< Hesabu 33 >
1 Hizi ndizo safari za wana wa Israeli hapo walipotoka katika nchi ya Misri pamoja na makundi yao ya kijeshi chini ya uongozi wa Musa na Haruni.
१जब से इस्राएली मूसा और हारून की अगुआई में दल बाँधकर मिस्र देश से निकले, तब से उनके ये पड़ाव हुए।
2 Musa aliandika maeneo yote tangu walipoondoka mpaka walipofika, kama alivyoamuriwa na BWANA. Hizi ndizo safari zao kama kutoka kwao kulivyokuwa kwa kila walipotoka.
२मूसा ने यहोवा से आज्ञा पाकर उनके कूच उनके पड़ावों के अनुसार लिख दिए; और वे ये हैं।
3 Mwezi wa kwanza walisafiri kutoka Ramesi, waliondoka siku ya kumi na tano. Asubuhi siku iliyofuata baada ya Pasaka, Wana wa Israeli waliondoka wazi wazi, mbele ya machoya Wamisri wote.
३पहले महीने के पन्द्रहवें दिन को उन्होंने रामसेस से कूच किया; फसह के दूसरे दिन इस्राएली सब मिस्रियों के देखते बेखटके निकल गए,
4 Hii ilitokea wakati Wamisiri walipokuwa wakizika wazaliwa wao wa kwanza, ambao BWANA alikuwa amewaua miongoni mwao, kwa kuwa pia alikuwa ameiadhibu miungu yao.
४जबकि मिस्री अपने सब पहिलौठों को मिट्टी दे रहे थे जिन्हें यहोवा ने मारा था; और उसने उनके देवताओं को भी दण्ड दिया था।
5 Wana wa Israeli walisafiri kutoka Ramesi na kuweka kambi
५इस्राएलियों ने रामसेस से कूच करके सुक्कोत में डेरे डाले।
6 Sukothi. Walisafiri toka Sukothi na kuweka kambi Ethamu, mwisho wa nyika.
६और सुक्कोत से कूच करके एताम में, जो जंगल के छोर पर है, डेरे डाले।
7 Wakasafiri kutoka Ethamu wakarudi mpaka Pi-Hahirothi, ambayo inaikabili Baali Zephoni, ambapo waliweka kambi kuikabili Migidoli
७और एताम से कूच करके वे पीहहीरोत को मुड़ गए, जो बाल-सपोन के सामने है; और मिग्दोल के सामने डेरे खड़े किए।
8 Kisha wakasafiri toka mkabala wa Pi-Hairothi na kupita katikati ya bahari kuelekea nyikani. Wakasafiri safari ya siku tatu katika nyika ya Ethamu na kuweka kambi Mara.
८तब वे पीहहीरोत के सामने से कूच कर समुद्र के बीच होकर जंगल में गए, और एताम नामक जंगल में तीन दिन का मार्ग चलकर मारा में डेरे डाले।
9 Wakasafiri kutoka Mara kufika Elimu. Pale Elimu kulikuwa na chemichemi kumi na mbili za maji na miti sabini ya mitende. hapo ndipo walipoweka kambi.
९फिर मारा से कूच करके वे एलीम को गए, और एलीम में जल के बारह सोते और सत्तर खजूर के वृक्ष मिले, और उन्होंने वहाँ डेरे खड़े किए।
10 Walisafiri kutoka Elimu na kuweka kambi karibu na Bahari ya Shamu.
१०तब उन्होंने एलीम से कूच करके लाल समुद्र के तट पर डेरे खड़े किए।
11 Walisafiri kutoka Bahari ya Shamu na kuweka kambi katika nyika ya Sini.
११और लाल समुद्र से कूच करके सीन नामक जंगल में डेरे खड़े किए।
12 Walisafiri kutoka nyika ya Sini na kuweka kambi Dofka.
१२फिर सीन नामक जंगल से कूच करके उन्होंने दोपका में डेरा किया।
13 Wakasafiri kutoka Dofka na kuweka kambi Alushi.
१३और दोपका से कूच करके आलूश में डेरा किया।
14 Wakasafiri kutoka Alushi na kuweka kambi Refidimu, ambapo watu walikosa maji ya kunywa.
१४और आलूश से कूच करके रपीदीम में डेरा किया, और वहाँ उन लोगों को पीने का पानी न मिला।
