< Hesabu 31 >

1 BWANA alinena na Musa na kumwambia,
Et l’Éternel parla à Moïse, disant:
2 “Uwalipizie kisasi Wamidiani kwa kile walichowafanya Waisraeli. Baada ya kufanya hivyo utakufa na kukusanyika na watu wako.”
Exécute la vengeance des fils d’Israël sur les Madianites; ensuite tu seras recueilli vers tes peuples.
3 Kwa hiyo Musa akawaambia watu. Akasema, “andaeni baadhi ya majeshi yenu kwa ajili ya vita ili kwamba wakawapige Wamidiani na kubeba kiapo cha BWANA.
Et Moïse parla au peuple, disant: Équipez d’entre vous des hommes pour l’armée, afin qu’ils marchent contre Madian, pour exécuter la vengeance de l’Éternel sur Madian.
4 Kwa kila kabila la Israeli watatuma askari elfu moja kwa ajili ya vita.”
Vous enverrez à l’armée 1 000 [hommes] par tribu, de toutes les tribus d’Israël.
5 Kwa hiyo kati ya wanaume maelfu elfu wa Israeli, wanaume elfu moja walitolewa kwa ajili ya vita, jumla ya wanaume elfu kumi na mbili.
Et on détacha d’entre les milliers d’Israël 1 000 [hommes] par tribu, 12 000 [hommes] équipés en guerre;
6 Kisha Musa akawatuma kwenda vitani, elfu moja toka kila kabila pamoja na Finehasi mwana wa Eliazari kuhanai, wakiwa na vitu kutoka mahali patakatifu wakiwa na matarumbeta kwa ajili ya ishara za sauti.
et Moïse les envoya à l’armée, 1 000 par tribu, à la guerre, eux et Phinées, fils d’Éléazar, le sacrificateur; et il avait en sa main les ustensiles du lieu saint, savoir les trompettes au son éclatant.
7 Wakapigana na Midiani, kama BWANA alivyokuwa amemwamuru Musa. Wakamwua kila mwanaume.
Et ils firent la guerre contre Madian, comme l’Éternel l’avait commandé à Moïse, et ils tuèrent tous les mâles.
8 Wakawaua wafalme wa Midiani pamoja na wengine waliowaua ni: Evi, Rekimu, Zuri, Huri, na Reba, hawa walaikuwa ndio waflme watano wa Midiani. pia walimwua Balaamu mwana wa Beori, kwa upanga.
Et ils tuèrent les rois de Madian, outre ceux qui leur furent tués, Évi, et Rékem, et Tsur, et Hur, et Réba, cinq rois de Madian; et ils tuèrent par l’épée Balaam, fils de Béor.
9 Jeshi la Israeli likawachukua mateka wanawake wa Midiani, watoto wao, mifugo yao yote, kondoo wao na bidhaa zao zote. walivichukua hivi kama mateka.
Et les fils d’Israël emmenèrent captives les femmes de Madian et leurs petits enfants, et pillèrent tout leur bétail et tous leurs troupeaux et tout leur bien;
10 Waliichoma moto miji yao yote walimoishi na kambi zao zote.
et ils brûlèrent par le feu toutes les villes de leurs habitations, et tous leurs campements;
11 Walichukua vitu vyote na wafungwa, watu na wanyama.
et ils emportèrent tout le butin et tout ce qu’ils avaient pris, en hommes et en bêtes;
12 Wakawaleta mateka, nyara, na wakakamata vitu wakavileta kwa Musa, na Eliazari kuhani, na kwa jamii ya watu wa Israeli. Wakavileta hivi vitu kambini katika uwanda wa Moabu, kule Yorodani karibu na Yeriko.
et ils amenèrent les captifs, et ce qu’ils avaient pris, et le butin, à Moïse et à Éléazar, le sacrificateur, et à l’assemblée des fils d’Israël, au camp, dans les plaines de Moab, qui sont auprès du Jourdain de Jéricho.
