< Hesabu 33 >

1 Hizi ndizo safari za wana wa Israeli hapo walipotoka katika nchi ya Misri pamoja na makundi yao ya kijeshi chini ya uongozi wa Musa na Haruni.
Dit zijn de reizen der kinderen Israels, die uit Egypteland uitgetogen zijn, naar hun heiren, door de hand van Mozes en Aaron.
2 Musa aliandika maeneo yote tangu walipoondoka mpaka walipofika, kama alivyoamuriwa na BWANA. Hizi ndizo safari zao kama kutoka kwao kulivyokuwa kwa kila walipotoka.
En Mozes schreef hun uittochten, naar hun reizen, naar den mond des HEEREN; en dit zijn hun reizen, naar hun uittochten.
3 Mwezi wa kwanza walisafiri kutoka Ramesi, waliondoka siku ya kumi na tano. Asubuhi siku iliyofuata baada ya Pasaka, Wana wa Israeli waliondoka wazi wazi, mbele ya machoya Wamisri wote.
Zij reisden dan van Rameses; in de eerste maand, op den vijftienden dag der eerste maand, des anderen daags van het pascha, togen de kinderen Israels uit door een hoge hand, voor de ogen van alle Egyptenaren;
4 Hii ilitokea wakati Wamisiri walipokuwa wakizika wazaliwa wao wa kwanza, ambao BWANA alikuwa amewaua miongoni mwao, kwa kuwa pia alikuwa ameiadhibu miungu yao.
Als de Egyptenaars begroeven degenen, welke de HEERE onder hen geslagen had, alle eerstgeborenen; ook had de HEERE gerichten geoefend aan hun goden.
5 Wana wa Israeli walisafiri kutoka Ramesi na kuweka kambi
Als de kinderen Israels van Rameses verreisd waren, zo legerden zij zich te Sukkoth.
6 Sukothi. Walisafiri toka Sukothi na kuweka kambi Ethamu, mwisho wa nyika.
En zij verreisden van Sukkoth, en legerden zich in Etham, hetwelk aan het einde der woestijn is.
7 Wakasafiri kutoka Ethamu wakarudi mpaka Pi-Hahirothi, ambayo inaikabili Baali Zephoni, ambapo waliweka kambi kuikabili Migidoli
En zij verreisden van Etham, en keerden weder naar Pi-hachiroth, dat tegenover Baal-Sefon is, en zij legerden zich voor Migdol.
8 Kisha wakasafiri toka mkabala wa Pi-Hairothi na kupita katikati ya bahari kuelekea nyikani. Wakasafiri safari ya siku tatu katika nyika ya Ethamu na kuweka kambi Mara.
En zij verreisden van Hachiroth, en gingen over, door het midden van de zee, naar de woestijn, en zij gingen drie dagreizen in de woestijn Etham, en legerden zich in Mara.
9 Wakasafiri kutoka Mara kufika Elimu. Pale Elimu kulikuwa na chemichemi kumi na mbili za maji na miti sabini ya mitende. hapo ndipo walipoweka kambi.
En zij verreisden van Mara, en kwamen te Elim; in Elim nu waren twaalf waterfonteinen en zeventig palmbomen, en zij legerden zich aldaar.
10 Walisafiri kutoka Elimu na kuweka kambi karibu na Bahari ya Shamu.
En zij verreisden van Elim, en legerden zich aan de Schelfzee.
11 Walisafiri kutoka Bahari ya Shamu na kuweka kambi katika nyika ya Sini.
En zij verreisden van de Schelfzee, en legerden zich in de woestijn Sin.
12 Walisafiri kutoka nyika ya Sini na kuweka kambi Dofka.
En zij verreisden uit de woestijn Sin, en zij legerden zich in Dofka.
13 Wakasafiri kutoka Dofka na kuweka kambi Alushi.
En zij verreisden van Dofka, en legerden zich in Aluz.
14 Wakasafiri kutoka Alushi na kuweka kambi Refidimu, ambapo watu walikosa maji ya kunywa.
En zij verreisden van Aluz, en legerden zich in Rafidim; doch daar was geen water voor het volk, om te drinken.
15 Walisafiri kutoka Refidimu na kuweka kambi kwenye nyika ya Sinai.
En zij verreisden van Rafidim, en legerden zich in de woestijn van Sinai.
16 Walisafiri kutoka nyika ya Sinai na kuweka kambi Kibrothi Hataava.
En zij verreisden uit de woestijn van Sinai, en legerden zich in Kibroth-Thaava.
17 Walisafiri kutoka Kibrothi Hataava na kuweka kambi Hazerothi.
En zij verreisden van Kibroth-Thaava, en legerden zich in Hazeroth.
