< Hesabu 32 >

1 Sasa wana wa uzao wa Reubeni na wa Gadi walikuwa na idadi kubwa ya wanyama. Waliiona ardhi ya Jazeri na Gileadi, kuwa ni ardhi nzuri kwa mifugo.
Rubenovci i Gadovci imađahu mnogo, vrlo mnogo blaga. Opaze, međutim, da je zemlja jazerska i zemlja gileadska pogodna za stočarstvo.
2 Kwa hiyo wana wa Gadi na wa Reubeni wakaja kumwambia Musa, na Eliazari kuhani, na viongozi wa watu. Wakasema,
Zato Gadovci i Rubenovci dođu k Mojsiju, svećeniku Eleazaru i glavarima zajednice pa reknu:
3 “Hii ndiyo orodha ya maeneo ambayo tumeyatembelea: Diboni, Jazeri, Nimraha, Heshibonni, Ellealehi, Sebamu, Nebo, na Beoni.
“Atarot, Dibon, Jazer, Nimra, Hešbon, Eleale, Sebam, Nebo i Beon -
4 Haya ni maeneo ambayo BWANA aliyachukua mbele ya watu wa Israeli, na maeneo mazuri kwa ajili ya mifugo. Sisi watumishi wako tuna mifugo mingi sana.
kraj što ga Jahve osvoji pred izraelskom zajednicom - kraj je pogodan za stočarstvo; a sluge tvoje bave se stočarstvom.
5 Wakasema kuwa, “Kama tutapata kibali mbele ya macho yako, tunaomba ardhi hii tupewe, sisi watumishi wako, kuwa urithi. Usituvushe ng'ambo ya Yorodani.”
Ako smo stekli blagonaklonost u tvojim očima”, nastave, “neka se ovaj kraj dade u posjed tvojim slugama. Ne šalji nas preko Jordana!”
6 Musa akawajibu wale wana wa auzao wa Gadi na Reubeni, “Je, mngependa ndugu zenu waende vitani wakati ninyi mkikaa hapa?
Mojsije odgovori Gadovcima i Rubenovcima: “Zar da vaša braća idu u rat, a vi da ostanete ovdje?
7 Kwa nini kuwafish moyo watu wa Israeli wasivuke kwenda kwenye nchi ambayo BWANA amewapa?
Zašto odvraćate srca Izraelaca da ne prijeđu u zemlju koju im je Jahve predao?
8 Baba zenu walifanya hivyo nilipowatuma kutoka Kadeshi Banea kwenda kuipeleleza ile nchi.
Tako su učinili i vaši očevi kad sam ih poslao iz Kadeš Barnee da izvide zemlju.
9 Walienda mpaka kwenye bonde la Eskoli. Waliiona ile ardhi kisha wakawafisha moyo watu wa Israeli kwa hiyo wakagoma kuingia kwenye nchi ambayo BWANA alikuwa amewapa.
Popeli su se do Eškola i razgledali zemlju, ali su onda ubili srčanost u Izraelcima da ne odu u zemlju koju im je Jahve dao.
10 Siku hiyo hasira ya BWANA iliwaka. Akaapa akisema,
Onog dana Jahve planu gnjevom. Zakle se i reče:
11 'Kwa hakika hakuna mtu aliyetoka Misri, kuanzia wa umri wa miaka ishirini na zaidi ambao wataiona nchi ambao niliwaapia Ibrahimu, Isaka, na Yakobo, kwa sababu hawakunifuata mimi kwa ukamilifu, isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune Mkenizi, na Yoshua mwana wa Nuni.
'Ljudi što su izišli iz Egipta, kojima je dvadeset ili više godina, jer me nisu vjerno slijedili, nikad neće vidjeti zemlju što sam je pod zakletvom obećao Abrahamu, Izaku i Jakovu!'
12 Ni Kalebu na Joshua tu ndio walionifuata kwa ukamilifu.'
Jahvu su jedino vjerno slijedili Kenižanin Kaleb, sin Jefuneov, i sin Nunov Jošua.
13 Kwa hiyo hasira za BWANA ziliwaka juu ya Israei. Akawafanya wazunguke zunguke jangwani kwa miaka arobaini mpaka kile kizazi kilichofanya maovu mbele za macho yake kilipoteketea.
Jahve je gnjevom planuo na Izraelce pa ih je pustinjom povlačio četrdeset godina, sve dok ne pomrije sav naraštaj što je u očima Jahvinim zlo postupio.
