< Hesabu 4 >

1 BWANA akanena na Musa na Haruni. Akasema,
El Señor le dijo a Moisés y Aarón:
2 Fanya sensa ya uzao waume wa Kohathi kutoka kwa Walawi, kwa kufuata jamaa na na familia za koo.
“Registra a los descendientes de Coat de la tribu de Leví, de acuerdo a su familia y línea paterna.
3 Uwahesabu wanaume ambao wana umri wa miaka thelathini hadi miaka hamsini. Hawa wataungana na kundi linalotumika kutoa huduma kwenye hema ya kukutania.
Cuenta a los hombres de treinta a cincuenta años y que tengan derecho a hacer el trabajo de servir en el Tabernáculo de Reunión.
4 Uzao wa Kohathi watalinda vile vitu vitakatifu zaidi vilivyohifadhiwa kwa ajili yangu katika hema ya kukutania.
Este trabajo que deben hacer en el Tabernáculo de Reunión implica cuidar las cosas más sagradas.
5 Wakati kambi inapojiandaa kusonga mbele, Haruni na wanawe lazima waende hemani, kulishusha pazia linalotenganisha mahali patakatifu na kulifunika sanduku la ushuhuda kwa pazia hilo. Watalifunika hilo sanduku kwa ngozi za pomboo.
Cada vez que muevan el campamento, Aarón y sus hijos entrarán, quitarán el velo y lo colocarán sobre el Arca del Testimonio.
6 Watatandika juu yake nguo za rangi ya samawi. Watachomeka hiyo miti ya kubebea.
Sobre esto pondrán una fina cubierta de cuero, extenderán un paño de color azul sólido sobre ella, y luego insertarán las varas para transportarlo.
7 Watatandika nguo ya rangi ya samawi kwenye meza ya mikate ya wonyesho. Juu yake wataweka sahani, vijiko, mabakuli na vikombe vya kumiminia. Mikate itakuwepo daima mezani.
Que extiendan también un paño azul sobre la mesa de la Presencia, y que pongan sobre ella los platos y las copas, así como los cuencos y las jarras para la ofrenda de bebida. La ofrenda permanente de pan debe permanecer sobre ella.
8 Wataifunika na nguo ya rangi nyekundu na ngozi za pomboo. na kuweka miti ya kubebea.
Sobre todas estas cosas deben extender un paño carmesí, luego una fina cubierta de cuero, y luego insertar las varas para transportarla.
9 Watachukua nguo ya rangi ya samawi na kukifunika kinara, pamoja na taa zake, na koleo zake, na sahani zake na vikombe vyake vya kuwekea mafuta ya taa.
“Con un paño azul cubrirán el candelabro de luz, junto con sus lámparas, pinzas de mecha y bandejas, así como los frascos de aceite de oliva que se usan para llenarlos.
10 Wataweka kinara na vifaa vyake vikiwa vimefunikwa na ngozi ya pomboo, na wataweka kwenye miti ya kukibebea.
Luego deben envolverlo junto con todos sus utensilios dentro de una fina cubierta de cuero y colocarlo enel bastidor para transportarlo.
11 Watafunika na nguo ya samawi katika madhabau ya dhahabu. Wataifunika na ngozi za pomboo, na kuweka ile miti ya kubebea.
Deben extender un paño azul sobre el altar de oro, cubrirlo con cuero fino, y luego insertar sus varas para transportarlo.
12 Watavichukua vyombo vyote vya kazi takatifu na kuvizonga kwenye hiyo nguo ya rangi ya samawi. Watavifunika na ngozi za pomboo na kuviweka hivyo vyombo kwenye miti ya kubebea.
Deben colocar todos los utensilios usados para el servicio en el santuario en un paño azul, cubrirlos con cuero fino y colocarlos en el bastidor para transportarlos.
