< Hesabu 32 >
1 Sasa wana wa uzao wa Reubeni na wa Gadi walikuwa na idadi kubwa ya wanyama. Waliiona ardhi ya Jazeri na Gileadi, kuwa ni ardhi nzuri kwa mifugo.
And livestock - much it belonged to [the] descendants of Reuben and to [the] descendants of Gad numerous very and they saw [the] land of Jazer and [the] land of Gilead and there! the place [was] a place of livestock.
2 Kwa hiyo wana wa Gadi na wa Reubeni wakaja kumwambia Musa, na Eliazari kuhani, na viongozi wa watu. Wakasema,
And they came [the] descendants of Gad and [the] descendants of Reuben and they said to Moses and to Eleazar the priest and to [the] leaders of the congregation saying.
3 “Hii ndiyo orodha ya maeneo ambayo tumeyatembelea: Diboni, Jazeri, Nimraha, Heshibonni, Ellealehi, Sebamu, Nebo, na Beoni.
Ataroth and Dibon and Jazer and Nimrah and Heshbon and Elealeh and Sebam and Nebo and Beon.
4 Haya ni maeneo ambayo BWANA aliyachukua mbele ya watu wa Israeli, na maeneo mazuri kwa ajili ya mifugo. Sisi watumishi wako tuna mifugo mingi sana.
The land which he defeated Yahweh before [the] congregation of Israel [is] a land of livestock it and [belongs] to servants your livestock.
5 Wakasema kuwa, “Kama tutapata kibali mbele ya macho yako, tunaomba ardhi hii tupewe, sisi watumishi wako, kuwa urithi. Usituvushe ng'ambo ya Yorodani.”
And they said if we have found favor in view your let it be given the land this to servants your to a possession may not you make pass over us the Jordan.
6 Musa akawajibu wale wana wa auzao wa Gadi na Reubeni, “Je, mngependa ndugu zenu waende vitani wakati ninyi mkikaa hapa?
And he said Moses to [the] descendants of Gad and to [the] descendants of Reuben ¿ brothers your will they go to battle and you will you remain? here.
7 Kwa nini kuwafish moyo watu wa Israeli wasivuke kwenda kwenye nchi ambayo BWANA amewapa?
And why? (do you discourage! *Q(K)*) [the] heart of [the] people of Israel from passing over into the land which he has given to them Yahweh.
8 Baba zenu walifanya hivyo nilipowatuma kutoka Kadeshi Banea kwenda kuipeleleza ile nchi.
Thus they did fathers your when sent I them from Kadesh Barnea to see the land.
9 Walienda mpaka kwenye bonde la Eskoli. Waliiona ile ardhi kisha wakawafisha moyo watu wa Israeli kwa hiyo wakagoma kuingia kwenye nchi ambayo BWANA alikuwa amewapa.
And they went up to [the] wadi of Eshcol and they saw the land and they discouraged [the] heart of [the] people of Israel to not to go into the land which he had given to them Yahweh.
10 Siku hiyo hasira ya BWANA iliwaka. Akaapa akisema,
And it burned [the] anger of Yahweh on the day that and he swore an oath saying.
11 'Kwa hakika hakuna mtu aliyetoka Misri, kuanzia wa umri wa miaka ishirini na zaidi ambao wataiona nchi ambao niliwaapia Ibrahimu, Isaka, na Yakobo, kwa sababu hawakunifuata mimi kwa ukamilifu, isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune Mkenizi, na Yoshua mwana wa Nuni.
If they will see the men who came up from Egypt from a son of twenty year[s] and up-wards the land which I swore to Abraham to Isaac and to Jacob for not they have filled after me.
12 Ni Kalebu na Joshua tu ndio walionifuata kwa ukamilifu.'
Except Caleb [the] son of Jephunneh the Kenizzite and Joshua [the] son of Nun for they have filled after Yahweh.
13 Kwa hiyo hasira za BWANA ziliwaka juu ya Israei. Akawafanya wazunguke zunguke jangwani kwa miaka arobaini mpaka kile kizazi kilichofanya maovu mbele za macho yake kilipoteketea.
And it burned [the] anger of Yahweh on Israel and he made wander them in the wilderness forty year[s] until was finished all the generation which had done the evil in [the] eyes of Yahweh.
