< Hesabu 32 >

1 Sasa wana wa uzao wa Reubeni na wa Gadi walikuwa na idadi kubwa ya wanyama. Waliiona ardhi ya Jazeri na Gileadi, kuwa ni ardhi nzuri kwa mifugo.
I mieli synowie Rubenowi, i synowie Gadowi bydła bardzo wiele; a obaczywszy ziemię Jazer i ziemię Galaad, że miejsce ono było sposobne dla bydła,
2 Kwa hiyo wana wa Gadi na wa Reubeni wakaja kumwambia Musa, na Eliazari kuhani, na viongozi wa watu. Wakasema,
Przyszli ciż synowie Gadowi, i synowie Rubenowi, i mówili do Mojżesza i do Eleazara kapłana, i do książąt zgromadzenia, i rzekli:
3 “Hii ndiyo orodha ya maeneo ambayo tumeyatembelea: Diboni, Jazeri, Nimraha, Heshibonni, Ellealehi, Sebamu, Nebo, na Beoni.
Ziemia Ataret i Dybon, i Jazer, i Nemra, i Hesebon, i Eleale, i Seban, i Nebo, i Beon:
4 Haya ni maeneo ambayo BWANA aliyachukua mbele ya watu wa Israeli, na maeneo mazuri kwa ajili ya mifugo. Sisi watumishi wako tuna mifugo mingi sana.
Ziemia, którą zwojował Pan przed zgromadzeniem Izraelskiem, jest ziemia sposobna dla bydła, a my słudzy twoi mamy bydła wiele. Przetoż rzekli:
5 Wakasema kuwa, “Kama tutapata kibali mbele ya macho yako, tunaomba ardhi hii tupewe, sisi watumishi wako, kuwa urithi. Usituvushe ng'ambo ya Yorodani.”
Jeźliśmy znaleźli łaskę przed oczyma twemi, niechże będzie dana ta ziemia sługom twym na osiadłość, a niech nie chodzimy za Jordan.
6 Musa akawajibu wale wana wa auzao wa Gadi na Reubeni, “Je, mngependa ndugu zenu waende vitani wakati ninyi mkikaa hapa?
Tedy odpowiedział Mojżesz synom Gadowym, i synom Rubenowym: Więc bracia wasi pójdą na wojnę, a wy tu siedzieć będziecie?
7 Kwa nini kuwafish moyo watu wa Israeli wasivuke kwenda kwenye nchi ambayo BWANA amewapa?
Czemuż psujecie serce synom Izraelskim, żeby nie szli do ziemi, którą im dał Pan?
8 Baba zenu walifanya hivyo nilipowatuma kutoka Kadeshi Banea kwenda kuipeleleza ile nchi.
Takci uczynili ojcowie wasi, gdym je był posłał z Kades Barne ku przeszpiegowaniu tej ziemi;
9 Walienda mpaka kwenye bonde la Eskoli. Waliiona ile ardhi kisha wakawafisha moyo watu wa Israeli kwa hiyo wakagoma kuingia kwenye nchi ambayo BWANA alikuwa amewapa.
Bo gdy przyszli aż do doliny Eschol, obejrzawszy onę ziemię popsowali serce synom Izraelskim, aby nie szli do ziemi, którą im dał Pan;
10 Siku hiyo hasira ya BWANA iliwaka. Akaapa akisema,
Skąd zapaliwszy się gniewem Pan, dnia onego przysiągł, mówiąc:
11 'Kwa hakika hakuna mtu aliyetoka Misri, kuanzia wa umri wa miaka ishirini na zaidi ambao wataiona nchi ambao niliwaapia Ibrahimu, Isaka, na Yakobo, kwa sababu hawakunifuata mimi kwa ukamilifu, isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune Mkenizi, na Yoshua mwana wa Nuni.
Zaiste nie oglądają ludzie ci, którzy wyszli z Egiptu, od dwudziestu lat i wyżej, tej ziemi, o którąm przysiągł Abrahamowi, Izaakowi, i Jakóbowi, przeto iż mię cale nie naśladowali;
12 Ni Kalebu na Joshua tu ndio walionifuata kwa ukamilifu.'
Oprócz Kaleba, syna Jefunowego, Kenezejczyka, i Jozuego, syna Nunowego, ponieważ ci cale naśladowali Pana.
13 Kwa hiyo hasira za BWANA ziliwaka juu ya Israei. Akawafanya wazunguke zunguke jangwani kwa miaka arobaini mpaka kile kizazi kilichofanya maovu mbele za macho yake kilipoteketea.
I zapalił się gniewem Pan na Izraela, i sprawił, że się tułali po puszczy przez czterdzieści lat, aż poginął wszystek on naród, który czynił źle przed oczyma Pańskimi.
