speak with him and to hear: hear [obj] [the] voice to speak: speak to(wards) him from upon [the] mercy seat which upon ark [the] testimony from between two [the] cherub and to speak: speak to(wards) him