< Hesabu 34 >

1 BWANA akanena na Musa akasema,
E o SENHOR falou a Moisés, dizendo:
2 “Waamuru watu wa Israeli na uwaambie, 'Mtakapoingia katika nchi ya Kanaani, nchi ambayo itakuwa mali yenu, nchi ya Kanaani na mipaka yake, mpaka wenu wa kusini utaendelea kutoka nyika ya Sini hadi mpaka wa Edomu.
Manda aos filhos de Israel, e dize-lhes: Quando houverdes entrado na terra de Canaã, a saber, a terra que vos há de cair em herança, a terra de Canaã segundo seus termos;
3 Mwisho wa mpaka wa kusini utakuwa mwisho wa bahari ya chumvi kuelekea mashariki.
Tereis o lado do sul desde o deserto de Zim até os termos de Edom; e vos será o termo do sul ao extremo do mar salgado até o oriente:
4 Mpaka wenu utageukia kusini kutoka mlima kuelekea Akrabimu na kupitia nyika ya Sini. na kutokea huko utaelelkea kusini mwa Kadeshi Barinea na kuelekea Hazari Adari mpaka Azimoni.
E este termo vos irá rodeando desde o sul até a subida de Acrabim, e passará até Zim; e suas saídas serão do sul a Cades-Barneia; e sairá a Hazar-Adar, e passará até Azmom;
5 Kutoka huko, mpaka utageuka kutoka Azimoni kuelekea kijito cha Misri na kukifuata mpaka baharini.
E rodeará este termo, desde Azmom até o ribeiro do Egito, e seus limites serão ao ocidente.
6 Mpaka wa Magharibi utakuwa pwani ya bahari kuu. Huu ndio utakuwa mpaka wenuwa Magharibi.
E o termo ocidental vos será o grande mar: este termo vos será o termo ocidental.
7 Mpaka wenu wa kaskazini utaanzia kwenye bahari kuu hadi Mlima Hori,
E o termo do norte será este: desde o grande mar vos assinalareis o monte de Hor;
8 kisha kutoka Mlima Hori hadi Lebo Hamathi, kisha Zedadi.
Do monte de Hor assinalareis à entrada de Hamate, e serão as saídas daquele termo a Zedade;
9 Mpaka utaendelea hadi Zifroni na kuishia Hazari Enani. Huu ndio utakuwa mpaka wenu wa kaskazini.
E sairá este termo a Zifrom, e serão seus limites em Hazar-Enã: este vos será o termo do norte.
10 Kisha mtaweka alama za mpaka wenu wa mashariki ambao utaanzia Hazari Enani kuelekea kusini Shefamu.
E por termo ao oriente vos assinalareis desde Hazar-Enã até Sefã;
11 Kisha mpaka wa kusini utaendelea kutoka Shefamu hadi Ribla, upande wa masharikia mwa Aini. Mpaka utaedelea upande huo wa mashariki hadi upande wa mashariki wa bahari ya Kinerethi.
E baixará este termo desde Sefã a Ribla, ao oriente de Aim: e descerá o termo, e chegará à costa do mar de Quinerete ao oriente;
12 Kisha mpaka utaendelea kuelekea kusini hadi mto Yorodani na hadi bahari ya chumvi. Hii ndiyo itakuwa nchi yenu, kwa kuifuata mipaka yake yote inayozunguka.'”
Depois descerá este termo ao Jordão, e serão suas saídas ao mar Salgado: esta será vossa terra: por seus termos ao redor.
13 Kisha Musa akawaamuru watu wa Israeli akasema, “Hii ndiyo nchi ambayo mtaipokes kwa kura, ambayo BWANA ameamuru kuwapa wale makabila tisa na nusu.
E mandou Moisés aos filhos de Israel, dizendo: Esta é a terra que herdareis por sorte, a qual mandou o SENHOR que desse às nove tribos, e à meia tribo:
14 Kabila ya uzao wa Reubeni, kwa kufuata jinsi walivyopewa urithi kwa jamaa ya kabila yao, na uzao wa kabila la Gadi, kwa kufuata jinsi walivyopewa urithi kwa jamaa ya kabila yao, na nusu ya Manase wamepata ardhi yao.
Porque a tribo dos filhos de Rúben segundo as casas de seus pais, e a tribo dos filhos de Gade segundo as casas de seus pais, e a meia tribo de Manassés, tomaram sua herança:
15 Wale makabila mawili na nusu wameshapata mgawo wao ng'ambo ya mto Yorodani upande wa mashariki, kuelekea kule linakotokea jua.”
Duas tribos e meia tomaram sua herança desta parte do Jordão de Jericó ao oriente, ao oriente.
16 BWANA akanena na Musa akasema,
E falou o SENHOR a Moisés, dizendo:
17 “Haya ndiyo majinaya watu watakaoigawa ardhi kwa ajili ya urithi wao: Eliazari kuhani na Joshua mwana wa Nuni.
Estes são os nomes dos homens que vos possuirão a terra: Eleazar o sacerdote, e Josué filho de Num.
18 Mtachagua kiongozi mmoja toka kila kabila ili kuigawa ardhi kwa koo zao.
Tomareis também de cada tribo um príncipe, para dar a possessão da terra.
19 Haya ndiyo majina ya wanaume: Kutoka kabila la Yuda, Kalebu mwana wa Yefune.
E estes são os nomes dos homens: Da tribo de Judá, Calebe filho de Jefoné.
20 Kutoka kwenye kabila la uzao wa Simeoni, Shemueli mwana wa Amihudi.
E da tribo dos filhos de Simeão, Samuel filho de Amiúde.
21 Kutoka kabila la Benjamini, Elidadi mwana wa Kisloni.
Da tribo de Benjamim; Elidade filho de Quislom.
22 Kiongozi kutoka kabila la uzao wa Dani, Buki mwana wa Jogili.
E da tribo dos filhos de Dã, o príncipe Buqui filho de Jogli.
23 Kiongozi kutoka uzao wa Yusufu, kwenye kabila la Manase, Hannieli mwana wa Efodi.
Dos filhos de José: da tribo dos filhos de Manassés, o príncipe Haniel filho de Éfode.
24 Kiongozi kutoka kwenye kabila la uzao wa Efraimu, Kemueli mwana wa Shiftani.
E da tribo dos filhos de Efraim, o príncipe Quemuel filho de Siftã.
25 Kiongozi kutoka kabila la uzao wa Zabuloni, Elizafani mwana wa Parinaki.
E da tribo dos filhos de Zebulom, o príncipe Elizafã filho de Parnaque.
26 Kiongozi kutoka kwenye kabila la uzao wa Isakari, Palitieli mwana wa Azzani.
E da tribo dos filhos de Issacar, o príncipe Paltiel filho de Azã.
27 Kiongozi kutoka kabila la uzao wa Asheri, Ahihudi mwana wa Shelomi.
E da tribo dos filhos de Aser, o príncipe Aiúde filho de Selomi.
28 Kiongozi kutoka kabila la uzao wa Naftali, Pedaheli mwana wa Amihudi.”
E da tribo dos filhos de Naftali, o príncipe Pedael filho de Amiúde.
29 BWANA aliwaamuru wanaume hawa kuigawa nchi ya Kanaani na kuwapa kila kabla sehemu yao.
Estes são aos que mandou o SENHOR que fizessem a partição da herança aos filhos de Israel na terra de Canaã.

< Hesabu 34 >