< Hesabu 35 >

1 BWANA akanena na Musa kwenye nyanda za Moabu karibu na Yorodani kule Yeriko akasema,
Hagi Jodani timofo mago kaziga Jeriko megeno kantu kaziga Moapu agupofi Ra Anumzamo'a amanage huno Mosesena asami'ne,
2 “Waamuru watu wa Israeli kutoa sehemu ya urithi wa ardhi yao kwa Walawi. Watawapa miji ya kuishi ndani yake na eneo la malisho kuzunguka miji hiyo.
Israeli vahera huge'za erisanti haresaza mopafintira, Livae nagama mani'naza rankumatami'ne, tava'ozamire'ma me'nenia mopa sipisipine bulimakao afu'zamima kegava hanaza mopanena zamiho.
3 Walawi watakuwa na miji hiyo ya kuishi. Eneo la malisho litakuwa kwa ajili ya ng'ombe zao, kondoo zao, na wanyama wao wote.
Hagi Livae naga'mo'za ana ran kumatamimpi nemani'za, tava'ozamire'ma me'nesia mopafi sipisipine bulimakao afu'zamia kegava hugahaze.
4 Hayo malisho yatakayozunguka miji hiyo ambayo mtawapa Walawi yataanzia kwenye maboma kwa ukubwa wa “mita 457” kila upande.
Hagi Livae nagama afu'zamima kegava hanaza mopama refko huzamisazana, rankuma keginaretira maka asoparega 450'a mita vuno eno hinkeno, ran kumamo'a amu'nompi megahie.
5 Utapima dhiraa elfu mbili kutoka nje ya mji kuelekea mashariki, na dhiraa elfu mbili kuelekea kusini, na dhiraa elfu mbili kuelekea upande wa magharibi, na dhiraa elfu mbilii kuelekea upandewa kaskazini. Haya yatakuwa maeneo ya malisho yao. Miji itakuwa katikati.
Hagi kuma keginamofo fegiati'ma nofi'ma avazu hanageno zage hanati kaziga vuno, zage fre kazigama vuno kazantamaga kaziga vuno, kaza hoga kazigama vaniana miko 900 mita hanigeno, e'i ana mopa sipisipine bulimakao afutami kegava hu mopa menkeno, rankumamo'a amu'nompi megahie.
6 Katika hiyo miji sita mtakayowapatia Walawi itatumika kama miji ya ukimbizi. Mtatoa maeneo haya ili kama mtu ameua mtu apate mahali pa kukimbilia. Pia mtatoa miji mingine arobaini na mbli.
Hagi 6si'a kuma'ma Livae naga'ma zamisazana, mago vahe'mo'ma mago'azama hanirega hantagama huno vahe'ma ahefriteno, agu'vazinigu freno umanisia kuma nezamita, ana agofetura 42'a kuma'ene zamigahaze.
7 Jumla ya miji ambyo mtawapa Walawi itakuwa arobaini na nane. Mtawapa hiyo miji pamoja na maeneo yao ya malisho.
Hagi Livae nagama zami'nazana maka 48'a rankumatamine, afu'zamima kegavama hanaza mopagi huta refko huzamigahaze.
8 Zile kabila kubwa za watu wa Israeli, kabila ambalo lina ardhi zaidi, watatoa ardhi zaidi. Makabila madogo madogo watatoa miji michache. Kila kabila lazima watoe kwa ajili ya Walawi kwa kufuata mgawo waliopata.”
Hagi Israeli vahe'mo'zama erisantima haresaza mopafintira Livae nagara mopa eri zamigahane. Hagi rama'a mopama eri'nesaza nagapintira, rama'a mopa eri'nezamita, osi'a mopama eri'nesaza nagapintira osi'a mopa eri zamigahaze.
9 Kisha BWANA akanena na Musa akamwambia,
Anante Ra Anumzamo'a amanage huno Mosesena asami'ne,
10 “Sema na wana wa Israeli na uwaambie, 'Mtakapovuka Yorodani kuingia Kanaani,
Israeli vahera zamasmige'za Jodani tima takahe'za Kenani mopafima unefresu'za,
11 Kisha mchague miji itakayotumika kama miji ya ukimbizi kwa, ajili yenu, mahali ambapo mtu aliyeua mtu pasipo kukusudia anaweza kukimbilia.
mago vahe'mo'ma mago'azama haniregama hantaga huno mago vahe'ma ahe frisuno'ma freno vuno ome agu'ma vazisia kumatamina mago'a huhamprintesageno megahie.
