< Hesabu 31 >

1 BWANA alinena na Musa na kumwambia,
BAWIPA ni Mosi a pato teh,
2 “Uwalipizie kisasi Wamidiani kwa kile walichowafanya Waisraeli. Baada ya kufanya hivyo utakufa na kukusanyika na watu wako.”
Isarel catounnaw hanlah Midian taminaw koevah, moipathung nateh, hahoi teh na miphunnaw koevah na ceikhai han telah a ti.
3 Kwa hiyo Musa akawaambia watu. Akasema, “andaeni baadhi ya majeshi yenu kwa ajili ya vita ili kwamba wakawapige Wamidiani na kubeba kiapo cha BWANA.
Hottelah Mosi ni taminaw pueng hah a dei pouh teh, Midian taminaw koevah, BAWIPA ni a moipathung hanelah puengcang kâmahrawk awh nateh, midiannaw tuk hanelah kamthaw naseh.
4 Kwa kila kabila la Israeli watatuma askari elfu moja kwa ajili ya vita.”
Isarel miphunnaw pueng thung dawk hoi miphun buet touh dawk hoi tarantuk hanlah tami 1,000 rip na patoun han telah a ti.
5 Kwa hiyo kati ya wanaume maelfu elfu wa Israeli, wanaume elfu moja walitolewa kwa ajili ya vita, jumla ya wanaume elfu kumi na mbili.
Hottelah Isarelnaw moikapap thung dawk hoi tarantuknae koe cei hanelah, miphun buet touh thung dawk hoi tami tong touh rip a tâ awh teh asumkum tami 12,000 touh a tâco sak awh.
6 Kisha Musa akawatuma kwenda vitani, elfu moja toka kila kabila pamoja na Finehasi mwana wa Eliazari kuhanai, wakiwa na vitu kutoka mahali patakatifu wakiwa na matarumbeta kwa ajili ya ishara za sauti.
Hottelah Mosi ni a miphun tangkuem hoiyah, 1,000 rip hoi vaihma Eleazar capa Phinehas ka thoung e hlaamnaw hoi kâhruetcuetnae mongka hah a sin awh teh, tarantuknae koe a ceisak awh.
7 Wakapigana na Midiani, kama BWANA alivyokuwa amemwamuru Musa. Wakamwua kila mwanaume.
BAWIPA ni Mosi kâ a poe e patetlah Midiannaw hah a tuk awh teh tongpa pueng a thei awh.
8 Wakawaua wafalme wa Midiani pamoja na wengine waliowaua ni: Evi, Rekimu, Zuri, Huri, na Reba, hawa walaikuwa ndio waflme watano wa Midiani. pia walimwua Balaamu mwana wa Beori, kwa upanga.
A thei awh e naw thung dawk Midiannaw e siangpahrang hai a bawk van. Midian siangpahrang panga, Evi, Rekem, Zur, Hur hoi Reba tinaw doeh. Beor capa Balaam hai tahloi hoi a thei awh.
9 Jeshi la Israeli likawachukua mateka wanawake wa Midiani, watoto wao, mifugo yao yote, kondoo wao na bidhaa zao zote. walivichukua hivi kama mateka.
Hahoi Isarel catounnaw ni Midian napuinaw hah san lah koung a hrawi awh. A saringhunaw pueng, a tuhunaw pueng, a hnopainaw pueng, hah lawphno lah koung a la pouh awh.
10 Waliichoma moto miji yao yote walimoishi na kambi zao zote.
A onae khonaw pueng hoi a roenae naw pueng hmai koung a sawi pouh awh teh,
11 Walichukua vitu vyote na wafungwa, watu na wanyama.
tami hoi saring, san hoi lawphnonaw pueng teh koung a ceikhai awh.
12 Wakawaleta mateka, nyara, na wakakamata vitu wakavileta kwa Musa, na Eliazari kuhani, na kwa jamii ya watu wa Israeli. Wakavileta hivi vitu kambini katika uwanda wa Moabu, kule Yorodani karibu na Yeriko.
