< Hesabu 34 >
1 BWANA akanena na Musa akasema,
Potem rzekł Pan do Mojżesza, mówiąc:
2 “Waamuru watu wa Israeli na uwaambie, 'Mtakapoingia katika nchi ya Kanaani, nchi ambayo itakuwa mali yenu, nchi ya Kanaani na mipaka yake, mpaka wenu wa kusini utaendelea kutoka nyika ya Sini hadi mpaka wa Edomu.
Rozkaż synom Izraelskim, a powiedz im: Gdy wnijdziecie do ziemi Chananejskiej, (tać jest ziemia, która się wam dostanie za dziedzictwo, ziemia Chananejska z granicami swemi.)
3 Mwisho wa mpaka wa kusini utakuwa mwisho wa bahari ya chumvi kuelekea mashariki.
Tedy będzie granica wasza ku południowi, od puszczy Syn aż do granic Edomskich, która granica południowa pójdzie od brzegu morza słonego na wschód słońca.
4 Mpaka wenu utageukia kusini kutoka mlima kuelekea Akrabimu na kupitia nyika ya Sini. na kutokea huko utaelelkea kusini mwa Kadeshi Barinea na kuelekea Hazari Adari mpaka Azimoni.
I okrąży ta granica od południa do Maaleakrabim, i pójdzie aż ku puszczy Syn, i pójdzie od południa do Kades Barne; a stamtąd wynijdzie do wsi Addar, i pójdzie aż do Asmon.
5 Kutoka huko, mpaka utageuka kutoka Azimoni kuelekea kijito cha Misri na kukifuata mpaka baharini.
A zakrąży ta granica od Asmon aż do rzeki Egipskiej, a skończy się na zachód.
6 Mpaka wa Magharibi utakuwa pwani ya bahari kuu. Huu ndio utakuwa mpaka wenuwa Magharibi.
Zachodnią zaś granicę będziecie mieli morze wielkie; to wam będzie granicą od zachodu.
7 Mpaka wenu wa kaskazini utaanzia kwenye bahari kuu hadi Mlima Hori,
To zaś wasza będzie granica północna; od morza wielkiego wymierzycie sobie do góry Hor.
8 kisha kutoka Mlima Hori hadi Lebo Hamathi, kisha Zedadi.
Potem od góry Hor wymierzycie granice, aż gdzie wchodzą do Hemat; a będą się kończyć granice aż do Sedada.
9 Mpaka utaendelea hadi Zifroni na kuishia Hazari Enani. Huu ndio utakuwa mpaka wenu wa kaskazini.
I pójdzie ta granica aż do Zefronu, a skończy się u wsi Enan; tę będziecie mieć granice północną.
10 Kisha mtaweka alama za mpaka wenu wa mashariki ambao utaanzia Hazari Enani kuelekea kusini Shefamu.
Granicę też od wschodu wymierzycie od wsi Enan aż do Sefama.
11 Kisha mpaka wa kusini utaendelea kutoka Shefamu hadi Ribla, upande wa masharikia mwa Aini. Mpaka utaedelea upande huo wa mashariki hadi upande wa mashariki wa bahari ya Kinerethi.
A pójdzie ta granica od Sefama aż do Reblat, od wschodu miasta Ain; i uda się ta granica i dojdzie do brzegu morza Cyneret na wschód słońca.
12 Kisha mpaka utaendelea kuelekea kusini hadi mto Yorodani na hadi bahari ya chumvi. Hii ndiyo itakuwa nchi yenu, kwa kuifuata mipaka yake yote inayozunguka.'”
A przyjdzie ta granica aż ku Jordanu, a skończy się u morza słonego. Tać będzie ziemia wasza w granicach swoich w około.
13 Kisha Musa akawaamuru watu wa Israeli akasema, “Hii ndiyo nchi ambayo mtaipokes kwa kura, ambayo BWANA ameamuru kuwapa wale makabila tisa na nusu.
