< Hesabu 36 >

1 Kisha wale viongozi wa nyumba za mababa wa ukoo wa Gileadi mwana wa Machiri (ambaye alikuwa mwana wa Manase), ambao walikuwa wa ukoo wa uzao wa Yusufu, walikuja wakasema mbele za Musa na mbele za vionigozi wa familia za mababa wa watu wa Israeli.
Gilia: de fi (Gilia: de da Ma: ige egefe amola Ma: na: se [Yousefe egefe] amo ea aowa esalu) amo ea sosogo ilia bisili ouligisu dunu da Mousese amola eno Isala: ili ouligisu dunu ilima asili,
2 Wakasema, “BWANA alikuamuru, wewe bwana wetu, kutupa mgawo wa ardhi kwa kura kwa wana wa Israeli. Uliamuriwa na BWANA kutoa mgawo wa Zerofehadi kaka yetu kwa binti zake.
amane sia: i, “Hina Gode da dilia ululuasu hedele Isala: ili dunuma soge ima: ne sia: i. Amola E da eno sia: i amo dilia ninia fi dunu Siloufiha: de amo ea soge amola liligi amo idiwima ima: ne sia: i.
3 Lakini hawa binti wameolewa na wanaume toka kabila zingine za wana wa Israeli, basi mgawo wao wa ardhi utaondolewa kutoka kwenye mgawo wa mababa zao. Utaongezwa kwenye mgawo wa makabila ambayo wao wanaungana nao. Kwa sababu hiyo, Utaondolewa kwenye mgawo uliopangwa kwenye urithi wetu.
Be noga: le dawa: ma! Ilia da eno dunu fi ilima fisia, ilia liligi da amo fi ilima masunu. Amasea, ninia liligi lai da fonoboi dagoi ba: mu.
4 Kwa sababu hiyo, wakati wa mwaka wa yubilee ya wana wa Israeli utakapofika, mgawo wao utaunganishwa na kabila ile waliyoungana nao. Kwa sababu hii mgawo wao utaondolewa kwenye mgawo wa mababa zetu.”
Amola Bu Sagosu Ode (amoga liligi amola soge bidi lai da musa: gagui dunu ilima bu ahoa) amoga Siloufiha: de ea idiwilali ilia liligi da mae afadenema: ne, amo fi fawane ilia liligi ba: mu. Amola amo liligi da nini, Ma: na: se fi, amoga fisi dagoi ba: mu.”
5 Basi Musa akawapa amri wana wa Israeli, kwa neno la BWANA. Akasema, “Kile wanachosema watu wa kabila la Yusufu kiko sahihi.
Amaiba: le, Mousese da Isala: ili dunu ilima Hina Gode Ea hamoma: ne sia: i amo amane olelei, “Ma: na: se fi dunu ilia sia: i da dafawane.
6 Hiki ndicho BWANA anaagiza kuhusu mabinti wa Zelofehadi. Anasema, 'Acha waolewa na wale ambao wao wanaofikri ni vizuri zaidi, lakini lazima waolewe ndani ya kabila ya baba yao.'
Amaiba: le, Hina Gode da amane sia: sa, ‘Siloufiha: de ea idiwilali da ilia hanai defele gawa fima: mu. Be ilia da ilia fidafa dunu fawane ilima fimu.
7 Hakuna mgawo wa watu utakaobadilika kutoka kabila moja kwenda jingine. Kila mtu wa Israeli ataendelea na mgawo wa kabila ya baba y ake.
Isala: ili dunu huluane ilia liligi da ilila: fidafa ganodini dialumu.
8 Kila mwanamke wa watu wa Israeli aliye na mgao kwenye kabila lake lazima aolewe na mtu wa ukoo unaotoka kwenye kabila la baba yake. Hii itafanyika hivyo ili kila mtu wa wana wa Israeli aweze kuwa na urithi kutoka kwa mababa zake.
Nowa uda da nana liligi amo lasea, e da ea fidafa dunu fawane ema fima: mu. Amo hamobeba: le, Isala: ili dunu huluane da ea aowalali edalalia nana liligi fawane lamu.
9 Hakuna mgawo utakaobadilika kutoka kabila nyingine kwenda kabila nyingine. Kila mtu wa kabila za watu wa Israeli atalinda urithi wake.”
Liligi amola soge da eno fi ilima hame gaguli masunu. Fi huluane afae afae da ilila: liligi fawane gagulaligimu.’”
10 Kwa hiyo wale binti wa Zelofehadi walifanya kama vile BWANA alivyokuwa amemwamuru Musa. Mahila, Tiriza, Hogila, Milika, na Noha, binti za
Amaiba: le, Siloufiha: de ea idiwilali (Mala, Desa, Hogola amola Miliga) ilia da Hina Gode Ea Mousesema hamoma: ne sia: i defele hamoi. Ilia da ilia gawiya hamoi, ilima fawane gawa fi.
11 Zelofehadi, waliolewa na wana wa uzao wa Manase.
12 Waliolewa katika koo za uzao wa Manase mwana wa Yusufu. Kwa sababu hii, urithi wao ulibaki kwenye kabila la ukoo ambalo baba yao alikuwa anatoka.
Ilia da Ma: na: se (Yousefe egefe) amo fi ganodini fawane gawa fi. Amalalu, ilia liligi amola soge da ilia ada ea fi ganodini dialusu.
13 Hizi ndizo amri na maagizo ambayo BWANAaliyatoa kupitia Musa kwa wana wa Israeli katika nyanda za Moabu karibu na Yorodani huko Yeriko.
Amo malasu amola sema dedei, amo Hina Gode da Isala: ili dunuma Mousese ea lafidili sia: ne i. Ilia da Moua: be umi, Yodane Hano eso midadi heda: su gusudili esala, amo sema huluane nabi. Amola Yeligou da hano ahoaba guma: dini dialebe ba: i. Sia: ama dagoi

< Hesabu 36 >