< Hesabu 36 >

1 Kisha wale viongozi wa nyumba za mababa wa ukoo wa Gileadi mwana wa Machiri (ambaye alikuwa mwana wa Manase), ambao walikuwa wa ukoo wa uzao wa Yusufu, walikuja wakasema mbele za Musa na mbele za vionigozi wa familia za mababa wa watu wa Israeli.
Silloin Gileadin, Maakirin pojan, Manassen pojanpojan, suvun perhekuntapäämiehet, jotka olivat Joosefin poikien sukua, astuivat esiin ja puhuivat Moosekselle ja ruhtinaille, israelilaisten perhekunta-päämiehille,
2 Wakasema, “BWANA alikuamuru, wewe bwana wetu, kutupa mgawo wa ardhi kwa kura kwa wana wa Israeli. Uliamuriwa na BWANA kutoa mgawo wa Zerofehadi kaka yetu kwa binti zake.
ja sanoivat: "Herra käski herrani jakaa sen maan arvalla israelilaisille perintöosaksi, ja herrani sai käskyn Herralta antaa Selofhadin, meidän veljemme, perintöosan hänen tyttärillensä.
3 Lakini hawa binti wameolewa na wanaume toka kabila zingine za wana wa Israeli, basi mgawo wao wa ardhi utaondolewa kutoka kwenye mgawo wa mababa zao. Utaongezwa kwenye mgawo wa makabila ambayo wao wanaungana nao. Kwa sababu hiyo, Utaondolewa kwenye mgawo uliopangwa kwenye urithi wetu.
Mutta jos he joutuvat vaimoiksi joillekin israelilaisten muiden heimojen pojista, niin heidän perintöosansa siirtyy pois meidän isiemme perintöosasta ja liitetään sen sukukunnan perintöosaan, johon he tulevat kuulumaan, mutta meidän perintöosamme vähenee.
4 Kwa sababu hiyo, wakati wa mwaka wa yubilee ya wana wa Israeli utakapofika, mgawo wao utaunganishwa na kabila ile waliyoungana nao. Kwa sababu hii mgawo wao utaondolewa kwenye mgawo wa mababa zetu.”
Ja kun israelilaisten riemuvuosi tulee, niin heidän perintöosansa lisätään sen sukukunnan perintöosaan, johon he tulevat kuulumaan, mutta meidän isiemme sukukunnan perintöosasta vähentyy heidän perintöosansa."
5 Basi Musa akawapa amri wana wa Israeli, kwa neno la BWANA. Akasema, “Kile wanachosema watu wa kabila la Yusufu kiko sahihi.
Silloin Mooses sääti israelilaisille Herran käskyn mukaan, sanoen: "Joosefilaisten sukukunta puhuu oikein.
6 Hiki ndicho BWANA anaagiza kuhusu mabinti wa Zelofehadi. Anasema, 'Acha waolewa na wale ambao wao wanaofikri ni vizuri zaidi, lakini lazima waolewe ndani ya kabila ya baba yao.'
Näin Herra säätää Selofhadin tyttäristä: Menkööt he vaimoiksi kenelle tahtovat, kunhan vain menevät vaimoiksi johonkin isänsä sukukunnan sukuun.
7 Hakuna mgawo wa watu utakaobadilika kutoka kabila moja kwenda jingine. Kila mtu wa Israeli ataendelea na mgawo wa kabila ya baba y ake.
Sillä älköön israelilaisilla perintöosa siirtykö sukukunnasta toiseen, vaan israelilaiset säilyttäkööt kukin isiensä sukukunnan perintöosan.
8 Kila mwanamke wa watu wa Israeli aliye na mgao kwenye kabila lake lazima aolewe na mtu wa ukoo unaotoka kwenye kabila la baba yake. Hii itafanyika hivyo ili kila mtu wa wana wa Israeli aweze kuwa na urithi kutoka kwa mababa zake.
Mutta jokainen tytär, joka saa perintöosan israelilaisten sukukunnissa, menköön vaimoksi johonkin isänsä sukukunnan sukuun, että israelilaiset saisivat periä kukin isiensä perintöosan
9 Hakuna mgawo utakaobadilika kutoka kabila nyingine kwenda kabila nyingine. Kila mtu wa kabila za watu wa Israeli atalinda urithi wake.”
ja ettei perintöosa siirtyisi sukukunnasta toiseen, vaan israelilaisten sukukunnat säilyttäisivät kukin perintöosansa."
10 Kwa hiyo wale binti wa Zelofehadi walifanya kama vile BWANA alivyokuwa amemwamuru Musa. Mahila, Tiriza, Hogila, Milika, na Noha, binti za
Niinkuin Herra Moosekselle käskyn antoi, niin Selofhadin tyttäret tekivät.
11 Zelofehadi, waliolewa na wana wa uzao wa Manase.
Ja Mahla, Tirsa, Hogla, Milka ja Nooga, Selofhadin tyttäret, menivät vaimoiksi setiensä pojille.
12 Waliolewa katika koo za uzao wa Manase mwana wa Yusufu. Kwa sababu hii, urithi wao ulibaki kwenye kabila la ukoo ambalo baba yao alikuwa anatoka.
Joosefin pojan Manassen poikien sukuihin he menivät vaimoiksi; ja niin heidän perintöosansa jäi heidän isänsä suvun sukukuntaan.
13 Hizi ndizo amri na maagizo ambayo BWANAaliyatoa kupitia Musa kwa wana wa Israeli katika nyanda za Moabu karibu na Yorodani huko Yeriko.
Nämä ovat ne käskyt ja säädökset, jotka Herra Mooseksen kautta antoi israelilaisille Mooabin arolla Jordanin rannalla, Jerikon kohdalla.

< Hesabu 36 >