< Hesabu 33 >

1 Hizi ndizo safari za wana wa Israeli hapo walipotoka katika nchi ya Misri pamoja na makundi yao ya kijeshi chini ya uongozi wa Musa na Haruni.
И сии станове сынов Израилевых, егда изыдоша из земли Египетския с силою своею рукою Моисеовою и Ааронею.
2 Musa aliandika maeneo yote tangu walipoondoka mpaka walipofika, kama alivyoamuriwa na BWANA. Hizi ndizo safari zao kama kutoka kwao kulivyokuwa kwa kila walipotoka.
И написа Моисей воздвижения их и станы их, по словеси Господню. И сии станове шествия их:
3 Mwezi wa kwanza walisafiri kutoka Ramesi, waliondoka siku ya kumi na tano. Asubuhi siku iliyofuata baada ya Pasaka, Wana wa Israeli waliondoka wazi wazi, mbele ya machoya Wamisri wote.
воздвигошася от Рамессы в месяц первый, в пятыйнадесять день перваго месяца: наутрие Пасхи изыдоша сынове Израилтестии рукою высокою пред всеми Египтяны:
4 Hii ilitokea wakati Wamisiri walipokuwa wakizika wazaliwa wao wa kwanza, ambao BWANA alikuwa amewaua miongoni mwao, kwa kuwa pia alikuwa ameiadhibu miungu yao.
и Египтяне погребаху умершыя от них вся, яже изби Господь всякаго первенца в земли Египетстей: и в бозех их сотвори отмщение Господь.
5 Wana wa Israeli walisafiri kutoka Ramesi na kuweka kambi
И воздвигшеся сынове Израилевы от Рамессы, ополчишася в Сокхофе:
6 Sukothi. Walisafiri toka Sukothi na kuweka kambi Ethamu, mwisho wa nyika.
и воздвигшеся от Сокхофа, ополчишася в Вуфане, иже есть часть некая пустыни:
7 Wakasafiri kutoka Ethamu wakarudi mpaka Pi-Hahirothi, ambayo inaikabili Baali Zephoni, ambapo waliweka kambi kuikabili Migidoli
и воздвигошася от Вуфана, и ополчишася во устии Ирофа, иже есть прямо Веельсепфону, и ополчишася прямо Магдолу:
8 Kisha wakasafiri toka mkabala wa Pi-Hairothi na kupita katikati ya bahari kuelekea nyikani. Wakasafiri safari ya siku tatu katika nyika ya Ethamu na kuweka kambi Mara.
и воздвигошася прямо Ирофу, и проидоша среди моря в пустыню: и идоша путем три дни в пустыни тии, и ополчишася в Горькостех.
9 Wakasafiri kutoka Mara kufika Elimu. Pale Elimu kulikuwa na chemichemi kumi na mbili za maji na miti sabini ya mitende. hapo ndipo walipoweka kambi.
И воздвигошася от Горькостей и приидоша в Елим: и в Елиме (быша) дванадесять источники вод, и седмьдесят стеблий фиников, и ополчишася у воды тамо.
10 Walisafiri kutoka Elimu na kuweka kambi karibu na Bahari ya Shamu.
И воздвигошася от Елима и ополчишася у моря Чермнаго:
11 Walisafiri kutoka Bahari ya Shamu na kuweka kambi katika nyika ya Sini.
и воздвигошася от моря Чермнаго и ополчишася в пустыни Син:
12 Walisafiri kutoka nyika ya Sini na kuweka kambi Dofka.
и воздвигошася от пустыни Син и ополчишася в Рафаке:
13 Wakasafiri kutoka Dofka na kuweka kambi Alushi.
и воздвигошася от Рафака и ополчишася в Елусе:
14 Wakasafiri kutoka Alushi na kuweka kambi Refidimu, ambapo watu walikosa maji ya kunywa.
и воздвигошася от Елуса и ополчишася в Рафидине: и не бысть тамо воды людем пити.
