< Hesabu 7 >

1 Siku ambayo Musa alikamilsha masikani, alitia mafuta na kuiweka wakfu kwa BWANA, pamoja na mapambo yake. Aliifanyia hivyo madhabahu na vyombo vyake. Aliitia mafuta na kuiweka wakfu kwa BWANA.
Nowe when Moses had finished the setting vp of the Tabernacle, and anointed it and sanctified it, and all the instruments thereof, and the altar with al the instruments thereof, and had anoynted them and sanctified them,
2 Siku hiyo, viongozi wa Israeli na wale vichwa vya familia za mababu walitoa sadaka. Hawa wanaume walikuwa viongozi wa makabila. Walisaidia kuhesabu watu kwenye ile sensa.
Then the princes of Israel, heads ouer the houses of their fathers (they were the princes of the tribes, who were ouer them that were nombred) offred,
3 Walileta sadaka zao kwa BWANA. Walileta magari sita yaliyofunikwa na mafahari kumi na mbili. Walileta gari moja kwa kila viongozi wawili, kila kiongozi alileta fahari moja. Walileta vitu hivi mbele ya masikani.
And brought their offring before the Lord, sixe couered charets, and twelue oxen: one charet for two princes, and for euery one an oxe, and they offred them before the Tabernacle.
4 Kisha BWANA akanena na Musa, akamwambia,
And the Lord spake vnto Moses, saying,
5 “Uzipokee hizo sadaka kutoka kwao na uzitumie kwa matumizi ya kazi ya hema ya kukutania. Uwape hizo sadaka Walawi, kwa kila mmoja kadri ya uhitaji wa kazi yake.”
Take these of them, that they may be to doe the seruice of the Tabernacle of the Congregation, and thou shalt giue them vnto the Leuites, to euery man according vnto his office.
6 Musa akayatwaa yale magari na mafahari. na kuwapatia Walawi.
So Moses tooke the charets and the oxen, and gaue them vnto the Leuites:
7 Aliwapa magari mawili na mafahari wanne wale wa uzao wa Gerishoni, kwa sababu ndivyo kazi yao ilivyohitaji.
Two charets and foure oxen hee gaue to the sonnes of Gershon, according vnto their office.
8 Aliwapatia uzao wa Merari magari manne na mafahari nane, chini ya uangalizi wa Ithamari mwana wa Haruni kuhani. Alifanya hivi kwa sababu ya uhitaji wa kazi yao.
And foure charets and eight oxen hee gaue to the sonnes of Merari according vnto their office, vnder the hand of Ithamar the sonne of Aaron the Priest.
9 Lakini wale wa uzao wa Kohathi hakuwapa chochote kwa sababu wao waliangalia vitu vtakatifu amabvyo vilipaswa vibebwe mabagani mwao, siyo kwa magari.
But to the sonnes of Kohath he gaue none, because the charge of the Sanctuarie belonged to them, which they did beare vpon their shoulders.
10 Viongozi walitoa bidhaa zo zingine kwa ajili ya kuwekwa wakfu kwa madhabahu katika siku ile ambayo Musa aliitia mafuta madhabahu. Viongozi walitoa sadaka zao mbele ya madhabahu hiyo.
The princes also offered in the dedication for the altar in the day that it was anoynted: then the princes offered their offering before the altar.
11 BWANA akasema na Musa, “kila kiongozi atatoa sadaka kwa siku yake kwa ajili ya kuiweka wakfu madhabahu.”
And the Lord sayd vnto Moses, One prince one day, and an other prince an other day shall offer their offring, for the dedication of the altar.
12 Katika siku ya kwanza, Nashoni mwana wa Aminadabu, wa kabila ya Yuda, alitoa sadaka yake.
So then on the first day did Nahshon the sonne of Amminadab of ye tribe of Iudah offer his offring.
13 Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130 na bakuli moja ya fedha ambayo uzito wake ni shekeli sabini, kwa kipimo cha mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
And his offring was a siluer charger of an hundreth and thirtie shekels weight, a siluer boule of seuenty shekels, after the shekel of the Sanctuarie, both ful of fine floure, mingled with oyle, for a meate offring,
14 Pia alimpa unga wa dhahabu kiasi cha bakuli moja chenye uzani wa shekeli kumi kilichojaa ubani
An incense cup of gold of tenne shekels, ful of incense,
15 Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mchanga, kondoo dume mmoja na mwanakondoo dume mmoja wa mwaka mmoja.
