< Hesabu 32 >
1 Sasa wana wa uzao wa Reubeni na wa Gadi walikuwa na idadi kubwa ya wanyama. Waliiona ardhi ya Jazeri na Gileadi, kuwa ni ardhi nzuri kwa mifugo.
And much livestock has [belonged] to the sons of Reuben and to the sons of Gad—very many; and they see the land of Jazer and the land of Gilead, and behold, the place [is] a place [for] livestock;
2 Kwa hiyo wana wa Gadi na wa Reubeni wakaja kumwambia Musa, na Eliazari kuhani, na viongozi wa watu. Wakasema,
and the sons of Gad and the sons of Reuben come in and speak to Moses, and to Eleazar the priest, and to the princes of the congregation, saying,
3 “Hii ndiyo orodha ya maeneo ambayo tumeyatembelea: Diboni, Jazeri, Nimraha, Heshibonni, Ellealehi, Sebamu, Nebo, na Beoni.
“Ataroth, and Dibon, and Jazer, and Nimrah, and Heshbon, and Elealeh, and Shebam, and Nebo, and Beon,
4 Haya ni maeneo ambayo BWANA aliyachukua mbele ya watu wa Israeli, na maeneo mazuri kwa ajili ya mifugo. Sisi watumishi wako tuna mifugo mingi sana.
the land which YHWH has struck before the congregation of Israel, is a land for livestock, and your servants have livestock.”
5 Wakasema kuwa, “Kama tutapata kibali mbele ya macho yako, tunaomba ardhi hii tupewe, sisi watumishi wako, kuwa urithi. Usituvushe ng'ambo ya Yorodani.”
And they say, “If we have found grace in your eyes, let this land be given to your servants for a possession; cause us not to pass over the Jordan.”
6 Musa akawajibu wale wana wa auzao wa Gadi na Reubeni, “Je, mngependa ndugu zenu waende vitani wakati ninyi mkikaa hapa?
And Moses says to the sons of Gad and to the sons of Reuben, “Do your brothers go to the battle, and you—do you sit here?
7 Kwa nini kuwafish moyo watu wa Israeli wasivuke kwenda kwenye nchi ambayo BWANA amewapa?
And why discourage the heart of the sons of Israel from passing over to the land which YHWH has given to them?
8 Baba zenu walifanya hivyo nilipowatuma kutoka Kadeshi Banea kwenda kuipeleleza ile nchi.
Thus your fathers did in my sending them from Kadesh-Barnea to see the land;
9 Walienda mpaka kwenye bonde la Eskoli. Waliiona ile ardhi kisha wakawafisha moyo watu wa Israeli kwa hiyo wakagoma kuingia kwenye nchi ambayo BWANA alikuwa amewapa.
and they go up to the Valley of Eshcol, and see the land, and discourage the heart of the sons of Israel so as not to go into the land which YHWH has given to them;
10 Siku hiyo hasira ya BWANA iliwaka. Akaapa akisema,
and the anger of YHWH burns in that day, and He swears, saying,
11 'Kwa hakika hakuna mtu aliyetoka Misri, kuanzia wa umri wa miaka ishirini na zaidi ambao wataiona nchi ambao niliwaapia Ibrahimu, Isaka, na Yakobo, kwa sababu hawakunifuata mimi kwa ukamilifu, isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune Mkenizi, na Yoshua mwana wa Nuni.
They do not see—the men who are coming up out of Egypt from a son of twenty years and upward—the ground which I have sworn to Abraham, to Isaac, and to Jacob, for they have not been fully after Me,
12 Ni Kalebu na Joshua tu ndio walionifuata kwa ukamilifu.'
except Caleb son of Jephunneh the Kenezite and Joshua son of Nun, for they have been fully after YHWH;
13 Kwa hiyo hasira za BWANA ziliwaka juu ya Israei. Akawafanya wazunguke zunguke jangwani kwa miaka arobaini mpaka kile kizazi kilichofanya maovu mbele za macho yake kilipoteketea.
and the anger of YHWH burns against Israel, and He causes them to wander in the wilderness [for] forty years, until the consumption of all the generation which is doing evil in the eyes of YHWH.
