< Hesabu 31 >

1 BWANA alinena na Musa na kumwambia,
و خداوند موسی را خطاب کرده، گفت:۱
2 “Uwalipizie kisasi Wamidiani kwa kile walichowafanya Waisraeli. Baada ya kufanya hivyo utakufa na kukusanyika na watu wako.”
«انتقام بنی‌اسرائیل را از مدیانیان بگیر، و بعد از آن به قوم خود ملحق خواهی شد.»۲
3 Kwa hiyo Musa akawaambia watu. Akasema, “andaeni baadhi ya majeshi yenu kwa ajili ya vita ili kwamba wakawapige Wamidiani na kubeba kiapo cha BWANA.
پس موسی قوم را مخاطب ساخته، گفت: «ازمیان خود مردان برای جنگ مهیا سازید تا به مقابله مدیان برآیند، و انتقام خداوند را از مدیان بکشند.۳
4 Kwa kila kabila la Israeli watatuma askari elfu moja kwa ajili ya vita.”
هزار نفر از هر سبط از جمیع اسباطاسرائیل برای جنگ بفرستید.»۴
5 Kwa hiyo kati ya wanaume maelfu elfu wa Israeli, wanaume elfu moja walitolewa kwa ajili ya vita, jumla ya wanaume elfu kumi na mbili.
پس از هزاره های اسرائیل، از هر سبط یک هزار، یعنی دوازده هزار نفر مهیا شده برای جنگ منتخب شدند.۵
6 Kisha Musa akawatuma kwenda vitani, elfu moja toka kila kabila pamoja na Finehasi mwana wa Eliazari kuhanai, wakiwa na vitu kutoka mahali patakatifu wakiwa na matarumbeta kwa ajili ya ishara za sauti.
و موسی ایشان را هزار نفر از هرسبط به جنگ فرستاد، ایشان را با فینحاس بن العازار کاهن و اسباب قدس و کرناها برای نواختن در دستش به جنگ فرستاد.۶
7 Wakapigana na Midiani, kama BWANA alivyokuwa amemwamuru Musa. Wakamwua kila mwanaume.
و با مدیان به طوری که خداوند موسی را امر فرموده بود، جنگ کرده، همه ذکوران را کشتند.۷
8 Wakawaua wafalme wa Midiani pamoja na wengine waliowaua ni: Evi, Rekimu, Zuri, Huri, na Reba, hawa walaikuwa ndio waflme watano wa Midiani. pia walimwua Balaamu mwana wa Beori, kwa upanga.
و در میان کشتگان ملوک مدیان یعنی اوی و راقم و صور و حور و رابع، پنج پادشاه مدیان را کشتند، بلعام بن بعور را به شمشیر کشتند.۸
9 Jeshi la Israeli likawachukua mateka wanawake wa Midiani, watoto wao, mifugo yao yote, kondoo wao na bidhaa zao zote. walivichukua hivi kama mateka.
و بنی‌اسرائیل زنان مدیان واطفال ایشان را به اسیری بردند، و جمیع بهایم وجمیع مواشی ایشان و همه املاک ایشان را غارت کردند.۹
10 Waliichoma moto miji yao yote walimoishi na kambi zao zote.
و تمامی شهرها و مساکن و قلعه های ایشان را به آتش سوزانیدند.۱۰
11 Walichukua vitu vyote na wafungwa, watu na wanyama.
و تمامی غنیمت و جمیع غارت را از انسان و بهایم گرفتند.۱۱
12 Wakawaleta mateka, nyara, na wakakamata vitu wakavileta kwa Musa, na Eliazari kuhani, na kwa jamii ya watu wa Israeli. Wakavileta hivi vitu kambini katika uwanda wa Moabu, kule Yorodani karibu na Yeriko.
واسیران و غارت و غنیمت را نزد موسی و العازارکاهن و جماعت بنی‌اسرائیل در لشکرگاه درعربات موآب، که نزد اردن در مقابل اریحاست، آوردند.۱۲
13 Musa, Eliazari kuhani, pamoja na viongozi wa watu wakaenda kukutana nao nje ya kambi.
و موسی و العازار کاهن و تمامی سروران جماعت بیرون از لشکرگاه به استقبال ایشان آمدند.۱۳
14 Lakini Musa alikuwa na hasira dhidi ya viongozi wa jeshi, Wale majemedari wa maelfu na maakida wa mamia, waliotoka kupigana.