14 Tazama, mmetokea katika nafasi za baba zenu, kama watu wengine wenye dhambi zaidi, ili kuongeza hasira ya BWANA kwa Israeli.
A oto, wy powstaliście miasto ojców waszych, plemię ludzi grzesznych, abyście jeszcze przyczynili gniewu zapalczywości Pańskiej przeciwko Izraelowi.
15 Kama hamtamfuata, ataiacha Israeli jangwani na mtakuwa mmewateketeza watu hawa wote.
Bo jeźli się odwrócicie od naśladowania jego, tedy on też zaniecha go jeszcze na tej puszczy; a tak wy zgubicie ten wszystek lud.
16 Kwa hiyo wakaja karibu na Musa wakamwambia, “Turuhusu tujenga hapa uzio kwa ajili ya ng'ombe zetu na miji hapa kwa ajili ya familia zetu.
Tedy przystąpiwszy do niego rzekli: Obory bydłu i dobytkowi naszemu, i miasta dziatkom naszym tu pobudujemy;
17 Hata hivyo, sisi wenyewe tutajipanga kijeshi kwenda na jeshi la Israeli mpaka tumewaongoza kupata maeneo yao. Lakini familia zetu zitakuwa kwenye miji ya maboma kwa ssbabu ya watu wengine ambao bado wanaishi katika nchi hii.
Ale sami zbrojno ochotnie pójdziemy przed syny Izraelskimi, aż je zaprowadzimy na miejsce ich, a dziatki nasze będą mieszkały w mieściech obronnych dla obywateli tej ziemi.
18 Hatutarudi kwenye familia zetu mpaka kila mmoja watu wa Israeli apate urithi wake.
Nie wrócimy się do domów naszych, aż posiądą synowie Izraelscy każdy dziedzictwo swoje;
19 Sisi hatutachukua urithi wa ardhi pamoja nao kule ng'ambo ya Yorodani, kwa sababu urithi wetu uko hapa upande wa mashariki mwa Yorodani.”
Ani weźmiemy dziedzictwa z nimi za Jordanem i dalej, ponieważ przychodzi dziedzictwo nasze na nas z tej strony Jordanu na wschód słońca.
20 Kwa hiyo Musa akawajibu, “Kama mtafanya mnachokisema, kama mtajipanga wenyewe mbele za BWANA kwenda vitani,
I rzekł im Mojżesz: Jeźliż uczynicie, coście rzekli, a pójdziecie zbrojno przed obliczem Pańskiem na wojnę;
21 basi kila mmoja wa wanajeshi wenu lazima avuke Yorodani mbele za BWANA, mpaka atakapowafukuza maadui zake kutoka mbele zake
I pójdzie każdy z was zbrojno za Jordan przed oblicznością Pańską, ażby wypędził nieprzyjacioły swoje od oblicza swego;
22 na nchi itawaliwe na Israeli mbele zake. Kisha mtaweza kurudi. Hamtakuwa na hatia mbele za BWANA na mbele ya Israeli. Hii nchi itakuwa miliki yenu mbele za BWANA.
I aż będzie poddana ziemia ona Panu, a potem się wrócicie, i będziecie bez winy przed Panem i przed Izraelem: tedy wam będzie ta ziemia za osiadłość przed obliczem Pańskiem.
23 Bali kama hamtafnya hivyo, tazama, mtakuwa mmefanya dhambi mbele ya BWANA. Mwe na hakika kuwa dhambi yenu itaonekana
Ale jeźli tego nie uczynicie, oto zgrzeszycie Panu, a wiedzcie, że grzech wasz znajdzie was.
24 wazi. Jengeni miji kwa ajili ya familia zenu na mazizi kwa ajili ya kondoo zenu; kisha fanyeni kile mlichokisema.”
Budujcież tedy miasta dziatkom waszym, i obory bydłu waszemu, a co wyszło z ust waszych, uczyńcie.
25 Wale wana wa Gadi na Reubeni wakamwambia Musa, wakisema, “Watumishi wako wtafanya kama vile wewe, bwana wetu, unavyotuamuru.
Tedy rzekli synowie Gadowi, i synowie Rubenowi do Mojżesza, mówiąc: Słudzy twoi uczynią, jako pan nasz rozkazuje.
26 Watoto wetu, wake zetu, makundi yetu, na wanyama wetu wote watakaa huko kwenye miji ya Gileadi.
Dziatki nasze, i żony nasze, stada nasze, i wszystkie bydła nasze, zostaną tu w mieściech Galaadzkich;
27 Hata hivyo, sisi watumishi wako, tutavuka kwenda ng'ambo mbele za BWANA kupigana, kila mtu ambaye yuko tayari kwa vita, kama vile wewe, bwana wetu, unavyosema.”
Ale słudzy twoi pójdą wszyscy zbrojno przed Panem na wojnę, jako pan nasz mówi.