14 Tazama, mmetokea katika nafasi za baba zenu, kama watu wengine wenye dhambi zaidi, ili kuongeza hasira ya BWANA kwa Israeli.
And behold, you have risen in the stead of your fathers, an increase of sinful men, to add yet to the fury of the anger of YHWH toward Israel;
15 Kama hamtamfuata, ataiacha Israeli jangwani na mtakuwa mmewateketeza watu hawa wote.
when you turn back from after Him, then He has added yet to leave him in the wilderness, and you have done corruptly to all this people.”
16 Kwa hiyo wakaja karibu na Musa wakamwambia, “Turuhusu tujenga hapa uzio kwa ajili ya ng'ombe zetu na miji hapa kwa ajili ya familia zetu.
And they come near to him and say, “We build folds for the flock here for our livestock, and cities for our infants;
17 Hata hivyo, sisi wenyewe tutajipanga kijeshi kwenda na jeshi la Israeli mpaka tumewaongoza kupata maeneo yao. Lakini familia zetu zitakuwa kwenye miji ya maboma kwa ssbabu ya watu wengine ambao bado wanaishi katika nchi hii.
but we are armed, hastening before the sons of Israel until we have brought them to their place; and our infants have dwelt in the cities of defense because of the inhabitants of the land;
18 Hatutarudi kwenye familia zetu mpaka kila mmoja watu wa Israeli apate urithi wake.
we do not return to our houses until the sons of Israel have each inherited his inheritance,
19 Sisi hatutachukua urithi wa ardhi pamoja nao kule ng'ambo ya Yorodani, kwa sababu urithi wetu uko hapa upande wa mashariki mwa Yorodani.”
for we do not inherit with them across the Jordan and beyond, for our inheritance has come to us beyond the Jordan at the [sun]-rising.”
20 Kwa hiyo Musa akawajibu, “Kama mtafanya mnachokisema, kama mtajipanga wenyewe mbele za BWANA kwenda vitani,
And Moses says to them, “If you do this thing, if you are armed before YHWH for battle,
21 basi kila mmoja wa wanajeshi wenu lazima avuke Yorodani mbele za BWANA, mpaka atakapowafukuza maadui zake kutoka mbele zake
and every armed one of you has passed over the Jordan before YHWH, until His dispossessing His enemies from before Him,
22 na nchi itawaliwe na Israeli mbele zake. Kisha mtaweza kurudi. Hamtakuwa na hatia mbele za BWANA na mbele ya Israeli. Hii nchi itakuwa miliki yenu mbele za BWANA.
and the land has been subdued before YHWH, then afterward you return, and have been acquitted by YHWH and by Israel, and this land has been to you for a possession before YHWH.
23 Bali kama hamtafnya hivyo, tazama, mtakuwa mmefanya dhambi mbele ya BWANA. Mwe na hakika kuwa dhambi yenu itaonekana
And if you do not do so, behold, you have sinned against YHWH, and know that your sin finds you;
24 wazi. Jengeni miji kwa ajili ya familia zenu na mazizi kwa ajili ya kondoo zenu; kisha fanyeni kile mlichokisema.”
build for yourselves cities for your infants and folds for your flock, and that which is going out from your mouth you do.”
25 Wale wana wa Gadi na Reubeni wakamwambia Musa, wakisema, “Watumishi wako wtafanya kama vile wewe, bwana wetu, unavyotuamuru.
And the sons of Gad and the sons of Reuben speak to Moses, saying, “Your servants do as my lord is commanding;
26 Watoto wetu, wake zetu, makundi yetu, na wanyama wetu wote watakaa huko kwenye miji ya Gileadi.
our infants, our wives, our livestock, and all our beasts, are there in cities of Gilead,
27 Hata hivyo, sisi watumishi wako, tutavuka kwenda ng'ambo mbele za BWANA kupigana, kila mtu ambaye yuko tayari kwa vita, kama vile wewe, bwana wetu, unavyosema.”
and your servants pass over, every armed one of the host, before YHWH, to battle, as my lord is saying.”
28 Kwa hiyo Musa akawapa maelekezo yayowahusu kwa Eliazari kuhani, kwa Joshua mwana wa Nuni, na kwa viongozi wa koo kufuata jamaa zao katika makabila ya wana wa Israeli.