13 Watayaondoa majivu kwenye madhabahu na kutandika nguo ya rangi ya zambarau juu yake.
“Que limpien las cenizas del altar de bronce y extiendan un paño morado sobre él,
14 Watavieka kwenye miti ya kubebea vyombo vyote wanavyovitumia kwa kazi ya madhabahuni. Vyombo hivi ni vyetezo, majembe, mabakuli na vitu vingine vya madhabahuni. Wataifuniks madhabahu na ngozi za pomboo na kuweka ile miti ya kubebea.
y que pongan sobre él todo el equipo usado en los servicios del altar: los fogones, los tenedores para la carne, las palas y los aspersores. Extiendan sobre él una fina cubierta de cuero y luego inserten las varas para transportarlo.
15 Wakati Haruni na wanawe walipokuwa wamekamilisha kupafunika mahali patakatifu na vyombo vyote, na kambi itakapoanza kuendelea mbele, ndipo wana wa Kohathi watakapokuja kubeba vitu vya mahali patakatifu. Kama watagusa vyombo vitakatifu, lazima watakufa. Hii ni kazi ya wana wa uzao wa Kohathi, kubeba mapambo ya hema ya kukutania.
“Una vez que Aarón y sus hijos hayan terminado de cubrir estas cosas sagradas y todo el equipo relacionado con ellas, cuando el campamento esté listo para moverse, los sacerdotes de la familia Coat vendrán y las llevarán. Pero tienen prohibido tocar cualquier cosa sagrada, de lo contrario morirán. Estas son sus responsabilidades a la hora de trasladar el Tabernáculo de Reunión.
16 Eliazari mwana wa Haruni kuhani atalinda na kusimamia mafuta ya taa, ubani mzuri, sadaka za mara kwa mara na mafuta ya upako. Atasimamia ulinzi wa hema lote na vyote vilivyomo, mahali patakatifu na vyombo vyake.”
“Eleazar, hijo del sacerdote Aarón, supervisará la obtención del aceite de oliva para las lámparas, el incienso aromático, la ofrenda de grano diaria y el aceite de la unción. Estará a cargo de todo el Tabernáculo y todo lo que hay en él, todas las cosas sagradas y el equipo”.
17 BWANA akanena na Musa na Haruni. Akasema,
Entonces el Señor le dijo a Moisés y Aarón:
18 Usiruhusu kabila la Wakohathi kuondolewa kati ya Walawi.
“Asegúrense de que las familias de Coat no sean eliminadas entre los levitas.
19 Walinde waishi ili wasije wakafa, kwa kufanya hivi. Wanapokuwa wanasogelea
Esto es lo que tienes que hacer para que vivan y no mueran por acercarse demasiado a un objeto sagrado: Aarón y sus hijos deben entrar y decirle a cada uno de ellos lo que tienen que hacer y lo que tienen que llevar.
20 wasije wakaingia ndani ili kuona eneo takatifu hata kwa kitambo, vinginevyo watakufa. Bali Haruni na wanawe wanaweza kuingia, ndipo Haruni na Wanawe watakapowapangia Wakohathi kazi maalumu ya kufanya, kwa kila mmoj.”
Pero no deben entrar y mirar las cosas más sagradas, ni siquiera por un momento, de lo contrario morirán”.
21 BWANA akanena na Musa tena, Akasema, “Fanya sensa kwa wana Gerishoni pia, kwa kufuata familia za mababu zao, koo zao.
El Señor le dijo a Moisés:
22 Uwahesabu wale wenye umri wa mika thelathini hadi miaka hamsini.
“Registra a los descendientes de Gersón, según su familia y el linaje paterno.
23 Uwahesabu wote ili waje kuungana na wale wanaotumika katika hema ya kukutania.
Cuenta a los hombres de treinta a cincuenta años que tengan derecho a hacer el trabajo de servir en el Tabernáculo de Reunión.