A yong bullocke, a ram, a lambe of a yeere olde for a burnt offring,
16 Alitoa beberu kama kama sadaka ya hatia.
An hee goate for a sinne offring,
17 Alitoa makisai mbili, kondoo waume watano, beberu watano na wanakondoo dume watano wenye umri wa mwaka mmoja mmoja, kama sadaka ya amani. Hii ilikuwa sadaka ya Nashoni mwana wa Aminadabu.
And for peace offrings, two bullockes, fiue rams, fiue hee goates, and fiue lambes of a yeere olde: this was the offring of Nahshon the sonne of Amminadab.
18 Siku ya pili, Nethanel mwana wa Zuari, kiongozi wa Isakari, alitoa sadaka yake.
The second day Nethaneel, the sonne of Zuar, prince of the tribe of Issachar did offer:
19 Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha ya uzito wa shekeli130 na bakuli moja la fedha lenye uzani wa sheli sabini, kwa kipimo cha mahali patakatifu. Viyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kwa sadaka ya unga.
Who offred for his offring a siluer charger of an hundreth and thirtie shekels weight, a siluer boule of seuentie shekels, after the shekel of the Sanctuarie, both ful of fine floure, mingled with oyle, for a meat offring,
20 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzito wa shekeli kumi, iliyojaa ubani.
An incense cup of gold of ten shekels, ful of incense,
21 Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mchanga, kondoo dume mmoja, na mwanakondoo mmoja dume.
A yong bullocke, a ram, a lambe of a yeere olde for a burnt offring,
22 Alitoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi.
An hee goate for a sinne offring,
23 Alitoa makisai wawili, Kondoo dume watano, beberu watano, na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja mmoja kuwa sadaka ya amani. Hiii likuwa sadaka ya Nethaneli mwana wa Zuari.
And for peace offrings, two bullockes, fiue rammes, fiue hee goates, fiue lambes of a yeere olde: this was the offring of Nethaneel the sonne of Zuar.
24 Siku ya tatu, Eliabu mwana wa Heloni, kiongozi wa uzao wa Zabuloni alitoa sadaka yake.
The third day Eliab the sonne of Helon prince of the children of Zebulun offred.
25 Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha lenye uzito wa shekeli sabini kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. vyombo vyote hivi vilikuwa vimeja unga mwembemba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
His offring was a siluer charger of an hundreth and thirty shekels weight, a siluer boule of seuentie shekels, after the shekel of the Sanctuarie, both ful of fine floure, mingled with oyle, for a meate offring,
26 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
A golden incense cup of ten shekels, ful of incense,
27 Alitoa sadaka ya fahari mchanga, kondoo dume mmoja, na mwanakondoo dume mmoja.
A yong bullocke, a ram, a lambe of a yeere olde for a burnt offring,
28 Alitoa beberu mmoja kama sadaka ya dhambi.
An hee goate for a sinne offring,
29 Alitoa makisai wawili, kondoo dume watano, beberu watano, na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja mmoja. kuwa sadaka ya amani. Hii ilikuwa sadaka ya Eliabu mwana Heloni.
And for peace offrings, two bullockes, fiue rammes, fiue hee goates, fiue lambes of a yeere olde: this was the offering of Eliab the sonne of Helon.
30 Siku ya nne, Elizuri mwana wa shedeuri, kiongozi wa uzao wa Reubeni, alitoa sadaka yake.
The fourth day Elizur ye sonne of Shedeur prince of the children of Reuben offred.
31 Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130 na bakuli moja la fedha lenye uzani wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo hivi vyote vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
His offring was a siluer charger of an hundreth and thirtie shekels weight, a siluer boule of seuentie shekels, after the shekel of the Sanctuary, both ful of fine floure, mingled with oyle, for a meate offring,
32 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichoo jaa ubani.
A golden incense cup of ten shekels, full of incense,
33 Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mmoja mchanga, mwanakondoo dume mmoja mchanga wa mwaka mmoja.
A yong bullocke, a ram, a lambe of a yere olde for a burnt offring,
34 Alitoa beberu moja kuwa sadaka ya dhambi.
An hee goate for a sinne offring,
35 Alitoa maksai wawili, kondoo dume watano wa mwaka mmoja kuwa sadaka ya amani. Hii ilikuwa sadaka ya Elizuri mwana wa Shedeuri.