12 Hii miji itakuwa kwenu miji ya ukimbizi kwa mtu anayetaka kulipa kisasi. ili kwamba mtuhumiwa asije akauawa bila kwanza kusikilizwa na jamii.
Hagi ana kumatamina tamagu'vazi kuma me'nena anama ahe frisaza vahe'mofo naga'mo'za nona hu'za ahe ofrisageno mani'neno keagarera otigahie.
13 Mtachagua miji sita kuwa miji ya ukimbizi.
Hagi ana 6si'a kumatamina tamagu'vazi kuma megahie.
14 Mtatoa miji mitatu kule ng'ambo ya Yorodani na miji mitatu huko Kanaani. Itakuwa miji ya ukimbizi.
Hagi tamagu'vazi kumara 3'a Jodani kaziga huhamprinteta, 3'a Kenani kaziga huhamprintegahaze.
15 Kwa ajili ya watu wa Israeli, wageni, kwa, yeyote anayeishi kati yenu, hii miji sita itatumika kama miji ya ukimbizi kwa mtu yeyote atakayeua mtu bila kukusudia anaweza kukimbila.
Hagi e'i ana 6si'a kumamo'a Israeli vaheki, emani vaheki, mago'a erizante vanoma nehania vahe'mo'ma mago'azama hanirega hantga huno vahe'ma ahe friteno, freno ome agu'mavazi'nia kuma megahie.
16 Lakini kama mtuhumiwa amempiga mtu na chombo cha chuma, na huyo mtu akafa, basi kwa hakika yule mtuhumiwa ni muuaji. Kwa hiyo anatakiwa kuuawa.
Hianagi aeni kanonteti'ma vahe'ma ahesigeno frisia vahera, agri'enena ahe friho.
17 Kama yule mtuhumiwa amempiga mtu kwa jiwe mkonono mwake ambalo linaweza kumwua mtu, na kama yule mtu atakufa, basi hakika huyo mtuhumiwa ni mwuaji. Kwa hakika anatakiwa kuuawa.
Hagi mago vahe'mo'ma have kanonuma vahe'ma ahefrisia vahera, hazenke hugahianki agri'enena ahefriho.
18 Kama mtuhumiwa amempiga mtu kwa silaha ya mti ambayo inaweza kuua mtu na kama huyo mtu atakufa, basi kwa hakika huyo mtuhumiwa ni mwuaji. kwa hakika huyo anataikwa kuuawa.
Hagi kanonteti'ma vahe'ma ahefrisia vahera, hazanke hugahianki agri'enena ahe friho.
19 Mwenye kulipa kisasi cha damu ndiye atakayemwua mwuaji. atkapokutana naye, anaweza kumwua.
Hagi vahe'ma ahefrisia nera anama frisia vahe'mofo korama'amo'za ana ne'ma kesu'za ahefriho.
20 Lakini kama yule mtuhumiwa atamshinda mtu yeyote yule anayemchukia au kama atamtupia kitu, wakati akimvizia, kiasi kwamba huyo mtu akafa,
Hagi vahe'mo'ma magomofo arimpa ahenenteno retufetrege, agona zantetima matevuno ahesigeno frisiana, agra hazenke hugahie.
21 au kama atampiga ngumi kwa chuki na mtu huyo akafa, ndipo yule mtuhumiwa aliyempiga hakika atauawa. Yeye ni mwuaji. Yule mlipa kisasi cha damu anaweza kumwua muuaji pale atakapokutana naye.
Hagi mago vahe'mo'ma, mago'mofoma rimpa ahenenteno azankanonu'ma ahesigeno frisiana, agra hazenke hugahianki, ana zante'ma nona hu vahe'mo'za kesu'za ahe friho.
22 Lakini kama mtuhumiwa atampiga mtu ghafla bila kuwa na chuki hapo awali, au kama atamtupia kitu ambacho kitampiga mtu bila kumvizia
Hianagi mago'mofoma arimpa aheonte'neno amne retufetresio, mago'a agonazama mate vanirega hantaga huno ahenigeno frisiano,
23 au kama atatupa jiwe amabalo linaweza kumwua mtu bila kumwona, basi huyo mtu hakua adui yake, hakukusudia kumwumiza huyo mtu. Basi hiki ndicho kitachofanywa kama mtu huyo atakufa.
ha' vahe'a omani'neanagi avu onkeno have atresigeno ahefrisiana, agra antahino keno osu'neno anara hugahianki,
24 Kwa tatizo la jinsi hiyo, Watu wataamua kati ya mlipa kisasi na mtuhumiwa kwa kufuata taratibu zifuatazo.
kumapi vahe'mo'zane anama ahenageno frisia ne'mofo avate korama'amo'za atruhu'za ana nanekea antahiza refko hugahaze.