And Moses commands Eleazar the priest, and Joshua son of Nun, and the heads of the fathers of the tribes of the sons of Israel concerning them;
29 Musa akawaambia, “Kama uzao wa Reubeni na Gadi watavuka ng'ambo ya Yorodani pamoja nanyi, kila mwanamume anayetakiwa kuwa vitani mbele za BWANA, na kama nchi mtaitawala mbele zenu, ndipo mtakapowapa eneo la Gileadi kuwa miliki yao.
and Moses says to them, “If the sons of Gad and the sons of Reuben pass over the Jordan with you, everyone armed for battle, before YHWH, and the land has been subdued before you, then you have given the land of Gilead to them for a possession;
30 Lakini kama hawatavuka pamoja nanyi wakiwa na silaha zao, basi mtawapa urithi wao katika nchi ya Kanaani.”
and if they do not pass over armed with you, then they have possessions in your midst in the land of Canaan.”
31 Kwas hiyo wana wa uzao wa Gadi na wa Reubeni wakamjibu wakisema, Kama vile BWANA alivyosema nasi, sisi watumwa wako, hiki ndicho tutakachokifanya.
And the sons of Gad and the sons of Reuben answer, saying, “That which YHWH has spoken to your servants, so we do;
32 Tutavuka tukiwa na silaha zetu mbele za BWANA kuingia katika nchi ya Kanaani, lakini urithi wetu utabaki utabaki upande huu wa Yorodani.”
we pass over armed before YHWH [to] the land of Canaan, and with us [is] the possession of our inheritance beyond the Jordan.”
33 Kwa hiyo uzao wa Gadi na Reubeni, na pia nusu ya kabila la Manase mwana wa Yusufu, Musa akawapa ufalme wa Sihoni, mfalme wa Waamori, na wa Ogi, mafalme wa Bashani, Aliwapa hiyo nchi, na kuwagawia miji yake yote pamoja na mipaka yake, miji yote ya nchi inayowazunguka.
And Moses gives to them—to the sons of Gad, and to the sons of Reuben, and to the half of the tribe of Manasseh son of Joseph—the kingdom of Sihon king of the Amorite and the kingdom of Og king of Bashan, the land by its cities, in the borders, the cities of the surrounding land.
34 Wale wa uzao wa Gadi wakaijenga Diboni,
And the sons of Gad build Dihon, and Ataroth, and Aroer,
35 Atarothi, Aroeri, Atrothi, Jazeri, Jogbehaha, Bethi Nimraha,
and Atroth, Shophan, and Jaazer, and Jogbehah,
36 na Bethi Harani kuwa miji iliyo na maboma na mazizi ya kondoo wao.
and Beth-Nimrah, and Beth-Haran, cities of defense, and sheepfolds.
37 Wale wa uzao wa Reubeni wakaijenga Heshiboni. Elealehi, Kiriathaimu,
And the sons of Reuben have built Heshbon, and Elealeh, and Kirjathaim,
38 Nebo, Baali Meoni - baadaye waliyabadili majina yao, na Sibimaha.
and Nebo, and Ba‘al-Meon (changed in name), and Shibmah, and they call the names of the cities which they have built by [these] names.
39 Wale wa uzao wa Machiri mwana wa Manase walienda Gileadi na kuutwaa kutoka kwa Waamori waliokuwa wakiishi humo.
And sons of Machir son of Manasseh go to Gilead, and capture it, and dispossess the Amorite who [is] in it;
40 Kisha Musa akaitoa Gileadi kwa Machiri mwana wa Manase, na watu wake wakaishi humo.
and Moses gives Gilead to Machir son of Manasseh, and he dwells in it.
41 Jairi mwana wa Manase alienda kuiteka miji yake na kuiita Havothi Jairi.
And Jair son of Manasseh has gone and captures their towns, and calls them “Towns of Jair”;
42 Nobaha alienda kuitieka Kenathi na vijiji vyake, na akauita kwa jina lake Nobaha.
and Nobah has gone and captures Kenath and its villages, and calls it Nobah, by his own name.