< Hesabu 35 >
1 BWANA akanena na Musa kwenye nyanda za Moabu karibu na Yorodani kule Yeriko akasema,
I rzekł Pan do Mojżesza na polach Moabskich, nad Jordanem przeciw Jerychowi, mówiąc:
2 “Waamuru watu wa Israeli kutoa sehemu ya urithi wa ardhi yao kwa Walawi. Watawapa miji ya kuishi ndani yake na eneo la malisho kuzunguka miji hiyo.
Rozkaż synom Izraelskim, aby dali Lewitom z dziedzictwa osiadłości swojej miasta do mieszkania, i przedmieścia około miast ich oddacie Lewitom.
3 Walawi watakuwa na miji hiyo ya kuishi. Eneo la malisho litakuwa kwa ajili ya ng'ombe zao, kondoo zao, na wanyama wao wote.
I będą mieli miasta sobie do mieszkania, a przedmieścia ich będą im dla bydła ich, i dla majętności ich, i dla wszystkiego dobytku ich.
4 Hayo malisho yatakayozunguka miji hiyo ambayo mtawapa Walawi yataanzia kwenye maboma kwa ukubwa wa “mita 457” kila upande.
A przedmieścia miast, które dacie Lewitom, od muru miejskiego pójdą na tysiąc łokci wszędy w około.
5 Utapima dhiraa elfu mbili kutoka nje ya mji kuelekea mashariki, na dhiraa elfu mbili kuelekea kusini, na dhiraa elfu mbili kuelekea upande wa magharibi, na dhiraa elfu mbilii kuelekea upandewa kaskazini. Haya yatakuwa maeneo ya malisho yao. Miji itakuwa katikati.
Przetoż wymierzycie za każdem miastem dwa tysiące łokci na wschód słońca, na południe też dwa tysiące łokci, także na zachód dwa tysiące łokci, i na północy dwa tysiące łokci, a miasto w pośrodku będzie; takoweć będą przedmieścia miast ich.
6 Katika hiyo miji sita mtakayowapatia Walawi itatumika kama miji ya ukimbizi. Mtatoa maeneo haya ili kama mtu ameua mtu apate mahali pa kukimbilia. Pia mtatoa miji mingine arobaini na mbli.
A między temi miasty, które dacie Lewitom, sześć miast będą dla ucieczki, które dacie, aby tam uciekał mężobójca; a nad te dacie im czterdzieści miast i dwa.
7 Jumla ya miji ambyo mtawapa Walawi itakuwa arobaini na nane. Mtawapa hiyo miji pamoja na maeneo yao ya malisho.
Tak iż wszystkich miast, które Lewitom dacie, będzie czterdzieści i osiem miast i z przedmieściami ich.
8 Zile kabila kubwa za watu wa Israeli, kabila ambalo lina ardhi zaidi, watatoa ardhi zaidi. Makabila madogo madogo watatoa miji michache. Kila kabila lazima watoe kwa ajili ya Walawi kwa kufuata mgawo waliopata.”
A miast, które dacie z dzierżaw synów Izraelskich, od tych, którzy więcej mają, więcej dacie, a od tych, którzy mniej mają, dacie mniej; każdy według miary dziedzictwa swego, które posiędzie, udzieli z miast swoich Lewitom.
9 Kisha BWANA akanena na Musa akamwambia,
Zatem rzekł Pan do Mojżesza, mówiąc:
10 “Sema na wana wa Israeli na uwaambie, 'Mtakapovuka Yorodani kuingia Kanaani,
Mów do synów Izraelskich, i rzecz im: Gdy przejdziecie przez Jordan do ziemi Chananejskiej.
11 Kisha mchague miji itakayotumika kama miji ya ukimbizi kwa, ajili yenu, mahali ambapo mtu aliyeua mtu pasipo kukusudia anaweza kukimbilia.
Postanowcież sobie miasta; miasta dla ucieczki mieć będziecie, aby tam uciekał mężobójca, któryby zabił kogo z nieobaczenia.
12 Hii miji itakuwa kwenu miji ya ukimbizi kwa mtu anayetaka kulipa kisasi. ili kwamba mtuhumiwa asije akauawa bila kwanza kusikilizwa na jamii.