18 Walisafiri kutoka Hazerothi na kuweka kambi Rithima.
En zij verreisden van Hazeroth, en legerden zich in Rithma.
19 Walisafiri kutoka Rithima na kuweka kambi Rimoni Perezi.
En zij verreisden van Rithma, en legerden zich in Rimmon-Perez.
20 Walisafiri kutoka Rimoni Perezi na kuweka kambi Libna.
En zij verreisden van Rimmon-Perez, en legerden zich in Libna.
21 Walisafiri kutoka Libna na kuweka kambi Risa.
En zij verreisden van Libna, en legerden zich in Rissa.
22 Walisafiri kutoka Risa na kuweka kambi Kehelatha.
En zij verreisden van Rissa, en legerden zich in Kehelatha.
23 Walisafiri kutoka Kehelatha na kuweka kambi kwenye Mlima Sheferi.
En zij verreisden van Kehelatha, en legerden zich in het gebergte van Safer.
24 Walisafiri kutoka Mlima Sheferi na kuweka kambi Harada.
En zij verreisden van het gebergte Safer, en legerden zich in Harada.
25 Walisafiri kutoka Harada na kuweka kambi Makelothi.
En zij verreisden van Harada, en legerden zich in Makheloth.
26 Walisafiri kutoka Makelothi na kuweka kambi Tahathi.
En zij verreisden van Makheloth, en legerden zich in Tachath.
27 Walisafiri kutoka Ttahalathi na kuweka kambi Tera.
En zij verreisden van Tachath, en legerden zich in Tharah.
28 Walisafiri kutokaTera na kuweka kambi Mithika.
En zij verreisden van Tharah, en legerden zich in Mithka.
29 Walisafiri kutoka Mithika na kuweka kambi Hashimona.
En zij verreisden van Mithka, en legerden zich in Hasmona.
30 Walisafiri kutoka Hashimona na kuweka kambi Moserothi.
En zij verreisden van Hasmona, en legerden zich in Moseroth.
31 Walisafiri kutoka Moserothi na kuweka kambi Bene Jaakani.
En zij verreisden van Moseroth, en legerden zich in Bene-Jaakan.
32 Walisafiri kutoka Bene Jaakani na kuweka kambi Hori Hagidigadi.
En zij verreisden van Bene-Jaakan, en legerden zich in Hor-Gidgad.
33 Walisafiri kutoka Hori Hagidigadi na kuweka kambi Jotibatha.
En zij verreisden van Hor-gidgad, en legerden zich in Jotbatha.
34 Walisafiri kutoka Jotibatha na kuweka kambi Abrona.
En zij verreisden van Jotbatha, en legerden zich in Abrona.
35 Walisafiri kutoka Abrona na kuweka kambi Ezioni Geberi.
En zij verreisden van Abrona, en legerden zich in Ezeon-Geber.
36 Walisafiri toka Ezioini Geberi na kuweka kambi katika nyika ya Sini kule Kadeshi.
En zij verreisden van Ezeon-Geber, en legerden zich in de woestijn Zin, dat is Kades.
37 Walisafiri kutoka Kadeshi na kuweka kambi Mlima Hori, Pembezoni mwa nchi ya Edomu.
En zij verreisden van Kades, en legerden zich aan den berg Hor, aan het einde des lands van Edom.
38 Hapo ndipo Haruni kuhani alipoenda kwenye Mlima Hori kwa amri ya BWANA na kufa kule mwaka wa arobaini bada ya Wisraeli kutoka katika nchi ya Misri, katika siku ya kwanza ya mwezi wa tano.
Toen ging de priester Aaron op den berg Hor, naar den mond des HEEREN, en stierf aldaar, in het veertigste jaar na den uittocht van de kinderen Israels uit Egypteland, in de vijfde maand, op den eersten der maand.
39 Haruni alikuwa na umri wa mika 123 alipokufa pale juu ya Mlima Hori.
Aaron nu was honderd drie en twintig jaren oud, als hij stierf op den berg Hor.
40 Wakanaani, mfalme wa Aradi, ambao waliishi kusini mwa nyika katika nchi ya Kanaani, walisikia juu ya ujio wa wana wa Israeli.
En de Kanaaniet, de koning van Harad, die in het zuiden woonde in het land Kanaan, hoorde, dat de kinderen Israels aankwamen.
41 Walisafiri kutika Mlima Hori n a kuweka kambi Zalimona.
En zij verreisden van den berg Hor, en legerden zich in Zalmona.
42 Walisafiri kutoka Zalimona na kuweka kambi Punoni.
En zij verreisden van Zalmona, en legerden zich in Funon.