15 Walisafiri kutoka Refidimu na kuweka kambi kwenye nyika ya Sinai.
И воздвигошася от Рафидина и ополчишася в пустыни Сина:
16 Walisafiri kutoka nyika ya Sinai na kuweka kambi Kibrothi Hataava.
и воздвигошася от пустыни Сина и ополчишася во гробех Похотения:
17 Walisafiri kutoka Kibrothi Hataava na kuweka kambi Hazerothi.
и воздвигошася от Гробов Похотения и ополчишася во Асирофе:
18 Walisafiri kutoka Hazerothi na kuweka kambi Rithima.
и воздвигошася от Асирофа и ополчишася в Рафаме:
19 Walisafiri kutoka Rithima na kuweka kambi Rimoni Perezi.
и воздвигошася от Рафама и ополчишася в Ремнон-Фаресе:
20 Walisafiri kutoka Rimoni Perezi na kuweka kambi Libna.
и воздвигошася от Ремнон-Фареса и ополчишася в Лемвоне:
21 Walisafiri kutoka Libna na kuweka kambi Risa.
и воздвигошася от Лемвона и ополчишася в Рессане:
22 Walisafiri kutoka Risa na kuweka kambi Kehelatha.
и воздвигошася от Рессана и ополчишася в Макеллафе:
23 Walisafiri kutoka Kehelatha na kuweka kambi kwenye Mlima Sheferi.
и воздвигошася от Макеллафа и ополчишася во Арсафафе:
24 Walisafiri kutoka Mlima Sheferi na kuweka kambi Harada.
и воздвигошася от Арсафафа горы и ополчишася в Харадафе:
25 Walisafiri kutoka Harada na kuweka kambi Makelothi.
и воздвигошася от Харадафа и ополчишася в Макидофе:
26 Walisafiri kutoka Makelothi na kuweka kambi Tahathi.
и воздвигошася от Макидофа и ополчишася в Катаафе:
27 Walisafiri kutoka Ttahalathi na kuweka kambi Tera.
и воздвигошася от Катаафа и ополчишася во Фарафе:
28 Walisafiri kutokaTera na kuweka kambi Mithika.
и воздвигошася от Фарафа и ополчишася в Мафекке:
29 Walisafiri kutoka Mithika na kuweka kambi Hashimona.
и воздвигошася от Мафекка и ополчишася во Аселмоне:
30 Walisafiri kutoka Hashimona na kuweka kambi Moserothi.
и воздвигошася от Аселмона и ополчишася в Масуруфе:
31 Walisafiri kutoka Moserothi na kuweka kambi Bene Jaakani.
и воздвигошася от Масуруфа и ополчишася в Ванаккане:
32 Walisafiri kutoka Bene Jaakani na kuweka kambi Hori Hagidigadi.
и воздвигошася от Ванаккана и ополчишася в горе Гаддад:
33 Walisafiri kutoka Hori Hagidigadi na kuweka kambi Jotibatha.
и воздвигошася от горы Гаддад и ополчишася во Етевафе:
34 Walisafiri kutoka Jotibatha na kuweka kambi Abrona.
и воздвигошася от Етевафа и ополчишася во Евроне:
35 Walisafiri kutoka Abrona na kuweka kambi Ezioni Geberi.
и воздвигошася от Еврона и ополчишася в Гесион-Гавере:
36 Walisafiri toka Ezioini Geberi na kuweka kambi katika nyika ya Sini kule Kadeshi.
и воздвигошася от Гесион-Гавера и ополчишася в пустыни Син: и воздвигошася от пустыни Син и ополчишася в пустыни Фарани, яже есть Кадис:
37 Walisafiri kutoka Kadeshi na kuweka kambi Mlima Hori, Pembezoni mwa nchi ya Edomu.
и воздвигошася от Кадиса и ополчишася в горе Ор близ земли Едомли.
38 Hapo ndipo Haruni kuhani alipoenda kwenye Mlima Hori kwa amri ya BWANA na kufa kule mwaka wa arobaini bada ya Wisraeli kutoka katika nchi ya Misri, katika siku ya kwanza ya mwezi wa tano.
И взыде Аарон жрец на гору Ор повелением Господним, и умре тамо в четыредесятое лето изшествия сынов Израилевых из земли Египетския, месяца пятаго в первый день месяца.
39 Haruni alikuwa na umri wa mika 123 alipokufa pale juu ya Mlima Hori.
И Аарон бяше ста двадесяти трех лет, егда умре в горе Ор.
40 Wakanaani, mfalme wa Aradi, ambao waliishi kusini mwa nyika katika nchi ya Kanaani, walisikia juu ya ujio wa wana wa Israeli.
И услыша Хананей царь Арадский, и сей живяше в земли Ханаани, егда вхождаху сынове Израилевы.
