< Hesabu 6 >

1 BWANA alinena na Musa. Akamwabia,
Hina Gode da Mousesema e da Isala: ili dunu ilima amane alofele sia: ma: ne sia: i, “Nowa dunu o uda da Na: salaide hamoma: ne amola Hina Godema fawane fa: no bobogema: ne dafawaneyale ilegesea, e da waini hano amola adini hamedafa manu. E da hano amo da waini fagega hamoi, waini fage amola hafoga: i waini fage huluane hamedafa manu.
2 'Nena na wana wa Israeli, uwaambie, 'Kama mume au mke ataweka nadhiri kwa BWANA kwa kiapo maalumu cha mnadhiri, ndipo atajiepusha na divai na vileo. hatakunywa siki itokanayo na divai.
3 Asinywe kileo kitokanacho na siki au kilevi. Asinywe maji ya divai yeyote au kula zabibu mbichi wala zilizokauka.
4 Katika siku zote ambazo amejitenga kwa ajili yangu, asile chochote kinachotokana na zabibu, wala kitu chochote kitokanacho na makokwa hadi maganda.
E da Na: salaide ilegei hou amo ganodini esalea, e da waini fage liligi, oso amola gadofo huluanedafa hame manu. Amo da ema sema gala.
5 Wakati wote wa nadhiri yake, wembe usiipite kichwani mwake mpaka siku zake za nadhiri kwa BWANA zitimilike. Lazima ajitenge kwa BWANA. Ataziacha nywele zake zikue kichwani mwake.
E da Na: salaide ilegei hou amo ganodini esalea, e da ea dialuma hinabo luga hamedafa damumu amola ea maya: bo hame waga: mu. E da eso huluane Hina Godema ilegei esoga ea ilegesu amoga la: la: gi dagoi agoane ba: mu. Amola ea dialuma amola ea maya: bo da udigili agoane alemu.
6 Wakati wote wa kujidhiri kwake kwa BWANA, asiikaribie maiti.
Na: salaide dunu ea dialuma hinabo, e da Godema ilegei amo ilegesu olelesu agoane gala. Amaiba: le, e da ledo hamosa: besa: le, bogoi da: i hodo gadenene masunu da ema sema bagade. Dafawane! Amola ea ada o ame, yolalia o dalusilali bogosea, e da amo da: i hodo gadenene hamedafa masunu.
7 Asijinajisi kwa namna yeyote hata kama atakufa baba yake, mama, dada, au ndugu yake. Hii ni kwa sababu amejitenga kwa ajili ya Mungu, kama ambavyo kila mmoja anavyoweza kumuona kwa uerfu wa nywele zake.
8 Wakati wote wa kujidhiri kwake atakuwa mtakatifu, alijitunza kwa ajili ya BWANA.
E da Na: salaide dunu esalea, e da Hina Godema ilegele mogiligai dagoi ba: mu.
9 Ikitokea mtu amekufa ghafla pembeni yake na kukitia unajisi kichwa chake kitakatifu, ndipo atakaponyoa kichwa chake katika siku ya kujitakasa —Siku ya saba atanyoa kichwa chake.
Be Na: salaide dunu da dunu amo da hedolo bogosea, amo gadenene lelebeba: le, e da eso fesuale ouesalu, amasea dialuma hinabo amola ea maya: bo waga: ma: mu. Amasea, ea ledo hamoi da fadegai dagoi ba: mu.
10 Siku ya nane atamletea kuhani njiwa wawili au makinda mawili ya njiwa kwenye lango la hema ya kukutania.
Eso godo amoga, e da ‘dafe’ sio aduna o musuni aduna amo Hina Gode Ea Abula Diasu logo holeiga gaguli misini, gobele salasu dunu ema imunu.
11 Naye kuhani atamtoa ndege mmoja kama sadaka ya dhambi na mwingine kama sadaka ya kuteketezwa. Hawa watafanyika sadaka ya upatanisho kwake kwa sababu atakuwa ametenda dhambi ya kuwa karibu na mfu. Atatakasika kichwa chake siku hiyo.
Gobele salasu dunu da sio afadafa amo Wadela: i Hou Gogolema: ne Olofoma: ne Iasu hamomu amola sio eno amo Wadela: i Hou Dabe Ima: ne Iasu agoane hamomu. Amo dunu da bogoi da: i hodo gadenene ahoabeba: le, ledo hamoi, amo dodofema: ne agoane hamosa. Amo esoga, amo dunu da ea dialuma hinabo bu Godema Na: salaide hou defele mogiligale ilegemu.
12 Atajitenga kwa BWANA tena katika siku hizo za utakaso. Ataleta kondoo mume mwenye umri wa mwaka mmoja kama sadaka ya hatia. Zile siku zake kabla ya kunajisika hazitahesabiwa, kwa sababu kujiweka wakfu kwake kulinajisika.
E da Hina Godema ea Na: salaide eso hamosu bu mogiligale ilegemu. E da musa: eso hamoi amo da bu hame dawa: mu. Bai ea dialuma hinabo mogili gagale ilegei da ledo hamoi dagoi. E da Dabe Iasu hamoma: ne, sibi mano ode afae lalelegei, amo gaguli misunu.
13 Hii ndiyo sheria ya mnadhiri wakati wa muda wa kujidhiri unapokuwa umetimia. Ataletwa kwenye mlango wa hema ya kukutania.