28 Kwa hiyo Musa akawapa maelekezo yayowahusu kwa Eliazari kuhani, kwa Joshua mwana wa Nuni, na kwa viongozi wa koo kufuata jamaa zao katika makabila ya wana wa Israeli.
I przykazał o nich Mojżesz Eleazarowi kapłanowi, i Jozuemu, synowi Nunowemu, i książętom ojców pokoleń synów Izraelskich,
29 Musa akawaambia, “Kama uzao wa Reubeni na Gadi watavuka ng'ambo ya Yorodani pamoja nanyi, kila mwanamume anayetakiwa kuwa vitani mbele za BWANA, na kama nchi mtaitawala mbele zenu, ndipo mtakapowapa eneo la Gileadi kuwa miliki yao.
I rzekł im: Jeźli przejdą synowie Gadowi, i synowe Rubenowi z wami za Jordan, wszyscy zbrojno na wojnę przed Panem, a będzie pohołdowana ziemia przed wami, tedy im dacie ziemię Galaad w dziedzictwo;
30 Lakini kama hawatavuka pamoja nanyi wakiwa na silaha zao, basi mtawapa urithi wao katika nchi ya Kanaani.”
Ale jeźli nie zbrojno z wami przejdą, tedy niech mają dziedzictwo między wami w ziemi Chananejskiej.
31 Kwas hiyo wana wa uzao wa Gadi na wa Reubeni wakamjibu wakisema, Kama vile BWANA alivyosema nasi, sisi watumwa wako, hiki ndicho tutakachokifanya.
I odpowiedzieli synowie Gadowi, i synowie Rubenowi, mówiąc: Co wyrzekł Pan do sług swoich, to uczynimy;
32 Tutavuka tukiwa na silaha zetu mbele za BWANA kuingia katika nchi ya Kanaani, lakini urithi wetu utabaki utabaki upande huu wa Yorodani.”
Pójdziemy zbrojno przed Panem do ziemi Chananejskiej, a zostanie przy nas osiadłość dziedzictwa naszego z tej strony Jordanu.
33 Kwa hiyo uzao wa Gadi na Reubeni, na pia nusu ya kabila la Manase mwana wa Yusufu, Musa akawapa ufalme wa Sihoni, mfalme wa Waamori, na wa Ogi, mafalme wa Bashani, Aliwapa hiyo nchi, na kuwagawia miji yake yote pamoja na mipaka yake, miji yote ya nchi inayowazunguka.
Dał tedy Mojżesz synom Gadowym, i synom Rubenowym, i połowie pokolenia Manasesa, syna Józefowego, królestwo Sehona, króla Amorejskiego, i królestwo Oga, króla Basańskiego, ziemię z miasty jej, z granicami, i miasta ziemi onej w około.
34 Wale wa uzao wa Gadi wakaijenga Diboni,
I pobudowali synowie Gadowi Dybon, i Atarot, i Aroer;
35 Atarothi, Aroeri, Atrothi, Jazeri, Jogbehaha, Bethi Nimraha,
I Atrot, i Sofan, i Jazer, i Jegba,
36 na Bethi Harani kuwa miji iliyo na maboma na mazizi ya kondoo wao.
I Betnimera, i Betaran, miasta obronne, i obory dla bydła.
37 Wale wa uzao wa Reubeni wakaijenga Heshiboni. Elealehi, Kiriathaimu,
Synowie też Rubenowi pobudowali Hesebon, i Eleale, i Karyjataim.
38 Nebo, Baali Meoni - baadaye waliyabadili majina yao, na Sibimaha.
I Nebo, i Baalmeon, odmieniwszy im imiona, także Sabana; i dali imiona insze onym miastom, które pobudowali.
39 Wale wa uzao wa Machiri mwana wa Manase walienda Gileadi na kuutwaa kutoka kwa Waamori waliokuwa wakiishi humo.
Wtargnęli też synowie Machyra, syna Manasesowego, do Galaad, a wziąwszy je, wygnali Amorejczyka, który tam mieszkał.
40 Kisha Musa akaitoa Gileadi kwa Machiri mwana wa Manase, na watu wake wakaishi humo.
I dał Mojżesz Galaad Machyrowi, synowi Manasesowemu, i mieszkał w nim.
41 Jairi mwana wa Manase alienda kuiteka miji yake na kuiita Havothi Jairi.
Potem Jair, syn Manasesów, wtargnął, i pobrał wsi ich, które przezwał Chawot Jair.
42 Nobaha alienda kuitieka Kenathi na vijiji vyake, na akauita kwa jina lake Nobaha.
Także Nobe wtargnął, i wziął Kanat z jego wsiami, i nazwał je Nobe od imienia swego.

< Hesabu 32 >