و موسی بر روسای لشکر یعنی سرداران هزاره‌ها و سرداران صدها که از خدمت جنگ باز آمده بودند، غضبناک شد.۱۴
15 Musa akawaambia, “Je, mmeawaacha wanawake wote kuishi?
و موسی به ایشان گفت: «آیا همه زنان را زنده نگاه داشتید؟۱۵
16 Tazama, wanawake hawa ndio waliosababisha watu wa Israeli, kwa kupitia ushauri wa Balaamu, kufanya dhambi dhidi ya BWANA huko Peori, wakati ile tauni iliposambaa kwa watu wa Mungu.
اینک اینانند که برحسب مشورت بلعام، بنی‌اسرائیل را واداشتند تا در امر فغور به خداوندخیانت ورزیدند و در جماعت خداوند وباعارض شد.۱۶
17 Sasa basi, ueni kila mwanaume kuanzia wadogo, na ueni kila mwanamke aliyelala na mwanamume.
پس الان هر ذکوری از اطفال رابکشید، و هر زنی را که مرد را شناخته، با اوهمبستر شده باشد، بکشید.۱۷
18 Lakini chukueni wale mabinti wadogo ambao hawajalala na mwanamume.
و از زنان هردختری را که مرد را نشناخته، و با او همبسترنشده برای خود زنده نگاه دارید.۱۸
19 Mtaweka kambi nje na kambi za Israeli kwa muda wa siku saba. Ninyi wote ambao mmeua watu au ambao mmegusa maiti yeyote mtajitakasa wenyewe katika siku ya tatu na katika siku ya saba - ninyi na mateka wenu.
و شما هفت روز بیرون از لشکرگاه خیمه زنید، و هر شخصی را کشته و هر‌که کشته‌ای را لمس نموده باشد ازشما و اسیران شما در روز سوم و در روز هفتم، خود را تطهیر نماید.۱۹
20 Na mtayatakasa mavazi yenu yote, na kila kitu kilichotengenezwa kwa ngozi za wanyama, na manyoya ya mbuzi, na kila kitu kilichotengenezwa kwa mbao.”
و هر جامه و هرظرف چرمی و هر‌چه از پشم بز ساخته شده باشد و هرظرف چوبین را تطهیر نمایید.»۲۰
21 Eliazarai kuahani akawaambia wale wanajeshi waliokuwa wameenda vitani, “Hii ni amri ya sheria ambayo BWANA alimpa Musa:
و العازار کاهن به مردان جنگی که به مقاتله رفته بودند، گفت: «این است قانون شریعتی که خداوند به موسی‌امر فرموده است:۲۱
22 Zile dhahabu, fedha, vyuma, bati, risasi,
طلا و نقره و برنج و آهن و روی و سرب،۲۲
23 na kila kitu knaweza kuhhimili moto, mtakiweka katka moto, navyo vitakuwa safi. Nakisha mtavitakasa vitu hivyo na maji ya farakano. Na vitu vyote ambavyo haviwezi kupita katika moto, mtavitakasa kwa maji hayo.
یعنی هر‌چه متحمل آتش بشود، آن را از آتش بگذرانید و طاهر خواهد شد، و به آب تنزیه نیز آن را طاهرسازند و هر‌چه متحمل آتش نشود، آن را از آب بگذرانید.۲۳
24 Na mtazifua nguao zenu katika siku ya saba, ndipo mtakapokuwa safi. Baada ya hapo mnaweza kurudi kwenye kambi za Israeli.”
و در روز هفتم رخت خود رابشویید تا طاهر شوید، و بعد از آن به لشکرگاه داخل شوید.»۲۴
25 Kisha BWANA akanena na Musa, akamwambia,
و خداوند موسی را خطاب کرده، گفت:۲۵
26 “Vihesabu vitu vyote vilivyochukuliwa nyara, wote watu na wanyama. Wewe, Eliazari kuhani, na viongozi wa watu kufuata koo
«تو و العازار کاهن و سروران خاندان آبای جماعت، حساب غنایمی که گرفته شده است، چه از انسان و چه از بهایم بگیرید.۲۶
27 watavigawa hivi vitu katika mkundi mawili. Mvigawe kwa wanajeshi walioenda kupigana na kwa watu wote.