And for a peace offring, two bullockes, fiue rammes, fiue hee goates, and fiue lambes of a yere olde: this was the offering of Elizur the sonne of Shedeur.
36 Siku ya tano, Shelumieli mwana wa Zurishadai, kiongozi wa uzao wa Simeoni, alitoa sadaka yake.
The fifth day Shelumiel the sonne of Zurishaddai, prince of the children of Simeon offered.
37 Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shaekali 130 na bakuli mojala fedha lenye uzani wa shekeli sabini kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
His offring was a siluer charger of an hundreth and thirtie shekels weight, a siluer boule of seuentie shekels, after the shekel of the Sanctuary, both ful of fine floure, mingled with oyle, for a meate offring,
38 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, uliojaa ubani.
A golden incense cup of ten shekels, full of incense,
39 Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mchanga, dume la kondoo, na dume la mwanakondoo la mwaka mmoja.
A yong bullocke, a ram, a lambe of a yeere olde for a burnt offring,
40 Alitoa beberu moja kuwa sadaka ya dhambi.
An hee goate for a sinne offring,
41 Alitao maksai wawili, dume wawili wa kondoo, beberu watano, na dume watano wa wanakondoo wa mwaka mmoja mmoja kuwa sadaka y amani. Hiindiyo iliyokuwa sadka ya Shelumei mwana wa Zurishadai.
And for a peace offring, two bullocks, fiue rammes, fiue hee goates, fiue lambes of a yere old: this was the offering of Shelumiel the sonne of Zurishaddai.
42 Siku ya sita, Eliasafu mwana wa Deuli, kiongozi wa uzao wa Gadi, alitoa sadaka yake.
The sixt day Eliasaph the sonne of Deuel prince of the children of Gad offred.
43 Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130 na bakuli la shaba lenye uzani wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo hivi vyote vilikuwa vimejaa unga mwembemba uliochanganywa na mafuta kwa ajili ya sadaka ya unga.
His offring was a siluer charger of an hundreth and thirtie shekels weight, a siluer boule of seuentie shekels, after the shekel of the Sanctuarie, both ful of fine floure, mingled with oyle, for a meate offring,
44 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
A golden incense cup of ten shekels, full of incense,
45 Alitoa sadaka ya kuteketezwa ya fahari changa, kondoo dume mmoja, na dume la mwanakondoo mmoja wa mwaka mmoja.
A yong bullocke, a ram, a lambe of a yere olde, for a burnt offring,
46 Alitoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi.
An hee goate for a sinne offring,
47 Alitoa maksai wawili, dume watano wa kondoo, beberu watano, na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Eliasafu mwana wa Deuli.
And for a peace offering, two bullockes, fiue rammes, fiue hee goates, fiue lambes of a yere olde: this was the offring of Eliasaph the sonne of Deuel.
48 Siku ya saba, Elishama mwana wa Amihudi, kiongozi wa uzao wa Efraimu, alitoa sadaka yake.
The seuenth day Elishama the sonne of Ammiud prince of the children of Ephraim offered.
49 Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130 na bakuli la fedha lenye uzani wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo hivi vyote ilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
His offring was a siluer charger of an hundreth and thirtie shekels weight, a siluer boule of seuentie shekels, after the shekel of the Sanctuary, both full of fine floure, mingled with oyle, for a meate offering,
50 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu, kilichojaa ubani
A golden incense cup of ten shekels, full of incense,
51 Alitoa sadaka ya kuteketezwa, fahari mmoja, kondoo dume mmoja, na mwanakondoo dume mmoja wa mwaka mmoja.
A yong bullocke, a ram, a lambe of a yeere olde for a burnt offring,
52 Alitoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi.
An hee goate for a sinne offring,
53 Alitoa maksai wawili, kondo dume watano, beberu watano, na na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja mmoja kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sdaka ya Elishama mwana wa Amidu.
And for a peace offring, two bullockes, fiue rammes, fiue hee goates, fiue lambes of a yeere olde: this was the offring of Elishama the sonne of Ammiud.
54 Siku y a nane, Gamaliel mwana wa Pedazuri, kiongozi wa uzao wa Manase, alitoa sadaka yake.
The eight day offred Gamliel the sonne of Pedazur, prince of the children of Manasseh.