13 Musa, Eliazari kuhani, pamoja na viongozi wa watu wakaenda kukutana nao nje ya kambi.
Et Moïse et Éléazar, le sacrificateur, et tous les princes de l’assemblée, sortirent à leur rencontre, hors du camp.
14 Lakini Musa alikuwa na hasira dhidi ya viongozi wa jeshi, Wale majemedari wa maelfu na maakida wa mamia, waliotoka kupigana.
Et Moïse se mit en colère contre les commandants de l’armée, les chefs de milliers et les chefs de centaines, qui revenaient du service de la guerre.
15 Musa akawaambia, “Je, mmeawaacha wanawake wote kuishi?
Et Moïse leur dit: Avez-vous laissé en vie toutes les femmes?
16 Tazama, wanawake hawa ndio waliosababisha watu wa Israeli, kwa kupitia ushauri wa Balaamu, kufanya dhambi dhidi ya BWANA huko Peori, wakati ile tauni iliposambaa kwa watu wa Mungu.
Voici, ce sont elles qui, à la parole de Balaam, ont donné occasion aux fils d’Israël de commettre une infidélité contre l’Éternel, dans l’affaire de Péor, et il y eut une plaie sur l’assemblée de l’Éternel.
17 Sasa basi, ueni kila mwanaume kuanzia wadogo, na ueni kila mwanamke aliyelala na mwanamume.
Et maintenant, tuez tous les mâles parmi les enfants, et tuez toute femme qui a connu un homme, en couchant avec lui;
18 Lakini chukueni wale mabinti wadogo ambao hawajalala na mwanamume.
et vous laisserez en vie, pour vous, tous les enfants, les jeunes filles qui n’ont pas eu compagnie d’homme.
19 Mtaweka kambi nje na kambi za Israeli kwa muda wa siku saba. Ninyi wote ambao mmeua watu au ambao mmegusa maiti yeyote mtajitakasa wenyewe katika siku ya tatu na katika siku ya saba - ninyi na mateka wenu.
Et vous, demeurez hors du camp, sept jours, quiconque aura tué un homme, et quiconque aura touché quelqu’un de tué; vous vous purifierez le troisième jour et le septième jour, vous et vos captifs.
20 Na mtayatakasa mavazi yenu yote, na kila kitu kilichotengenezwa kwa ngozi za wanyama, na manyoya ya mbuzi, na kila kitu kilichotengenezwa kwa mbao.”
Et vous purifierez tout vêtement, et tout objet [fait] de peau, et tout ouvrage en poil de chèvres, et tout ustensile de bois.
21 Eliazarai kuahani akawaambia wale wanajeshi waliokuwa wameenda vitani, “Hii ni amri ya sheria ambayo BWANA alimpa Musa:
Et Éléazar, le sacrificateur, dit aux hommes de l’armée, qui étaient allés à la guerre: C’est ici le statut de la loi que l’Éternel a commandée à Moïse:
22 Zile dhahabu, fedha, vyuma, bati, risasi,
L’or, et l’argent, l’airain, le fer, l’étain, et le plomb,
23 na kila kitu knaweza kuhhimili moto, mtakiweka katka moto, navyo vitakuwa safi. Nakisha mtavitakasa vitu hivyo na maji ya farakano. Na vitu vyote ambavyo haviwezi kupita katika moto, mtavitakasa kwa maji hayo.
tout ce qui peut supporter le feu, vous le ferez passer par le feu, et ce sera pur; seulement, on le purifiera avec l’eau de séparation; et tout ce qui ne peut pas supporter le feu, vous le ferez passer par l’eau.
24 Na mtazifua nguao zenu katika siku ya saba, ndipo mtakapokuwa safi. Baada ya hapo mnaweza kurudi kwenye kambi za Israeli.”
Et vous laverez vos vêtements le septième jour, et vous serez purs; et, après cela, vous entrerez dans le camp.