و غنیمت رادر میان مردان جنگی که به مقاتله بیرون رفته‌اند، وتمامی جماعت نصف نما.۲۷
28 Kisha toza kodi ambayo itatolewa kwangu kutoka kwa wanajeshi waliokuwa wameenda vitani. Hii kodi itakuwa moja kati ya mia tano, katika watu, ng'ombe, punda, kondoo, au mbuzi.
و از مردان جنگی که به مقاتله بیرون رفته‌اند زکات برای خداوندبگیر، یعنی یک نفر از پانصد چه از انسان و چه ازگاو و چه از الاغ و چه از گوسفند.۲۸
29 Uichukue hii kodi kutoka katika nusu yao na umpe Eliazari kuhani kwa ajili ya sadaka itakayotolewa kwangu.
از قسمت ایشان بگیر و به العازار کاهن بده تا هدیه افراشتنی برای خداوند باشد.۲۹
30 Pia kutoka katika nusu ya watu wa Israeli, utachukua moja kati ya hamsini -kutoka vitu, ng'ombe, punda, na mbuzi. Uvitoe hivi kwa Walawi wanaotumika katika masikani yangu.”
و از قسمت بنی‌اسرائیل یکی که از هر پنجاه نفر گرفته شده باشد چه ازانسان و چه از گاو و چه از الاغ و چه از گوسفند وچه از جمیع بهایم بگیر، و آنها را به لاویانی که ودیعت مسکن خداوند را نگاه می‌دارند، بده.»۳۰
31 Kwa hiyo Musa na Eliazari kuhani wakafanya kama BWANA alivyokuwa amemwamuru Musa.
پس موسی و العازار کاهن برحسب آنچه خداوند به موسی‌امر فرموده بود، عمل کردند.۳۱
32 Sasa zile nyara zilizokuwa zimebaki ambazo wanajeshi walikuwa wameteka zilikuwa kondoo 675, 000,
و غنیمت سوای آن غنیمتی که مردان جنگی گرفته بودند، از گوسفند ششصد و هفتاد و پنج هزار راس بود.۳۲
33 maksai elfu sabini na mbili,
و از گاو هفتاد و دو هزار راس.۳۳
34 punda elfu sitini na moja,
و از الاغ شصت و یک هزار راس.۳۴
35 na wanawake elfu thelathini na mbili ambao walikuwa hawajalala na mwanamume yeyote.
و ازانسان از زنانی که مرد را نشناخته بودند، سی و دوهزار نفر بودند.۳۵
36 Ile hesabu ya nusu iliyokuwa imetunzwa kwa ajili ya wanajeshi ilikuwa kondoo 337, 000. Ile sehemu ya
و نصفه‌ای که قسمت کسانی بود که به جنگ رفته بودند، سیصد و سی و هفت هزار و پانصد گوسفند بود.۳۶
37 BWANA ya kondoo ilikuwa kondoo 675.
و زکات خداوند ازگوسفند ششصد و هفتاد و پنج راس بود.۳۷
38 Maksai walikuwa elfu thelathini na sita ambayo kodi ya BWANA ilikuwa sabini na mbili.
وگاوان سی و شش هزار بود و از آنها زکات خداوند هفتاد و دو راس بود.۳۸
39 Punda walikuwa 30, 500 ambao sehemu ya BWANA ilikuwa sitini na moja.
و الاغها سی هزار و پانصد و از آنها زکات خداوند شصت ویک راس بود.۳۹
40 Watu walikuwa wanawake elfu kumi na sita ambao kodi ya BWANA ilikuwa thelathini na mbili.
و مردمان شانزده هزار و ازایشان زکات خداوند سی و دو نفر بودند.۴۰
41 Musa aliichukua ile kodi ambayo ilitakiwa kuwekwa sadaka kwa BWANA. Akampatia Eliazari kuhani, kama BWANA alivyomwamuru Musa.