24 Hii ndiyo itakuwa kazi ya koo za Gerishoni, wanapotumikia na wanachobeba.
Así es como las familias de Gersón servirán en cuanto a trabajo y el traslado:
25 Watabeba pazia la masikani, hema la kukutania, na vifunikio vyake, vifuniko vya ngozi ya pomboo ambvyo viko juu yake, na pazia kwenye lango la hema ya kukutania.
levarán las cortinas del Tabernáculocon su fina cubierta de cuero, las cortinas de la entrada del Tabernáculo de Reunión,
26 Watabeba pazia la ua, pazia la kwenye mlango wa ua, ambao uko karibu na maskani karibu na madhabahu, kamba zake na vifaa vyote vya utumishi wake. Chochote kinachotakiwa kufanywa kutokana na vitu hivi, wao ndio watakaofanya.
las cortinas del patio, la cortina de la entrada del patio que rodea el Tabernáculo y el altar, las cuerdas y todo lo relacionado con su uso. Las familias de Gersón son responsables de todo lo que se requiera en relación con estos artículos.
27 Haruni na wanawe ndio watakaongoza utumishi wa uzao wa Wagerishoni, kwa vitu vyote vile vya kusafirisha, na katika utumishi wao wote. Lazima uwagawie majukumu yao yote.
Todo lo que hagan estará bajo la supervisión de Aarón y sus hijos, así como todo el trabajo y las tareas que lleven a cabo. Debes decirles todo lo que deben llevar.
28 Huu ndio utumishi wa koo za uzao wa wana wa Wagerishoni katka hema ya kukutania. Ithamari mwana wa Haruni kuhani atawaongoza katika utumishi.
Estas son sus responsabilidades para el traslado del Tabernáculo de Reunión, realizado bajo la dirección de Itamar, hijo del sacerdote Aarón.
29 Utawahesabu uzao wa Merari kwa koo zao, na uwapange katika familia za mabau zao,
“Registra los descendientes de Merari, según su familia y linaje paterno.
30 kuanzia wenye umri wa miaka thelatini hadi miaka hamsini. Umuhesabu kila atakayeungana na kundi lenye utumishi katika hema ya kukutania.
Cuenta a los hombres de treinta a cincuenta años que tengan derecho a realizar el trabajo de servir en el Tabernáculo de Reunión.
31 Huu ndio wajibu na kazi yao katika utumishi wao kwenye hema ya kukutania. Watazilinda mbao za maskani, mataluma yake, nguzo na makalishio yake,
Así es como servirán en el manejo del Tabernáculo de Reunión: llevarán los marcos del Tabernáculo con sus travesaños, postes y soportes,
32 pamoja na nguzo za ua zinazozunguka masikani, makalishio yake, vigingi na kamba zake, na vifaa vinginevya ujenzi. Waorodheshe kwa majina na majukumu yao.
los postes del patio circundante con sus soportes, estacas y cuerdas, todo su equipo y todo lo relacionado con su uso. Debes decirles por su nombre lo que cada uno debe llevar.
33 Huu ndio utumishi wa koo za uzao wa Merari, ambao wanatakiwa kufanya katika hema ya kukutania, chini ya uongozi wa Ithmari mwana wa Haruni kuhani.”
Estas son sus responsabilidades por todo su trabajo en el traslado del Tabernáculo de Reunión, realizado bajo la dirección de Itamar, hijo del sacerdote Aarón”.
34 Musa na Haruni na viongozi wa watu waliwahesabu wana wa uzao wa Wakohathi kwa kufuata koo za familia za mababu zao.
Moisés, Aarón y los líderes israelitas registraron a las familias de Coat según el linaje de su familia y de su padre.
35 Waliwahesabu wale wenye umri wa miaka thelathini hadi miaka hamsini. Walimhesabu kila mmoja aliyepaswa kuungana na kundi linalotoa huduma ya utumishi kwenye hema ya kukutania.
Contaban a los hombres de treinta a cincuenta años que tenían derecho a hacer el trabajo de servir en el Tabernáculo de Reunión.