A będą wam te miasta dla ucieczki przed powinowatym zabitego, aby nie dał gardła ten co zabił, póki by nie stanął przed zgromadzeniem na sąd.
13 Mtachagua miji sita kuwa miji ya ukimbizi.
A miast, które odłączycie, sześć miast dla ucieczki mieć będziecie.
14 Mtatoa miji mitatu kule ng'ambo ya Yorodani na miji mitatu huko Kanaani. Itakuwa miji ya ukimbizi.
Trzy miasta dacie z tej strony Jordanu, a trzy miasta dacie w ziemi Chananejskiej; te miasta dla ucieczki będą.
15 Kwa ajili ya watu wa Israeli, wageni, kwa, yeyote anayeishi kati yenu, hii miji sita itatumika kama miji ya ukimbizi kwa mtu yeyote atakayeua mtu bila kukusudia anaweza kukimbila.
Synom Izraelskim, i przychodniowi, i mieszkającemu między nimi, będą te sześć miast do ucieczki, aby tam uciekł każdy, kto by zabił człowieka z nieobaczenia.
16 Lakini kama mtuhumiwa amempiga mtu na chombo cha chuma, na huyo mtu akafa, basi kwa hakika yule mtuhumiwa ni muuaji. Kwa hiyo anatakiwa kuuawa.
Wszakże, jeźliby go żelazną bronią uderzył, tak żeby umarł, mężobójcą jest; śmiercią umrze on mężobójca.
17 Kama yule mtuhumiwa amempiga mtu kwa jiwe mkonono mwake ambalo linaweza kumwua mtu, na kama yule mtu atakufa, basi hakika huyo mtuhumiwa ni mwuaji. Kwa hakika anatakiwa kuuawa.
Albo jeźliby mając kamień w ręku, którym by mógł zabić, uderzył go, tak żeby umarł, mężobójcą jest; śmiercią umrze on mężobójca.
18 Kama mtuhumiwa amempiga mtu kwa silaha ya mti ambayo inaweza kuua mtu na kama huyo mtu atakufa, basi kwa hakika huyo mtuhumiwa ni mwuaji. kwa hakika huyo anataikwa kuuawa.
Także jeźliby mając w ręku drewno, którem by mógł zabić, uderzył go, i umarłby, mężobójcą jest; śmiercią umrze on mężobójca.
19 Mwenye kulipa kisasi cha damu ndiye atakayemwua mwuaji. atkapokutana naye, anaweza kumwua.
Powinowaty zabitego zabije tego mężobójcę; gdziekolwiek się z nim spotka, on zabije go.
20 Lakini kama yule mtuhumiwa atamshinda mtu yeyote yule anayemchukia au kama atamtupia kitu, wakati akimvizia, kiasi kwamba huyo mtu akafa,
A jeźliby kogo z nienawiści popchnął, albo nań czem cisnął z zasadzki, a umarłby;
21 au kama atampiga ngumi kwa chuki na mtu huyo akafa, ndipo yule mtuhumiwa aliyempiga hakika atauawa. Yeye ni mwuaji. Yule mlipa kisasi cha damu anaweza kumwua muuaji pale atakapokutana naye.
Albo jeźliby go z waśni uderzył ręką swoją, a umarłby, śmiercią umrze ten, który uderzył, mężobójcą jest; powinny zabitego zabije mężobójcę, gdziekolwiek go trafi.
22 Lakini kama mtuhumiwa atampiga mtu ghafla bila kuwa na chuki hapo awali, au kama atamtupia kitu ambacho kitampiga mtu bila kumvizia
Ale jeźliby z przygody bez waśni kogo popchnął, alboby nań cisnął czemkolwiek nie umyślnie;
23 au kama atatupa jiwe amabalo linaweza kumwua mtu bila kumwona, basi huyo mtu hakua adui yake, hakukusudia kumwumiza huyo mtu. Basi hiki ndicho kitachofanywa kama mtu huyo atakufa.
Albo jeźliby jakim kamieniem, od którego by mógł umrzeć, rzucił nań z nieobaczenia, a umarłby, nie będąc mu nieprzyjacielem, ani szukając jego złego:
24 Kwa tatizo la jinsi hiyo, Watu wataamua kati ya mlipa kisasi na mtuhumiwa kwa kufuata taratibu zifuatazo.
Tedy rozsądek uczyni zgromadzenie między tym, który zabił, a między powinnym zabitego według tego prawa.