وموسی زکات را هدیه افراشتی خداوند بود به العازار کاهن داد، چنانکه خداوند به موسی‌امرفرموده بود.۴۱
42 Ile nusu ya watu wa Israeli ambayo Musa alikuwa ameichukua toka kwa wanawjeshi waliokuwa wameenda vitani -
و از قسمت بنی‌اسرائیل که موسی آن را ازمردان جنگی جدا کرده بود،۴۲
43 ile nusu y a watu ilikuwa kondoo 337, 500,
و قسمت جماعت از گوسفندان، سیصد و سی هزار وپانصد راس بود.۴۳
44 maksai elfu thelathini na sita,
و از گاوان سی و شش هزارراس.۴۴
45 punda 30, 500,
و از الاغها، سی هزار و پانصد راس.۴۵
46 na wanawake elfu kumi na sita.
واز انسان، شانزده هزار نفر.۴۶
47 Kutoka kwenye nusu ya watu wa Israeli, Musa alichukua moja katika hamsini, wote watu na wanyama. Aliwapa Walawi ambao huitumikia masikani ya BWANA, kama BWANA alivyokuwa amemwamuru kufanya.
و موسی از قسمت بنی‌اسرائیل یکی را که از هر پنجاه گرفته شده بود، چه از انسان و چه از بهایم گرفت، و آنها را به لاویانی که ودیعت مسکن خداوند را نگاه می‌داشتند، داد، چنانکه خداوند به موسی‌امرفرموده بود.۴۷
48 Kisha wale maakida wa jeshi, makamanda wa elfu na makapteni wa mamia, wakaja kwa Musa.
و روسایی که بر هزاره های لشکر بودند، سرداران هزاره‌ها با سرداران صدها نزد موسی آمدند.۴۸
49 Wakamwambia, “watumishi wako wamewahesabu wanajeshi ambao wako chini yetu, hakuna hata mmoja wao aliyekosa.
و به موسی گفتند: «بندگانت حساب مردان جنگی را که زیردست ما می‌باشند گرفتیم، و از ما یک نفر مفقود نشده است.۴۹
50 Tumemletea BWANA sadaka, ambayo kila mmoja amepata, vitu vya dhahabu, metali, timbi, pete za mhuri, vipini na vikuku, ili kujifanyia upatanisho kwa BWANA.”
پس ما ازآنچه هر کس یافته است هدیه‌ای برای خداوندآورده‌ایم از زیورهای طلا و خلخالها ودست بندها و انگشترها و گوشواره‌ها وگردن بندها تا برای جانهای ما به حضور خداوند کفاره شود.»۵۰
51 Musa na Eliazari kuhani akapokea kutoka kwao dhahabu na vitu vyote vilivyotengenezwa kwa ufundi.
و موسی و العازار کاهن، طلا وهمه زیورهای مصنوعه را از ایشان گرفتند.۵۱
52 Vitu vyote vya sadaka ya dhahabu ambavyo walimpa BWANA- sadaka toka kwa makamanda wa maelfu na kutoka kwa makepteni wa mamia - vilikuwa na uzito wa shekeli 16, 750.
وتمامی طلای هدیه‌ای که از سرداران هزاره‌ها وسرداران صدها برای خداوند گذرانیدند، شانزده هزار و هفتصد و پنجاه مثقال بود.۵۲
53 Kila mwanajeshi alikuwa ameteka nyara ya kila mtu kwa ajili yake.
زیرا که هریکی از مردان جنگی غنیمتی برای خود برده بودند.۵۳
54 Musa na Eliazari kuhani wakazichukuazile dhahabu toka kwa makamanda wa maelfu na makepteni wa mamia. Wakavipeleka kwenye hema ya kukutania kama ukumbusho wa watu wa Israeli kwa BWANA.
و موسی و العازار کاهن، طلا را ازسرداران هزاره‌ها و صدها گرفته، به خیمه اجتماع آوردند تا بجهت بنی‌اسرائیل، به حضور خداوندیادگار باشد.۵۴

< Hesabu 31 >