25 Kisha BWANA akanena na Musa, akamwambia,
Et l’Éternel parla à Moïse, disant:
26 “Vihesabu vitu vyote vilivyochukuliwa nyara, wote watu na wanyama. Wewe, Eliazari kuhani, na viongozi wa watu kufuata koo
Relève la somme de ce qui a été pris et mené captif, en hommes et en bêtes, toi et Éléazar, le sacrificateur, et les chefs des pères de l’assemblée;
27 watavigawa hivi vitu katika mkundi mawili. Mvigawe kwa wanajeshi walioenda kupigana na kwa watu wote.
et partage le butin par moitié entre ceux qui ont pris part à la guerre, qui sont allés à l’armée, et toute l’assemblée.
28 Kisha toza kodi ambayo itatolewa kwangu kutoka kwa wanajeshi waliokuwa wameenda vitani. Hii kodi itakuwa moja kati ya mia tano, katika watu, ng'ombe, punda, kondoo, au mbuzi.
Et tu lèveras pour l’Éternel un tribut sur les hommes de guerre qui sont allés à l’armée, un sur 500, tant des hommes que du gros bétail, et des ânes, et du menu bétail;
29 Uichukue hii kodi kutoka katika nusu yao na umpe Eliazari kuhani kwa ajili ya sadaka itakayotolewa kwangu.
vous le prendrez de leur moitié, et tu le donneras à Éléazar, le sacrificateur, comme offrande élevée à l’Éternel.
30 Pia kutoka katika nusu ya watu wa Israeli, utachukua moja kati ya hamsini -kutoka vitu, ng'ombe, punda, na mbuzi. Uvitoe hivi kwa Walawi wanaotumika katika masikani yangu.”
Et de la moitié qui revient aux fils d’Israël, tu prendras une part sur 50, des hommes, du gros bétail, des ânes, et du menu bétail, de toutes les bêtes, et tu les donneras aux Lévites, qui vaquent au service du tabernacle de l’Éternel.
31 Kwa hiyo Musa na Eliazari kuhani wakafanya kama BWANA alivyokuwa amemwamuru Musa.
Et Moïse et Éléazar, le sacrificateur, firent comme l’Éternel l’avait commandé à Moïse.
32 Sasa zile nyara zilizokuwa zimebaki ambazo wanajeshi walikuwa wameteka zilikuwa kondoo 675, 000,
Et ce qui fut pris, le reste du pillage dont le peuple de l’armée s’était emparé, était de 675 000 [têtes de] menu bétail,
33 maksai elfu sabini na mbili,
72 000 [têtes de] gros bétail,
34 punda elfu sitini na moja,
61 000 ânes,
35 na wanawake elfu thelathini na mbili ambao walikuwa hawajalala na mwanamume yeyote.
et les personnes, les femmes qui n’avaient pas eu compagnie d’homme, en tout, 32 000 âmes.
36 Ile hesabu ya nusu iliyokuwa imetunzwa kwa ajili ya wanajeshi ilikuwa kondoo 337, 000. Ile sehemu ya
Et la moitié, la part de ceux qui étaient allés à l’armée, fut, en nombre, de 337 500 [têtes de] menu bétail,
37 BWANA ya kondoo ilikuwa kondoo 675.
– et le tribut pour l’Éternel, du menu bétail, fut de 675;
38 Maksai walikuwa elfu thelathini na sita ambayo kodi ya BWANA ilikuwa sabini na mbili.
– et 36 000 [têtes de] gros bétail, dont le tribut pour l’Éternel fut de 72;
39 Punda walikuwa 30, 500 ambao sehemu ya BWANA ilikuwa sitini na moja.
et 30 500 ânes, dont le tribut pour l’Éternel fut de 61;
40 Watu walikuwa wanawake elfu kumi na sita ambao kodi ya BWANA ilikuwa thelathini na mbili.
et 16 000 personnes, dont le tribut pour l’Éternel fut de 32 âmes.