55 Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli130 na bakuli moja la fedha lenye uzani wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
His offring was a siluer charger of an hundreth and thirtie shekels weight, a siluer boule of seuentie shekels, after the shekel of the Sanctuarie, both full of fine floure, mingled with oyle, for a meate offring,
56 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
A golden incense cup of ten shekels, full of incense,
57 Alitoa sadaka ya kuteketezwa ya fahari mmoja, kondoo dume mmoja, na mwanakondoo dume mmoja wa mwaka mmoja.
A yong bullocke, a ram, a lambe of a yeere olde for a burnt offring,
58 Alitoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi.
An hee goate for a sinne offring,
59 Alitoa maksai wawili, kondoo dume watano, beberu watano, na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja mmoja kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Gamaliel mwana wa Pedazuri.
And for a peace offring, two bullockes, fiue rammes, fiue hee goates, fiue lambes of a yeere olde: this was the offring of Gamliel the sonne of Pedazur.
60 Siku ya tisa, Abidani mwana wa Gidioni, kiongozi wa uzao wa Benjamini, alitoa sadaka yake.
The ninth day Abidan the sonne of Gideoni prince of the children of Beniamin offered.
61 Sadaka yake ilikuwa sahani moja yafedha yenye uzani wa sheli 130 na bakuli moja la fedha lenye uzito wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
His offring was a siluer charger of an hundreth and thirtie shekels weight, a siluer boule of seuentie shekels, after the shekel of the Sanctuarie, both full of fine floure, mingled with oyle, for a meate offring,
62 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
A golden incense cup of ten shekels, full of incense,
63 Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mmoja mchanga, kondoo dume mmoja, na mwanakondoo dume mmoja wa mwaka mmoja.
A yong bullocke, a ram, a lambe of a yeere olde for a burnt offring,
64 Alitoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi.
An hee goate for a sinne offring,
65 Alitoa makisai wawili, kondoo dume watano, beberu watano, na wanakondoo dume watano kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Abidani mwana wa Gidioni.
And for a peace offring, two bullockes, fiue rammes, fiue hee goates, fiue lambes of a yeere olde: this was the offring of Abidan the sonne of Gideoni.
66 Siku ya kumi, Ahizeri mwana wa Amishadai kiongozi wa Dani alitoa sadaka yake.
The tenth day Ahiezer the sonne of Ammishaddai, prince of the children of Dan offred.
67 Alitoa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shaekeli 130 na bakuli moja lenye uzani wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
His offring was a siluer charger of an hundreth and thirtie shekels weight, a siluer boule of seuentie shekels, after the shekel of the Sanctuarie, both full of fine floure, mingled with oyle, for a meate offring,
68 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzito wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
A golden incense cup of ten shekels full of incense,
69 Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mmoja mchanga, dume moja la kondoo, na dume moja la mwanakondoo wa mwaka mmoja.
A yong bullocke, a ram, a lambe of a yeere olde for a burnt offring,
70 Alitoa beberu moja kuwa sadaka ya dhambi.
An hee goate for a sinne offring,
71 Alitoa maksai wawili, kondoo dume watano, beberu watano, na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja mmoja, kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Ahizeri mwana wa Amishadai.
And for a peace offring, two bullocks, fiue rammes, fiue hee goates, fiue lambes of a yeere olde: this was the offring of Ahiezer the sonne of Ammishaddai.
72 Siku ya kumi na moja. Pagieli mwana wa Okrani kiongozi wa uzao wa Asheri alaitoa sadaka yake.
The eleuenth day Pagiel the sonne of Ocran, prince of the children of Asher offred.
73 Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130 na bakuli moja la fedha lenye uzani wa shekeli sabani, kwa kipimo cha shekeli ya mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi ilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
His offring was a siluer charger of an hundreth and thirtie shekels weight, a siluer boule of seuentie shekels, after the shekel of the Sanctuarie, both full of fine floure, mingled with oyle, for a meate offring,
74 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
A golden incense cup of ten shekels, ful of incense,
75 Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mmoja mchanga. dume la kondoo moja, dume moja la mwanakondoo wa mwaka mmoja.
A yong bullocke, a ram, a lambe of a yere olde for a burnt offring,
76 Alitoa beberu moja kuwa sadaka ya dhambi.
An hee goate for a sinne offring,
77 Alitoa maksai wawili, dume watano wa kondoo, na wanakondoo dume watano kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Pagieli mwana wa Okrani.