25 Watu watamwokoa mtuhumiwa kutoka kwenye nguvu za mlipa kisasi cha damu. Watu watamrudisha mtuhumiwa katika mji wa ukimbizi ambao hapo awali alikimbilia. Ataishi pale mpaka yule kuhani anayetumikia atakapokufa, ambaye alipakwa mafuta matakatifu.
I wybawi zgromadzenie mężobójcę tego z rąk powinnego onego zabitego, i każe mu się wrócić zgromadzenie do miasta ucieczki jego, gdzie był uciekł; i tamże będzie mieszkał aż do śmierci kapłana najwyższego, który jest pomazany olejkiem świętym.
26 Lakini kama yule mtuhumiwa muda fulani ataenda nje ya mipaka ya mji a ukimbizi ambao alikimbilia,
A jeźliby wyszedł mężobójca za granice miasta ucieczki swojej, do którego uciekł;
27 na kama yule mlipa kisasi cha damu atamwona nje ya mipaka ya mji wake wa ukimbizi, kama atamwua huyo mtuhumiwa, mlipa kisasi cha damu hatakuwa na hatia ya mauaji hayo.
I trafiłby go powinny zabitego za granicą miasta ucieczki jego, chociażby zabił powinny zabitego mężobójcę onego, nie będzie winien krwi.
28 Hii ni kwa sababu yule mtuhumiwa alitakiwa kubaki katika mji wake wa ukimbizi mpaka kuhani mkuu atakapokufa. Baada ya kifo cha kuhani mkuu, yule mtuhumiwa atarejea kwenye nchi yake ambako kuna mali yake.
Albowiem w mieście ucieczki swojej mieszkać ma aż do śmierci kapłana najwyższego, a po śmierci kapłana najwyższego wróci się on mężobójca do ziemi osiadłości swojej.
29 Hizi amri zitakuwa maagizo kwenu kwa kizazi chote mahali kote mnakoishi.
A będziecie to mieli za ustawę prawną w narodziech waszych, we wszystkich mieszkaniach waszych.
30 Yeyote amwuaye mtu, mwuaji atauawa, kama neno la ushahidi litakavyotolewa. Lakini ushahidi wa mtu mmoja unaweza usitoshe kusababisha mtu kuuawa.
Ktobykolwiek chciał zabić człowieka, za świadectwem świadków zabije mężobójcę; ale świadek jeden nie będzie mógł świadczyć na skazanie kogo na śmierć.
31 Pia, msipokee fidia kwa ajili ya uhai wa mwuaji ambaye ana hatia ya mauti. Kwa hakika lazima auawe.
Nie weźmiecie też okupu za żywot mężobójcy, który zasłużył śmierć; niech śmiercią umrze.
32 Na msipokee fidia ya mtu aliyekimbilia kwenye miji ya ukimbizi. Msimruhusu kwa namna yeyote kurudi kwenye mali zake mpaka pale kuhani mkuu atakapokufa.
Nie weźmiecie też zapłaty od onego, który uciekł do miasta ucieczki swojej, aby się nawrócił na mieszkanie do ziemi swojej, pierwej niżby kapłan umarł:
33 Msiiharibu nchi mnayokaa kwa namna hii, kwa kuwa damu ya mwuaji huharibu nchi. Hakuna sadaka ya upatanisho inayoweza kufanywa kwa nchi pale damu inapomwagika juu yake, isipokuwa kwa damu ya mtu aliyeimwaga.
Byście nie splugawili ziemię, w której będziecie; bo krew takowa splugawiłaby ziemię; a ziemia nie może być oczyszczona od krwi, która jest wylana na niej, jedno krwią tego, który ją przelał.
34 Kwa hiyo msiinajisi nchi mnayoishi kwa sababu Mimi ninaishi ndani yake. Mimi BWANA huishi kati ya watu wa Israeli.”'
Przetoż nie plugawcie ziemi, w której mieszkacie, w której Ja też mieszkam; bom Ja Pan, który mieszkam między synami Izraelskimi.