15 Walisafiri kutoka Refidimu na kuweka kambi kwenye nyika ya Sinai.
१५फिर उन्होंने रपीदीम से कूच करके सीनै के जंगल में डेरे डाले।
16 Walisafiri kutoka nyika ya Sinai na kuweka kambi Kibrothi Hataava.
१६और सीनै के जंगल से कूच करके किब्रोतहत्तावा में डेरा किया।
17 Walisafiri kutoka Kibrothi Hataava na kuweka kambi Hazerothi.
१७और किब्रोतहत्तावा से कूच करके हसेरोत में डेरे डाले।
18 Walisafiri kutoka Hazerothi na kuweka kambi Rithima.
१८और हसेरोत से कूच करके रित्मा में डेरे डाले।
19 Walisafiri kutoka Rithima na kuweka kambi Rimoni Perezi.
१९फिर उन्होंने रित्मा से कूच करके रिम्मोनपेरेस में डेरे खड़े किए।
20 Walisafiri kutoka Rimoni Perezi na kuweka kambi Libna.
२०और रिम्मोनपेरेस से कूच करके लिब्ना में डेरे खड़े किए।
21 Walisafiri kutoka Libna na kuweka kambi Risa.
२१और लिब्ना से कूच करके रिस्सा में डेरे खड़े किए।
22 Walisafiri kutoka Risa na kuweka kambi Kehelatha.
२२और रिस्सा से कूच करके कहेलाता में डेरा किया।
23 Walisafiri kutoka Kehelatha na kuweka kambi kwenye Mlima Sheferi.
२३और कहेलाता से कूच करके शेपेर पर्वत के पास डेरा किया।
24 Walisafiri kutoka Mlima Sheferi na kuweka kambi Harada.
२४फिर उन्होंने शेपेर पर्वत से कूच करके हरादा में डेरा किया।
25 Walisafiri kutoka Harada na kuweka kambi Makelothi.
२५और हरादा से कूच करके मखेलोत में डेरा किया।
26 Walisafiri kutoka Makelothi na kuweka kambi Tahathi.
२६और मखेलोत से कूच करके तहत में डेरे खड़े किए।
27 Walisafiri kutoka Ttahalathi na kuweka kambi Tera.
२७और तहत से कूच करके तेरह में डेरे डाले।
28 Walisafiri kutokaTera na kuweka kambi Mithika.
२८और तेरह से कूच करके मित्का में डेरे डाले।
29 Walisafiri kutoka Mithika na kuweka kambi Hashimona.
२९फिर मित्का से कूच करके उन्होंने हशमोना में डेरे डाले।
30 Walisafiri kutoka Hashimona na kuweka kambi Moserothi.
३०और हशमोना से कूच करके मोसेरोत में डेरे खड़े किए।
31 Walisafiri kutoka Moserothi na kuweka kambi Bene Jaakani.
३१और मोसेरोत से कूच करके याकानियों के बीच डेरा किया।
32 Walisafiri kutoka Bene Jaakani na kuweka kambi Hori Hagidigadi.
३२और याकानियों के बीच से कूच करके होर्हग्गिदगाद में डेरा किया।
33 Walisafiri kutoka Hori Hagidigadi na kuweka kambi Jotibatha.
३३और होर्हग्गिदगाद से कूच करके योतबाता में डेरा किया।
34 Walisafiri kutoka Jotibatha na kuweka kambi Abrona.
३४और योतबाता से कूच करके अब्रोना में डेरे खड़े किए।
35 Walisafiri kutoka Abrona na kuweka kambi Ezioni Geberi.
३५और अब्रोना से कूच करके एस्योनगेबेर में डेरे खड़े किए।
36 Walisafiri toka Ezioini Geberi na kuweka kambi katika nyika ya Sini kule Kadeshi.
३६और एस्योनगेबेर से कूच करके उन्होंने सीन नामक जंगल के कादेश में डेरा किया।
37 Walisafiri kutoka Kadeshi na kuweka kambi Mlima Hori, Pembezoni mwa nchi ya Edomu.
३७फिर कादेश से कूच करके होर पर्वत के पास, जो एदोम देश की सीमा पर है, डेरे डाले।
38 Hapo ndipo Haruni kuhani alipoenda kwenye Mlima Hori kwa amri ya BWANA na kufa kule mwaka wa arobaini bada ya Wisraeli kutoka katika nchi ya Misri, katika siku ya kwanza ya mwezi wa tano.
३८वहाँ इस्राएलियों के मिस्र देश से निकलने के चालीसवें वर्ष के पाँचवें महीने के पहले दिन को हारून याजक यहोवा की आज्ञा पाकर होर पर्वत पर चढ़ा, और वहाँ मर गया।
39 Haruni alikuwa na umri wa mika 123 alipokufa pale juu ya Mlima Hori.
३९और जब हारून होर पर्वत पर मर गया तब वह एक सौ तेईस वर्ष का था।
40 Wakanaani, mfalme wa Aradi, ambao waliishi kusini mwa nyika katika nchi ya Kanaani, walisikia juu ya ujio wa wana wa Israeli.