36 Waliwahesabu wanaume 2, 750 kwa kufuata koo zao.
El total por familias fue de 2.750.
37 Musa na Haruni waliwahesabu wanaume wote kutoka koo na familia za Wakohathi ambao hutumika kwenye hema ya kukutania. Walifanya hivi kwa kumtii BWANA aliyewaagiza kupitia kwa Musa.
Este fue el total de las familias de Coat, y eran todos los que tenían derecho a hacer el trabajo de servir en el Tabernáculo de Reunión. Moisés y Aarón los registraron de acuerdo con las instrucciones que el Señor le dio a Moisés.
38 Uzao wa Gerishoni walihesabiwa kufuata koo na familia za mababu zao,
Las familias de Gersón fueron contadas, de acuerdo a su familia y linaje paterno,
39 kuanzia umri wa miaka thelathini hadi miaka hamsini, kwa kila mmoja aliyetakiwa kuungana na watu wanaotoa huduma kwenye hema ya kukutania.
hombres de treinta a cincuenta años de edad todos ellos con derecho a hacer el trabajo de servir en el Tabernáculo de Reunión.
40 Wanaume wote waliohesabiwa kufuata koo na familia za mababu zao walikuwa 2, 630.
El total por familias y linaje paterno fue de 2.630.
41 Musa na Haruni walizihesabu koo za uzao wa Gerishoni ambao watatumika kwenye hema ya kukutania. Walifanya hivi ili kutii ambacho BWANA aliwaamuru kufanya kuptia kwa Musa.
Este fue el total de las familias de Gersón, todos los que tenían derecho a hacer el trabajo de servir en el Tabernáculo de Reunión. Fueron registrados por Moisés y Aarón de acuerdo con las instrucciones del Señor.
42 Uzao wa Merari walihesabiwa kwa koo kupitia familia za mababu zao,
Las familias de Merari fueron contadas, según el linaje familiar y paterno,
43 kuanzia wenye umri wa miaka thelathini hadi miaka hamsini, kila anayepaswa kuungana na watu wanaotumika kwenye hema ya kukutania.
hombres de treinta a cincuenta años de edad, todos ellos con derecho a realizar el trabajo de servir en el Tabernáculo de Reunión.
44 Wanaume wote waliohesabiwa kupitia koo za familia za mababu zao walikuwa 3. 200.
El total por familias fue de 3.200.
45 Musa na Haruni waliwahesabu wanaume hawa, uzao wa Merari. Kw kufanya hivi walitii amri ya BWANA aliyowaaagiza kufanya kupitia kwa Musa.
Este fue el total de las familias de Merari registradas por Moisés y Aarón de acuerdo con las instrucciones del Señor.
46 Kwa hiyo Musa na Haruni na viongozi wa Israeli waliwahesabu Walawi wote kw kufuata koo na familia za mababu zao
Así es como Moisés, Aarón y los líderes israelitas registraron a todos los levitas de acuerdo a su familia y linaje paterno.
47 kuanzia wenye umri wa miaka thelathini hadi miaka hamsini. walimhesabu kila aliyepaswa kufanya kazi kwenye masikani, na kila aliyepaswa kubeba na kulinda vitu vya kwenye hema ya kukutania.
Contarona los hombres de treinta a cincuenta años que tenían derecho a hacer el trabajo de servir en el Tabernáculo de Reunión y llevarlo.
48 Waliwahesabu wanaume 8, 580.
La suma total fue de 8.580.
49 Kwa agizo la BWANA, Musa alimhesabu kila mwanamume na kutunza kumbukumbu ya kazi ambayo kila mmoja anaweza kufanya. Kwa hivyo, walitii kile ambacho BWANA alikuwa amewaagiza kufanya kupitia kwa Musa.
Fue en respuesta a las instrucciones del Señor que fueron registrados por Moisés. A cada uno de los inscritos se les dijo qué hacer y qué llevar, tal como el Señor se lo había ordenado a Moisés.

< Hesabu 4 >