Na: salaide dunu da ea ilegei eso huluane hamoi dagosea, e da agoane hamomu. E da Hina Gode Ea Abula Diasu logo holeiga asili,
14 Ataleta sadaka yake kwa BWANA. Atatoa mwanakondoo mume wa mwaka mmoja asiye na hila kama sadaka ya kuteketezwa. Ataleta kondoo mke wa mwaka mmoja asiye na hila kama sadaka ya dhambi. Ataleta kondoo mume asiye na hila kama sadaka ya amani.
ohe udiana noga: i (ledo hamedei) amo Hina Godema imunu. Amo da ode afae lalelegele esala gawali sibi mano Wadela: i Hou Dabe Ima: ne Iasu hamoma: ne; amola ode afae lalelegei aseme sibi mano Wadela: i Hou Gogolema: ne Olofoma: ne Iasu hamoma: ne amola sibi gawali amo Hahawane Gilisili Olofole Iasu hamoma: ne.
15 Ataleta kikapu cha mikate iliyotengenezwa bila amira, mikate ya unga mwembamba iliyokandwa kwa mafuta, mikate ya kaki isiyo na amira iliyopakwa mafuta, pamoja na sadaka za unga na sadaka za vinywaji.
Amola e da daba amo ganodini da agi ga: gini gagai (yisidi hame gala) imunu. Amo agi da gadugagi ba: mu amola falaua amola olife susuligi gilisili bibiagoi amoga hamoi. Amola ga: gi abenai amoga olife susuligi da unasi amola e da gala: ine amola waini hano ilegei iasu gaguli misa: mu.
16 Kuhani atawaleta mbele za BWANA. Atazitoa hizo sadaka zake za dhambi na kuteketezwa.
Gobele salasu dunu da amo liligi huluane Hina Godema imunu. Amola e da Wadela: i Hou Gogolema: ne Olofoma: ne Iasu amola Wadela: i Hou Dabe Ima: ne Iasu amo gobele salimu.
17 Na kikapu cha mikate isiyowekwa amira, atamtoa yule kondoo mume kama sadaka ya amani kwa BWANA. Pia kuhani atatoa hiyo sadaka ya unga na sadaka ya vinywaji.
E da Hahawane Gilisili Olofole Iasu hamoma: ne, sibi gawali amola agi sali daba amo gilisili imunu. Amola, e da gala: ine amola waini hano imunu.
18 Mnadhiri atanyoa nywele zake kama ishara ya kujitenga kwa ajili ya Mungu kwenye mlango wa hema ya kukutania. Atazitoa nywele zake kichwani kwake na kuzichoma kwa moto ulio chini ya sadaka ya amani.
Na: salaide dunu da Abula Diasu logo holeiga asili, ea dialuma hinabo waga: ne, lalu amoga Hahawane Gilisili Olofole Iasu da hamonanebe, amoga ligisima: mu.
19 Kuhani atachukua bega la kondoo mume lililotokoswa, na mkate usiotiwa amira toka kikapuni, na mkate mmoja wa kaki usiotiwa amira. Atauweka kwenye mikono ya Mnadhiri baada ya kuwa amenyoa nywele kwa ishara ya kujidhiri.
Amasea, sibi gawali ea bea dagai da gobei dagosea, gobele salasu dunu da amo amola gadugagi agi ga: gi afae amola belowagi dabaga lale, Na: salaide dunu amo ea lobo ganodini ligisimu.
20 Kisha kuhani atavitikisa kuwa sadaka kwa BWANA, sehemu takatifu kwa kuhani, pamoja na kidari cha kutikiswa na paja lililotolewa kwa kwa kuhani. Baadaye, Mnadhiri anaweza kunywa divai.
Amasea, gobele salasu dunu da amo liligi, Hina Godema imunu. Ilia da gobele salasu dunuma ima: ne, hadigi iasu agoane hamoi. E da amo liligi amola sibi gawali ea bidegi amola emo (Isala: ili sema ganodini, amo da gobele salasu dunu ea: ) amo lamu. Amo fa: no, Na: salaide dunu da waini manu defea.
21 Hii ndiyo sheri ya Mnadhiri anayeapia sadaka yake kwa BWANA kwa ajili ya kujidhiri kwake. Chochote atakachotoa, lazima afanye kama alivyoapa, kuilinda ahadi yake kama ilivyoaniswa katika sheria ya Mnadhiri.
Amo dedei liligi da Na: salaide dunu ilia sema. Be Na: salaide dunu da Na: salaide sema amo baligimusa: ilegele sia: sea, amola baligili iasu imunusa: ilegesea, e da amo baligi ilegei defele noga: le hamoma: mu.
22 Tena BWANA akanena na Musa, akasema,
Hina Gode da Mousesema e da Elane amola egefelali ilima alofele sia: ma: ne sia: i, “Dilia da Isala: ili dunuma, ili hahawane esaloma: ne hahawane dogolegele sia: sea, amane sia: ma,
23 “nena na Harunu na wanawe. Uwaambie, 'mtawabariki wana wa Israeli kwa njia hii. Mtawaambia,
24 BWANA na awabariki na kuwatunza.
‘Hina Gode da dilima hahawane dogolegele hamomu amola dili noga: le ouligimu da defea.
25 BWANA na awaangazie nuru ya uso wake na awe mwenye neema kwenu.
Hina Gode da dilima asigimu amola dilima gogolema: ne olofosu hou olelemu da defea.
26 BWANA na awatazame kwa neema na awape amani.'”
Hina Gode da dili hahawane ba: mu amola dilima olofosu imunu da defea.’”
27 Ni kwa jinsi hii kwamba wanaweza kuwapa jina langu wana wa Israeli.”
Amola, Hina Gode da amane sia: i, “Elane amola ea mano da Na Dioba: le, Isala: ili dunuma hahawane dogolegele hamoma: ne sia: iasea, Na amola da ilima hahawane dogolegele hamomu.”

< Hesabu 6 >