43 Walisafiri kutoka Punoni na kuweka kambi Obothi.
En zij verreisden van Funon, en legerden zich in Oboth.
44 Walisafiri kutoka Obothi na kuweka kambi Abarimu, katika mpaka wa Moabu.
En zij verreisden van Oboth, en legerden zich aan de heuvelen van Abarim, in de landpale van Moab.
45 Walisafiri kutoka Abarimu na kuweka kambi Diboni Gadi.
En zij verreisden van de heuvelen van Abarim, en legerden zich in Dibon-Gad.
46 Walisafiri kutoka Diboni Gadi na kuweka kambi Alimoni Diblathaimu.
En zij verreisden van Dibon-Gad, en legerden zich in Almon-Diblathaim.
47 Walisafiri kutoka Alimoni Diblathaimu na kuweka kambi kwenye milima ya Abarimu mkabala na Nebo.
En zij verreisden van Almon-Diblathaim, en legerden zich in de bergen Abarim, tegen Nebo.
48 Walisafiri kutoka mlima wa Abarimuna kuweka kambi kwenye nyanda za Moabu karibu na Yorodani huko Yeriko.
En zij verreisden van de bergen Abarim, en legerden zich in de vlakke velden der Moabieten, aan de Jordaan van Jericho.
49 Waliweka kambi karibu na Yorodani, kutoka Bethi Jeshimothi mpaka Abeli Shitimu katika nyanda za Moabu.
En zij legerden zich aan de Jordaan van Beth-Jesimoth, tot aan Abel-Sittim, in de vlakke velden der Moabieten.
50 Hapo BWANA alinenana Musa katika nyanda za Moabu karibu na Yorodani kule Yeriko akasema,
En de HEERE sprak tot Mozes, in de vlakke velden der Moabieten, aan de Jordaan van Jericho, zeggende:
51 “Nena na wana wa Israeli uwaambie. 'Mtakapovuka mto Yorodani kuingia Kanaani,
Spreek tot de kinderen Israels, en zeg tot hen: Wanneer gijlieden over de Jordaan zult gegaan zijn in het land Kanaan;
52 ndipo mtakapowafukuza wenyeji wote mbele yenu. Mtaziharibu sanamu zote za kuchongwa. Mtaziharibu sanamu zao za kusubu na kuharibu mahali pao pote palipoinuka.
Zo zult gij alle inwoners des lands voor uw aangezicht uit de bezitting verdrijven, en al hun beeltenissen verderven; ook zult gij al hun gegotene beelden verderven, en al hun hoogten verdelgen.
53 Mtachukua hiyo ardhi iwe mali yenu na muishi ndani yake, kwa sababu nimewapeni hiyo nchi iwe mali yenu.
En gij zult het land in erfelijke bezitting nemen, en daarin wonen; want Ik heb u dat land gegeven, om hetzelve erfelijk te bezitten.
54 Mtairithi hiyo nchi kwa kupiga kura, kwa kufuata kila ukoo. Kwa zile koo kubwa kubwa mtawapa sehemu kubwa ya ardhi, na kwa zile koo ndogo ndogo mtawapa sehemu ndogo ya ardhi. Kura itakapoanguka kwenye kila ukoo, hiyo ardhi itakuwa mali yake. Mtairithi ardhi kufuata ukoo wa kabilla la jamaa zenu.
En gij zult het land in erfelijke bezitting nemen door het lot, naar uw geslachten; dengenen, die veel zijn, zult gij hun erfenis meerder maken, en dien, die weinig zijn, zult gij hun erfenis minder maken; waarheen voor iemand het lot zal uitgaan, dat zal hij hebben; naar de stammen uwer vaderen zult gij de erfenis nemen.
55 Lakini kama hamtawafukuza wenyeji wa nchi hiyo watoke mbele yenu, ndipo wale watu mtakaowaruhusu wakae nanyi watakapokuwa kama sindano machoni mwenu na miiba katika mbavu zenu. Watayafanya maisha yenu yawe magumu katika nchi mnayoishi.
Maar indien gij de inwoners des lands niet voor uw aangezicht uit de bezitting zult verdrijven, zo zal het geschieden, dat, die gij van hen zult laten overblijven, tot doornen zullen zijn in uw ogen, en tot prikkelen in uw zijden, en u zullen benauwen op het land, waarin gij woont.
56 Ndipo itakapotokea kuwa kile ambacho Mimi ninakusudia kufanya kwa wale watu, Nitawafanyia pia ninyi'”
En het zal geschieden, dat Ik u zal doen, gelijk als Ik hun dacht te doen.

< Hesabu 33 >