Hahoi san hoi man e naw pueng hoi lawphnonaw teh Mosi hoi vaihma Eleazar hoi Isarel catounnaw koevah, Jeriko namran Jordan palang teng Moab tanghling a roe awhnae koe a phakhai awh.
13 Musa, Eliazari kuhani, pamoja na viongozi wa watu wakaenda kukutana nao nje ya kambi.
Hottelah, Mosi hoi vaihma Eleazar hoi taminaw pueng ni longkha koehoi a dawn awh.
14 Lakini Musa alikuwa na hasira dhidi ya viongozi wa jeshi, Wale majemedari wa maelfu na maakida wa mamia, waliotoka kupigana.
Hatei, Mosi teh ransabawi 1,000 touh kahrawikung, 100 touh kahrawikung kacuenaw hoi tarantuknae koehoi kabannaw lathueng vah a lungkhuek.
15 Musa akawaambia, “Je, mmeawaacha wanawake wote kuishi?
Hottelah Mosi ni ahnimouh koe, napuinaw teh a hring lah na hlung awh na maw.
16 Tazama, wanawake hawa ndio waliosababisha watu wa Israeli, kwa kupitia ushauri wa Balaamu, kufanya dhambi dhidi ya BWANA huko Peori, wakati ile tauni iliposambaa kwa watu wa Mungu.
Khenhaw, Balaam khokhangnae kecu dawk Peor kong dawkvah, Isarel catounnaw ni BAWIPA taranlahoi kâtapoenae katâcawtsakkungnaw teh hete napuinaw doeh. BAWIPA e taminaw koe lacik a pha sak awh toe.
17 Sasa basi, ueni kila mwanaume kuanzia wadogo, na ueni kila mwanamke aliyelala na mwanamume.
Hatdawkvah, camonaw thung dawk tongpanaw hah koung thet awh nateh, tongpanaw ni yo a ikhai e napuinaw hai thet awh.
18 Lakini chukueni wale mabinti wadogo ambao hawajalala na mwanamume.
Hatei, camohnawn e napuinaw tami ni a ikhai hoeh raenaw pueng teh, namamouh hanlah pâhlung awh.
19 Mtaweka kambi nje na kambi za Israeli kwa muda wa siku saba. Ninyi wote ambao mmeua watu au ambao mmegusa maiti yeyote mtajitakasa wenyewe katika siku ya tatu na katika siku ya saba - ninyi na mateka wenu.
Hahoi longkha koe hnin sari touh roe awh. Bang patetlae tami nakunghai tami ka thet e hoi tami ro kateknaw pueng teh, apâthum hnin hoi asari hnin teh namamouh hoi na sannaw hoi kamthoung awh.
20 Na mtayatakasa mavazi yenu yote, na kila kitu kilichotengenezwa kwa ngozi za wanyama, na manyoya ya mbuzi, na kila kitu kilichotengenezwa kwa mbao.”
Kamthoupnae pueng hoi, phaivuen hoi sak e hnonaw pueng kong dawk be na kamthoung awh han telah atipouh.
21 Eliazarai kuahani akawaambia wale wanajeshi waliokuwa wameenda vitani, “Hii ni amri ya sheria ambayo BWANA alimpa Musa:
Hahoi, vaihma Eleazar ni hai tarantuknae koe ka cet e ransanaw hah a kaw teh, hethateh BAWIPA ni Mosi koevah kâ a poe e kâlawk doeh.
22 Zile dhahabu, fedha, vyuma, bati, risasi,
Sui, ngun, hoi rahum, hoi sum, samphei, hoi konlawk,
23 na kila kitu knaweza kuhhimili moto, mtakiweka katka moto, navyo vitakuwa safi. Nakisha mtavitakasa vitu hivyo na maji ya farakano. Na vitu vyote ambavyo haviwezi kupita katika moto, mtavitakasa kwa maji hayo.
bangpatete hnonaw pueng haiyah, hmai ni a kak thai hoeh e pueng, hmai dawk pou ceisak vaiteh a thoung han. Bangpatet nakunghai yah pâsu hoi thoungthainae tui hoi pâsu vaiteh thoungsak hanlah ao. Hahoi hmai dawk phum han kahawihoehnaw pueng teh, khohna hoi tui dawk pekpâsu hanelah ao.