14 Tazama, mmetokea katika nafasi za baba zenu, kama watu wengine wenye dhambi zaidi, ili kuongeza hasira ya BWANA kwa Israeli.
And here! you have risen up in place of fathers your a brood of people sinful to add again to [the] burning of [the] anger of Yahweh against Israel.
15 Kama hamtamfuata, ataiacha Israeli jangwani na mtakuwa mmewateketeza watu hawa wote.
For you will turn back! from after him and he will repeat again to leave it in the wilderness and you will destroy all the people this.
16 Kwa hiyo wakaja karibu na Musa wakamwambia, “Turuhusu tujenga hapa uzio kwa ajili ya ng'ombe zetu na miji hapa kwa ajili ya familia zetu.
And they drew near to him and they said folds of sheep we will build for livestock our here and cities for little one[s] our.
17 Hata hivyo, sisi wenyewe tutajipanga kijeshi kwenda na jeshi la Israeli mpaka tumewaongoza kupata maeneo yao. Lakini familia zetu zitakuwa kwenye miji ya maboma kwa ssbabu ya watu wengine ambao bado wanaishi katika nchi hii.
And we we will equip ourselves hurried before [the] people of Israel until that we have brought them to place their and it will remain little one[s] our in [the] cities of fortification because of [the] inhabitants of the land.
18 Hatutarudi kwenye familia zetu mpaka kila mmoja watu wa Israeli apate urithi wake.
Not we will return to houses our until have inherited [the] people of Israel everyone inheritance his.
19 Sisi hatutachukua urithi wa ardhi pamoja nao kule ng'ambo ya Yorodani, kwa sababu urithi wetu uko hapa upande wa mashariki mwa Yorodani.”
For not we will inherit with them from [the] other side of the Jordan and beyond for it has come inheritance our to us from [the] other side of the Jordan east-ward.
20 Kwa hiyo Musa akawajibu, “Kama mtafanya mnachokisema, kama mtajipanga wenyewe mbele za BWANA kwenda vitani,
And he said to them Moses if you will do! the thing this if you will equip yourselves before Yahweh for battle.
21 basi kila mmoja wa wanajeshi wenu lazima avuke Yorodani mbele za BWANA, mpaka atakapowafukuza maadui zake kutoka mbele zake
And he will pass over of you every equipped [man] the Jordan before Yahweh until has dispossessed he enemies his from before him.
22 na nchi itawaliwe na Israeli mbele zake. Kisha mtaweza kurudi. Hamtakuwa na hatia mbele za BWANA na mbele ya Israeli. Hii nchi itakuwa miliki yenu mbele za BWANA.
And it will be subdued the land before Yahweh and after you will return and you will be free from Yahweh and from Israel and it will belong the land this to you to a possession before Yahweh.
23 Bali kama hamtafnya hivyo, tazama, mtakuwa mmefanya dhambi mbele ya BWANA. Mwe na hakika kuwa dhambi yenu itaonekana
And if not you will do! thus there! you have sinned to Yahweh and know sin your that it will find you.
24 wazi. Jengeni miji kwa ajili ya familia zenu na mazizi kwa ajili ya kondoo zenu; kisha fanyeni kile mlichokisema.”
Build for yourselves cities for little one[s] your and folds for sheep your and the [thing which] has gone out from mouth your you will do.
25 Wale wana wa Gadi na Reubeni wakamwambia Musa, wakisema, “Watumishi wako wtafanya kama vile wewe, bwana wetu, unavyotuamuru.
And he said [the] descendants of Gad and [the] descendants of Reuben to Moses saying servants your they will do just as lord my [is] commanding.
26 Watoto wetu, wake zetu, makundi yetu, na wanyama wetu wote watakaa huko kwenye miji ya Gileadi.
Little one[s] our wives our livestock our and all cattle our they will be there in [the] cities of Gilead.
27 Hata hivyo, sisi watumishi wako, tutavuka kwenda ng'ambo mbele za BWANA kupigana, kila mtu ambaye yuko tayari kwa vita, kama vile wewe, bwana wetu, unavyosema.”
And servants your they will pass over every equipped [man] of war before Yahweh for battle just as lord my [is] saying.
28 Kwa hiyo Musa akawapa maelekezo yayowahusu kwa Eliazari kuhani, kwa Joshua mwana wa Nuni, na kwa viongozi wa koo kufuata jamaa zao katika makabila ya wana wa Israeli.
