< Hesabu 36 >

1 Kisha wale viongozi wa nyumba za mababa wa ukoo wa Gileadi mwana wa Machiri (ambaye alikuwa mwana wa Manase), ambao walikuwa wa ukoo wa uzao wa Yusufu, walikuja wakasema mbele za Musa na mbele za vionigozi wa familia za mababa wa watu wa Israeli.
and to present: come head: leader [the] father to/for family son: descendant/people Gilead son: child Machir son: child Manasseh from family son: descendant/people Joseph and to speak: speak to/for face: before Moses and to/for face: before [the] leader head: leader father to/for son: descendant/people Israel
2 Wakasema, “BWANA alikuamuru, wewe bwana wetu, kutupa mgawo wa ardhi kwa kura kwa wana wa Israeli. Uliamuriwa na BWANA kutoa mgawo wa Zerofehadi kaka yetu kwa binti zake.
and to say [obj] lord my to command LORD to/for to give: give [obj] [the] land: country/planet in/on/with inheritance in/on/with allotted to/for son: descendant/people Israel and lord my to command in/on/with LORD to/for to give: give [obj] inheritance Zelophehad brother: male-sibling our to/for daughter his
3 Lakini hawa binti wameolewa na wanaume toka kabila zingine za wana wa Israeli, basi mgawo wao wa ardhi utaondolewa kutoka kwenye mgawo wa mababa zao. Utaongezwa kwenye mgawo wa makabila ambayo wao wanaungana nao. Kwa sababu hiyo, Utaondolewa kwenye mgawo uliopangwa kwenye urithi wetu.
and to be to/for one from son: descendant/people tribe son: descendant/people Israel to/for woman: wife and to dimish inheritance their from inheritance father our and to add upon inheritance [the] tribe which to be to/for them and from allotted inheritance our to dimish
4 Kwa sababu hiyo, wakati wa mwaka wa yubilee ya wana wa Israeli utakapofika, mgawo wao utaunganishwa na kabila ile waliyoungana nao. Kwa sababu hii mgawo wao utaondolewa kwenye mgawo wa mababa zetu.”
and if to be [the] jubilee/horn to/for son: descendant/people Israel and to add inheritance their upon inheritance [the] tribe which to be to/for them and from inheritance tribe father our to dimish inheritance their
5 Basi Musa akawapa amri wana wa Israeli, kwa neno la BWANA. Akasema, “Kile wanachosema watu wa kabila la Yusufu kiko sahihi.
and to command Moses [obj] son: descendant/people Israel upon lip: word LORD to/for to say right tribe son: descendant/people Joseph to speak: speak
6 Hiki ndicho BWANA anaagiza kuhusu mabinti wa Zelofehadi. Anasema, 'Acha waolewa na wale ambao wao wanaofikri ni vizuri zaidi, lakini lazima waolewe ndani ya kabila ya baba yao.'
this [the] word: thing which to command LORD to/for daughter Zelophehad to/for to say to/for pleasant in/on/with eye: appearance their to be to/for woman: wife surely to/for family tribe father their to be to/for woman: wife
7 Hakuna mgawo wa watu utakaobadilika kutoka kabila moja kwenda jingine. Kila mtu wa Israeli ataendelea na mgawo wa kabila ya baba y ake.
and not to turn: turn inheritance to/for son: descendant/people Israel from tribe to(wards) tribe for man: anyone in/on/with inheritance tribe father his to cleave son: descendant/people Israel
8 Kila mwanamke wa watu wa Israeli aliye na mgao kwenye kabila lake lazima aolewe na mtu wa ukoo unaotoka kwenye kabila la baba yake. Hii itafanyika hivyo ili kila mtu wa wana wa Israeli aweze kuwa na urithi kutoka kwa mababa zake.
and all daughter to possess: possess inheritance from tribe son: descendant/people Israel to/for one from family tribe father her to be to/for woman: wife because to possess: possess son: descendant/people Israel man: anyone inheritance father his
9 Hakuna mgawo utakaobadilika kutoka kabila nyingine kwenda kabila nyingine. Kila mtu wa kabila za watu wa Israeli atalinda urithi wake.”
and not to turn: turn inheritance from tribe to/for tribe another for man: anyone in/on/with inheritance his to cleave tribe son: descendant/people Israel
10 Kwa hiyo wale binti wa Zelofehadi walifanya kama vile BWANA alivyokuwa amemwamuru Musa. Mahila, Tiriza, Hogila, Milika, na Noha, binti za
like/as as which to command LORD [obj] Moses so to make: do daughter Zelophehad
11 Zelofehadi, waliolewa na wana wa uzao wa Manase.
and to be Mahlah Tirzah and Hoglah and Milcah and Noah daughter Zelophehad to/for son: child beloved: male relative their to/for woman: wife
12 Waliolewa katika koo za uzao wa Manase mwana wa Yusufu. Kwa sababu hii, urithi wao ulibaki kwenye kabila la ukoo ambalo baba yao alikuwa anatoka.
from family son: descendant/people Manasseh son: child Joseph to be to/for woman: wife and to be inheritance their upon tribe family father their
13 Hizi ndizo amri na maagizo ambayo BWANAaliyatoa kupitia Musa kwa wana wa Israeli katika nyanda za Moabu karibu na Yorodani huko Yeriko.
these [the] commandment and [the] justice: judgement which to command LORD in/on/with hand: by Moses to(wards) son: descendant/people Israel in/on/with Plains (of Moab) (Plains of) Moab upon Jordan Jericho

< Hesabu 36 >