24 Na mtazifua nguao zenu katika siku ya saba, ndipo mtakapokuwa safi. Baada ya hapo mnaweza kurudi kwenye kambi za Israeli.”
Hahoi asari hnin vah na hni na pâsu awh vaiteh, hahoi doeh roenae hmuen koe na kâen awh han.
25 Kisha BWANA akanena na Musa, akamwambia,
BAWIPA ni Mosi a pato teh,
26 “Vihesabu vitu vyote vilivyochukuliwa nyara, wote watu na wanyama. Wewe, Eliazari kuhani, na viongozi wa watu kufuata koo
nang nama hoi vaihma Eleazar hoi tamihu kaukkung kahrawikungnaw hoi hnopai na lawp awh e tami hoi saring hah be touk awh.
27 watavigawa hivi vitu katika mkundi mawili. Mvigawe kwa wanajeshi walioenda kupigana na kwa watu wote.
Lawphno kahni touh lah kapek awh. Tarantuknae koe ka cet ni teh tarankatuknaw hane hoi tamimaya hanlah,
28 Kisha toza kodi ambayo itatolewa kwangu kutoka kwa wanajeshi waliokuwa wameenda vitani. Hii kodi itakuwa moja kati ya mia tano, katika watu, ng'ombe, punda, kondoo, au mbuzi.
hahoi tarantuknae koe kacetnaw e a hma thung dawk hoi tami hoi, maito, hoi la, hoi tu, hoi kahring e pueng dawk hoi 500 touh dawk buet touh BAWIPA han a ham lah ta hanlah na kapek han.
29 Uichukue hii kodi kutoka katika nusu yao na umpe Eliazari kuhani kwa ajili ya sadaka itakayotolewa kwangu.
Hotnaw teh lat awh nateh, BAWIPA hanlah kahek thuengnae vaihma Eleazar hah na poe awh han.
30 Pia kutoka katika nusu ya watu wa Israeli, utachukua moja kati ya hamsini -kutoka vitu, ng'ombe, punda, na mbuzi. Uvitoe hivi kwa Walawi wanaotumika katika masikani yangu.”
Isarelnaw ni a ham awh e a tangawn thung dawk hoi tami, maito, la, tu totouh moithang phun 50 touh dawk buet touh, na la vaiteh, BAWIPA e lukkareiim ka ring e Levihnaw hah na poe awh han, telah a ti.
31 Kwa hiyo Musa na Eliazari kuhani wakafanya kama BWANA alivyokuwa amemwamuru Musa.
Hottelah BAWIPA ni Mosi kâ a poe e patetlah Mosi hoi vaihma Eleazar ni a sak roi.
32 Sasa zile nyara zilizokuwa zimebaki ambazo wanajeshi walikuwa wameteka zilikuwa kondoo 675, 000,
Ransanaw ni a man awh e lawphno touksin laipalah a la awh e teh, tu 675,000,
33 maksai elfu sabini na mbili,
maito 72,000,
34 punda elfu sitini na moja,
la 61,000,
35 na wanawake elfu thelathini na mbili ambao walikuwa hawajalala na mwanamume yeyote.
napui tongpa ni a ikhai hoeh rae 32,000,
36 Ile hesabu ya nusu iliyokuwa imetunzwa kwa ajili ya wanajeshi ilikuwa kondoo 337, 000. Ile sehemu ya
tarantuknae koe kacetnaw tangawn ni a ham awh e tu 337,500,
37 BWANA ya kondoo ilikuwa kondoo 675.
BAWIPA ham tu 675,
38 Maksai walikuwa elfu thelathini na sita ambayo kodi ya BWANA ilikuwa sabini na mbili.
maito 36,000 touh a pha teh BAWIPA ham teh 72 touh.
39 Punda walikuwa 30, 500 ambao sehemu ya BWANA ilikuwa sitini na moja.
La 30,500 touh a pha teh BAWIPA ham teh 61 touh.
40 Watu walikuwa wanawake elfu kumi na sita ambao kodi ya BWANA ilikuwa thelathini na mbili.
Tami teh 16,000 touh a pha teh BAWIPA ham teh 32 touh a pha.