And he commanded of them Moses Eleazar the priest and Joshua [the] son of Nun and [the] leaders of [the] fathers of the tribes of [the] people of Israel.
29 Musa akawaambia, “Kama uzao wa Reubeni na Gadi watavuka ng'ambo ya Yorodani pamoja nanyi, kila mwanamume anayetakiwa kuwa vitani mbele za BWANA, na kama nchi mtaitawala mbele zenu, ndipo mtakapowapa eneo la Gileadi kuwa miliki yao.
And he said Moses to them if they will pass over [the] descendants of Gad and [the] descendants of Reuben - with you the Jordan every equipped [man] for battle before Yahweh and it will be subdued the land before you and you will give to them [the] land of Gilead to a possession.
30 Lakini kama hawatavuka pamoja nanyi wakiwa na silaha zao, basi mtawapa urithi wao katika nchi ya Kanaani.”
And if not they will pass over equipped with you and they will have possessions in midst of you in [the] land of Canaan.
31 Kwas hiyo wana wa uzao wa Gadi na wa Reubeni wakamjibu wakisema, Kama vile BWANA alivyosema nasi, sisi watumwa wako, hiki ndicho tutakachokifanya.
And they answered [the] descendants of Gad and [the] descendants of Reuben saying [that] which he has spoken Yahweh to servants your thus we will do.
32 Tutavuka tukiwa na silaha zetu mbele za BWANA kuingia katika nchi ya Kanaani, lakini urithi wetu utabaki utabaki upande huu wa Yorodani.”
We we will pass over equipped before Yahweh [the] land of Canaan and [will be] with us [the] possession of inheritance our from [the] other side of the Jordan.
33 Kwa hiyo uzao wa Gadi na Reubeni, na pia nusu ya kabila la Manase mwana wa Yusufu, Musa akawapa ufalme wa Sihoni, mfalme wa Waamori, na wa Ogi, mafalme wa Bashani, Aliwapa hiyo nchi, na kuwagawia miji yake yote pamoja na mipaka yake, miji yote ya nchi inayowazunguka.
And he gave to them - Moses to [the] descendants of Gad and to [the] descendants of Reuben and to [the] half of - [the] tribe of - Manasseh [the] son of Joseph [the] kingdom of Sihon [the] king of the Amorite[s] and [the] kingdom of Og [the] king of Bashan the land to cities its with territories [the] cities of the land all around.
34 Wale wa uzao wa Gadi wakaijenga Diboni,
And they built [the] descendants of Gad Dibon and Ataroth and Aroer.
35 Atarothi, Aroeri, Atrothi, Jazeri, Jogbehaha, Bethi Nimraha,
And Atroth Shophan and Jazer and Jogbehah.
36 na Bethi Harani kuwa miji iliyo na maboma na mazizi ya kondoo wao.
And Beth Nimrah and Beth Haran cities of fortification and folds of sheep.
37 Wale wa uzao wa Reubeni wakaijenga Heshiboni. Elealehi, Kiriathaimu,
And [the] descendants of Reuben they built Heshbon and Elealeh and Kiriathaim.
38 Nebo, Baali Meoni - baadaye waliyabadili majina yao, na Sibimaha.
And Nebo and Baal Meon changed name and Sibmah and they called by names [the] names of the cities which they had built.
39 Wale wa uzao wa Machiri mwana wa Manase walienda Gileadi na kuutwaa kutoka kwa Waamori waliokuwa wakiishi humo.
And they went [the] descendants of Makir [the] son of Manasseh Gilead towards and they captured it and he dispossessed the Amorite[s] who [was] in it.
40 Kisha Musa akaitoa Gileadi kwa Machiri mwana wa Manase, na watu wake wakaishi humo.
And he gave Moses Gilead to Makir [the] son of Manasseh and he dwelt in it.
41 Jairi mwana wa Manase alienda kuiteka miji yake na kuiita Havothi Jairi.
And Jair [the] son of Manasseh he went and he captured villages their and he called them Havvoth Jair.
42 Nobaha alienda kuitieka Kenathi na vijiji vyake, na akauita kwa jina lake Nobaha.
And Nobah he went and he captured Kenath and daughters its and he called it Nobah by own name his.