25 Watu watamwokoa mtuhumiwa kutoka kwenye nguvu za mlipa kisasi cha damu. Watu watamrudisha mtuhumiwa katika mji wa ukimbizi ambao hapo awali alikimbilia. Ataishi pale mpaka yule kuhani anayetumikia atakapokufa, ambaye alipakwa mafuta matakatifu.
Hagi ana kumapi vahe'mo'za, anama fri'nea vahe'mofo naga'mo'zama ahefrizama nehanage'za, ana nera avre'za agu'vazi kumatega ome atregahaze. Hagi ana ne'mo'a ana kumapi mani'nesigeno, ruotage'ma hu'nea masavema anunte'ma frente'nesia ugota pristi ne'ma fritesigeno, ete kuma'arega vugahie
26 Lakini kama yule mtuhumiwa muda fulani ataenda nje ya mipaka ya mji a ukimbizi ambao alikimbilia,
Hianagi ana pristi ne'ma ofri'nenigeno, ana ne'mo'ma agu'vazi kumama atreno fegi'ama mani'nenigeno,
27 na kama yule mlipa kisasi cha damu atamwona nje ya mipaka ya mji wake wa ukimbizi, kama atamwua huyo mtuhumiwa, mlipa kisasi cha damu hatakuwa na hatia ya mauaji hayo.
ahe fri'nesia ne'mofo avate korama'amo'ma tutagiha'ma hunteno ahefrisigeno'a keaga omanegosie.
28 Hii ni kwa sababu yule mtuhumiwa alitakiwa kubaki katika mji wake wa ukimbizi mpaka kuhani mkuu atakapokufa. Baada ya kifo cha kuhani mkuu, yule mtuhumiwa atarejea kwenye nchi yake ambako kuna mali yake.
Hagi ana hazenke'ma hu'nenia vahe'mo'a agu'vazi kumapi mani'nenigeno ana pristi nera fritenigeno kuma'arega vugahie.
29 Hizi amri zitakuwa maagizo kwenu kwa kizazi chote mahali kote mnakoishi.
Hagi tamagrane henkama fore hu anante anante'ma huta vanaza vahe'mota, ama ana nanekea kasege me'nena avariri vava hugahaze.
30 Yeyote amwuaye mtu, mwuaji atauawa, kama neno la ushahidi litakavyotolewa. Lakini ushahidi wa mtu mmoja unaweza usitoshe kusababisha mtu kuuawa.
Hagi mago vahe'mo'ma vahe'ma ahe nefrisige'za tareo tagufamo'zama kene'za huama'ma huntesage'za ana vahera ahe frigahaze. Hianagi magoke vahe'mo'ma ke'neno'ma huamama hania zantera, ahe ofrigahaze.
31 Pia, msipokee fidia kwa ajili ya uhai wa mwuaji ambaye ana hatia ya mauti. Kwa hakika lazima auawe.
Ana hukna huno vahe'ma ahe fri'nenirera, fruma huno manizankura zagoretira mizaseno omanigahie. Anahukna huta vahe'ma ahe fri'nesirera, ana vahe ahefriho.
32 Na msipokee fidia ya mtu aliyekimbilia kwenye miji ya ukimbizi. Msimruhusu kwa namna yeyote kurudi kwenye mali zake mpaka pale kuhani mkuu atakapokufa.
Hagi pristi ne'ma ofri'nenkeno agu'vazi kumapintima atiramino fru huno mani'nakura, zago mizaseno kuma'arega ovugosie.
33 Msiiharibu nchi mnayokaa kwa namna hii, kwa kuwa damu ya mwuaji huharibu nchi. Hakuna sadaka ya upatanisho inayoweza kufanywa kwa nchi pale damu inapomwagika juu yake, isipokuwa kwa damu ya mtu aliyeimwaga.
Hagi e'inama hanageno'a mopatamimo'a havizana osugosie. Na'ankure vahe'ma ahefrigeno korama tagirami zamo'a, mopa eri haviza nehie. Hagi ana nona'a, anama vahe'ma ahe fri'nesia vahe'mofo koramoke'za mopa eri agru hugahie.
34 Kwa hiyo msiinajisi nchi mnayoishi kwa sababu Mimi ninaishi ndani yake. Mimi BWANA huishi kati ya watu wa Israeli.”'
Hagi ana'ma umani'naza mopa eri havizana osugahaze. Na'ankure Nagra Ra Anumzamo'na Israeli vahe'mokizmi amu'nompina manigahue.

< Hesabu 35 >