41 Musa aliichukua ile kodi ambayo ilitakiwa kuwekwa sadaka kwa BWANA. Akampatia Eliazari kuhani, kama BWANA alivyomwamuru Musa.
Et Moïse donna le tribut de l’offrande élevée de l’Éternel à Éléazar, le sacrificateur, comme l’Éternel l’avait commandé à Moïse.
42 Ile nusu ya watu wa Israeli ambayo Musa alikuwa ameichukua toka kwa wanawjeshi waliokuwa wameenda vitani -
Et de la moitié qui revenait aux fils d’Israël, que Moïse avait séparée [de celle] des hommes qui avaient été à la guerre
43 ile nusu y a watu ilikuwa kondoo 337, 500,
(or la moitié qui était à l’assemblée fut de 337 500 [têtes de] menu bétail,
44 maksai elfu thelathini na sita,
36 000 [têtes de] gros bétail,
45 punda 30, 500,
30 500 ânes,
46 na wanawake elfu kumi na sita.
et 16 000 personnes ), …
47 Kutoka kwenye nusu ya watu wa Israeli, Musa alichukua moja katika hamsini, wote watu na wanyama. Aliwapa Walawi ambao huitumikia masikani ya BWANA, kama BWANA alivyokuwa amemwamuru kufanya.
de cette moitié qui était aux fils d’Israël, Moïse prit une part sur 50, tant des hommes que du bétail, et les donna aux Lévites, qui vaquent au service du tabernacle de l’Éternel, comme l’Éternel l’avait commandé à Moïse.
48 Kisha wale maakida wa jeshi, makamanda wa elfu na makapteni wa mamia, wakaja kwa Musa.
Et ceux qui étaient préposés sur les milliers de l’armée, les chefs de milliers et les chefs de centaines, s’approchèrent de Moïse;
49 Wakamwambia, “watumishi wako wamewahesabu wanajeshi ambao wako chini yetu, hakuna hata mmoja wao aliyekosa.
et ils dirent à Moïse: Tes serviteurs ont relevé la somme des hommes de guerre qui sont sous notre main, et il ne manque pas un seul homme d’entre nous.
50 Tumemletea BWANA sadaka, ambayo kila mmoja amepata, vitu vya dhahabu, metali, timbi, pete za mhuri, vipini na vikuku, ili kujifanyia upatanisho kwa BWANA.”
Et nous présentons une offrande à l’Éternel, chacun ce qu’il a trouvé, des objets d’or, des bracelets pour les bras, et des bracelets pour les mains, des anneaux, des pendants d’oreilles, et des colliers, afin de faire propitiation pour nos âmes devant l’Éternel.
51 Musa na Eliazari kuhani akapokea kutoka kwao dhahabu na vitu vyote vilivyotengenezwa kwa ufundi.
Et Moïse et Éléazar, le sacrificateur, prirent d’eux cet or, tous les objets ouvragés.
52 Vitu vyote vya sadaka ya dhahabu ambavyo walimpa BWANA- sadaka toka kwa makamanda wa maelfu na kutoka kwa makepteni wa mamia - vilikuwa na uzito wa shekeli 16, 750.
Et tout l’or de l’offrande élevée, qu’ils avaient offert à l’Éternel, fut de 16 750 sicles, de la part des chefs de milliers et des chefs de centaines;
53 Kila mwanajeshi alikuwa ameteka nyara ya kila mtu kwa ajili yake.
(les hommes de l’armée avaient pillé chacun pour soi).
54 Musa na Eliazari kuhani wakazichukuazile dhahabu toka kwa makamanda wa maelfu na makepteni wa mamia. Wakavipeleka kwenye hema ya kukutania kama ukumbusho wa watu wa Israeli kwa BWANA.
Et Moïse et Éléazar, le sacrificateur, prirent l’or des chefs de milliers et des chefs de centaines, et l’apportèrent à la tente d’assignation, comme mémorial pour les fils d’Israël, devant l’Éternel.

< Hesabu 31 >