And for a peace offring, two bullockes, fiue rams, fiue he goates, fiue lambes of a yeere olde: this was the offring of Pagiel the sonne of Ocran.
78 Siku ya kumi na mbili., Ahira mwana wa Enani, kiongozi wa uzao wa Naftali, alitoa sadaka yake.
The twelfth day Ahira the sonne of Enan, prince of the children of Naphtali offred,
79 Sadaka yake ailikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shaekeli 130 na bakuli moja la fedha lenye uzani wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba ulichanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
His offring was a siluer charger of an hundreth and thirtie shekels weight, a siluer boule of seuentie shekels, after the shekel of the Sanctuarie, both full of fine floure, mingled with oyle, for a meate offring,
80 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
A golden incense cup of ten shekels, ful of incense,
81 Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mmoja mchanga, dume moja la kondoo, na mwanakondoo dume moja wa mwaka mmoja.
A yong bullocke, a ram, a lambe of a yere olde for a burnt offring,
82 Alitoa beberu moja kuwa sadaka ya dhambi.
An hee goate for a sinne offring,
83 Alitoa maksai wawili, kondoo dume watano, beberu watano, na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja mmoja kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Ahra mwana wa Enani.
And for peace offerings, two bullockes, fiue rammes, fiue hee goates, fiue lambes of a yeere olde: this was the offering of Ahira the sonne of Enan.
84 Viongozi wa Israeli waliviweka wakfu hivi vitu vyote siku ambayo Musa alimimina mafuta kwenye madhabahu. Waliziweka wakfu zile sahani kumi na mbili za fedha, Bakuli kumi na mbili za fedha, na vijiko kumi na vili vya dhahabu.
This was the dedication of the Altar by the princes of Israel, whe it was anointed: twelue chargers of siluer, twelue siluer boules, twelue incense cuppes of golde,
85 Zile sahani za fedha kila moja ilikuwa na uzani wa shaekeli 130 na kila bakuli ye fedha ilikuwa na uzani wa shekeli sabini. Vyombo vyote vya fedh vilikuwa na ujumla ya uzani wa shekeli 2, 400, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu.
Euery charger, conteining an hundreth and thirtie shekels of siluer, and euery boule seuentie: all the siluer vessell conteined two thousande and foure hundreth shekels, after the shekell of the Sanctuarie.
86 Vile vijiko vya dhahabu vilivyokuwa vimejaa ubani, vilikuwa na uzani wa shekeli kumi kila kimoja. Vijiko vyote vya dhahabu vilikuwa na uzani wa shekeli 120.
Twelue incense cups of gold ful of incense, conteining ten shekels euery cup, after the shekell of the Sanctuarie: all the gold of the incense cups was an hundreth and twentie shekels.
87 Waliwatenga wanyama wote kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa, fahari kumi na wawili, kondoo dume kumi na wawili, na wanakondoo dume kumi na wawili wa mwaka mmoja mmoja. Walitoa sadaka yao ya unga. Walitoa beberu kumi na wawili kuwa sadaka ya dhambi.
All the bullockes for the burnt offering were twelue bullocks, the rams twelue, the lambs of a yeere olde twelue, with their meate offrings, and twelue hee goates for a sinne offring.
88 Kutokana na ng'ombe zao, walitoa fahari ishirini na nne, kondoo dume sitini beberu sitini, na wanakondoo dume sitini wa mwaka mmoja mmoja kuwa sadaka ya amani. Hii ilikuwa kwa ajiliya kuiweka wafu ile madhabahu baada ya kumiminiwa mafuta.
And all the bullocks for the peace offrings were foure and twentie bullockes, the rammes sixtie, the hee goates sixtie, the lambes of a yeere olde sixtie: this was the dedication of the Altar, after that it was anointed.
89 Musa alipoingia kwenye hema ya kukutania kusema na BWANA, ndipo alipoisikia sauti yake ikisema naye. BWANA alinena naye kutoka juu ya kiti cha rehema kilichokuwa juu ya sanduku la ushahidi, kutoka katikati ya makerubi. Alinena naye.
And when Moses went into the Tabernacle of the Congregation, to speake with God, he heard the voyce of one speaking vnto him from the Merciseat, that was vpon the Arke of the Testimonie betweene the two Cherubims, and he spake to him.

< Hesabu 7 >