14 Tazama, mmetokea katika nafasi za baba zenu, kama watu wengine wenye dhambi zaidi, ili kuongeza hasira ya BWANA kwa Israeli.
A sad vi - grešni naraštaj - ustajete namjesto svojih očeva da još povećate srdžbu Jahvinu na Izraela.
15 Kama hamtamfuata, ataiacha Israeli jangwani na mtakuwa mmewateketeza watu hawa wote.
Ako se od njega odvratite, on će još produžiti vaš boravak u pustinji; tako ćete upropastiti sav taj narod.”
16 Kwa hiyo wakaja karibu na Musa wakamwambia, “Turuhusu tujenga hapa uzio kwa ajili ya ng'ombe zetu na miji hapa kwa ajili ya familia zetu.
Onda se oni primaknu k njemu i reknu: “Mi bismo ovdje podigli torove za svoje blago i gradove za svoju nejačad,
17 Hata hivyo, sisi wenyewe tutajipanga kijeshi kwenda na jeshi la Israeli mpaka tumewaongoza kupata maeneo yao. Lakini familia zetu zitakuwa kwenye miji ya maboma kwa ssbabu ya watu wengine ambao bado wanaishi katika nchi hii.
a sami ćemo pograbiti oružje i poći na čelu Izraelaca dok ih ne dovedemo na njihovo mjesto. Naša nejačad neka ostane - zbog stanovništva ove zemlje - u utvrđenim gradovima.
18 Hatutarudi kwenye familia zetu mpaka kila mmoja watu wa Israeli apate urithi wake.
Mi se svojim kućama nećemo vraćati sve dok svaki Izraelac ne zaposjedne svoju baštinu.
19 Sisi hatutachukua urithi wa ardhi pamoja nao kule ng'ambo ya Yorodani, kwa sababu urithi wetu uko hapa upande wa mashariki mwa Yorodani.”
S njima nećemo dijeliti svoje posjede s onu stranu Jordana niti dalje, jer će nas zapasti naša baština s ovu stranu, na istok od Jordana.”
20 Kwa hiyo Musa akawajibu, “Kama mtafanya mnachokisema, kama mtajipanga wenyewe mbele za BWANA kwenda vitani,
Mojsije im reče: “Ako tako uradite, ako pođete pred Jahvom u boj;
21 basi kila mmoja wa wanajeshi wenu lazima avuke Yorodani mbele za BWANA, mpaka atakapowafukuza maadui zake kutoka mbele zake
ako vi svi naoružani prijeđete Jordan pred Jahvom dok on ne rastjera ispred sebe svoje neprijatelje:
22 na nchi itawaliwe na Israeli mbele zake. Kisha mtaweza kurudi. Hamtakuwa na hatia mbele za BWANA na mbele ya Israeli. Hii nchi itakuwa miliki yenu mbele za BWANA.
tada, kad zemlja bude pokorena Jahvi, vi ćete se moći vratiti. Tako ćete biti oslobođeni odgovornosti prema Jahvi i prema Izraelu, a ova će zemlja postati pred Jahvom vaše vlasništvo.
23 Bali kama hamtafnya hivyo, tazama, mtakuwa mmefanya dhambi mbele ya BWANA. Mwe na hakika kuwa dhambi yenu itaonekana
Ali ako tako ne uradite, sagriješit ćete protiv Jahve i znajte da će vas stići kazna za vaš grijeh.
24 wazi. Jengeni miji kwa ajili ya familia zenu na mazizi kwa ajili ya kondoo zenu; kisha fanyeni kile mlichokisema.”
Sazidajte, dakle, gradove za svoju nejačad i torove za svoju stoku, ali izvršite što ste obećali.”
25 Wale wana wa Gadi na Reubeni wakamwambia Musa, wakisema, “Watumishi wako wtafanya kama vile wewe, bwana wetu, unavyotuamuru.
Gadovci i Rubenovci odgovore Mojsiju: “Tvoje će sluge učiniti kako gospodar naš nalaže.
26 Watoto wetu, wake zetu, makundi yetu, na wanyama wetu wote watakaa huko kwenye miji ya Gileadi.
Naša nejačad, naše žene, naša stoka i sve naše blago neka ostanu ondje u gileadskim gradovima,
27 Hata hivyo, sisi watumishi wako, tutavuka kwenda ng'ambo mbele za BWANA kupigana, kila mtu ambaye yuko tayari kwa vita, kama vile wewe, bwana wetu, unavyosema.”
a tvoje sluge, svi koji su za boj sposobni, poći će pred Jahvom u boj, kako naš gospodar nalaže.”
