< Hesabu 34 >
1 BWANA akanena na Musa akasema,
И рече Господь к Моисею, глаголя:
2 “Waamuru watu wa Israeli na uwaambie, 'Mtakapoingia katika nchi ya Kanaani, nchi ambayo itakuwa mali yenu, nchi ya Kanaani na mipaka yake, mpaka wenu wa kusini utaendelea kutoka nyika ya Sini hadi mpaka wa Edomu.
заповеждь сыном Израилевым, и речеши к ним: вы входите в землю Ханааню, сия будет вам в наследие, земля Ханааня с пределы ея:
3 Mwisho wa mpaka wa kusini utakuwa mwisho wa bahari ya chumvi kuelekea mashariki.
и будет вам страна, яже к ливе от пустыни Син даже до Едома: и будут вам пределе к ливе, от края моря Сланаго от востоков,
4 Mpaka wenu utageukia kusini kutoka mlima kuelekea Akrabimu na kupitia nyika ya Sini. na kutokea huko utaelelkea kusini mwa Kadeshi Barinea na kuelekea Hazari Adari mpaka Azimoni.
и обыдут вас пределы от ливы до возшествия Акравиня, и пройдут Еннак, и будет исход его к ливе Кадис-Варни, и изыдет на село Арад, и пройдет Аселмона:
5 Kutoka huko, mpaka utageuka kutoka Azimoni kuelekea kijito cha Misri na kukifuata mpaka baharini.
и обыдут пределы от Аселмона водотечу Египетскую, и будет исход море (великое):
6 Mpaka wa Magharibi utakuwa pwani ya bahari kuu. Huu ndio utakuwa mpaka wenuwa Magharibi.
и пределы морстии будут вам, море великое определит, сие будет вам пределы морстии:
7 Mpaka wenu wa kaskazini utaanzia kwenye bahari kuu hadi Mlima Hori,
и сие будет вам предел к северу: от моря великаго измерите сами себе при горе Гору:
8 kisha kutoka Mlima Hori hadi Lebo Hamathi, kisha Zedadi.
и от горы Гору измерите сами себе, входяще во Емаф, и будут преход его пределы Садада:
9 Mpaka utaendelea hadi Zifroni na kuishia Hazari Enani. Huu ndio utakuwa mpaka wenu wa kaskazini.
и изыдут пределы Зефрона, и будет исход его Арсенаин: сие будет вам пределы от севера:
10 Kisha mtaweka alama za mpaka wenu wa mashariki ambao utaanzia Hazari Enani kuelekea kusini Shefamu.
и измерите сами себе пределы восточныя от Арсенаина до Сепфамара:
11 Kisha mpaka wa kusini utaendelea kutoka Shefamu hadi Ribla, upande wa masharikia mwa Aini. Mpaka utaedelea upande huo wa mashariki hadi upande wa mashariki wa bahari ya Kinerethi.
и снидут пределы от Сепфамар-Вила от восток на источники, и снидут пределы Вилы, и пройдут на хребет моря Хенереф, от восток:
12 Kisha mpaka utaendelea kuelekea kusini hadi mto Yorodani na hadi bahari ya chumvi. Hii ndiyo itakuwa nchi yenu, kwa kuifuata mipaka yake yote inayozunguka.'”
и снидут пределы на Иордан, и будет преход его море Сланое: сия будет земля вам, и пределы ея окрест.
13 Kisha Musa akawaamuru watu wa Israeli akasema, “Hii ndiyo nchi ambayo mtaipokes kwa kura, ambayo BWANA ameamuru kuwapa wale makabila tisa na nusu.
И заповеда Моисей сыном Израилевым, глаголя: сия земля, юже приимете в наследие по жребию, якоже повеле Господь, дати ю девяти племеном и полуплемени Манассиину:
14 Kabila ya uzao wa Reubeni, kwa kufuata jinsi walivyopewa urithi kwa jamaa ya kabila yao, na uzao wa kabila la Gadi, kwa kufuata jinsi walivyopewa urithi kwa jamaa ya kabila yao, na nusu ya Manase wamepata ardhi yao.
яко взя племя сынов Рувимлих и племя сынов Гадовых, по домом отечеств их, и пол племене Манассиина восприяша жребия своя:
15 Wale makabila mawili na nusu wameshapata mgawo wao ng'ambo ya mto Yorodani upande wa mashariki, kuelekea kule linakotokea jua.”
два племена и пол племене прияша жребия своя за Иорданом при Иерихоне от полудня на востоки.
16 BWANA akanena na Musa akasema,
И рече Господь к Моисею, глаголя:
17 “Haya ndiyo majinaya watu watakaoigawa ardhi kwa ajili ya urithi wao: Eliazari kuhani na Joshua mwana wa Nuni.
сия имена мужей, иже разделят вам землю: Елеазар жрец и Иисус Навин:
18 Mtachagua kiongozi mmoja toka kila kabila ili kuigawa ardhi kwa koo zao.
и по князю единому от племене возмете разделити вам землю.
19 Haya ndiyo majina ya wanaume: Kutoka kabila la Yuda, Kalebu mwana wa Yefune.
И сия имена мужем: племене Иудина Халев сын Иефонниин,
20 Kutoka kwenye kabila la uzao wa Simeoni, Shemueli mwana wa Amihudi.
племене Симеоня Саламиил сын Семиудов,
21 Kutoka kabila la Benjamini, Elidadi mwana wa Kisloni.
племене Вениаминя Елдад сын Хаслонь,
22 Kiongozi kutoka kabila la uzao wa Dani, Buki mwana wa Jogili.
племене Данова князь Воккор сын Иеклинин,
23 Kiongozi kutoka uzao wa Yusufu, kwenye kabila la Manase, Hannieli mwana wa Efodi.
сынов Иосифовых племене сынов Манассииных князь Аниил сын Суфидов,
24 Kiongozi kutoka kwenye kabila la uzao wa Efraimu, Kemueli mwana wa Shiftani.
племене сынов Ефремлих князь Камуил сын Сафтанов,
25 Kiongozi kutoka kabila la uzao wa Zabuloni, Elizafani mwana wa Parinaki.
племене Завулоня князь Елисафан сын Харнахов,
26 Kiongozi kutoka kwenye kabila la uzao wa Isakari, Palitieli mwana wa Azzani.
племене сынов Иссахаровых князь Фалтиил сын Озаин,
27 Kiongozi kutoka kabila la uzao wa Asheri, Ahihudi mwana wa Shelomi.
племене сынов Асировых князь Ахиор сын Селемиин,
28 Kiongozi kutoka kabila la uzao wa Naftali, Pedaheli mwana wa Amihudi.”
племене Неффалимля князь Фадаил сын Амиудов.
29 BWANA aliwaamuru wanaume hawa kuigawa nchi ya Kanaani na kuwapa kila kabla sehemu yao.
Сим заповеда Господь разделити сыном Израилевым в земли Ханаани.