४०और अराद का कनानी राजा, जो कनान देश के दक्षिण भाग में रहता था, उसने इस्राएलियों के आने का समाचार पाया।
41 Walisafiri kutika Mlima Hori n a kuweka kambi Zalimona.
४१तब इस्राएलियों ने होर पर्वत से कूच करके सलमोना में डेरे डाले।
42 Walisafiri kutoka Zalimona na kuweka kambi Punoni.
४२और सलमोना से कूच करके पूनोन में डेरे डाले।
43 Walisafiri kutoka Punoni na kuweka kambi Obothi.
४३और पूनोन से कूच करके ओबोत में डेरे डाले।
44 Walisafiri kutoka Obothi na kuweka kambi Abarimu, katika mpaka wa Moabu.
४४और ओबोत से कूच करके अबारीम नामक डीहों में जो मोआब की सीमा पर हैं, डेरे डाले।
45 Walisafiri kutoka Abarimu na kuweka kambi Diboni Gadi.
४५तब उन डीहों से कूच करके उन्होंने दीबोन-गाद में डेरा किया।
46 Walisafiri kutoka Diboni Gadi na kuweka kambi Alimoni Diblathaimu.
४६और दीबोन-गाद से कूच करके अल्मोनदिबलातैम में डेरा किया।
47 Walisafiri kutoka Alimoni Diblathaimu na kuweka kambi kwenye milima ya Abarimu mkabala na Nebo.
४७और अल्मोनदिबलातैम से कूच करके उन्होंने अबारीम नामक पहाड़ों में नबो के सामने डेरा किया।
48 Walisafiri kutoka mlima wa Abarimuna kuweka kambi kwenye nyanda za Moabu karibu na Yorodani huko Yeriko.
४८फिर अबारीम पहाड़ों से कूच करके मोआब के अराबा में, यरीहो के पास यरदन नदी के तट पर डेरा किया।
49 Waliweka kambi karibu na Yorodani, kutoka Bethi Jeshimothi mpaka Abeli Shitimu katika nyanda za Moabu.
४९और उन्होंने मोआब के अराबा में बेत्यशीमोत से लेकर आबेलशित्तीम तक यरदन के किनारे-किनारे डेरे डाले।
50 Hapo BWANA alinenana Musa katika nyanda za Moabu karibu na Yorodani kule Yeriko akasema,
५०फिर मोआब के अराबा में, यरीहो के पास की यरदन नदी के तट पर, यहोवा ने मूसा से कहा,
51 “Nena na wana wa Israeli uwaambie. 'Mtakapovuka mto Yorodani kuingia Kanaani,
५१“इस्राएलियों को समझाकर कह: जब तुम यरदन पार होकर कनान देश में पहुँचो
52 ndipo mtakapowafukuza wenyeji wote mbele yenu. Mtaziharibu sanamu zote za kuchongwa. Mtaziharibu sanamu zao za kusubu na kuharibu mahali pao pote palipoinuka.
५२तब उस देश के निवासियों को उनके देश से निकाल देना; और उनके सब नक्काशीदार पत्थरों को और ढली हुई मूर्तियों को नाश करना, और उनके सब पूजा के ऊँचे स्थानों को ढा देना।
53 Mtachukua hiyo ardhi iwe mali yenu na muishi ndani yake, kwa sababu nimewapeni hiyo nchi iwe mali yenu.
५३और उस देश को अपने अधिकार में लेकर उसमें निवास करना, क्योंकि मैंने वह देश तुम्हीं को दिया है कि तुम उसके अधिकारी हो।
54 Mtairithi hiyo nchi kwa kupiga kura, kwa kufuata kila ukoo. Kwa zile koo kubwa kubwa mtawapa sehemu kubwa ya ardhi, na kwa zile koo ndogo ndogo mtawapa sehemu ndogo ya ardhi. Kura itakapoanguka kwenye kila ukoo, hiyo ardhi itakuwa mali yake. Mtairithi ardhi kufuata ukoo wa kabilla la jamaa zenu.
५४और तुम उस देश को चिट्ठी डालकर अपने कुलों के अनुसार बाँट लेना; अर्थात् जो कुल अधिकवाले हैं उन्हें अधिक, और जो थोड़ेवाले हैं उनको थोड़ा भाग देना; जिस कुल की चिट्ठी जिस स्थान के लिये निकले वही उसका भाग ठहरे; अपने पितरों के गोत्रों के अनुसार अपना-अपना भाग लेना।
55 Lakini kama hamtawafukuza wenyeji wa nchi hiyo watoke mbele yenu, ndipo wale watu mtakaowaruhusu wakae nanyi watakapokuwa kama sindano machoni mwenu na miiba katika mbavu zenu. Watayafanya maisha yenu yawe magumu katika nchi mnayoishi.
५५परन्तु यदि तुम उस देश के निवासियों को अपने आगे से न निकालोगे, तो उनमें से जिनको तुम उसमें रहने दोगे, वे मानो तुम्हारी आँखों में काँटे और तुम्हारे पांजरों में कीलें ठहरेंगे, और वे उस देश में जहाँ तुम बसोगे, तुम्हें संकट में डालेंगे।
56 Ndipo itakapotokea kuwa kile ambacho Mimi ninakusudia kufanya kwa wale watu, Nitawafanyia pia ninyi'”
५६और उनसे जैसा बर्ताव करने की मनसा मैंने की है वैसा ही तुम से करूँगा।”