28 Kwa hiyo Musa akawapa maelekezo yayowahusu kwa Eliazari kuhani, kwa Joshua mwana wa Nuni, na kwa viongozi wa koo kufuata jamaa zao katika makabila ya wana wa Israeli.
Tada za njih Mojsije izda nalog svećeniku Eleazaru, Nunovu sinu Jošui i glavarima obitelji izraelskih plemena.
29 Musa akawaambia, “Kama uzao wa Reubeni na Gadi watavuka ng'ambo ya Yorodani pamoja nanyi, kila mwanamume anayetakiwa kuwa vitani mbele za BWANA, na kama nchi mtaitawala mbele zenu, ndipo mtakapowapa eneo la Gileadi kuwa miliki yao.
I reče im Mojsije: “Ako Gadovci i Rubenovci, svi oni koji nose oružje, s vama prijeđu Jordan da se bore pred Jahvom i zemlja bude pokorena vama, onda im dajte gileadsku zemlju u vlasništvo.
30 Lakini kama hawatavuka pamoja nanyi wakiwa na silaha zao, basi mtawapa urithi wao katika nchi ya Kanaani.”
Ali ako ne prijeđu naoružani s vama, neka dobiju baštinu među vama u zemlji kanaanskoj.”
31 Kwas hiyo wana wa uzao wa Gadi na wa Reubeni wakamjibu wakisema, Kama vile BWANA alivyosema nasi, sisi watumwa wako, hiki ndicho tutakachokifanya.
Nato odgovore Gadovci i Rubenovci: “Što je god Jahve rekao tvojim slugama, to ćemo učiniti.
32 Tutavuka tukiwa na silaha zetu mbele za BWANA kuingia katika nchi ya Kanaani, lakini urithi wetu utabaki utabaki upande huu wa Yorodani.”
Mi ćemo naoružani prijeći pred Jahvom u zemlju kanaansku, ali neka nam bude posjed naše baštine s ove strane Jordana.”
33 Kwa hiyo uzao wa Gadi na Reubeni, na pia nusu ya kabila la Manase mwana wa Yusufu, Musa akawapa ufalme wa Sihoni, mfalme wa Waamori, na wa Ogi, mafalme wa Bashani, Aliwapa hiyo nchi, na kuwagawia miji yake yote pamoja na mipaka yake, miji yote ya nchi inayowazunguka.
I tako njima - Gadovcima, Rubenovcima i polovici plemena Manašea, sina Josipova - dadne kraljevstvo amorejskoga kralja Sihona i kraljevstvo bašanskoga kralja Oga, zemlju s gradovima u njihovim granicama, gradove okolne zemlje.
34 Wale wa uzao wa Gadi wakaijenga Diboni,
Gadovci sagrade: Dibon, Atarot i Aroer,
35 Atarothi, Aroeri, Atrothi, Jazeri, Jogbehaha, Bethi Nimraha,
Atrot Šofan, Jazer, Jogbohu,
36 na Bethi Harani kuwa miji iliyo na maboma na mazizi ya kondoo wao.
Bet Nimru i Bet Haran, utvrđene gradove i torove za stada.
37 Wale wa uzao wa Reubeni wakaijenga Heshiboni. Elealehi, Kiriathaimu,
Rubenovci sagrade: Hešbon, Eleale, Kirjatajim,
38 Nebo, Baali Meoni - baadaye waliyabadili majina yao, na Sibimaha.
Nebo, Baal Meon - nazivi su izmijenjeni - i Šibmu. Oni prozovu svojim imenima gradove koje su oni podigli.
39 Wale wa uzao wa Machiri mwana wa Manase walienda Gileadi na kuutwaa kutoka kwa Waamori waliokuwa wakiishi humo.
Sinovi Makira, sina Manašeova, odu u Gilead, osvoje ga i protjeraju Amorejce koji bijahu ondje.
40 Kisha Musa akaitoa Gileadi kwa Machiri mwana wa Manase, na watu wake wakaishi humo.
Mojsije preda Gilead Manašeovu sinu Makiru, i on se u njemu nastani.
41 Jairi mwana wa Manase alienda kuiteka miji yake na kuiita Havothi Jairi.
A Manašeov sin Jair ode te zauzme njihova sela pa ih prozva “Jairova sela”.
42 Nobaha alienda kuitieka Kenathi na vijiji vyake, na akauita kwa jina lake Nobaha.
Potom ode Nobah i zauzme Kenat i njegova područja te ga nazove svojim imenom “Nobah”.

< Hesabu 32 >