41 Musa aliichukua ile kodi ambayo ilitakiwa kuwekwa sadaka kwa BWANA. Akampatia Eliazari kuhani, kama BWANA alivyomwamuru Musa.
BAWIPA ni Mosi kâ a poe e patetlah ham, BAWIPA koe kahek thuengnae Mosi ni vaihma Eleazar a poe.
42 Ile nusu ya watu wa Israeli ambayo Musa alikuwa ameichukua toka kwa wanawjeshi waliokuwa wameenda vitani -
Mosi ni tarankatuknaw e a ham koung a poe. Isarelnaw e a ham teh,
43 ile nusu y a watu ilikuwa kondoo 337, 500,
tu 337,500,
44 maksai elfu thelathini na sita,
maito 36,000,
45 punda 30, 500,
la 30,500,
46 na wanawake elfu kumi na sita.
tami 16,000 a pha.
47 Kutoka kwenye nusu ya watu wa Israeli, Musa alichukua moja katika hamsini, wote watu na wanyama. Aliwapa Walawi ambao huitumikia masikani ya BWANA, kama BWANA alivyokuwa amemwamuru kufanya.
Isarelnaw ni a ham thung dawk hoi Mosi ni tami hoi saring 50 touh thung dawk hoi buetbuet touh pou a la teh, BAWIPA kâpoelawk patetlah BAWIPA lukkareiim kakhenyawnkung Levihnaw hah a poe awh.
48 Kisha wale maakida wa jeshi, makamanda wa elfu na makapteni wa mamia, wakaja kwa Musa.
Hahoi ransanaw thung dawk tami 100 kaukkungnaw, 1,000 kaukkungnaw ni Mosi koe a hnai awh teh,
49 Wakamwambia, “watumishi wako wamewahesabu wanajeshi ambao wako chini yetu, hakuna hata mmoja wao aliyekosa.
Mosi koevah na sannaw niyah kaimae kut dawk kaawm tarankatuknaw hah ka touk awh teh kakuep hoeh e apihai kaawm awh hoeh.
50 Tumemletea BWANA sadaka, ambayo kila mmoja amepata, vitu vya dhahabu, metali, timbi, pete za mhuri, vipini na vikuku, ili kujifanyia upatanisho kwa BWANA.”
Hatdawkvah, ka hring awh nahanlah BAWIPA hmalah yontha sak hanelah tamipueng ni lengkaleng a coe awh e sui hoi sak e, dingyin, laikaw, kuthrawt, hnongpacap, hnâpacap naw hah BAWIPA koe thueng hanelah ka thokhai awh toe telah atipouh.
51 Musa na Eliazari kuhani akapokea kutoka kwao dhahabu na vitu vyote vilivyotengenezwa kwa ufundi.
Mosi hoi vaihma Eleazar ni, sui hoi sak e puengcangnaw hah a la pouh.
52 Vitu vyote vya sadaka ya dhahabu ambavyo walimpa BWANA- sadaka toka kwa makamanda wa maelfu na kutoka kwa makepteni wa mamia - vilikuwa na uzito wa shekeli 16, 750.
1,000 touh kahrawikung, 100 touh kahrawikungnaw ni BAWIPA hanelah kahek thuengnae lah a poe awh e suinaw pueng teh sekel 16,750 touh a pha.
53 Kila mwanajeshi alikuwa ameteka nyara ya kila mtu kwa ajili yake.
Ransanaw ni a la awh e lawphnonaw teh amamouh hanlah lengkaleng a la awh.
54 Musa na Eliazari kuhani wakazichukuazile dhahabu toka kwa makamanda wa maelfu na makepteni wa mamia. Wakavipeleka kwenye hema ya kukutania kama ukumbusho wa watu wa Israeli kwa BWANA.
Hahoi Mosi hoi vaihma Eleazar ni 1,000 kahrawikung, 100 kahrawikungnaw e sui teh a la pouh teh, Isarel catounnaw pahnim hoeh nahanlah kamkhuengnae lukkareiim dawk BAWIPA hmalah a tâcokhai awh.

< Hesabu 31 >