Tedy oznajmił Mojżesz synom Izraelskim, mówiąc: Tać jest ziemia, którą dziedzicznie otrzymacie losem, jako rozkazał Pan, abym ją dał dziewięciorgu pokoleniu, i połowie pokolenia Manasesowego.
14 Kabila ya uzao wa Reubeni, kwa kufuata jinsi walivyopewa urithi kwa jamaa ya kabila yao, na uzao wa kabila la Gadi, kwa kufuata jinsi walivyopewa urithi kwa jamaa ya kabila yao, na nusu ya Manase wamepata ardhi yao.
Bo wzięło pokolenie synów Rubenowych według domów ojców swych, i pokolenie synów Gadowych według domów ojców swych, i połowa pokolenia Manasesowego wzięli dziedzictwo swoje.
15 Wale makabila mawili na nusu wameshapata mgawo wao ng'ambo ya mto Yorodani upande wa mashariki, kuelekea kule linakotokea jua.”
Dwa pokolenia, i pół pokolenia, wzięły dziedzictwo swoje z tej strony Jordanu przeciw Jerychu, ku stronie na wschód słońca.
16 BWANA akanena na Musa akasema,
I rzekł Pan do Mojżesza, mówiąc:
17 “Haya ndiyo majinaya watu watakaoigawa ardhi kwa ajili ya urithi wao: Eliazari kuhani na Joshua mwana wa Nuni.
Teć są imiona mężów, którzy wam podzielą w dziedzictwo ziemię: Eleazar kapłan, i Jozue, syn Nunów.
18 Mtachagua kiongozi mmoja toka kila kabila ili kuigawa ardhi kwa koo zao.
Księcia także jednego z każdego pokolenia weźmiecie dla podzielenia w dziedzictwo ziemi.
19 Haya ndiyo majina ya wanaume: Kutoka kabila la Yuda, Kalebu mwana wa Yefune.
A teć są imiona tych mężów: z pokolenia Juda Kaleb, syn Jefunów;
20 Kutoka kwenye kabila la uzao wa Simeoni, Shemueli mwana wa Amihudi.
A z pokolenia synów Symeonowych Samuel, syn Ammiudów.
21 Kutoka kabila la Benjamini, Elidadi mwana wa Kisloni.
Z pokolenia Benjamin Eliad, syn Chaselenów.
22 Kiongozi kutoka kabila la uzao wa Dani, Buki mwana wa Jogili.
A z pokolenia synów Danowych książę Buki, syn Jogolów.
23 Kiongozi kutoka uzao wa Yusufu, kwenye kabila la Manase, Hannieli mwana wa Efodi.
Z synów Józefowych z pokolenia synów Manasesowych książę Haniel, syn Efodów.
24 Kiongozi kutoka kwenye kabila la uzao wa Efraimu, Kemueli mwana wa Shiftani.
A z pokolenia synów Efraimowych książę Chemuel, syn Seftanów.
25 Kiongozi kutoka kabila la uzao wa Zabuloni, Elizafani mwana wa Parinaki.
Z pokolenia zaś Zabulonowego książę Elisafan, syn Farnatów.
26 Kiongozi kutoka kwenye kabila la uzao wa Isakari, Palitieli mwana wa Azzani.
A z pokolenia synów Isascharowych książę Faltijel, syn Ozanów.
27 Kiongozi kutoka kabila la uzao wa Asheri, Ahihudi mwana wa Shelomi.
Z pokolenia synów Aserowych książę Ahiud, syn Salomiego.
28 Kiongozi kutoka kabila la uzao wa Naftali, Pedaheli mwana wa Amihudi.”
A z pokolenia synów Neftalimowych książę Fedael, syn Ammiudów.
29 BWANA aliwaamuru wanaume hawa kuigawa nchi ya Kanaani na kuwapa kila kabla sehemu yao.
Cić są, którym rozkazał Pan, aby dali dziedzictwo synom Izraelskim w ziemi Chananejskiej.