41 Walisafiri kutika Mlima Hori n a kuweka kambi Zalimona.
И воздвигошася от горы Ор и ополчишася в Селмоне:
42 Walisafiri kutoka Zalimona na kuweka kambi Punoni.
и воздвигошася от Селмона и ополчишася в Финоне:
43 Walisafiri kutoka Punoni na kuweka kambi Obothi.
и воздвигошася от Финона и ополчишася во Овофе:
44 Walisafiri kutoka Obothi na kuweka kambi Abarimu, katika mpaka wa Moabu.
и воздвигошася от Овофа и ополчишася в Гаи, об ону страну предел Моавлих:
45 Walisafiri kutoka Abarimu na kuweka kambi Diboni Gadi.
и воздвигошася от Гаи и ополчишася в Девон-Гаде:
46 Walisafiri kutoka Diboni Gadi na kuweka kambi Alimoni Diblathaimu.
и воздвигошася от Девон-Гада и ополчишася в Гелмон-Девлафаиме:
47 Walisafiri kutoka Alimoni Diblathaimu na kuweka kambi kwenye milima ya Abarimu mkabala na Nebo.
и воздвигошася от Гелмон-Девлафаима и ополчишася в горах Аваримлих прямо Нававу:
48 Walisafiri kutoka mlima wa Abarimuna kuweka kambi kwenye nyanda za Moabu karibu na Yorodani huko Yeriko.
и воздвигошася от гор Аваримлих и ополчишася на западе Моавли, у Иордана при Иерихоне:
49 Waliweka kambi karibu na Yorodani, kutoka Bethi Jeshimothi mpaka Abeli Shitimu katika nyanda za Moabu.
и воздвигошася от запада Моавля и ополчишася у Иордана, между Есимофом, до Велсаттима на запады Моава.
50 Hapo BWANA alinenana Musa katika nyanda za Moabu karibu na Yorodani kule Yeriko akasema,
И рече Господь к Моисею в западе Моава у Иордана при Иерихоне, глаголя:
51 “Nena na wana wa Israeli uwaambie. 'Mtakapovuka mto Yorodani kuingia Kanaani,
глаголи сыном Израилевым и речеши к ним: вы преходите Иордан в землю Ханааню,
52 ndipo mtakapowafukuza wenyeji wote mbele yenu. Mtaziharibu sanamu zote za kuchongwa. Mtaziharibu sanamu zao za kusubu na kuharibu mahali pao pote palipoinuka.
и погубите вся живущыя на земли от лица вашего, и разрушите стражбы их, и вся идолы излиянныя их сокрушите я, и вся капища их разрушите,
53 Mtachukua hiyo ardhi iwe mali yenu na muishi ndani yake, kwa sababu nimewapeni hiyo nchi iwe mali yenu.
и погубите вся живущыя на земли, и вселитеся в ню: вам бо дах землю их по жребию:
54 Mtairithi hiyo nchi kwa kupiga kura, kwa kufuata kila ukoo. Kwa zile koo kubwa kubwa mtawapa sehemu kubwa ya ardhi, na kwa zile koo ndogo ndogo mtawapa sehemu ndogo ya ardhi. Kura itakapoanguka kwenye kila ukoo, hiyo ardhi itakuwa mali yake. Mtairithi ardhi kufuata ukoo wa kabilla la jamaa zenu.
и наследите землю их жребием по племенам вашым: многим умножите одержание их, и малым умалите одержание их: в неже изыдет имя его, тамо да будет жребий его: по племенам отечествий ваших наследите:
55 Lakini kama hamtawafukuza wenyeji wa nchi hiyo watoke mbele yenu, ndipo wale watu mtakaowaruhusu wakae nanyi watakapokuwa kama sindano machoni mwenu na miiba katika mbavu zenu. Watayafanya maisha yenu yawe magumu katika nchi mnayoishi.
аще же не погубите живущих на земли от лица вашего, будут, ихже оставите от них, остны во очесех ваших и стрелы в ребрах ваших, и совраждуют вам на земли, на нейже вы вселитеся:
56 Ndipo itakapotokea kuwa kile ambacho Mimi ninakusudia kufanya kwa wale watu, Nitawafanyia pia ninyi'”
и будет якоже умыслих сотворити онем, то сотворю вам.

< Hesabu 33 >